Mwenyezi MUNGU akulinde mweshimiwa raisi wetu wa jamuhuli ya muungano wa tanzania.Wapo wanaokuchukia kwa sababu ya dini yko,wengine kwa sababu ni mzanzibar,wengine kwa sababu ni mwanamke.Yote ya puuze fanya kazi kuleta maendeleo ya nchi.Mungu akulinde
Mama SSH,Mwenyezi Mungu akutangulie na awe pamoja nawe akusimamie kwa kila jambo ufanyalo ktkt hii Dunia iwe maaamuzi,,magumu au mepesi wewe fanya cha MSINGI msikilize Roho wako Mtakatifu anasema nini na wewe anakuagiza nini na anakuepusha nini kazi yako ni Kumtii maagizo yake ktkt maisha yako,kwa Watanzania Afirka na Dunia nzima kwa ujumla nakutakia kila kheri ktkt utendaji wako wa kazi
Nilichojifunza ni kwamba kuna aina ya viongoz Wana akili Sana ya darasan lakini hawana skills za uongoz , busara na hekima katika kutatua majambo ya wananchi ,hii inatupa sababu ya kusema hawafai kuwa viongoz wakasimamie biashara zao na akili za darasani na hizo GPA zao ,kiongoz hauwezi kutukana wananchi au mwajiri wako hata kama wameshindwa kujieleza eti sijaia hapa Kwa bahati mbaya,ww unamuwakilisha Mhe Raisi wetu mpendwa Dkt Samia suluh Hasan,matusi yako wananchi itawapa tafsiri kuwa Rais wao ndio anawatukana coz unamuwakilisha ,eti Leo ni weekend,kama hukupenda kwenda kutatua mgogoro wa wananchi siku ambayo SI ya kazi ungemwambia Raisi akulipe overtime basi uridhike sio kutukana wananchi, yaan jaman huyu Rais mwanamama ni mzuri Sana tu lakin watu wanaomuakilisha ndio tatizo ,
Hongera sana Mh. SSH. Nguo ya kuazima sio ya kutambia pole Yao Wenye majigambo koti letu tutalichukuwa
Mungu akurinde mama
Ni kweli,hata Uraisi ni hivyohivyo!
Mwenyezi MUNGU akulinde mweshimiwa raisi wetu wa jamuhuli ya muungano wa tanzania.Wapo wanaokuchukia kwa sababu ya dini yko,wengine kwa sababu ni mzanzibar,wengine kwa sababu ni mwanamke.Yote ya puuze fanya kazi kuleta maendeleo ya nchi.Mungu akulinde
Mitano tena 5🎉🎉🎉🎉❤
Huyu Rais wangu kwa lugha na maneno namkubali sana Tatizo ilija kwenye matendo wateule wake hao wanawasemea mbovu wananchi tena kwa dharau
Mama SSH,Mwenyezi Mungu akutangulie na awe pamoja nawe akusimamie kwa kila jambo ufanyalo ktkt hii Dunia iwe maaamuzi,,magumu au mepesi wewe fanya cha MSINGI msikilize Roho wako Mtakatifu anasema nini na wewe anakuagiza nini na anakuepusha nini kazi yako ni Kumtii maagizo yake ktkt maisha yako,kwa Watanzania Afirka na Dunia nzima kwa ujumla nakutakia kila kheri ktkt utendaji wako wa kazi
Safi mama nakukubali sana
Ahsante sana Mama kwa hotuba yako yenye maelekezo MAKINI
Kazi iendelee
Simpendi mwigulu mmi bas
🤲🙏
Tuliambiwa anapangiwa kazi nyingine mpaka leo
Charamila,silinde,mwigulu ni nguo za kuazima,
Mama katiba ya serikali tatu ndio chaguo la wazanzibar.kama unataka tukushukuru wazanzibar tupe serikali tatu.hatokakusahu milele
Mheshimiwa Rais nimekupenda bure kwa kuwatengua Nape na January, bado mmoja anaetunza fedha huyu nae ni tatizo ndani ya Taifa letu.
Kwangu mimi hii ni hotuba ya Mwaka, Mungu aendelee kukulinda na kukupa nguvu na Afya njema Mama #2025 mie mpiga debe wako
Chakuazima hakistiri mambo
Kiswahili ukikijua nikitamu
Lugha ya watu wa pwani
20:09 Kweli madaraka ni nguo ya kuazima
Mama bado mwigulu nchemba
Nilichojifunza ni kwamba kuna aina ya viongoz Wana akili Sana ya darasan lakini hawana skills za uongoz , busara na hekima katika kutatua majambo ya wananchi ,hii inatupa sababu ya kusema hawafai kuwa viongoz wakasimamie biashara zao na akili za darasani na hizo GPA zao ,kiongoz hauwezi kutukana wananchi au mwajiri wako hata kama wameshindwa kujieleza eti sijaia hapa Kwa bahati mbaya,ww unamuwakilisha Mhe Raisi wetu mpendwa Dkt Samia suluh Hasan,matusi yako wananchi itawapa tafsiri kuwa Rais wao ndio anawatukana coz unamuwakilisha ,eti Leo ni weekend,kama hukupenda kwenda kutatua mgogoro wa wananchi siku ambayo SI ya kazi ungemwambia Raisi akulipe overtime basi uridhike sio kutukana wananchi, yaan jaman huyu Rais mwanamama ni mzuri Sana tu lakin watu wanaomuakilisha ndio tatizo ,
Charamira nguo tumekuazima chunga ulimi wako umemsikia rais uropokaji na matusi acha jua kuishi na watu
HIVI LUKUVI YUPO WAPI??
wote ni wale wale hizi kauli zinazotolewa hazina uhalisia hata kidogo mwenye macho haambiwi tazama hapa kunya anye kuku akinya Bata kaharisha
Uwapereke mahakaman hao
Nguo ya kuazima ole wakoukiichana utasemaje ka mwenye nguo
kama kweli weka uchaguzi huru tukunyooshe uchaguz wa serekali za mitaa na uchaguz mkuu
Ni kiti cha kinyozi ukimaliza kazi yako utaondoka tuu….
Kwa hyoooo???
Samia tumekuazimia nguo nguo ..hizo nguo tutakupokonya na utalina hilo uchaguzi wa serikali za mitaa...
Hongera mamaangu ila Kuna mhimili mwingine ni kama mlima ndani ya mawaziri ukihamisha huo mlima seriksli Yako imepons hakiks
@@IsmailLoi watu mliozika mama zenu , mnajitafutia mama wa kambo mitandaoni!
Hongera lsmail Jusa..😜
HIVI LUKUVI YUPO WAPI??