Pole sana kaka mboso kwamaisha magumu uliyo pitia hata mimi ni kama wewe kwa ugumu wa maisha uliyo pitia huko nyuma pambana ndugu yangu mungu atatusaidia sote inshaallah
Hii story inanisisimua san jmani hadi naandika huku nikilialia😭😭,,kama unaangalia vidéo hii gonga like twende sambamba na tusikate tama kwani Mungu ni wetu sote😭😭😭.from Burundi
Yaani vile navyompenda mbosso sikuwai jua kayapitia maisha magumu hivi lakini namshukuru meenyezi mungu amekua mwaminifu kwake ,,,,zidi kuturoga kwa muziki wako my all time crush God is faithful
I know i don't understandSwahili but somehow, i understand the message in this video. I must say that Tanzanian artists are humble and helpful. God bless your hustle guys. Keep rising..
ikiwa historia hii ni ya hakika na kweli, you deserve shining colourful and successful life, amini Mungu wa mbinguni kwa haki na kweli, maana ni miujiza aliokutendea maishani mwako, feel loved from kenya. Naupenda huu muziki sanaa.🙏🙏🙏🙏
Nipo kwenye dimbwi kubwa la mawazo nimekuja hp kujiona na mm Ni mtu ipo siku na mm sitolia ipo siku Ila maisha bil wazaz Ni magumu MNOO 💔 eeh Mungu nisaidie 🙏🏼
Yaninina myezi 10 Toka nije chuo, sikuwai kulia, lakini nimelia Leo baada ya kuona video hii. Yani jinsi alivyo Kuaga binkubwa ni kama halivyo niaga mama yangu, nimeofuraswa sana Kwa kutuaminisha kama ata Sisi tunaweza. Asante sana mbosso kazi njema mungu akubariki.
no gain without pain bro...accept it and move on...i know all this is part of life...what you need is to focus ahead and never trust friends...you are doing good job never give up.
That's tha reason you're successful today Mbosso. Natabiri mbali utafika kaka mkubwa. Usisahau uliotambaa nao wakati kama huu ambapo umesucceed Mbosso. Na uwainue wadogo wako wanaokua kimuziki na kimaisha. Na mungu atazidi kubariki kazi yako.
Kila wakati ninapofikiria kukata tama huwa najaa kuitazama video hii mbosso ,,,mungu akubariki watupa changamoto kama vijana kuendelea kupigana mwaka wa 2023 na bado naitazama😊
I started writting my music two years ago, Na bado sijafika studio kurecord coz ya challenges hapa na pale but nina imani siku moja nitafikia ndoto yangu. Kila wakati nikitazama hii video, hunipa nguvu na kuamini mungu zaidi. And I believe one day I will be a superstar✔
Esta historia fez me chorar, e pensei a minha terra Mueda onde sai aos meus 11 anos e ate hoje ainda estou a desafiar a vida. Obrigado Mbosso pela historia.
Hiii story inauma sana na nimejifunza vitu vingi sana nami inshallah one day yes nitatoka sikati taama inshallah 🙏🙏yani leo nimeludia mara mbil mbil 2/4/2020
What a story you depicted bro ....a true legend of never give up 🔥🔥🔥.... though Swahili is abit difficult for but from a look of the video i can get the point 🔥🔥🔥
it was my final resort to loose my hope in this world, !!!! but Mbosso has made me to regain and have new energy to fight for my destiny....so painful but, , , indeed God is there👊👊👊👊
am so sad seeing ma favorite singer like that. i love u so much and that really made me cry. life is hard but am proud of u for not giving up ma bpoy!!!!
But whenever I watch this video machozi hua inatiririka kama maji ... I will never stop watching it kwa kweli . there's God in heaven I love Mbosso songs !!! Blessings
I like not able to hold my tears every time I watch this video then I challenge myself. I'm so much greatfull for what God transformed in this boy's life. Mungu azidi kuibaunua kazi ya mikono yako ndugu mboso. Na kame usisahau mahali ulitpotokea
Oh I love this Documentary,,there is a teaching from this documentary,,,There is a journey of every successful person...behind every successful person there is a story kumbe
Mboso kapitia maisha maguma sanaaa pambana brother. Gonga like kama umepitia maisha kama haya
Pole sana kaka mboso kwamaisha magumu uliyo pitia hata mimi ni kama wewe kwa ugumu wa maisha uliyo pitia huko nyuma pambana ndugu yangu mungu atatusaidia sote inshaallah
Hayo ya mbosso madogo wengine n makubwa sana
😂vizuri kaka kanatu kwakila jia
Pole sana mbosso u kama mimi hapa nami nataka kuwa msaani cjui nitafanya aje nataka kolabo na wewe mtu wangu nitarejesti aje wcb wasafi
A touching story...still watching in 2024...gonga like hapo.
Hii story inauma kweli😭😭😭😭😭 Mungu anakupenda sana bro😍😍😍😍 kama bado Una watch hi story ya mbosso na ni 2020 gonga like hapo🙏🙏🙏🙏🙏
Mbosso,ubarikiwe na ukumbuke wazazi
Mungu ana tupenda wote
@@akonje4575 ok pole Sana brother maisha ndoyalivyotu
😅❤❤❤
Mungu akujaalie kaka
2025.. from zero to hero... inspiring story. .... likes za mbosso tafadhali...#nevergiveup
Kama unawatch ii story 2024 piga like
2024
I'm here
Mbosso has a golden voice. He is going far. All the best dude
All the best
Mboso taught us one thing that is never give up..... wapi likes zangu from Kenya
Nampenda sana mboso mufumilifu kabisa barikiwa sana
Yes
Mbosso my guy
Mboss
Mimidennis mamta akibore sana
Katika kitu nilichogundua mondi anadeal na wanyonge...
Anawasaidia wanyonge kama alivyokua yeye....
Big up sana mondi
Prince Deus umeonaee
Prince Deus true
Mungu nimwema
Vzur sana ma lver bro mboxo
Ndogo kaza buti unaweza mziki
Hii story inanisisimua san jmani hadi naandika huku nikilialia😭😭,,kama unaangalia vidéo hii gonga like twende sambamba na tusikate tama kwani Mungu ni wetu sote😭😭😭.from Burundi
Kama una watch hii historia 2023 gonga like hapa
Daaah jamani sisi maskini tunatesekaga kwa muda mlefuu saana lkn siku moja tu mungu akikubaliki anakubaliki kweliiiii
Kweli kabisa kaka
Waaah
Yaani vile navyompenda mbosso sikuwai jua kayapitia maisha magumu hivi lakini namshukuru meenyezi mungu amekua mwaminifu kwake ,,,,zidi kuturoga kwa muziki wako my all time crush God is faithful
I know i don't understandSwahili but somehow, i understand the message in this video. I must say that Tanzanian artists are humble and helpful. God bless your hustle guys. Keep rising..
Fc
You are right
May I give you the meaning of that text
Sinkarie Habibi nc my
Sinkarie Habibi 0685413241 whtxxp
History inaumiza sana kama unasikiliza 2023 gonga like hapa
2023...
😂❤
,,,,,
2023
Hii story inafanya mtu alie thou Our good God is faithful . he is proud he made it.
There's always a True God Bosso !!!!
I am somali boy mboso really is so like your songs keep going bro.
Every person has good story or bad but your history is something else...
ikiwa historia hii ni ya hakika na kweli, you deserve shining colourful and successful life, amini Mungu wa mbinguni kwa haki na kweli, maana ni miujiza aliokutendea maishani mwako, feel loved from kenya. Naupenda huu muziki sanaa.🙏🙏🙏🙏
Kwa hakika maisha ni mapito tunapita
Duuh pol nk uliopitia wew n sw n mim kikutaliwa n baba ang
Tought us that no matter where u come from...u can be anybody in this word...look at u now..one of the biggest artist in east Africa....🤗🤗
Nipo kwenye dimbwi kubwa la mawazo nimekuja hp kujiona na mm Ni mtu ipo siku na mm sitolia ipo siku
Ila maisha bil wazaz Ni magumu MNOO 💔 eeh Mungu nisaidie 🙏🏼
Yaninina myezi 10 Toka nije chuo, sikuwai kulia, lakini nimelia Leo baada ya kuona video hii. Yani jinsi alivyo Kuaga binkubwa ni kama halivyo niaga mama yangu, nimeofuraswa sana Kwa kutuaminisha kama ata Sisi tunaweza. Asante sana mbosso kazi njema mungu akubariki.
no gain without pain bro...accept it and move on...i know all this is part of life...what you need is to focus ahead and never trust friends...you are doing good job never give up.
I'm in tears 😢😭 who is still watching this in 2021 much love mbosso every successful man have a sad story
Amida
Wow
Usikate tama ungariki uhai
Me tooo😭😭
😭😭
Mbosso motivates me alot, I believe someday nitamake it pia😢😢
Don Abdul🎉🎉🎉 supported kijana wako today mbeya 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Umeniliza sana Mbosso. Mungu azidi kukubariki. Nakupenda sana na Mziki wako Nakupenda. Fan from Ug
One thing about wasafi has changed many lives and I salute like if you love wcb
I have soo much respect for this guy😍 almost got me teared up😢
Mbosso...hakika kaka ushatoka mbali bana....Kibiti uko ndani kuruka
Mambo vp
Hongera
Painful
Kila nnapo rudia kuangalia hii video natoa machozi nankujipa moyo nanimani nitafika asante mungu @mbosso mwnyz mungu akubariki zaidi 🙏
story imenigusa Sana toa filamu brother
Kwa kweli tuombeane mema siku zote,,,,,usifurahie kuanguka Kwa mwenzio maana hatujui wangapi wamtegemea,,,,Baraka🙏
Hadith ya kuguza kweli ,wazazi ni wazazi kweli ata ukaende wapi mwishowe utarudi nyumbani , penda sana wazazi keep it up bro like zake mbosso plz
Oh Mbosso you're good person. I'm crying 😢 For your story. Love you my dear tena sana
Hey
Nice
Huyu mshairi wangu, gwiji,malenga...ushairi zaidi ya yote the golden voice. I'll always listen to your songs ❤❤
Kukata tamaa sio Dili kitu ambacho nimejifunza big up mboso mungu akujaalie ufike mbali
That's tha reason you're successful today Mbosso. Natabiri mbali utafika kaka mkubwa. Usisahau uliotambaa nao wakati kama huu ambapo umesucceed Mbosso. Na uwainue wadogo wako wanaokua kimuziki na kimaisha. Na mungu atazidi kubariki kazi yako.
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💓💓💓💓💓💓💓Mungu akuzidishie Mara dufu kaka. Nakupenda zaidi
Kila wakati ninapofikiria kukata tama huwa najaa kuitazama video hii mbosso ,,,mungu akubariki watupa changamoto kama vijana kuendelea kupigana mwaka wa 2023 na bado naitazama😊
Nakupenda mbosso, wcb nzima roho yangu yakupenda saaana
Lov u too man
ua-cam.com/channels/LjYGd0X1uTWnzvMbLSP2Og.html
Namkubali mboso nae wngineo
*YOU INSPIRED ME* Nakupenda mbosso
+254
So pow.....umkzaa mzee baba.....kila LA kheriii
The first time I think this is lying but follow and watching for ask question from other people I believe it and I like song from mbossso
This young man is a real inspiration to all youth from a humble background .....hoping to meet him one day ...Dickson From Kenya Jimbo la Meru
I started writting my music two years ago, Na bado sijafika studio kurecord coz ya challenges hapa na pale but nina imani siku moja nitafikia ndoto yangu. Kila wakati nikitazama hii video, hunipa nguvu na kuamini mungu zaidi. And I believe one day I will be a superstar✔
Keep going mbosso,God is in control. Napenda unavo jituma si kawaida na si rahisi,napenda ngoma zako sana
penye nia pana njia hongera sana mboso 👍👍👍👍
Esta historia fez me chorar, e pensei a minha terra Mueda onde sai aos meus 11 anos e ate hoje ainda estou a desafiar a vida. Obrigado Mbosso pela historia.
mais forca kaka. Aqui irmãozinho de muidumbe🙏
Mais forca irmao, aluta continua.
A vida nos ensina através do consequências aprendemos nela...
Hang in there 💪💪 itajipa
Duu historia yako imenisisimua sana naimenfunza kitu nnakutakia mafanikio mema mboso
BERNARD MATHIAS Zr Sana mwanangu mboss
Duh mboso nomasan
we limbu
Inshaallah
Penda sna songs za mbosso gonga like
Hiii story inauma sana na nimejifunza vitu vingi sana nami inshallah one day yes nitatoka sikati taama inshallah 🙏🙏yani leo nimeludia mara mbil mbil 2/4/2020
I will never stop watching this. It makes me cry every time I watch it😭😭😭. Much love Mbosso from +254
Daaaa maisha yanachangamoto nyingi sana kikubwa tupambane tu naimani tutapita😢😢🎉
Ungekua ndugu yangu,ningekupa bible,mahisha bila mola si kitu,mbosso tambua kenya twakupenda sana,na utazidi kubarikiwa kwa ukarimu wako
Kids
Museums kweli MTU
Kusema kweli maisha Nimangumu mno pongezi cx
Kwl hakuna safari rahs katika maisha...kila shm kuna ugumu au changamoto..ukishaona staa kawini unafikiri ni rahs kivile...dah...inauma sana kwl
Big up van boy, imenitoa choz, kama umewakubal like
Pendo Munishi he's not van boy,
@@johnanyera2634 nihatariaana
munguamemsaidia
True story mbosso... inspiring 🔥🔥🔥💪
Hiiii istoria inanitoa machozi na feel kama ni mimi, inanikumbusha mbali kimaisha nilipoingia njini... mbosso u are the best 👌 👍 😍
Nakukubali boss..
Mbosso anatufundisha kuwa we should not trust anyone and never give up.Big up sana bro👊👊👊
Kama bado una angalia hii 2020 ngonga like twendee swaa
Kaka... Umesisimua isia za wait wengi.. Uko tofauti na wote unajua brooo heshima wcb.... 👌
I have found myself crying 😭😭😭 I have been touched by this lots of love my best artist ❤️❤️❤️❤️ nakupenda mbosso
What a story you depicted bro ....a true legend of never give up 🔥🔥🔥.... though Swahili is abit difficult for but from a look of the video i can get the point 🔥🔥🔥
I cry whenever i watch this video and i feel so motivated to face the challenges no matter what i never give up ...watching from Kenya
I'm from Somalia 🇸🇴 keep going mbosso 😍😍
Dahh mbosso never give up boe
Respect for this guy 💯💯🙌🙌
Dah! hii story huwa siichoki kabisa kuingalia na sometimes huwa machozi yananitoka yaan, all the best my brother @mbwana Yusuf kilungi
Naitwa kibe Boy,imeniuma sana maana ninayopitia kwenye Kazi yangu ya mziki mda mwingine nahisi kukata tamaa
mbosso umekuja kwa hasira unataka kuwakalisha vijana,ww ni kimbunga,iko PW sana.
kumbe .bosoo wanyumban bro rufiji tuamkee na ravrava woteee
Masen Kaitaba
it was my final resort to loose my hope in this world, !!!! but Mbosso has made me to regain and have new energy to fight for my destiny....so painful but, , , indeed God is there👊👊👊👊
Mungu hamtupi mja wake kwakweli pole mwaya wanaosema freemason wenyewe unastahili mchumia juan hulia kivulin
Muna sema kweli sans🙌🙌
Nimependa sana mwanangu Mboso ujasusi wako kama mtoto wa kiume.
Pole sana mboso na huyovdem Ako wap sahii bdo mwapendana ama ilitoka
Daah nilikuwa sijawahi kuiyona hii stori yamboso daah nimeumia Sana kumbe umepitia magumu hivi😭😭🙏
am so sad seeing ma favorite singer like that. i love u so much and that really made me cry. life is hard but am proud of u for not giving up ma bpoy!!!!
Ebwana vibe sana so mbosso big up nilchojifunza never give up
Ooooooh shida zitaisha lini? Ni nyimbo inayogusa maisha ya wengi na hata mm inanigusa sna. Asante mama yangu kwakunipa moyo wakati nimekata tamaa
Mungu ni mwema sana kwetu mwanangu.umefanikiwa.Mungu asikuache .asikupungukie awe nawe maisha yako yote mwanangu 🙏 🤲 aamiin
But whenever I watch this video machozi hua inatiririka kama maji ...
I will never stop watching it kwa kweli . there's God in heaven I love Mbosso songs !!!
Blessings
Ijapo niko ulaya sai lkn pia nimepitia hayo maisha big up bro
Hata mm ijapo kuwa n mwanamke lkin nimepitia magumu
Pole sana mbosso....shkuru that...lyf goes on....may Allah bless u bruh
I like not able to hold my tears every time I watch this video then I challenge myself. I'm so much greatfull for what God transformed in this boy's life. Mungu azidi kuibaunua kazi ya mikono yako ndugu mboso. Na kame usisahau mahali ulitpotokea
Your a brave one GOD planned good for you
Mimi ni nani nisiandike hata neno moja
Touched
True boy
Kama mboso kakugusa gonga like ya nguvu apa
This made me cry😭😭😭😭yagusa mno
Bigapu
Junior Leonard ,nimekukubali umetokambali
Mungu akujalie safari ni ndefu
Watu hutoka mbali sana congratulations 🎈🎊 bro
Touching. Kuna mengi sana ya kujifunza kupitia hii story.
Oh I love this Documentary,,there is a teaching from this documentary,,,There is a journey of every successful person...behind every successful person there is a story kumbe
Upo vizuli sanakijana mwenzangu
Waliorudi Tena kuangalia hii baada ya kuona kawajengea wazazi wake Nyumban nzur
Daaaah kk umepitia kipindi kigumu xana
Daaah! Sins meng ya kusema lakin kiukwel hii story is so excited
Who z still watching life history of mbosso in 2020
Nam eshumu diamond ana roho nzuru amefanya mbosso kuwa mutu atamimi ni msani lakini naamini japo siku Nita onana na diamond big up mwana ume
yuzo platnum I’m here but that mom and dad are they his real parents
Ally dee
Me this stry motivate me dairly
me still watching
I see you every time fro kalmar in Sweden 💪💪🇸🇪
Mara nikiangalia hiyo kisa macho yatogwa machozi na ikanigusa moyo na ikanipa inspiration ❤😢😢
Wewe ni shoga kubabakee mtoto wa kiume unalia kwenye movie hii..
@KifanyiJulie matusi ndo umbo lako may you rest in toilet
I really love Mbosso's music. Mob love from Uganda
Uwa naitazama mara kwa mara because i love it na song shida duh! i see my life japo sijafikia ndoto zangu
hatari xanaaaaa
Ill
Huyo mjombaa noma saana
Nuru Manyota mzm
Nuru Manyota 0685413241
Napenda nyimbo zako kaka like kama unamkupali from kenya
Odrysh from Congo
Daaah maisha haya jaman like Kama unamkubali
🤗🤗..i lyk that mbosso...you are a living legend...ur life us tought us that
Daaah polee kwauliyo yapitia siku zote lazima kuwa na historia hongera piah kwa ushindi
When Jesus say Yes 'No'body can say no...ni chungu but I wish you all the best ndugu yangu...+254
I have dropped some tears and I observe Not to give up!!! Nothing impossible .....God is Almighty
May God bless your all songs 🙏🙏🙏🙏🙏
I like it 👍 sana 💕💕💖 kazi safi most encouraging
YOU ARE A GREAT MAN MBOSSO . IWISH TO DO A COLLABO WITH YOU MBOSSO. LOVE YOU