U r too cute n smart my dear,the issue is jitoe kwenye mabawa ya Simba,uone zaidi ya hayo,hapo uko controld sana hutakuwa na exposure,we ata international u hav market outside AFRICA🎉 🎉🎉🎉🎉
Zuchu msichana mzuri sana lakini amekwama kwa homeboy Mondi.Songa mbele ndugu yangu.Hata ndoa yako na Mondi haitakuwa ya amani.Fanya mziki wako tu uwe na maisha yako😊
Waaah daa zuu na diamond nkama harusi niyenu aki mumetisha sana mumefanya harusi imenoga ❤❤❤❤
My fav couple nawapenda ZUCHU NA MOND❤❤
Diamond Platnumz and Zuchu.... Hollywood Couple👏👏👏👍
Vraiment Hollywood Couple ❤🎉❤
Zuchu ni full package ❤❤❤
Wambea icho Kinawa-Umiza. Wishing You all the Best. Maasha'Allah👍💯❤️
Leila rashid mashaallah amenona na mzee yusuf
Zuchu you so beautiful l ❤️ You!!!
Yani wewe zuchu na mond hatari ❤❤❤❤
Zuchu wachanganye adi wajue kumind ya kwao 😂😂❤❤❤❤
Brigade Momo Daimond plantumz
Machallah machallah 👌👌👌 super famille 💐❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️⭐⭐⭐⭐👏👌👌👌💃💃💃🎸🎸
Zuchu na Diamond mmependeza mnasubiri nn kufunga ndoa
" kuna mbwa nimempa moyo wangu ila anaukwangua tu..."
🤣🤣
We Zuchu noma
Pole Sanaaa Ndugu
U r too cute n smart my dear,the issue is jitoe kwenye mabawa ya Simba,uone zaidi ya hayo,hapo uko controld sana hutakuwa na exposure,we ata international u hav market outside AFRICA🎉 🎉🎉🎉🎉
Mashaallah zuchu u locked it
Wambea icho Kinawaumiza👍🥰
Zuch Anajua Anajua Na Anajua Ten Namkubal San Zuch
Nawapenda Hawa watu jamani❤️
Zuchu Taarabu unaiweza 💐💐💐❤❤❤
Zuchu msichana mzuri sana lakini amekwama kwa homeboy Mondi.Songa mbele ndugu yangu.Hata ndoa yako na Mondi haitakuwa ya amani.Fanya mziki wako tu uwe na maisha yako😊
😅😅😅😅😅
She's beautiful She should move on period
Huwez jua anapewa nin na home boy🤪🤣
Acha apigwe matukio mwenyewe atasepa ila saa hivi haezi skiza mawaidha yoyote coz she's in love and love is blind
😂😂😂
Waombea sasa tutaficha API vichwa zetu🥰🥰🥰
Mtoto wa Nyoka ni Nyoka tyu
Hawezi Kua Mjusi
Najua Menielewa
😂😂😂
Aaaaaaa my b zuu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤so much
Monday huyu zuchu saizi yako hebu waambie ho jamaa zako freemason kwamba huyu na nimefika hapa wasikukayisje jamani mnapendezena sanaaa
Zuchu na mondi nawapenda mnoooo ❤❤❤
Superb ❤
Yani zuchu nq mond fanyeni ficra sasa mana hamushi bituko❤❤❤❤
Zuuu Wangu kukupenda ndo kitu najuaga,
zuu unaweza
Aibu naona mm😅😅
Wonderful 💕 💕 💕 💕 ❤❤❤🎉
Zuchu amevaa vizuri kushinda biarusi😂
Mmependeza
Imeweza👏👏👏👏👏👏
Mi napenda Tu sauti yk
Good Nice zuchu 💯🥰
Zuchi umeweza ila sauti ya jini mno
Diyamode nimupenda mademu sana weye Zanni nimubaya sana
Nakup
wow i mean wow
Plz name of this song
Yan his nd zinakufaa mdada🤣🤣🤣
ya mze.yusf
Diamond hujuwe mapenzi mikubatiyemo'di zuchu❤😂
❤❤❤❤❤❤❤❤
Yaan zuchu angeimba taarab tu anapendeza Sana akiimba..... Mm naomba kuuliza Kwan huyu anaeoa alkua mtangazj wa taarab maana wamejaa waimba taarab
Zuchu umekosa zaki kumpenda dainamond
😂😂shepu y zuchu na mwili wake viko tofaut
Unamaanisha nn
Diamond muoe zuchu tafadhal
❤❤❤❤❤❤❤
Yatima wa mapenzi tunapumzika wapi
😂😂😂😂
Jamani muowane tu
Ila Mond bhn😂😂😂
Nawapend
Kwani hamna microphone wireless
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mapenzi fullcharge
Daaah MashAllah
😊
Mtoto laini lain 😂
Mtoto wanyoka ni nyokaa tuuu😂😂
Umeonaeeee
😂😂😂
Speakers zenu nibovu hatusikii
Hivi kwa nn hawaowanagi
Mwambieni fantana diamond karudi kwa kibebi wake
Les jaloux vont maigrir hhhhh
Vraiment ils vont se jeter dans le lac
Mtoto wa nyoka Ni nyoka hakuna nyoka kuzaa kuku
😂😂😂😂
😂😂
❤❤❤❤❤🎉🎉
Sound mbovu.
Jaman kupendana raha sana nimejiona natabasam tu hapa hebu na wewe kama upo hivo gonga comment yako tujane kupenda hasa tamu tamu
Mbn hapo zuchu anataka kalitoa wapi
Nmempa
Ukitumwa tako utapeleka ilo?
Acha wivu katako ako kakwake tu
Mbona analo jamani sema Huwa hamumzingatii
Huwa analo ila zile nguo yeye huvaa ningumu kujua but ako hivo
@@rabsontryphon9254Na bado mutaumia moyo sana
Hiyo shape zuchu kaitoa wapi
Ww ambae unatako anatoka na nan?
Zuchu mwachen na tako lake la ulaya
Kuna vitu vya kubust apo😅😅
Kwa mapenz ni nini ?
wameenda kuchafua shuhuli ya wa2 tuu yani
😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Zuchu unajua dada nakupa sifa
Nimekubari mumy mapenz ayachgui
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hii nyimbo inaitwaje
L0
Achen wivu
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤