Tanzania tununue meli ya Abiria, Ianze safari za Dar-es-salaam, Zenj Err Barr (Zanzibar), Maputo Mozambique, Port Elizabeth, Cape Town, Durban Natal, Mombasa, Djibouti, Karachi, Pakistan, Mumbay, Calcutta, Singapore, Bankok Nk, Hili jambo linawezekana, Zanzibar kulikuweoo Mv Mapinduzi ilikuwa ni Passenger, Lazima tuamini ya Kuwa Inawezekana.
😂😂 Mimi niliiona jana majira ya saa moja na dk30 hivi usiku nikiwa ferry, nilikua busy na mambo yangu ghafla nageuka kuangalia upande wa baharini, nilistuka sana maana nilihisi kama ghorofa lipo majini linatembea😅😅 kwakweli nilikua surpprised sana. Ila jamaa wana meli kubwa na nzuri
@@eliadaniel216 Panton siogopi.Shida ni ile kusafiri wiki mbili au hata mwezi mzima mpo tu baharini.Kuna muda bahari inachafuka nyie,yani bahari inakuwa na hasira na ghadhabu.Chombo kinabinuliwa hivi mara vile.Jamani hapana kwakweli.🙌
😂😂😂 Uliza ndugu walio kiwanjani Bara Ina Madaktari, wanasheria, MA Engineer, MA Nurse kibao lakini Tunasema Tanzania Oyeee acha wanao miliki truck companies yaani wabongo kibao hasa USA lakini tunasema Tanzania 🇹🇿 oyeee mi nilidhani unajisifu kaenda Hajj au Umra Waislam Mambo Leo
Wana ubinafsi mpaka Wapemba wamewatoa kwenye Uzanzibar niwao pekeyao saiv kwenye Zanzibar saiv utasikia Pemba na Zanzibar😂😂😂😂 kazi Ipo lakin watambue tu Wapemba ni watu wakarim sana
Yaani majanga yanayoikuta Yemen yamesababisha meli nyingi kupitia huku Tena kubwa kubwa,maana Suez Canal imefungwa Sasa sijui tulie au tucheke sisi wa east Africa😂
Yaani haka kameli ndo ajabu??? Mbona vado tuko nyuma saana, Bado tunaishi karne ya 16, Hakuna cha ajabu hapo hata km wangekuja na nyambizi ni jambo la kawaida tu 2:443:06
Waswahili kwa kujifanya wanajua? Mijitu mingine hata zenji tu haijawai kufika. ...unayasikia ya kisifia mara kama viwanja viwili sijui vitatu...kwani alitemgeneza babu yenu
Tanzania tununue meli ya Abiria, Ianze safari za Dar-es-salaam, Zenj Err Barr (Zanzibar), Maputo Mozambique, Port Elizabeth, Cape Town, Durban Natal, Mombasa, Djibouti, Karachi, Pakistan, Mumbay, Calcutta, Singapore, Bankok Nk, Hili jambo linawezekana, Zanzibar kulikuweoo Mv Mapinduzi ilikuwa ni Passenger, Lazima tuamini ya Kuwa Inawezekana.
Asante sana Rais wangu Samia kwa kazi nzuri.Kwa kweli unapewa maua yako. Kwa kweli🙏🙏👍👍❤❤❤
Meli kuwba ni Icon of the sea, inabeba watu zaidi ya 7000. Kuna Symphony of the sea, wonder of the sea.
hongera DP WORD
Ndo tunaingia hapa kwenye meli,,, see you soon Tanzania
Wazanzibar Oyee Mlandege Oyeeeeee ❤
Urojo naomba
Zanzibar juu juu zaidi,lakini Mlandege inatafuta nini hapo 😂😂
Ujinga mtupu sasa hiyo mlandege inafuata nini mavi kunuka
Kazi nzur ya mama Samia hakika kaitangaza Tanzania vema,. Allah amjaalie mazur na amlinde❤
mbon huyu captain anafanana na yule wa kwny TITANIC!
Hizo ndo bata sio vijitu vinaenda kigamboni vinajipiga picha kwenye vimitumbwi vya kuvulia pweza nakujipiga picha nyiingi
😅😅😅
😆😆😆🤣🤣🤣🤣
@@shyfettymtunda4619 mashauzi maana hadi ngalawa zinaitwa yatch sku izi wabongo mbwembwe sana kwenye Maisha yakuigiza
Umejua kunichekesha...😂😂😂
@@@shyfettymtunda4619naona umefurahi na wwe.ushipanda hio meli 😅
Sipandi ata siku mojaa naogopa😢😢😢
Hili dude leo saa 12 asbh nimeliona bwana pale feri ndolinaelekea kupaki weee nikajua mafuriko jmn kubwa hilo mpk raha
@Zuwena salim2794 nenda ukalitembelea
😂😂 Mimi niliiona jana majira ya saa moja na dk30 hivi usiku nikiwa ferry, nilikua busy na mambo yangu ghafla nageuka kuangalia upande wa baharini, nilistuka sana maana nilihisi kama ghorofa lipo majini linatembea😅😅 kwakweli nilikua surpprised sana.
Ila jamaa wana meli kubwa na nzuri
Mm nishelipanda mwaka jana
@zuwena salim2794 mm nishelipanda mwaka jana ww upo wapi?
@@Ali-uh9wb 😂😂😂😂😂hukuniona pale kwenye swimming
Taifa lijjenge bandari kwa ajilili ya utalii kama huo mda siyo mrefu meli na privet boat zitakuja mingi
Hiyo meli urefu wake ni sawa na viwanja viwili vya mpira wa miguu na si zaidi ya vitatu
KAZI iendelee
Kazi iendelee 😊
Ninavyoogopa bahari mimi,hasa zile storms!!Wueeh 🙌
Wale tu hizo bata zao.
Pole sn beautiful nitakuja kukuchukua nikija bongo sawa love
Lol 😂😂😂🙌
Usiogope mbona Raha TU Anza kuanda lile pantoni mdogo mdogo utazoea mamaae
@@eliadaniel216 Panton siogopi.Shida ni ile kusafiri wiki mbili au hata mwezi mzima mpo tu baharini.Kuna muda bahari inachafuka nyie,yani bahari inakuwa na hasira na ghadhabu.Chombo kinabinuliwa hivi mara vile.Jamani hapana kwakweli.🙌
@@shyfettymtunda4619usijali chagua fukwe yoyote duniani apa twende tukaponde Raha mtoto mzuri,usiogope🤔🤔🤔
Respect Zanzbar 🙌 🤲 🙏 🙌 ❤
Mbona haikutia nanga zanzibar?
😂😂😂😂😂😂@@Worldunite
Respect Zanzibar kwa lipi sasa??ndezi mkubwa wewe😂😂
Kisa huyo Mzanzibari kula starehe kwenye hiyo meli ndio unatoa respect we hovyooooo😂😂😂😂
Ukisikia Comed disease ndiò hizo😂😂😂
😂😂😂 Uliza ndugu walio kiwanjani Bara Ina Madaktari, wanasheria, MA Engineer, MA Nurse kibao lakini Tunasema Tanzania Oyeee acha wanao miliki truck companies yaani wabongo kibao hasa USA lakini tunasema Tanzania 🇹🇿 oyeee mi nilidhani unajisifu kaenda Hajj au Umra Waislam Mambo Leo
😂😂😂 ahsante capten,,,et kazi iendeleee.
😂😂
yupo wap hyo mtanzania
Captain amepigaje apo mwishon,,,, KAZI IYENJLEEE 🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
duh tumepata bahati nchi yetu kupita meli kubwa kama hiyo najuwa serikali na wananchi wamepata chochote kupia hao wageni
Hongera wazanzibari kumbe mko mbali rudini kwenu mje muijenge zanzibar msitanue tu huko
Kwani wakija kuijeng Tanzania haiwezekan mbona kama wabinafsi sana nyie wa we ni
NDio walivyo Hao wazanzibar wabinafsi,,ata wakisafir hawasemi n watanzania et wanajiita wazanzibar 😂😂😂😂Sasa Oman ukija mtz unaamibwa intiii zenjibar yaan mpk nasikia hasira
Wana ubinafsi mpaka Wapemba wamewatoa kwenye Uzanzibar niwao pekeyao saiv kwenye Zanzibar saiv utasikia Pemba na Zanzibar😂😂😂😂 kazi Ipo lakin watambue tu Wapemba ni watu wakarim sana
Ila wabongo tunapenda sana kuchomekeana. Hiyo meli katika meli za kitalii ni ya kawaida sana. Haiko hata top 10.
Hiyo sasa husda
Kwa hiyi kwako ni ajabuuuuuuu, kwa huyo bwana kusafiri na Meli.?
Mashallah
Na hii itazima sijaipanda kwel sikubali….
Wazungu wanakula bata jamani
Amefanana na naibu spika wa bunge
Captain amenifanya nicheke 😂😂
Yaani majanga yanayoikuta Yemen yamesababisha meli nyingi kupitia huku Tena kubwa kubwa,maana Suez Canal imefungwa Sasa sijui tulie au tucheke sisi wa east Africa😂
Aah we TITANIC dude la dunia bos wngu
Titanic ni ndogo kwa hiyo hapo
Kuna hilo linaitwa ICON OF THE SEAS ndo hatari
Duuu
Wazee wa stowaway mko wapi chombo hiyo😅😅😅
Watu wameshapiga 5, wewe unawaza Titanic!
Yaani haka kameli ndo ajabu??? Mbona vado tuko nyuma saana, Bado tunaishi karne ya 16,
Hakuna cha ajabu hapo hata km wangekuja na nyambizi ni jambo la kawaida tu 2:44 3:06
We fala kweli unaona wife hata kwa vitu ambavyo huwezi kuvipata kamwe!!?
Utakufa maskini mbwa ee
Nani mbwa?@@jovitusykyagara2013
Dah alfu ina nguvu cheki inavokunja kona kama n boat ndg aiseee
Ila CCM washaweka kibwagizo hapo eti kaz....i indeleee😂😂😂😂
Eti kibwagizo 😆😆😆
Mbona nimeogopaaa naona km titanic nyingine
mbn hiyo ndogo hiyo ni sawa na viwanja 2 vya mpira na nusu ya kiwanja
Waswahili kwa kujifanya wanajua? Mijitu mingine hata zenji tu haijawai kufika. ...unayasikia ya kisifia mara kama viwanja viwili sijui vitatu...kwani alitemgeneza babu yenu
Mambo ya bandari
Mbona captain haojiwi anaongea tu mwenyewe? Nakuuliza wewe mwanahabari
Haya wale wakumponda mama mpo? au bado mnahitaji ufafanuzi?
Huwezi kuwasikia kwani wameiona?!
Sasa hapo umefaidika na nini wewe kwahiyo meli???
Bado tunahitaji ufafanhzi ndio
Au hiyo meli niyakwetu????
Pimbi kweli wewe
@@happynesssamwel2917 Sio kosa lako, darasa ndiyo tatizo, ukikimbizana na chizi wewe mzima ndiyo utaoneka chizi, kasome elimu Bure ndipo utakapoelewa ulimwengu unaoishi unakwendaje
@@HamisiMakasara-hb3nt kwani hiyo meli itanisaidia nini hata kama nimeiona!!! Niambie wewe imekusaidia nini😓😓
Hii nchii acha tu jmn😂😢 wajinga hamuishi tu sasa huyo mama ako amekunufaisha na nn hapa
Niliiona nikiwa navuka zangu panton inatosha😂.oh
😆😆😃
😆😆😃
😆😆😃
Iyo Ndio Bata Kutoka Taifa Moja Kwenda Lingine Napia Ukiwa Na Jicho Lashetani Mpaka Majini Utayaona Baharini
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
❤
Kumbe inapita tu😢😢
inalipa kodi
@@sabihaibrahim143 aaa kumbe
@@stellanyamuhogota1832 ndio madola
Kula chuma hicho KIBARA 1.
Ndugu yake na ZUNGU