Yaani nyie Wazanzibari mtamuua bure huyu mama mzanzibari mwenzenu.Fikiria hapo alipo anapambana na sakata la bandari tena mnamletea sakata la Muungano!!! Kwa akili zenu mnadhani mnapambana na Watanganyika kumbe mnapambana na mzanzibari mwenzenu
Machogo wasio na akili wanawatawala wasio na chogo tena wenye akili.Yaani asie na akili anamtawala mwenye akili,hii imekaa vizuri. Kwa uchunguzi wangu Matahira wengi hawana vichogo. Badala ya kujenga hoja za msingi unadhihirisha udhaifu wako pole.
Unasema hamtaki kujua kama mkataba wa Bandari ni mzuri au ni mbaya..Hii inaonyesha Wazanzibar hawana uchungu na mali za Tanganyika na ndiyo maana Samia anagawa bandari zetu kwa Waarabu. Na sio bandar za Zanzibar kwa sababu anauchungu nazo. Kwa hiyo kila ni wajibu wa kila Mtanganyika mzalendo kuhakikisha bandari zetu za Tanganyika zinarudishwa. Ni aibu kwa chama cha CCM kuzunguka nchi nzima bila aibu kuwadanganya na kuwalaghai Watanganyika kwa kutetea ugawaji wa bandari za Tanganyika kwa Waarabu. Kumbuka Muungano ukivunjika Samia atarudi kwao Zanzibar bandari zao zitakuwa salama na za kwetu atakuwa amezigawa. Hii ni aibu kubwa kupata kutokea duniani .
Unajua hizi hongo au rushwa ni mbaya sana,sasa Juma Duni Haji anasema;Kuna watu wanakataa Warabu kupewa Bandari wakati Bandari ya Bagamoyo walitaka kumpa Mwarabu,hayo ndio maneno ya Duni,sasa tumuulize;Nani anataka Bandari zetu wapewe Warabu bila ya utaratibu wa maana na mikataba ya hovyo.?Tunataka mikataba yenye tija na yenye kuleta manufaa kwenye nchi yetu,hatuwakatai Warabu wa Dubai kwa Uislamu wao,tunawakataa ulaghai wao kwenye mkataba wa bandari zetu.
Unaposema munakataa ulaghai wao!ni Sawa lkn sio Kwa domo Tu tuonesheni huo ulaghai walioufanya ni you na ktk kipengele gani cha makubaliano!sio kusikilizia maneno ya Maoadri na wanasiasa Tu,na kuhusu uladhai hao wanaopiga domo ndio walaghai wakubwa hapo bandarini maana wanatumia Bandari Kwa udhsifu wake na kupitisha mizigo Kwa kutumia nembo ya Kanisa bila kulipia ushuru na ndio unawaona Mapadri wamesimama imara kukosoa bila ushahidi wa wanalolisema kwasababu watakosa maslahi Yao,kwani ikiwa hao DP World watapewa kazi ya kusimamia Bandari hawatajali Kanisa wala Mskiti au kiongozi kuitumia Bandari Kwa kukwepa ushuru na hapo ndipo penye utata Kwa wapiga domo la kupewa bandari,sasa wanatoa dia na kulinasibisha na Uarabu!mara wengine kubadilisha na waislamu.Na tujiulize kwanini wakatumia neno Uarabu?na wasitumie neno DP World?maana hiyo ni Kampuni inayotoka Dubai!sasa walitegemea Dubai waweko Wachaga na Wanyakyusa?na pia kujuwa Hawa Wana Lao ktk maendeleo hayo yajayo ktk Bandari,pia wakambagua Rais na Waziri wa sekta hiyo kuwavua Utanzania wao na kuwabandika Uzanzibari!kama vile Baraza la Wawakilishi Zanzibar limepitia na kuridhia mkataba huo uliopitishwa na Bunge la Tanzania na mwanasheria wake!na pia Hilo Bunge Lina wajumbe wanaozidi Mia tatu(300)na Wazanzibari hawafikii hata Mia moja!sasa vipi leo Washutumiwe Wazanzibari wawili juu ya hili?kwani nchi hii inaongozwa na amri ya Rais? au Waziri?au Wazanzibari ndio Wana maamuzi ya hili? Wakristo wacheni chuki,tunajuwa hamuwezi kuacha Hilo lkn fanyeni kificho kidogo!na wala musione kwamba hayo munayoyafanya hatujuwi la hasha tunajuwa mengi lkn Sisi ni wavumilivu Sana ,lkn uvumilivu Una kiasi chake!
Kuna ubaya gani kuja waarbu NA pesa zao kufanya anagalao mwarabu kuliko kuja wengreza au myahudi waarabu sio wabaya wala hawana chuki NA wa africa lakini waarabu hawajui wala hawaelewi kwamba wanachukiwa hao vijana wa dobai wanaelimu wanapenda kufanya kazi tu kote duniani sio tanzania tu NA kila mahala wanakaribishwa huko uarabuni vijana wengi sana wanafanya kazi kwa amani NA usalama bila ya ubaguzi
Kwanza mshukuru wazanzibar mshukuru muungano. Ukiona mmeuvunja mjue mtaingia kwa passport kama Mtanganyika anavyoingia kwenu mpaka awe na passport. Tumewavumilia sana. Mlipaswa kushukuru muungano Kati yanchi yenye watu m.60 na nchi yenye watu milioni 1 halafu mnagawana mapato Sawa.
Kama hii bandari haiwahusu mbona faida inayopatikana gawio pia hupelekwa Zanzibar!! ?? usilete mambo ya udini na Uzanzibar hapa hoja ni mkataba wa wizi na rushwa!!
Lakini huko bara nyie ndo mnamuita Samiya Rais 'Mzanzibari'. Na viongozi huko wanasema wazi kuwa Wazanzibari yaani Rais na waziri wake wanauza bandari ya Watanganyika kwa mwarabu. So usiseme uongo hapa. Tatizo ni UZANZIBARI na udini pia ndo u awasumbueni Watanganyika.
Chakufanya mwambieni au mlazimisheni atengue kiapo na kuvunja muungano ili muwe huru kama mnavyodai. Na kwa vile yeye ni rais, maana yake yeye ndo kila kitu. Na asipofanya hivyo, basi mjue huyo ndo msaliti wenu namba moja na si Watanganyika
Siasa za lawama ni laana tupu. Kabla ya uhuru tuliwalaumu wakoloni kuwa ni chanzo cha shida zetu. Haya tukapata uhuru. Lawama zimeendelea kwa vyama vyetu. Sasa lawama zinaendelea kila upande dhidi ya mwingine kati ya Tanganyika na Zanzibar. Kati yao dhidi ya Muungano. Ni lawama politics
Historia ya ACT WAZALENDO ILISAJILIWA WIKI UCHAGUZI MKUU UKO MBELE GARI NYINGI MAJIMBO YOTE WALISIMAMISHA WABUNGE WAO. UMOJA WA CUF MAALIMU,DUNI MWENZA,NA CHADEMA LOWASA.MLIPATA WABUNGE WENGI LEO.DUNI MAALIMU SEIF,MNAJIUNGA NA ACT?ILIYOPEWA MSAADA NA......KWELI MKO SALAMA?
Fella if you don't get keep Quiet instead of looking for a solution everyday complain complain this why African we are behind selfish Religious we don't think big we think ccm or other political part same boat.
Unavoona wewe kwa vile na wewe ni mjinga unafkiria watu wote ni wajinga kama wewe, respect ujinga wa watu kama wewe ndio ulowafikisha hapo mlipo mkajikuta mko pending mpaka leo hamjijui ni watu wa wapi sie unaosema ni wajinga tunajijua ni nani ni wazanzibari na wewe unatujua ni nani ingawa wewe mwenyewe hujijui
Tumchukuwe Sisi kwani ndio tuliomuweka?kama ni kumchukuwa chukuweni nyie halafu muweke Bibi yako wewe mwenye msalaba na kichwa wazi akiwa amevaa kimini mapaja nje!
@@user-ki4sg8yz9j Mwinyi . Mkapa na kikwete ndio wametufikisha hapa. Waluza rasilimali zetu kwa wageni sasa Samia nae anauza bandari swala na hoja kubwa ni bandari au rasilimali zetu kuuzwa kwa wageni na hakuna chochote Zanzibar au Tanganyika inafaidi watu tunaishi kwenye halli duni Tanganyika na Zanzibar tusijigawe tuungane tupiganie uhuru wa kiuchumi pande zote huyu MZEE anatugawa hii haitasaidia kiuchumi. Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Kwa vile wewe ni mtoto mdogo sana ndio maana hujui unachokiongelea sababu ya huo muungano hasa ni njaa yenu ndio Mwalimu wenu alikopa sana znz mpaka akaona atashindwa kulipa ndio akafanya ujanja wa huo muungano feki ili aendelee kula pesa zetu na le deni alipotezee asilipe na kumpoteza Rais wetu ili kuuwa ukweli na hata hati ya muungano wenyewe hakuna mnaendelea kutuibia mpaka leo tumechoka na muungano wenu feki mkatuunga sisi nyie mkapotea kizani muko wapiii mmepotea kizani miaka 60 ndio mnaanza kuona mwangaza sasa poleni sana karibuni kwenye mapambano
Nusu ipi mkuu unayozungumzia? Rais haungwi mkono na Waumini wa dini yoyote maana anawakilisha CCM wala siyo Uisilamu wala Ukiristo. Kuweni makini sana na udini,maana tukianza kuchagua kiudini hatutatoboa. Kuhusu muungano nakubali mapungufu yapo. Kikubwa viongozi wakae chini kutatua tatizo. Ni raihisi sana. Wakiamua na tukabakia wamoja zaidi ya zamani.
Sisi pia tunawafikiria nyinyi mna umasikini wa kufikiri kama ni mikataba mibovu ishapita mingi sana na mlikaa kimya hatujawahi kuwasikia mkicomplain mnapambana na njaa zenu na mikataba inaendelea kulisha wachache sisi haituhusu hiyo yoote mnayoongelea nyie unaotuhusu ni mkatakaba mbovu mmoja tu nao ni wa muungano sio mwengine na huyo ndio mama wa hiyo mnayoongelea nyie leo mlipozinduka baada ya kuzimia miaka 60 ya mnaoita uhuru
Jinga kabisa ili. Visiwa vina mafuta www unafanisha na punda milia... Unafanisha bahari kuu na mappri!! Au hujui kama TANGANYIKA haina bahari kuu bila meli kupita zanzibar haifiki uko. Unafanisha katafuu na korosho VUTU wewe kwa zahabu ina kazi gani zaid ya kujipamba
Hongera babu duni ..I Love ACT Wazalendo 💜💜💜
Chao ni chao lakini chetuni chao.. maneno mazito haya.💜💜💜
Act pambaneni na wazanzibar, sie tunapambania Tanganyika yetu
Yaani nyie Wazanzibari mtamuua bure huyu mama mzanzibari mwenzenu.Fikiria hapo alipo anapambana na sakata la bandari tena mnamletea sakata la Muungano!!! Kwa akili zenu mnadhani mnapambana na Watanganyika kumbe mnapambana na mzanzibari mwenzenu
Watanganyik mnatutes san tu na Zanzibar kila mtu ana uhuru wake kutoa maoni yao kuhusu nchi bc tumeshawachok machogo hamn akili nyinyi
Machogo wasio na akili wanawatawala wasio na chogo tena wenye akili.Yaani asie na akili anamtawala mwenye akili,hii imekaa vizuri.
Kwa uchunguzi wangu Matahira wengi hawana vichogo.
Badala ya kujenga hoja za msingi unadhihirisha udhaifu wako pole.
@@omaryramadhani6664Jama jama mbona Makombora!!
Duh! hatari sijui kama tutafika
Safi babu nimekuwelewa sana
Zanzibar oyeee
Duu! yamekuwa haya?. Asante Mzee Butiku ulisema mpasuko unakuja hili lirekebishwe mapema yaonekana sasa. Ya Sudani yaja Tanzania.
Hahahah, ukitaka kujua kama babu kaeleweka angalia majina ya watu wanaocomment utumbo hapa😂😂😂😂😂
Nimekuelewa mkuu, kumbe unajua kufanya tathimini
Good
Hongera sana babuduni na babujusa.
Kaongea point Sanaa huyu mzee wenye akili ndio watamuelewa
Unasema hamtaki kujua kama mkataba wa Bandari ni mzuri au ni mbaya..Hii inaonyesha Wazanzibar hawana uchungu na mali za Tanganyika na ndiyo maana Samia anagawa bandari zetu kwa Waarabu. Na sio bandar za Zanzibar kwa sababu anauchungu nazo. Kwa hiyo kila ni wajibu wa kila Mtanganyika mzalendo kuhakikisha bandari zetu za Tanganyika zinarudishwa. Ni aibu kwa chama cha CCM kuzunguka nchi nzima bila aibu kuwadanganya na kuwalaghai Watanganyika kwa kutetea ugawaji wa bandari za Tanganyika kwa Waarabu. Kumbuka Muungano ukivunjika Samia atarudi kwao Zanzibar bandari zao zitakuwa salama na za kwetu atakuwa amezigawa. Hii ni aibu kubwa kupata kutokea duniani .
Hutuba ya karne, asante sana babu duni
Tuliosoma Cuba tumekuelewa hw Panyaroad wasikushuhulishe,Bigup BAB DUNI
Zitto atakufukuza kazi
Samia Zanzibar wanakuhitaji, ondoka, hatukuhitaji.
Waliparurana kipindi cha uchaguzi 2020..hawamtaki huko. Mama Samia aliwatukana wanaume wa zenji kuwa ni wambeya
Zanzibar people together front
HATUNA SHIDA NA NYIE,SHIDA YETU NI MKATABA M'MBOVU KWENYE RASILIMALI ZA NCHI YETU.NYIE TULIENI
Waongo wakubwa mafatani wakubwa muogopeni mungu waisalamu gani na ufatani mtupu muogopeni mungu wenu bac fitna mbaya wacheni kupotosha watu
Zanzibar ninchi tanganyikw ninchi lakini zote zimekufa hii Tanzania inatutesa wote kila watu wawe nanchiyao
KUMBE VIMEUZWA KWELI!! Sasa HAPA WATANGANYIKA FUNGUKENI AKILI ZENU
Kwa mkataba wa Muungano ni sahihi kabisa ni wa ajabu, lakini waarabu na mkataba wao wakafie qalikonywea sumu
Babu Duni tumekumiss
SII MTU WA SIAS ila dini uko sawa
Unajua hizi hongo au rushwa ni mbaya sana,sasa Juma Duni Haji anasema;Kuna watu wanakataa Warabu kupewa Bandari wakati Bandari ya Bagamoyo walitaka kumpa Mwarabu,hayo ndio maneno ya Duni,sasa tumuulize;Nani anataka Bandari zetu wapewe Warabu bila ya utaratibu wa maana na mikataba ya hovyo.?Tunataka mikataba yenye tija na yenye kuleta manufaa kwenye nchi yetu,hatuwakatai Warabu wa Dubai kwa Uislamu wao,tunawakataa ulaghai wao kwenye mkataba wa bandari zetu.
Mengine hujayasikia
Huyu mbwa koko tu
Unaposema munakataa ulaghai wao!ni Sawa lkn sio Kwa domo Tu tuonesheni huo ulaghai walioufanya ni you na ktk kipengele gani cha makubaliano!sio kusikilizia maneno ya Maoadri na wanasiasa Tu,na kuhusu uladhai hao wanaopiga domo ndio walaghai wakubwa hapo bandarini maana wanatumia Bandari Kwa udhsifu wake na kupitisha mizigo Kwa kutumia nembo ya Kanisa bila kulipia ushuru na ndio unawaona Mapadri wamesimama imara kukosoa bila ushahidi wa wanalolisema kwasababu watakosa maslahi Yao,kwani ikiwa hao DP World watapewa kazi ya kusimamia Bandari hawatajali Kanisa wala Mskiti au kiongozi kuitumia Bandari Kwa kukwepa ushuru na hapo ndipo penye utata Kwa wapiga domo la kupewa bandari,sasa wanatoa dia na kulinasibisha na Uarabu!mara wengine kubadilisha na waislamu.Na tujiulize kwanini wakatumia neno Uarabu?na wasitumie neno DP World?maana hiyo ni Kampuni inayotoka Dubai!sasa walitegemea Dubai waweko Wachaga na Wanyakyusa?na pia kujuwa Hawa Wana Lao ktk maendeleo hayo yajayo ktk Bandari,pia wakambagua Rais na Waziri wa sekta hiyo kuwavua Utanzania wao na kuwabandika Uzanzibari!kama vile Baraza la Wawakilishi Zanzibar limepitia na kuridhia mkataba huo uliopitishwa na Bunge la Tanzania na mwanasheria wake!na pia Hilo Bunge Lina wajumbe wanaozidi Mia tatu(300)na Wazanzibari hawafikii hata Mia moja!sasa vipi leo Washutumiwe Wazanzibari wawili juu ya hili?kwani nchi hii inaongozwa na amri ya Rais? au Waziri?au Wazanzibari ndio Wana maamuzi ya hili? Wakristo wacheni chuki,tunajuwa hamuwezi kuacha Hilo lkn fanyeni kificho kidogo!na wala musione kwamba hayo munayoyafanya hatujuwi la hasha tunajuwa mengi lkn Sisi ni wavumilivu Sana ,lkn uvumilivu Una kiasi chake!
Na wewe kama si Mkristo basi ni Muislamu usiyejitambua(Muislamu poa)
@@methodrweyendera6814 mbwa Koko ni wazazi wako sasa jiulize wewe utakuwa Nani?
Sasa mpaka ngoma zetu tumewacha tumeanza kupiga mdundiko huoni msiba huo Babu duni
We tulia weye Babu duni tuwache tumejichokea roho tuwache tucheze msewe na vibati vyetu weye subiri kaburi tu
MKUKI KWA NGURUWE UMEONGEA KWELI MATANGANYIKA MAJINGA SANA
Msipate tabu hata siye hatuwataki kila mtu akae kwao kwa kutuletea warabu turudi utumwani hatutaki kila mtu akae kwao
Kwan TANGANYIKA ukuwa kolon la waarabu
Kuna ubaya gani kuja waarbu NA pesa zao kufanya anagalao mwarabu kuliko kuja wengreza au myahudi waarabu sio wabaya wala hawana chuki NA wa africa lakini waarabu hawajui wala hawaelewi kwamba wanachukiwa hao vijana wa dobai wanaelimu wanapenda kufanya kazi tu kote duniani sio tanzania tu NA kila mahala wanakaribishwa huko uarabuni vijana wengi sana wanafanya kazi kwa amani NA usalama bila ya ubaguzi
Mjinga wewe
Kijiji kwenu umeendaa lin😢?!
@@alialamoudi9729tatizo sio waarabu, ni aina ya mkataba.. wawekezaji tunawahitaji,walete manufaa.. tunayasikia makesi nchi ambazo DPW wamewekeza
Samia nenda kwenu ukafanye maendeleo tuache susi na mali zetu
Kwanza mshukuru wazanzibar mshukuru muungano. Ukiona mmeuvunja mjue mtaingia kwa passport kama Mtanganyika anavyoingia kwenu mpaka awe na passport. Tumewavumilia sana. Mlipaswa kushukuru muungano Kati yanchi yenye watu m.60 na nchi yenye watu milioni 1 halafu mnagawana mapato Sawa.
Pongezi Babu Juma Duni, kalishwa nini Bumbwini ana oneka kijana na hamasa zaidi .
Kama hii bandari haiwahusu mbona faida inayopatikana gawio pia hupelekwa Zanzibar!! ?? usilete mambo ya udini na Uzanzibar hapa hoja ni mkataba wa wizi na rushwa!!
Lakini huko bara nyie ndo mnamuita Samiya Rais 'Mzanzibari'. Na viongozi huko wanasema wazi kuwa Wazanzibari yaani Rais na waziri wake wanauza bandari ya Watanganyika kwa mwarabu. So usiseme uongo hapa. Tatizo ni UZANZIBARI na udini pia ndo u awasumbueni Watanganyika.
Tokea lini gawio la bandari likagawiwa ?Udini unatoka huko bara,sikiliza hotuba ya mheshimiwa Lukuvu kanisani.
Tueleze lini mumetoa gawio la bandari kwnda zenj?
@@WeyaniTvonlinekwani Samia ni mtu wa wapi?
Lini mlowagaiya wazanzibar mapato yenu ya bandari mnafiki mkubwa wewe
😢Ama kweli....Samia una kazi!
Samia Hana kazi nyie ndio muna kazi!si umesoma munaropoka yeye kimyaa kazi inaendelea!haiwezi kujadiliana na wajinga"She don't urgue with a fools"
Samia kazi yake ni kujiingiza Tanzania na sio kujibizana na wajinga"SHE DOESN'T URGE WITH A FOOL"
Hawachukuliwi, kila mjeshi anataka kwenda safar za nje ya nchi.
muungano wawa sisi wenyewe atuutaki
Mbona huyu mzee hajaeleweka vizuri
Huwezi kumuelewa kwa vile kiswahili sio lugha yako bro wee kausha tu sisi wenye znz yetu tumemuelewa
Umeelewa vizur sana ndoman ukacomment VUTU weeeeeee
saf kabisa izo hoja nlitaman kuzsikia Leo rais samia anatetewa na ict.
Kwa Hiyp Babu Duni Ndio Unatuchambaaaa au😅😅😅
Sijui Chadema unawalaumu kwa kosa gani.
Wataelewa tu mpaka kieleweke
❤❤❤
10:28 kama suala la bandari sio mambo ya muungano, kwa nini waziri anatoka Zanzibar
10:28 hapo hujasema ukweli. Viongozi wa dini walikuwepo wote..kwa nini unawasema maaskofu tu..
Chakufanya mwambieni au mlazimisheni atengue kiapo na kuvunja muungano ili muwe huru kama mnavyodai. Na kwa vile yeye ni rais, maana yake yeye ndo kila kitu. Na asipofanya hivyo, basi mjue huyo ndo msaliti wenu namba moja na si Watanganyika
Yeye ni dereva Tu lkn gari Lina wenyewe na wenyewe ni akili na Kikwete na Watanganyika wenzake
uyy
Mmmmh hawa mlenda tu....hakuna kitu hapo
Na nyi ni Kisambu
Hii mijamaa kumbe mipumbavu sana, kwani nani aliyesaini huu mkataba mbovu? Kuna mtanganyika aliyesaini? Kwa maneno haya sioni kama kuna muungano tena.
Duni umechoka haswa
usipo muelewa utakua chizi
Cjamuelewa hata kidogo anapo sema tunataka Zanzibar yenye mamlaka kamiri cjaelewa
Zanzibar iliyo huru
Itabidi ukajifundishe kiswahili ili umuelewe
Utaelewa wakati ukifika tulia tu kwa vile sio shida yako huwezi kuelewa, hata sisi hatuwaelewi mkipigia kelele mkataba wa bandari.
Chukua daftar na peni nikusomeshe
Mkataba wa bandari mzur sana kwa watanganyika
Mtaendelea kulia hivyohivyo maadamu mumeanza kutukana Wabara badala ya kushirikiana nao kukomboa nchi zenu.
Tuna Allah anatutoshaa bro?!!!
Kwa hatua ya muungano ilipofikia ni bora ukatazamwa upya maana kila upande unalalamika bora uangaliwe muundo unaofaa
Siasa za lawama ni laana tupu. Kabla ya uhuru tuliwalaumu wakoloni kuwa ni chanzo cha shida zetu. Haya tukapata uhuru. Lawama zimeendelea kwa vyama vyetu. Sasa lawama zinaendelea kila upande dhidi ya mwingine kati ya Tanganyika na Zanzibar. Kati yao dhidi ya Muungano. Ni lawama politics
Imewauma lakini imewaingia na bado nondo zitarushwa bila kukoma wakufa afe
Sauti gani hiyo mbona haikufai kama mwanaume? Umeilemba sana mwisho tukushtukie mbona haukuwa hivyo!
Weye ndo mpuzi
Kwani wewe ndie Muumba?Hiyo ni style yake mdivo alivoumbwa
Historia ya ACT WAZALENDO ILISAJILIWA WIKI UCHAGUZI MKUU UKO MBELE GARI NYINGI MAJIMBO YOTE WALISIMAMISHA WABUNGE WAO. UMOJA WA CUF MAALIMU,DUNI MWENZA,NA CHADEMA LOWASA.MLIPATA WABUNGE WENGI LEO.DUNI MAALIMU SEIF,MNAJIUNGA NA ACT?ILIYOPEWA MSAADA NA......KWELI MKO SALAMA?
Sasa mbona hamwendi Mahakamani kupinga hayo?
Cheap politics Mungu saidia
Elaborate for us to understand
Fella if you don't get keep Quiet instead of looking for a solution everyday complain complain this why African we are behind selfish Religious we don't think big we think ccm or other political part same boat.
Mbona mwinyi hujamtaja??
Wacheni kupotosha umma na ufatani mtupu Wacheni kupotosha umma bhana uongo mbaya na muwajua fika
Weka wazi huo uwongo wake
Waiteni dp zenj wawajengeeni misikiti tusisumbuane stupid
Ndio hao wa akina Lukuvi
It's very stupidity ideal,Bandari ni ya Watanzania na sio ya Tanganyika na tukienda mbali historia unahukumu ni Nani mwenye Bandari hiyo
Mashoga wengi sio walevi tu hamuwezi kaz mpo kishoga shoga2
Shoga ni baako
Na nyie manaweza kazi gani zaidi ya wizi tu mmsotosheka na vipato vyenu
Huyu mzee maskini hajui anaongea nini
Na akili zake na mwenye maoni mazuri
MWAMBA NGOZI HUVUTUA KWAO
Ni kweli maana Watanganyika mumeivuta Hadi sasa inataka kukatika
Ndio tunataka tanganyika yetu
Ukatafute na kitu umoja wa mataifa Mana kilichopo ni cha Zanzbar
Tanganyka ipo tanga
Umefilisika akili tu wewe
Nick juma huna akili ww upelekwe mental
Si itakuwa bora wewe ukapimwe kwanza
Hazina kwetu broo?!
zanzibar hakuna wanasiasa ni ujinga mtupu
Unavoona wewe kwa vile na wewe ni mjinga unafkiria watu wote ni wajinga kama wewe, respect ujinga wa watu kama wewe ndio ulowafikisha hapo mlipo mkajikuta mko pending mpaka leo hamjijui ni watu wa wapi sie unaosema ni wajinga tunajijua ni nani ni wazanzibari na wewe unatujua ni nani ingawa wewe mwenyewe hujijui
Mchukueni huyu bibi yenu kwanza Muungano mshauvunja
Kwani aliwekwa na nani?
Na nyie mchukuweni huyu kijana wenu wa Mkuranga!
😂😂😂
😂😂😂
Tumchukuwe Sisi kwani ndio tuliomuweka?kama ni kumchukuwa chukuweni nyie halafu muweke Bibi yako wewe mwenye msalaba na kichwa wazi akiwa amevaa kimini mapaja nje!
Hauna aibu miaka yote Wazanzibari mliishi kwa jasho la Watanganyika hamjawahi kuuchangia muungano hata kidogo iko siku kitaeleweka tu.
Usolijua usiku wa kiza kinene. Bora unyamaze tu.
Miaka mingi wazanzibari hawstaki muungano, kama ni mzigo kwenu kwa nini hamuwaachii nchi yao??
Huna aibu wewe tena hujui lolote juu ya znz inavyonyanyasika kwa muungano huu.
@@user-ki4sg8yz9j
Mwinyi . Mkapa na kikwete ndio wametufikisha hapa. Waluza rasilimali zetu kwa wageni sasa Samia nae anauza bandari swala na hoja kubwa ni bandari au rasilimali zetu kuuzwa kwa wageni na hakuna chochote Zanzibar au Tanganyika inafaidi watu tunaishi kwenye halli duni Tanganyika na Zanzibar tusijigawe tuungane tupiganie uhuru wa kiuchumi pande zote huyu MZEE anatugawa hii haitasaidia kiuchumi.
Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Kwa vile wewe ni mtoto mdogo sana ndio maana hujui unachokiongelea sababu ya huo muungano hasa ni njaa yenu ndio Mwalimu wenu alikopa sana znz mpaka akaona atashindwa kulipa ndio akafanya ujanja wa huo muungano feki ili aendelee kula pesa zetu na le deni alipotezee asilipe na kumpoteza Rais wetu ili kuuwa ukweli na hata hati ya muungano wenyewe hakuna mnaendelea kutuibia mpaka leo tumechoka na muungano wenu feki mkatuunga sisi nyie mkapotea kizani muko wapiii mmepotea kizani miaka 60 ndio mnaanza kuona mwangaza sasa poleni sana karibuni kwenye mapambano
Halafu ninyi makafiri acheni chuki na waislamu nusu ya raia wstanzania bara ni waslamu na wanamuunga mkono Samia
Nusu ipi mkuu unayozungumzia?
Rais haungwi mkono na Waumini wa dini yoyote maana anawakilisha CCM wala siyo Uisilamu wala Ukiristo. Kuweni makini sana na udini,maana tukianza kuchagua kiudini hatutatoboa. Kuhusu muungano nakubali mapungufu yapo. Kikubwa viongozi wakae chini kutatua tatizo. Ni raihisi sana. Wakiamua na tukabakia wamoja zaidi ya zamani.
Subhanallah pumbavu wewe muislam gani anamsapoti Samia labda wewe peke vk
@@MariaOmary-dw4yl wewe ni kafiri sio muislamu fala wewe
Mzee unaumasikini wa kufikiri
Naona unawaongopea ndugu zetu wanzanzibari
Hoja ni mikataba mibovu
Alioingia Raisi na Seriksli yake
Sisi pia tunawafikiria nyinyi mna umasikini wa kufikiri kama ni mikataba mibovu ishapita mingi sana na mlikaa kimya hatujawahi kuwasikia mkicomplain mnapambana na njaa zenu na mikataba inaendelea kulisha wachache sisi haituhusu hiyo yoote mnayoongelea nyie unaotuhusu ni mkatakaba mbovu mmoja tu nao ni wa muungano sio mwengine na huyo ndio mama wa hiyo mnayoongelea nyie leo mlipozinduka baada ya kuzimia miaka 60 ya mnaoita uhuru
Pale mulipo sema wazanzibar wamewauzia bandari yenu mulimanisha nini???
Zanzibar bila TANGANYIKA Sultan msingemzuia kurudi makao makuu yake kwa kutumia Majambia.Zanzibar hakuna kitu zaidi ya karafuu na Utalii .
Hujui historia wewe nyamaza
Jinga kabisa ili. Visiwa vina mafuta www unafanisha na punda milia... Unafanisha bahari kuu na mappri!! Au hujui kama TANGANYIKA haina bahari kuu bila meli kupita zanzibar haifiki uko. Unafanisha katafuu na korosho VUTU wewe kwa zahabu ina kazi gani zaid ya kujipamba
Wewe ni kijana usiofaham ya kale.Kabla ya Uhuru wa Tangamyika,mulikuws
Wewe ni kijana usiofaham ya kale.Kabla ya Uhuru wa Tangamyika,mulikuws
Wewe ni kijana usiofaham ya kale.Kabla ya Uhuru wa Tangamyika,mulikuws