Mwambieni huyo mjinga asimtaje Phiri tena kati ya waliofeli. Phiri alikuwa hatari sana mpaka alipoumia akicheza dhidi ya Kagera Sugar. Wachambuzi wengine mnakosa sifa kwa ajili ya kuchambua kwenu kishabiki. Mkiacha ushabiki mtakuwa bora.
Alifeli ndyo maana akatemwa hata Djuma Shaban aliwaka ikafika muda akatemwa hapo tunahesabia kafeli kwasababu ameshndwa kuwa kwenye kiwango chake muda wote mbali na majeraha ilibd aonyeshe zaid
Kocha tunaomba kila mchezaji apewe nafasi yake na namba yake anayochezea. Makocha muwe mnajaribu kuuliza namba aliyokuwa anachezea huko alikotoka ili kupata timu iliyo bora
Karibu sana joshua mare
Mutare ni bonge la mchezaji karibu sana Simba kocha mpange Mutare kwenye namba yake YA 10. Jamani simba tufurahi wanasimba
Mwambieni huyo mjinga asimtaje Phiri tena kati ya waliofeli. Phiri alikuwa hatari sana mpaka alipoumia akicheza dhidi ya Kagera Sugar. Wachambuzi wengine mnakosa sifa kwa ajili ya kuchambua kwenu kishabiki. Mkiacha ushabiki mtakuwa bora.
Alifeli ndyo maana akatemwa hata Djuma Shaban aliwaka ikafika muda akatemwa hapo tunahesabia kafeli kwasababu ameshndwa kuwa kwenye kiwango chake muda wote mbali na majeraha ilibd aonyeshe zaid
Mbona km POVU flani hv!? 😂😂😂
yes
Naomba ratiba ya kipindi chenu Cha mchezo hansi
Kocha tunaomba kila mchezaji apewe nafasi yake na namba yake anayochezea. Makocha muwe mnajaribu kuuliza namba aliyokuwa anachezea huko alikotoka ili kupata timu iliyo bora
Hans 👋👋👋👋 unajua kaka
Hansi Rafael chikwende mwanangu san
Karibu mwamba wa kazi
Hapo ilikuwa ni tatizo la kocha kuwaweka benchi
Napenda ligi yetu iwe mithili ya EPL yaaan timu bora ziwe nying ili tuone ushindan wa hali ya juu...
WASIPO ZUNGULIWA WATAROGWA SIMBA MJUWE HILO.
Karibu sana joshua tunakupenda,,na ww chama nenda kafilwe huko
Matusi hayajengi Dunduka
@@amaniomar1755MACHOGOOOOOOOOO 😂😂😂😂😂
Wachambuzi acheni upuuzi mtupu why kwa Simba SC always mpo negative kwa actions za Simba SC???
Yaani Hans kamsifu unasema yuko negative
Umeskiliza au ndo unafki na mmekariri
Namba 10 anagor ngap musidanganyewatu mtaonahaibu badae
Mm nilijua upo kwenye sherehe za kumkaribisha MZEE CHAMA, kumbe bado unafuatilia nyendo za timu bora namba 6 Afrika!? 😂😂😂😂😂
kwani cc na utoporo lini?
😂😂😂 we huogopii
@@mwanangusanaUOGOPEWE WAKATI HUNA LOLOTE 😂😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO
@@salimmalaka256 🤣🤣🤣 nimekukosa kosa 3 ... Dube 1 , Aziz ki 1 na chama 1 dk za jioniiiii 🤣🤣🤣
@@mwanangusana TUNGOJE TUONE HIZO 3
Huyo ndo ulinganishe na chama we una una utani sana
Huyu ni KIJANA na CHAMA ni maji ya jioni. Upo sawa, hawalingani hata kwa mbali
Naomba ratiba ya kipindi chenu Cha mchezo hansi
Naomba ratiba ya kipindi chenu Cha mchezo hansi