Nikweli kweli kabbisaa huyu mtu ni muhimu sana hajawahii kusimama na kusimania popote ikawa hajaacha alama juu ya kuitetea zanzibar na sio kuitetea t balu hata kuilinda ili ibaki salama na manlska yakee
Nyerere aliifisidi ZANZIBAR. WAENGEREZA ndio wahusika wakubwa. A.C.T mkichukuwa nchi. Fanyeni Sultan jemshid aje kuishi ZANZIBAR kama vile HISTORIYA na kupata BARKA. Za ZANZIBAR.
M/Mungu amlaze mahala pema peponi Maalim Seif 🤲 Aamin Yaarab!!! Hao ni watoto wa Maalim Washapikika Hio Kambi ni Moto 🔥🔥 Vijana nguvu Kazi 💪 Moto Moto twende Kazi 💪💪💯
Hkuna wtu waongo km ccm nandio maana tngu enzi za mabibi namababu mpk leo hii bdo znzb hii unguja na pemb bdo tunajengew barabra na itaendelea mpk kiama maana ccm hwpo kwaniaba yznzbar wpo kujinufaisha ss jussa kakudanganya nini
Kuna tofauti kubwa sana ya siasa za Tanganyika na Zanzibar kwamba viongozi wa vyama vya upinzani Zanzibar ni viongozi wa Serikali kwa awamu tofauti huwa najiuliza sana Serikali inayotafutwa ili iwe je.
Haji Hassan wakati mwingine unachekesha sana,hawa akina jussa na wenzake hawajawahi kuongoza Zanzibar kupitia tiketi ya chama chao iwe CUF au kw sasa Act wazalendo,usiwape lawama sana hawa hata wakitaka Zanzibar ile iendeshwe kwa namna hii au ile hawawezi kufanya hivyo kwa sababu hawawezi kufanya mabadiliko kwa sababu wao sio chama tawala mfano ,Zanzibar kupiga kura siku mbili ( 2),haiingiliki akilini watu laki tano kupiga kura siku mbili wakati Tanganyika kupiga kura siku moja wapiga kura milioni 20.yote hayo ni mazingira ya kuleta vurugu tu na wizi katika chaguzi .kama ni uwezo wao wangebadilisha huo upuuzi wa kupiga kura siku mbili watu laki tano.na mambo mengine juu ya masilahi ya Zanzibar hasa katika mambo ya Muungano .
Mkombozi uyoo ❤anatema Cheche 🔥🔥🔥za Ukweli Mtupu hana Unafiki 👍uyo!
indian
Umemalizaa maneno Proffesor Jussa 💯👍
Tupo pamoja Sana
Safari iendelee!!!🪽💯🔥🔥🔥
Mr, mbungo hii ni hazina yetu hapa Zanzibar twajuvunia uwepo wako Allah akuzidishie afya njema na umri mrefu mwanakwetu wee❤
Mwinyi,ametumwa,,awamalize,wazanzibar,lakino,atatangulia,yeye,kwa,uwezo,wa,m,mungu
Allah akulipe kher udumu kwenye ukweli
Zanzibar haina tofauti na Palestinian people!😢
Kiukweli inatia Uchungu Sana!
Iko siku inshaallahu tutaipata nchi na kuirejesha furaha tena kwa mara ya pili
@@MohdIkra-d7s Aamin Yaarab 🤲
@@MohdIkra-d7s Ya kwanza ilikuwa ipi?
MH JUSSU miongoni mwa hazina ya Zanzibar
Nikweli kweli kabbisaa huyu mtu ni muhimu sana hajawahii kusimama na kusimania popote ikawa hajaacha alama juu ya kuitetea zanzibar na sio kuitetea t balu hata kuilinda ili ibaki salama na manlska yakee
Mhe Jussa ni kweli tushaamua Zanzibar Kwanzatuuweni sote lkn nchi yetu tunataka tujiendeshe wenyewe
mjomba baloteli Seif Ali Liddy pesa zetu za mapinduzi 2 utazitapika kama unajidai kufanyia birthday ya mkeo
pesa zetu sisi tunalala
njaa
t
a
Maneno Kuntu 🎉😊❤
sio kweli hiyo Hiyo Nafasi kila mmoja wenu alikuwa anaitaka na kuitamani
Unajua ukiiskia tu saut ya Jusa unajua kuwa kuna mtetea wanyonge tena mzalendo anaongea sio wale wasaka tonge walotumwa.
Kabisa kabisa.. May Allah amhifadhi.. Allahumma ameen
From Oman 🇴🇲 allah awalinde na shari vitimbwi vya ccm na serekali yak ya kiharamu tupo pamoj mm na zanzibar na zanzibar namm PBE and UGJ iloveyou
Mh Jussa tupo pamoja
Ni ngumu sana mtu kuwa muadilifu kwenye mambo hayo
Nikweli
Nyerere aliifisidi ZANZIBAR. WAENGEREZA ndio wahusika wakubwa. A.C.T mkichukuwa nchi. Fanyeni Sultan jemshid aje kuishi ZANZIBAR kama vile HISTORIYA na kupata BARKA. Za ZANZIBAR.
❤❤❤❤❤
Ile CUF ya Maalim Seif imerudi katika ubora wake !!
A.C.T Wazalendo Kweli
CUF ni Mhariifu Professor Ibrahim Lipumba what's ever you called 💯 maana hainyanyuki tena imepigwa na Maradhi laaana!!!
M/Mungu amlaze mahala pema peponi Maalim Seif 🤲 Aamin Yaarab!!!
Hao ni watoto wa Maalim
Washapikika
Hio Kambi ni Moto 🔥🔥
Vijana nguvu Kazi 💪
Moto Moto twende Kazi 💪💪💯
😂😂😂😂❤❤❤
Jusa ni mtaalamu wa kupika taarifa za uongo.
Ni wapi mafuta yapo chini KULIKO Zanzibar ENEO hili la Africa mashariki?
Kamueleze ili akisema aseme ukweli
Hkuna wtu waongo km ccm nandio maana tngu enzi za mabibi namababu mpk leo hii bdo znzb hii unguja na pemb bdo tunajengew barabra na itaendelea mpk kiama maana ccm hwpo kwaniaba yznzbar wpo kujinufaisha ss jussa kakudanganya nini
Ukweli hamna namna yakujitetea Ukweli utabaki Ukweli tu!!!😜
Na Uongo ni wale Wanafik waliozoea Utumwa ya Hewallah Bwana!!!😜😂😂
Haya maneno tumeshayazoea sana kwa sisi wenye maono tunajua kua hmn kitu just munatafuta kula tu
Gh
Kuna tofauti kubwa sana ya siasa za Tanganyika na Zanzibar kwamba viongozi wa vyama vya upinzani Zanzibar ni viongozi wa Serikali kwa awamu tofauti huwa najiuliza sana Serikali inayotafutwa ili iwe je.
Haji Hassan wakati mwingine unachekesha sana,hawa akina jussa na wenzake hawajawahi kuongoza Zanzibar kupitia tiketi ya chama chao iwe CUF au kw sasa Act wazalendo,usiwape lawama sana hawa hata wakitaka Zanzibar ile iendeshwe kwa namna hii au ile hawawezi kufanya hivyo kwa sababu hawawezi kufanya mabadiliko kwa sababu wao sio chama tawala mfano ,Zanzibar kupiga kura siku mbili ( 2),haiingiliki akilini watu laki tano kupiga kura siku mbili wakati Tanganyika kupiga kura siku moja wapiga kura milioni 20.yote hayo ni mazingira ya kuleta vurugu tu na wizi katika chaguzi .kama ni uwezo wao wangebadilisha huo upuuzi wa kupiga kura siku mbili watu laki tano.na mambo mengine juu ya masilahi ya Zanzibar hasa katika mambo ya Muungano .
Ebu funguka au mkono umeteleza ulichokiandika?