Uki taka juwa mutu vizuri subiri apate. Uyo Chino comment yake ina onesha zarau ndani yake . Mario alikuwa very serious. Chino ana play dirty game. Aya ni maisha.
Siku zote kwenye maisha inakuwaga hivyo Unansaidia mtu kiroho Safi mwisho wa siku akifanikiwa mambo yanakuwaga kama hivyo Huyo chino aache dharau za kishamba😢😢😢
Nafikiri hii P funk alikuwa anamzungumzia ferooz , kwasabab hapo nyuma kidogo kuna conflict ilikuwepo kati ya ferooz na chino,kama sikosei chino alimtuhumu ferooz kumgeuka kwa kutumia kipande cha wimbo wa ferooz kwenye wimbo wake wakati alimuomba kabla ya kufanya hivyo na akakubali
Yaani Babu Tatizo Media zetu hizi hata awafanyi kabisa Research Pale P funky aliulizia kuhusu issue ya Feroos na Chino, Sasa hawa wanakurupuka na Kuongea kitu hawakijui kabisa."
*msanii akiwa hajapata chochote maisha mengine huendelea namahusiano pia wanakuwa nayo wakisha jipata huwaacha mademu zao nakutafuta mademu wajanja wamji sasa mtumesota wee leo amepata umesepa mtapewa sana sumu sana msisingiziane*
Sioni kana ni lazina siku ile chino kazima angempa asante mario mbona hamo alinyopata tunzo zakw akunsifia mwambino kama alintoa tuacheni kuna vitu pia marioo kasaidiwa na chino
Je ukihacha kazi utahendelea kuita aliye kua boss yako boss? Na hii inahuwa sana nyumbani Africa na tunabeba kahuli za boss adi nyumbani boss nikama mpo kazini yani mazingira ya kazi ila mkitoka hapo sio boss wako tena
Majani Ameongelea Beef ya Feroos na Chino, sio ya Marioo na Ndio maana Akasema hakuna Beef ya Mdogo na kaka akimaanisha yeye ni mdogo kwa Feruzi, Kuweni na Research SNS saiz ni wakubwa msiwe watu wa kukurupuka tu kama media za uswahilini
SNS nawapenda sana ,hua mnanifurahisha❤
Ukitaka kujua tabia ya mtu subiri apate hela 😮😮😮😮
Wawe na beef la kawaida na sio kutaka kuuana mambo ya sumu haipendezi
Uki taka juwa mutu vizuri subiri apate.
Uyo Chino comment yake ina onesha zarau ndani yake . Mario alikuwa very serious.
Chino ana play dirty game. Aya ni maisha.
Siku zote kwenye maisha inakuwaga hivyo
Unansaidia mtu kiroho Safi mwisho wa siku akifanikiwa mambo yanakuwaga kama hivyo
Huyo chino aache dharau za kishamba😢😢😢
Napendaa ujamaa anavyooo ongeaa
Is possible mario anaona wivu kwa chino chino kampita marioo
Kampita nin mwaya usiamin maisha y mtandaon mwaya hana hela ya marioo hanaa 😅
Hamjamuelewa chino ana maanisha FEROOZ NI KAKA YYE NI MDOGO WAKE sio MARIOO NA YEYE 😮😮😮
LEO VIJANA WA SKY WAMECHOMA KAZI., WAMEZINGUA ALIMAANISHWA PALE NI FEROOZ GRAM
Kweli
Nafikiri hii P funk alikuwa anamzungumzia ferooz , kwasabab hapo nyuma kidogo kuna conflict ilikuwepo kati ya ferooz na chino,kama sikosei chino alimtuhumu ferooz kumgeuka kwa kutumia kipande cha wimbo wa ferooz kwenye wimbo wake wakati alimuomba kabla ya kufanya hivyo na akakubali
Kama sio kiki Album chino anakosa. Hata wangeenda mahakanani mariio hangeshibdwa hanaushahidi nani
Yaani Babu Tatizo Media zetu hizi hata awafanyi kabisa Research Pale P funky aliulizia kuhusu issue ya Feroos na Chino, Sasa hawa wanakurupuka na Kuongea kitu hawakijui kabisa."
Leo Sns leo Mmechemka 😂 dah
Mmefeli bifu linalozungumzwa apo ni la feruz na chino,mmekurupuka vijana
Sns mmezingua wanaongelea kuhusu kumdai Ferooz milioni 100
Mwnangu #GIANT_MAN ujawai niangusha🔥
Hapo walikuaa wanaongea kuhusu ferooz si marioo
Kweli kbs waandishi leo wamezingua😂😂 halafu wapo serious kweli wanajadili kitu hawakijui😂😂😂
Hawa jamaa ndio wanakuza mabifu bana😂 Majani alikuwa anamuongelea Ferooz😂
Huyo boya amechagua upande, mashabiki Gani wamemkataa marioo?? Wakati wengi wanamsema chino??
Upotoshaji huu
*msanii akiwa hajapata chochote maisha mengine huendelea namahusiano pia wanakuwa nayo wakisha jipata huwaacha mademu zao nakutafuta mademu wajanja wamji sasa mtumesota wee leo amepata umesepa mtapewa sana sumu sana msisingiziane*
P ALIMAANISHA KUHUSU FERUZI hakumaanisha issue ya kina Mario Chino kashtakiwa na Ferooz
Mnabadilisha Habari Chino alikua nashida na ferooz sio Habari ya marioo
Majani kamanisha bifu ya Chino na ferooz,kesi yao mahakaman ,mnageuza Mambo ,acheni uchochezi waandish😮😮
Sns mnazingua, P amemanisha bifurcation ya ferooz na Chino lakin nyie mmegeuza kwa Chino na Mario kuweni makin
Wakuda hao
Hawa sio bifu .Hawa wanatengeneza kama mond na Ali .
Marioo ndo anajiweka level moja na chino…kwa kulalamika mtandaoni!! Angekaa kimya tu ila hapa anaonekana anatafuta huruma kwa public
Waacheni watafute attention 😂😂
Kuna ngoma yao inakuja hii ni Kiki tu hakuna beef yeyote
#SNS 🔥🔥🔥
Mnajiuliza maswali mnajijibu wenyewe (wenzio wapo kazini)😅😅😅
😂😂😂eti ela inazidi kukua uko mtandaoni
Chino sio bifu,
Bato la makusudi kulipoteza sekeseke la tuzo kubalansiwa.
Harmonize x daimond tukutane status shwaaaa🤸
😂😂😂😂😂mmefeli leo bifu analo maanisha ni chino na feruzi ni baada ya chino kutumia maneno ya feruzi ktk wimbo wake na wala haikuwa kuhusu marioo 😂😂
Yoooh hata mimi ndo nmeelewa hvo.😂😂😂leo Sns wamepigwa za uso😂😂
Mmefeli nyie bifu linalomaanishwa ni la feruz na chino,mnakurupuka sana vijana
Hata mimi nilisema. Marioo asimlaumu chino chino hana shida
Mfanya kaz ndio nn?? Na alikua akimfanyia kaz gani marioo.
Mnayumba mmekua kama peji yaudaku
Marioo.hanakusje kams chino alitums eatu epe dumu kwani chino aogopi policr kwani hakuna poontam ifanywe sio kila kitu chino zatizo chino kaein then marioo nahisi anaumia
Jaco nakukubar una mawazo tunduizi
Mario alikzwa anamdidis hamo nakumchamba siwahau marioo asijione kafika bado sana wivu
Ukute wanataka kutowa nyimbo wanatuchosha tu
HUYU CHINO ANAHADABU NDIO MANA SULA YAKE KAMA TANGAWIZI MBISHI 😂😂😂
Sioni kana ni lazina siku ile chino kazima angempa asante mario mbona hamo alinyopata tunzo zakw akunsifia mwambino kama alintoa tuacheni kuna vitu pia marioo kasaidiwa na chino
Je ukihacha kazi utahendelea kuita aliye kua boss yako boss? Na hii inahuwa sana nyumbani Africa na tunabeba kahuli za boss adi nyumbani boss nikama mpo kazini yani mazingira ya kazi ila mkitoka hapo sio boss wako tena
Kik
I THINK P FUNK ALIULIZA KUHUSU FERUZ NASIO MARIOO
KUHUSU NYIMBO MPK WAKAENDA MAHAKAMANI
Majani Ameongelea Beef ya Feroos na Chino, sio ya Marioo na Ndio maana Akasema hakuna Beef ya Mdogo na kaka akimaanisha yeye ni mdogo kwa Feruzi, Kuweni na Research SNS saiz ni wakubwa msiwe watu wa kukurupuka tu kama media za uswahilini
✊🏿🔥🔥🔥🔥👏🏿👏🏿👏🏿