Ufafanuzi mzuri, ni neema kubwa kuwa na viongozi bora kama hawa wazalendo na wenye kuiinuwa inchi kiuchumi allah akuzidishie baraka , chapa kazi kijana❤
Changamoto kubwa ni kwamba mnajisifu kufanya kaz lkn Kuna meli zimetia nanga Zina mwezi 1 Sasa hazjashusha mizigo hii ni aibu kubwa wafanya biashara wanalalamika mnawapa hasara hvyo ondoen urasimu kuweni wazalendo wahurumien watanzania wenzenu
Mkurugenzi Gani hajui Hata kujieleza kitaam. Atakuwa ni wa mchongo huyu. Angeelezea ufanis na tunafaidika vpee na wingi wa mizigo hiyo!?. Mwarabu ndo ananufaika ee
SS atuna aja na vyombo vya habari tuna aja na maaendeleo ukifanya vzr tutakuona tu ss tunaakili ww fanya SS tutakuona tu akina aja ya akina milad ayo tutakuona
Kazi nzuri sana pongezi kwa serikali yetu pendwa
Ufafanuzi mzuri, ni neema kubwa kuwa na viongozi bora kama hawa wazalendo na wenye kuiinuwa inchi kiuchumi allah akuzidishie baraka , chapa kazi kijana❤
Congratulations rkn bado port inazidiwa ongezeni bidii yaufanyaji kazi
Kwanini bandari ya Tanga hazipanuliwi na Mutwara? Ili zisaidie Bandari ya Dar ?
Changamoto kubwa ni kwamba mnajisifu kufanya kaz lkn Kuna meli zimetia nanga Zina mwezi 1 Sasa hazjashusha mizigo hii ni aibu kubwa wafanya biashara wanalalamika mnawapa hasara hvyo ondoen urasimu kuweni wazalendo wahurumien watanzania wenzenu
Ongeza sauti, wasitudanganye tunaona meli zimeganda baharini, na wateja wanalalamika kuondoa mizigo yao
Meli nyingi zann tunataka fedha Za nchi sio meli nyingi
Znalipa kodi? Huu ushenz magufuli alitufungua akili
Huyu mkurugenzi mbn hatumuelewi? Meli zimejaa nje ya bandari hazishushi kabisa na mizigo haitoki bandarini yy anatuambia vitu tofauti dah
Kazi iendelee...
Mkurugenzi Gani hajui Hata kujieleza kitaam. Atakuwa ni wa mchongo huyu.
Angeelezea ufanis na tunafaidika vpee na wingi wa mizigo hiyo!?.
Mwarabu ndo ananufaika ee
Hawa jamaaa hamna kitu meli imefika tareh 17 mwz wa 12 mpak leo mzigo haujaingia godown la silent ocean
Wangepanua Bandari zote Tanga na Mutwara ili zisaidie Bandari ya Dar
Bandali ya Dalesalam , Bwawa la mwalimu Nyelele. Kichefu chefu. Uchafuzi wa Lugha. Shida iko wapi R inakuwa Changamoto.??
Pembe basketball team #145,#0047
Meli.zinakimbia HAMAS,houth,n.k.Kwao zitatekwa
Watanzania au waarabu semeni tu
Kumbe twawexa lakini .................inchiyetu wote
Panueni Bandari zote Tanga na Mutwara pia kuna shida gani lakini inchi mbona munakuawaga munangangania bandari moja ??
Uongo mtupu
Nakupata milady Ayo
SS atuna aja na vyombo vya habari tuna aja na maaendeleo ukifanya vzr tutakuona tu ss tunaakili ww fanya SS tutakuona tu akina aja ya akina milad ayo tutakuona
🔥🔥🔥🔥
Usiuze basi bandari
Tunajua hii mnataka kuifanya kuwa Kiki ya kisiasa ccm out😮😮
Izo data zako SS zilitupunguzia kod et SS wadogo zilitusaidia nn et kwetu SS je umeme haukatiki mafuta yameshuka bei SS maisha yetu inatusaidia nn
😅😅😅😅
Hi inchi hii mmmh acha nipite tu
Acha kuongopa wewe
Yupi sasa hapo anayeongopa? Reporter au aliye comment
Sasa mnapotaka kuwauzia watu unawauzia watu kitu Cha mkakati