Hongera sana jamaaangu Nimeitazama mpaka mwisho iko safi sana basi tu huna trending mimi nataka iwe kwa kipindi kabsa hivi hawa hawaioni hii @uswege kaka tuko Mwanza
Its time to appreciate creativity ya huyu jamaa ,kwa long video km hii na compilation ya content ilivoendana na story hii inafaaa kabisa kua program pale wasafi TV
Nilichogundua bro hua unasikiliza nyimbo nyingi sana za kibongo kutengeneza hii kitu kubwa mzee wangu its an amazing support kwenye Bongo flava keep it up big fella
hey uswege murderer ni willy kimz toka kenya n kazi zako huwa nazifuatilia kwa sana,ningependa nikupee challange hivi mbona usifanye moja kuhusu wasani wa kenya chukua boy wetu kama otile brown ako na ngoma nyingi unaweza chambua,msanii kama bahati tayari ana ep yake inafanya vizuri sana,willy pozee ngoma zake kali,kaligraph jones,masauti,trio mio,genge pia za kenya fanya kitu moja safi uchambuzi kama ulioufanyia defination of luv by mboso, air weusi by weusi ama zingine nyingi jitambulishe pia kwenye game ya wakenya,hope utanijibu hii n ulitilie hili pia hehehe kumbuka naeza ringa pia ukinimention willy kimz toka murungaru kinangop kenya.salute
Katika watu wana support mziki uyu jamaa #1 coz anasikiliza ngoma zooote 🙌🙌🙌
Tisha sana kk uwezo mkubwa
Anajitahd
Sana broo
Live 🔥🔥🔥
Anaweza sana
Sana kakaaaaa
Kaka kaka wewe bhana dah, hongera sana sana kaka, jamaa genious sana wewe dah, huu uwezo hapana dah.
Respect sana kaka
Yan we mkaka nnakupenda hatar me nishabiki wako namb moja kifupi ur genius 🙈😍
Hongera sana jamaaangu
Nimeitazama mpaka mwisho iko safi sana basi tu huna trending mimi nataka iwe kwa kipindi kabsa hivi hawa hawaioni hii @uswege kaka tuko Mwanza
Daaaa najikuta nachek pekee yangu geto mwamba unakipaje cha kipekee ngoj tuongee na boss mond na jamal tukusajili cham la wan🤣🤣🤣🤣👍👍
Toka Burundi 🇧🇮 nampenda huu jamaa hadi nafikilia kuja Tz very soon, I hope I will meet him
Karibu tuliho tutawakalibisha
Super grand frère, vraiment tu es le champion 😂🇨🇩🇨🇩
Diamond mzee wa totoz 😂😂🤣🤣🤣🤣haya bana hii hatari sana njoo na uchambuzi wa album nyingine asee 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Braza noma sana
Its time to appreciate creativity ya huyu jamaa ,kwa long video km hii na compilation ya content ilivoendana na story hii inafaaa kabisa kua program pale wasafi TV
📌📌📌
ukweli mtupu kaka
Ukweli
Kabisa aiseee jamaa yuko vizuri
Kweli kabisa
Jamani #diamondplatnumz huyu umpe kipindi kitanoga sana
Cjui mond anafel wap huy n dilli kabsa😂😂😂
Ndindindiii ndiii jaman hodariiiii🔥
He is intelligent, and good teacher + great storyteller.
Awesome🤯🔥🔥
USWEGE UNAFUATILIA NYIMBO ZA BONGO FLAVOUR KULIKO HATA WALIOZIANDIKA, NIMEKUKUBALI SANA
Dah, sjui ata nielezeeje ban👍👍👍👍👍👍
uyu kijana anafanya kazi ngumu kweli hongera kwake
Jamaa apewe heshima anatumia muda mwingi kuskiliza ngoma za bongo
😁😁😁 nakubal kaka upo vzr sana hongera jaman!
Ila uswege unafanana kama nuh mziwanda yan😂😂
Ushaona kumbe
Sahihiiiii
Bro upo vizuri sana😂😂😂😂
Kaka unatish xanaa💣💣💣💣💣💣💥💥
Aiseee we Jamaaa nomaaa
Yaaan weweee boyyyy ni mnyamwez 😂😂😂😂
So crazy I do enjoy watching video za huyu bro so amazing. Tz are🇹🇿 so talented ✊🏾
Unatumia akili ndogo kufanya kaz kubwa na nzuri
Sizani kama ni kazi rahisi kuchanganya hiizo nyimbo zote, inabidi utuliye nakuelewe nyimbo za wasanii wote
Aliye ona anataka kunyooxha mpk boxer 😂🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
😹😹😹😹😹😹 meona piah
😅😅
Mm nakuita CRITICAL THINKER 💪💪
Bro we hatariii🔥🔥🔥🔥
Nakukubal kichizi uswege kz iendelee fundi wa izi Mambo🔥🔥🔥
We ndo comedian sasa maana utumii nguvu nyingi wala kuvaa manguo yakike bali unatumia cleativity
Go Uswege ✊
Keep going bro 💪💪💪 Kali saana🔥🔥
Kamseleleko umeuwa kaka😀😀
Watching from Kenya +254 🇰🇪usweng 🔥🔥🔥 we love your creativity 👊
Umenifurahisha uliposema ni last born "mbosso: I go tell my mama"
Yaani mzee baba uko juu sana kazi yako safi yaani uko juu sana mwamba enderea hivyo mambo matamu hayo
Nilichogundua bro hua unasikiliza nyimbo nyingi sana za kibongo kutengeneza hii kitu kubwa mzee wangu its an amazing support kwenye Bongo flava keep it up big fella
Uwezo binafsi
Yup good
Umetisha mtaaram we jamaaaaaa mond akuchukue tuu
Umeniua ety 😍😍😍😍 we ni noma ety
Unatisha bro we ni noma
Mwalim aliekufundisha akikuangalia saiv nadhan anajichekea tuuh sipat picha
hey uswege murderer ni willy kimz toka kenya n kazi zako huwa nazifuatilia kwa sana,ningependa nikupee challange hivi mbona usifanye moja kuhusu wasani wa kenya chukua boy wetu kama otile brown ako na ngoma nyingi unaweza chambua,msanii kama bahati tayari ana ep yake inafanya vizuri sana,willy pozee ngoma zake kali,kaligraph jones,masauti,trio mio,genge pia za kenya fanya kitu moja safi uchambuzi kama ulioufanyia defination of luv by mboso, air weusi by weusi ama zingine nyingi jitambulishe pia kwenye game ya wakenya,hope utanijibu hii n ulitilie hili pia hehehe kumbuka naeza ringa pia ukinimention willy kimz toka murungaru kinangop kenya.salute
Daaàaah so poa we ni fundi naomba upewe ulinzi🔥🔥
Dar brother hongela moja yawaskilizizaji bora wa bongofleva pia unasapoti kwao starts all Tanzania 🇹🇿 I joy and love you so much ❤😘💖♥
Uko vizuri kaka ni me,😂😂😂😂😂Hadi nikalia
Kweli kipaji anacho....mpeni like zake💪💪💪
Uko vyema Sana Kaka wa mie
Big up broo upo vzr kwa bongo flavor
Kamseleleko🤣🤣🤣 unatisha I enjoy it
Duuuh kaka wew huwa unanicekesha kupita maelezo nakukubali Sana yani Ile kinoma
A five star 🌟 comedian
Kuunganisha story zaidi ya dakika 15 sio mchezo@Uswege kipaji hiki. Keep it up
Nimekuwa wa kwanza jaman naomben hata like 5
Yani bro nakupa 💯💯💯kwa kutumia muda wako kusikiliza .nyimbo za #bongotanzania🇹🇿
Upo vizuri kaka nakukubali
Aweeee🎉🎉🎉🎉
You are genius Tabora boy
Daa hatar saaana
Dah wee ninoma sana
Niko Mozambique, nizipenda kazi zako sana
MashAllah, Kumbe nyie pia kiswahili ni lugha yenu kule😍👏
Nilijua tu lazima uchomwe na huyo Pasi🤣🤣🤣🤣 watching from 🇰🇪 Kenya 😂😂
Oyaaaaaaaa imenibid ni subscribe kabisaaa😂👋🏽
Mwana anatisha
🔥 on 🔥 mzee wangu
Yani nakukubali sana sana tu
Umetish san kak nitakupa dadaang
Hhhh jmn eti machawa kwakupend supu 🤣🤣🤣🤣🤣
Ungepewa kazi wasafi ,daaah
Nakukubali sana bro kaz zuri
Ubunifu wa kiwango cha juu kabisa uyu jamaa ni akili kubwa aisee
Uko vizuri jombaa, so amazing creativity, big up bro
Umetisha adi nimecheka kwa saut🤣🤣🤣🤣🤣 et mboss hayamsumbui
Hiyo pasi pitisha vidonge basi 😂 creativity is high 🔥 on this one 🔥🙌
Hata stiliwanya inatosha
Uyu jamaa anajua sana uswegee da one love br
na nimoto 👍👍👍💗💗💗🌟🌟🔥🔥🔥🔥💥💥💥
Hhh
Nakubali sana uswege kkkk by Steven nzito
mmmj kaka. unajw bwana
Weweee NaKUPENDA bro
Daaaah Bai koko niatari brother 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nmependa hii broo
Ts different from how u used to perform. Different location and muonekano pia. Congrats broo am proud of u❤️❤️
Wewe uswege ni mbunifu sana halafu ni fundi hatari, nakupenda bure
Babu wewe ni hodari😂😂😂
Umetisha cna mzee baba keep going💪💪💪💪
Nakukubali sana🇴🇲broo
Yaan upo juu hongera sana
Wewe ni noma bro.
Kaka wew nikiboko nizaid ya ubunifu
Utaunguza nguo wewe🤣🤣🤣🤣🤣
Wejamaa ni noma saaana unamaujuzi yasio ya kawaida
Du! Atari mzeee upo vyemaa sanaaa
Underated commedian 🙌🙌
Dah kweli
Sio comedian huyu ila ni mbunifu mzuri tu
Unajuaaaa kaka
NOMAAAA 😂😂😂😂🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅
Hatari sanaaa kak 💥💯💯
Creativity ya hali ya juu...Kenya represented
Yani very creative 👏👏
Namkubali sana uswege uko vzr
daaaah we jamaa ni fundiiii
The Energy in creating the content hopefully si ya kitoto Congrats 5star
Haaahaaaaaa umeyatibua yaakina Vanessa hongera zako man jux alivyofanya sio vizur kumwambia x wake vile Sasa akiona lazima ajutie
Full respect Baba🙏🙏 , yani unanifuraishaga sana kila siku bro , Kiukweli uwezo wako ni mkubwa sana
#Overthinking big up brother