KUPIKA SAMAKI MKAVU/Rosti la Samaki/ Dried Fish with Coconut cream

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 40

  • @RukiaLaltia
    @RukiaLaltia 3 роки тому +8

    😋😋😋👌🏻👌🏻mchuzi umenoga hatari love , nipate na ugali mm siamki yaaani balaa .

    • @ikamalle
      @ikamalle  3 роки тому +1

      Yaaaaani 😋😋

  • @salhasalumhamis3331
    @salhasalumhamis3331 2 роки тому +2

    Upate wali wa nazi.....so yummy hongera kwa mapishi mzuri

  • @floramtimba8610
    @floramtimba8610 2 роки тому +4

    Mimi bamia na nyanya chungu ningeweka baada ya nyanya kuiva. Hoho ningeweka mwisho kabisa na kuzima jiko ziive kwa mvukr

  • @michaelhaule9146
    @michaelhaule9146 3 роки тому +1

    I can smell the food from here, it's amazing how she turns it into elegant dish

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen1572 3 роки тому +5

    Awwwww was waiting for this darling thank you so much 😋😋👌👌 hongera dear mchuzi mzuri mno♥️♥️

  • @faizahamim2799
    @faizahamim2799 3 роки тому +3

    Asante Sana dear yani mchuzi unatiya uroho kweli😋😋😋

  • @sajidanassoro3126
    @sajidanassoro3126 Рік тому +1

    Nice,

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen1572 3 роки тому +4

    Hapo nipate ubwabwa tu tena ule shendea ntakula mpaka nisahau Mombasa 😋😋👌👌🤣🤣

    • @RukiaLaltia
      @RukiaLaltia 3 роки тому +3

      Wee kweli ni mtu mombasa mpaka wali😂😂😂ukija kwangu ugali mama😋😋😋👌🏻

    • @najlaskitchen1572
      @najlaskitchen1572 3 роки тому +1

      @@RukiaLaltia 😁😁😁

  • @fettymalipula2206
    @fettymalipula2206 3 роки тому +3

    So yummy mimi napendelea samaki mkavu na wali

  • @barkamohammed4554
    @barkamohammed4554 3 роки тому +2

    MashaAllah mm hapo na ugali au wali yummy😘😘😘

  • @mirajiasia9341
    @mirajiasia9341 3 роки тому +2

    Inavutia mashallah

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 Рік тому

    Dah hatari sanaa dada, vipi number yako ya simu sasa, maana hii kitu ni balaa 😋😋😋

  • @user-gf4dv6jy7l
    @user-gf4dv6jy7l 8 місяців тому

    Inavutia sana ongela

  • @agnesmvulla2801
    @agnesmvulla2801 Рік тому +1

    Napenda kula samaki na wali

  • @simoncabo4850
    @simoncabo4850 3 роки тому +2

    Hyo nazi na inauzwa shingap na iko mikoa yote au ni dare tu

  • @martygwelino9386
    @martygwelino9386 Рік тому

    Wow so amazing

  • @GlowCharls
    @GlowCharls 3 роки тому +2

    😋😋😋😋😋Ika nikaribishe basi 🤪🤪🤪nije Nile.

    • @ikamalle
      @ikamalle  3 роки тому

      Njooooooo Glow 😂

  • @barikikaroli6088
    @barikikaroli6088 3 роки тому +2

    Inavutia kweli napenda soto

  • @tunuamani1442
    @tunuamani1442 3 роки тому +3

    Kwa ubwabwa shoga angu..... Hadi raha

    • @ikamalle
      @ikamalle  3 роки тому +2

      Yaaaaaani 😋

    • @tunuamani1442
      @tunuamani1442 3 роки тому +1

      @@ikamalle Sister nakufatilia sana. Nfundishe kupika maandazi ya ngano nyeusi na nyeupe mazuriii

  • @Gnoxfleva
    @Gnoxfleva Рік тому

    Waoooo hadi nmedondosha mateee

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 2 роки тому

    Imependeza

  • @fatmajamal581
    @fatmajamal581 2 роки тому

    kwa ugali wa muhogo😋😋😋

  • @winniegeorge3855
    @winniegeorge3855 3 роки тому +1

    Waoooooo jaman

  • @judicahillary9910
    @judicahillary9910 3 роки тому +1

    Hatarrr

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 роки тому +2

    😋😋😊😊

  • @linahsuleh5525
    @linahsuleh5525 2 роки тому

    Me leo nimejarib dada ikiwa tayar ntakutumia picha

  • @marthamathias1166
    @marthamathias1166 2 роки тому

    Nc

  • @zainabuhamisi6740
    @zainabuhamisi6740 Рік тому +1

    Anafaa na ugali

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 2 роки тому

    Bamia na samaki mara y kwanza kuona