Msigwa kwakweli wewe ni hazina kwa taifa na ni mmoja wa wabunge adimu Sana hapa Tanzania wenye kipaji Kama cha kwako mungu akulinde usije kupitishiwa bakuli LA hela na ma ccm tukakosa mbunge mwenye kujiamini na kuusema ukweli ulivyo
Sijawahipo kumuona Jenister Mhagama akichangia kitu kwa faida ya watanzania ispokuwa yy kila cku ni waziri wa kutoa taarifa na miongozo sijui kazi yke niipi humo bungeni hata aende nyumbani ampikie mumewe tu kama yuko nae maana bungeni hana kazi ingine zaidi ya kuitetea ccm yke
msigwa umewabomoa kweli, mi nimekuelewa ulivyompiga #jenistamhagama analeta siasa maji taka hapa,cc tushawachoka Pesa hakuna mambo magumu kazi hakuna kila kitu hovyo hovyo2.
ndio maana nawapenda wapinzani hawanaga kupaka mafuta,,msigwa ww ni sawa na wabunge 50,,,wa ccm ambao kazii yao kubwa ni kupiga makofii tuu hatakama Nchii inaingia kwenye matatizo??
kama inawezekana viongozi wa bunge embu jaribuni kukataa taarifa toka kwa wabunge wa chama tawala unapo mtuu mchangiaji kwenye mstali akiwa anachangia hoja yenye mashiko ni bora ukawasubilisha kidogo wasikutoe kwenye umakini wakusikiliza hoja zenye mashiko.tena Madam jenister hatutendei haki sijui anatatizo gani amekuwa ni kikwazo kikubwa ktk kutibua hoja wakati wabunge wanachangia.
Dah msigwa wewe ni noma sema baba hakuna uchumi hapa tunapelekeshana Tu watu wanalia njaa halafu eti wanasema uchumi unakua labda kwenye mifuko yao ccm ni adui namba moja kwa maisha tulonayo sasa
Hili la uchumi ambalo mh. Msigwa alizungumza karibu mwaka mmoja uliopita leo hii IMF imetoe report kuwa uchumi unakuwa kwa asilimia 4.5, maana yake hali ya uchumi ni ngum sana. Aidha mbunge mmoja wa upinzani sawa na wabunge 100 wa ccm.
Hon.peter msigwa why are you still delaying Tanzanian ?? Please Think twice about contesting on Presidential position in United Republic of Tanzania please! I believe on you and will lead us better! If possible take it soon on 2020 🚶🚶🚶
Inasikitisha sana kuona Wabunge wa sisiem wanawasaliti wananchi kwa kiasi kikubwa kiasi hicho. Wananchi walio wengi wanafahamu kwamba KATIBA ndiyo suluhisho la kuweka sawa mambo ya nchi yetu,lakini walizima rasimu ya katiba ya Mhe.Jaji Warioba kwa makusudi kabisa huku wakijua wazi kwamba katiba tuliyonayo haiko vizuri kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu. Wabunge wa sisiem kwa makusudi wameamua hawawezi kuisimamia Serikali!!! wamejifanya wao ni mawaziri kujibu hoja za Serikali .Hapo ndipo tulipofika hii ni hatari kabisa.
Mh Jenist kilichokupeleke bungeni hatujakielewa kwani alichokiongea msigwa ndiyo uzalendo, nakushangaa sn kila anaposimama mzalendo ww ni wa kwanza kutaka mongozo pls badilika (mimi binafsi hoja za msigwa nazikubali sana japo yy km yy simkubali kwkua aliposimama hapalingani na itikadi yake bora akafanye kaxi yake ya kiroho.
umeonge vizuri sana daka yakwanza hadi 5 kutoka hapo umeanza kukoroga mzee huwezi kutuaminisha ujinga juu yawez wataifa letu wananchi wame elimika , toa siasa kwenye kujenga nchi , subili wakati wakampen
Msigwa kwakweli wewe ni hazina kwa taifa na ni mmoja wa wabunge adimu Sana hapa Tanzania wenye kipaji Kama cha kwako mungu akulinde usije kupitishiwa bakuli LA hela na ma ccm tukakosa mbunge mwenye kujiamini na kuusema ukweli ulivyo
Hongera kwako
msigwa oyeee mungu akubarki 💪💪💪💪💪💪💪💪💪✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌
School of thought.
Una kila sifa ya kuwa hapo ulipo.🙏🙏🙏
jamani embu tuweke ushabiki wa vyama pembeni huyu mtu anaongea ukweli mtupuu mambo mengine haya hitaji ushabiki.asante sana msigwa
Jamaaa anaongea point
Kwa kweli Mh.Msigwa uko juuu sanaaa
Sijawahi kuccoment ila kwa hili mzeee Nimekupenda Bure Baba Your fire ,unjua nini unanena
Daaaaa, nakuelewa sn MCH P msigwa , Much love
uongozi ni dhamana, hata Msigwa ana mapungufu yake, fikiri kabla ya kutuma maoni yako.
2020! KURA YANGU NIMESHA KUWEKEA MAPEMAAA!!!! HONGERA SANA! WEWE HUSTAHILI KUWA MBUNGE! UNA STAHILI KUWA RAIS!!!!!!!!!!!!!!!!
Hn.Peter msigwa is among of gifted person.
Sijawahipo kumuona Jenister Mhagama akichangia kitu kwa faida ya watanzania ispokuwa yy kila cku ni waziri wa kutoa taarifa na miongozo sijui kazi yke niipi humo bungeni hata aende nyumbani ampikie mumewe tu kama yuko nae maana bungeni hana kazi ingine zaidi ya kuitetea ccm yke
Kweli Kaka
Safi sana kamanda
Msigwa ni aina ya wabunge wenye akili kubwa.
Hahahahahahahaaha safi sana
mungu akutunze mh kazi mzuri msigwa
Uklaza wako mbulula ww
Ukilaza wko kwalipi hs lamaanaanaloliongea mbunge Hugo?
Tunakuwaa wanafkii tunamkosa mtu WA mungu uyu msema kweli kabisa daa jamaaa kichwa
Uyu ni malema wa tanzania God bless
heshima kwako msigwa
nice msigwa tell him black &white
safii sanaa Mkuu nchi inahitaji watu wenye msimamo kama wako Mungu akupiganie
Msigwa upo sawa nimekuelewa
Nakupenda sana mbunge Wangu wa iringa mjini, sijutagi unapohitaji kuongea ukweli, hawa wanaotoa taarifa sijajua, kupongezana siyo hoja, kikubwa inatakiwa kusikiliza hoja zake nzuri anazozitaka
msigwa nakuelewa sana mpango yeye ana kwenda nawakati anacho jali nikulinda nafasi yake namasilai yake posho hata useme vp
KIMENYA KIMARIO safi
Hivi vichwa ni hatari tupu, hongera sana mheshimiwa msigwa
Dhaifu
Mchu. Point wambie live
Msigwaaaaaaaaa hahahaaaa jamn Mungu awabariki sana wapinzani wote
Wewe ni Master wa spich
Mh.msigwa nimekuelewa sana
msigwa we mbabe WA speech
WAHISIA TV kweli
Mimi nakupa big up,utii ukuzidi ni unafiki mwisho huleta mauti wape vindonge vyao mungu akuongoze
Hii ndo aina ya wabunge wanaotakiwa Tz hii!!mchakamchaka was Msigwa lazima ccm wakae tyuuu!
Jacob Makono Uncle nimekubali, hawa wakipotezwa raia wataumia sana kwa miswada wanayoipitisha ccm
Hata rais mzee magu amefanya vitu vingi lakini yaliyo mengi anayapata kupitia hivi vichwa. Tuko pamoja mbunge wetu piga kazi.
Kamanda.nakuunga mkono
haya n majinius wa Tz big up mhe. msigwa
This is the truth mr.msigwa congraturation men
Safi sana jembe
Mmmmmmmmmh mchungaji wa ng'ombe
Duuh
Ongera mchunhaji kwa kuwapigania watanzania na sio wana iringa safii baba mchungaji
msigwa umewabomoa kweli, mi nimekuelewa ulivyompiga #jenistamhagama analeta siasa maji taka hapa,cc tushawachoka Pesa hakuna mambo magumu kazi hakuna kila kitu hovyo hovyo2.
zahabu joseph ok
Kbomowa kwako hebu jitazame nyuma
Kazi gani unataka njoo nikupe kazi ninaya ya kulima nyanya jinga tu kulalamika
Sasaivi wawekezaji wenyewe wanatekwa kwa mazingaombwe wanaludishwa kwamazingaombwe
Saluti mch Msigwa
Kwa sasa mbunge limeanza kukaa sawa.
Kuna baadhi ya wtz hata ikija sheria ya kuchinjwa watu wataipitisha kwa shangwe
Masrer Gaudens yani hao wabunge ni kama popo wanasema anamnyea Mungu kumbe anajinyea
Turudi nyuma mnyonge mnyongeni hakiyake mpe msigwa nijembe! Mpango akijibu iloswali kwaudasaha naamia Zimbabwe
This is fact
ndio maana nawapenda wapinzani hawanaga kupaka mafuta,,msigwa ww ni sawa na wabunge 50,,,wa ccm ambao kazii yao kubwa ni kupiga makofii tuu hatakama Nchii inaingia kwenye matatizo??
mbunge anaongeahaditunatamanimdausiishe tarifa hovyooooooo mama kaa uelekezwe
ivi wabunge wa CCM kwann wao hawana hoja bungeni .
Jose Magasha unataka wafutwe uanachana
Hao wamepigwa pini za mdomo
Huyu mhagama huyu!
Jose Magasha Mabunge ya ccm huwa yanang'ata na kupuliza mahoga mnoo
Msigwa nimekukubali xna kamanda hakuna kusifia mtu hapa lazima wajue kuwa maendeleo ni kwa wananchi kwanza then ndo mengine yafate!
heshima kwako
kama inawezekana viongozi wa bunge embu jaribuni kukataa taarifa toka kwa wabunge wa chama tawala unapo mtuu mchangiaji kwenye mstali akiwa anachangia hoja yenye mashiko ni bora ukawasubilisha kidogo wasikutoe kwenye umakini wakusikiliza hoja zenye mashiko.tena Madam jenister hatutendei haki sijui anatatizo gani amekuwa ni kikwazo kikubwa ktk kutibua hoja wakati wabunge wanachangia.
Dah msigwa wewe ni noma sema baba hakuna uchumi hapa tunapelekeshana Tu watu wanalia njaa halafu eti wanasema uchumi unakua labda kwenye mifuko yao ccm ni adui namba moja kwa maisha tulonayo sasa
Duh msigwa unaogea kwa machungu sana
asante
Msigwa hupo sawa point
Msigwa kweli ww wananchi walipatia sana kukuchagua
Wengi wao sio wazalendo wanajali familia zao tu ssi wapiga kura mkafie mbali.
Daah. Bunge linatakiwa liwe na wabunge watano tu wa aina hii inatosha. Hata spika asiwepo watajiongoza wenyewe
Katika Mawaziri wenye uwezo mdogo wa kujibu hoja ni Stella Manyanya ni tofauti sana alipokuwa Kenywe kamati ya Bunge kuchunguza sakata la Richmond
Hongera sana upo kitaifa zaidi
Wabunge ni dhaifu sanaaa haswaaa wa ccm
The God is within your heart that's why you talk the truth..
Nampendaga huyu jamaa we acha tu
Mchungaji kweli roho wa Mungu anakuongoza. Waambie wabunge wa CCM waache unafiki na itikadi za vyama, walitetee taifa #WAFANYE KAZI ZA KIBUNGE.
nomaaa
Leo hii Kikwete ni mzuri mlisema Kikwete ni mpole
Issue ya investment kwa foreigners ukwel kikwete alijitahid ila ufisadi tu kwa watumishi ulikithiri sana
We mama kwa taarifa hujambo ubarikiwe na taarifa zako
Hali mbaya sana mtaani pesa hakuna ongela msingwa .
Safi sana Msigwa mmi nakupongeza
Wastaafu kilio, tupu
Hili la uchumi ambalo mh. Msigwa alizungumza karibu mwaka mmoja uliopita leo hii IMF imetoe report kuwa uchumi unakuwa kwa asilimia 4.5, maana yake hali ya uchumi ni ngum sana.
Aidha mbunge mmoja wa upinzani sawa na wabunge 100 wa ccm.
Safi sana msigwa
Nimekuelewa sana mchungaji msigwa ni kweli kabisa matumizi ya fedha nyingi lazima zijadiliwe bungeni
Naogopa kukoment...ILA Huo ni ukweli mtupu
We mama zako taalfa tu!
Nimekwelewa Msigwa
Respect
Hon.peter msigwa why are you still delaying Tanzanian ?? Please Think twice about contesting on Presidential position in United Republic of Tanzania please! I believe on you and will lead us better! If possible take it soon on 2020 🚶🚶🚶
Safi sana pastor
Inasikitisha sana kuona Wabunge wa sisiem wanawasaliti wananchi kwa kiasi kikubwa kiasi hicho.
Wananchi walio wengi wanafahamu kwamba KATIBA ndiyo suluhisho la kuweka sawa mambo ya nchi yetu,lakini walizima rasimu ya katiba ya Mhe.Jaji Warioba kwa makusudi kabisa huku wakijua wazi kwamba katiba tuliyonayo haiko vizuri kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu.
Wabunge wa sisiem kwa makusudi wameamua hawawezi kuisimamia Serikali!!! wamejifanya wao ni mawaziri kujibu hoja za Serikali .Hapo ndipo tulipofika hii ni hatari kabisa.
Wabunge wa ccm kwa tarifa mnaongoza
Duh asante baba pasua🤣🤟
tungepata wabunge Kama hawa kumi tu tungekuwa mbali sana
Safi xna mkuu umeongea point nzuri xna
Chapeni kazi chadema tunakuja vijana 2020 kuiindoa selikali y'all mapinduzi
Huyu dada Ni ziro sana
Mh Jenist kilichokupeleke bungeni hatujakielewa kwani alichokiongea msigwa ndiyo uzalendo, nakushangaa sn kila anaposimama mzalendo ww ni wa kwanza kutaka mongozo pls badilika (mimi binafsi hoja za msigwa nazikubali sana japo yy km yy simkubali kwkua aliposimama hapalingani na itikadi yake bora akafanye kaxi yake ya kiroho.
Good job msigwa..
Well grasped Sir
Safi brother
Gud gud kiongozi bora kwa kutetea watanzania
umeonge vizuri sana daka yakwanza hadi 5 kutoka hapo umeanza kukoroga mzee huwezi kutuaminisha ujinga juu yawez wataifa letu wananchi wame elimika , toa siasa kwenye kujenga nchi , subili wakati wakampen
uko vizuri Sana hakili ya juu unaitumia
Duuu eee kweli!
Kweli jagwa wa Kenya alisema wanasiasa vigeugeu nimeamini! Huyu mpango kigeugeu
Awezi kukwambia maana atakapo sema ukweli kesho hana kazi
Ukiwa na wabunge kama kina msingw hata bunge linachangamka make akiximama bungen anatoa hoja xio vihoja
MAJIMBO MENGI NI MASIKINI HAYANA MAENDELEO, HASA MAJIMBO AMABYO YAPO CHINI YA WAPINZANI NO PREORITY FOR THEM
Kweli we mbunge aisee mungu akubariki
nakubar mzawa
Mwakajoka
msigwa we noma unatsha mze baba
Naona wana ccm wanakazana tu kudislike hahaha
Nampnda sna uyu Mzee
Bunge la safari hii mmeenda tembea
Pesa ngumuuuu daaa msigwaaaa
Upo sahihi mweshimiwa
msigwaaaaaaaaaaaaa tema cheche MZEE baba
Fact
Unaona raha sana kusikia haya mamb mpka raha yaani huwez kuchok kuskia
'Akili kubwa'
Jenister tunakuamini kwa kutoa miongozo na taarifa hakuna hata siku moja umetoa hoja ya kutetea wapiga kura wako na bado wanakuchagua
Well done msigwa