Sakata la bandari, Babu Duni atema makavu Bumbwini, awapa vidonge vyao Watanganyika

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Hotuba ya Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar Mhe Juma Duni Haji katika mkutano wa chama hicho a Bumbwini kisiwani Unguja.

КОМЕНТАРІ • 162

  • @V24hrs
    @V24hrs Рік тому +2

    Hongera babu duni ..I Love ACT Wazalendo 💜💜💜

  • @V24hrs
    @V24hrs Рік тому +2

    Chao ni chao lakini chetuni chao.. maneno mazito haya.💜💜💜

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 Рік тому +4

    Act pambaneni na wazanzibar, sie tunapambania Tanganyika yetu

  • @justinewalwa7387
    @justinewalwa7387 Рік тому +2

    Yaani nyie Wazanzibari mtamuua bure huyu mama mzanzibari mwenzenu.Fikiria hapo alipo anapambana na sakata la bandari tena mnamletea sakata la Muungano!!! Kwa akili zenu mnadhani mnapambana na Watanganyika kumbe mnapambana na mzanzibari mwenzenu

  • @khairatkhamis5845
    @khairatkhamis5845 Рік тому +6

    Watanganyik mnatutes san tu na Zanzibar kila mtu ana uhuru wake kutoa maoni yao kuhusu nchi bc tumeshawachok machogo hamn akili nyinyi

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 Рік тому

      Machogo wasio na akili wanawatawala wasio na chogo tena wenye akili.Yaani asie na akili anamtawala mwenye akili,hii imekaa vizuri.
      Kwa uchunguzi wangu Matahira wengi hawana vichogo.
      Badala ya kujenga hoja za msingi unadhihirisha udhaifu wako pole.

    • @judicalosika7642
      @judicalosika7642 Рік тому

      ​@@omaryramadhani6664Jama jama mbona Makombora!!

    • @hudumayakufunguliwanakuwek1366
      @hudumayakufunguliwanakuwek1366 Рік тому

      Duh! hatari sijui kama tutafika

  • @chicagousa2695
    @chicagousa2695 Рік тому +3

    Safi babu nimekuwelewa sana

  • @user-rn7xc2ke2w
    @user-rn7xc2ke2w Рік тому +3

    Zanzibar oyeee

  • @anyelwisyestephen4690
    @anyelwisyestephen4690 Рік тому

    Duu! yamekuwa haya?. Asante Mzee Butiku ulisema mpasuko unakuja hili lirekebishwe mapema yaonekana sasa. Ya Sudani yaja Tanzania.

  • @JRN2612
    @JRN2612 Рік тому +3

    Hahahah, ukitaka kujua kama babu kaeleweka angalia majina ya watu wanaocomment utumbo hapa😂😂😂😂😂

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 Рік тому +2

    Good

  • @kitomariKitomari-ge9pr
    @kitomariKitomari-ge9pr Рік тому +4

    Hongera sana babuduni na babujusa.

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 Рік тому +2

    Kaongea point Sanaa huyu mzee wenye akili ndio watamuelewa

  • @danielchacha1305
    @danielchacha1305 Рік тому +1

    Unasema hamtaki kujua kama mkataba wa Bandari ni mzuri au ni mbaya..Hii inaonyesha Wazanzibar hawana uchungu na mali za Tanganyika na ndiyo maana Samia anagawa bandari zetu kwa Waarabu. Na sio bandar za Zanzibar kwa sababu anauchungu nazo. Kwa hiyo kila ni wajibu wa kila Mtanganyika mzalendo kuhakikisha bandari zetu za Tanganyika zinarudishwa. Ni aibu kwa chama cha CCM kuzunguka nchi nzima bila aibu kuwadanganya na kuwalaghai Watanganyika kwa kutetea ugawaji wa bandari za Tanganyika kwa Waarabu. Kumbuka Muungano ukivunjika Samia atarudi kwao Zanzibar bandari zao zitakuwa salama na za kwetu atakuwa amezigawa. Hii ni aibu kubwa kupata kutokea duniani .

  • @muhamadhusein5260
    @muhamadhusein5260 Рік тому +1

    Hutuba ya karne, asante sana babu duni

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 Рік тому

    Tuliosoma Cuba tumekuelewa hw Panyaroad wasikushuhulishe,Bigup BAB DUNI

  • @francismwantolwa2329
    @francismwantolwa2329 Рік тому +1

    Zitto atakufukuza kazi

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Рік тому +1

    Samia Zanzibar wanakuhitaji, ondoka, hatukuhitaji.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Рік тому

      Waliparurana kipindi cha uchaguzi 2020..hawamtaki huko. Mama Samia aliwatukana wanaume wa zenji kuwa ni wambeya

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Рік тому +3

    Zanzibar people together front

  • @robertmhikwa8174
    @robertmhikwa8174 Рік тому +1

    HATUNA SHIDA NA NYIE,SHIDA YETU NI MKATABA M'MBOVU KWENYE RASILIMALI ZA NCHI YETU.NYIE TULIENI

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Рік тому +1

    Waongo wakubwa mafatani wakubwa muogopeni mungu waisalamu gani na ufatani mtupu muogopeni mungu wenu bac fitna mbaya wacheni kupotosha watu

  • @mtindikoja8837
    @mtindikoja8837 Рік тому +1

    Zanzibar ninchi tanganyikw ninchi lakini zote zimekufa hii Tanzania inatutesa wote kila watu wawe nanchiyao

  • @alvinsanga2428
    @alvinsanga2428 Рік тому

    KUMBE VIMEUZWA KWELI!! Sasa HAPA WATANGANYIKA FUNGUKENI AKILI ZENU

  • @valeriokiputa3745
    @valeriokiputa3745 Рік тому +1

    Kwa mkataba wa Muungano ni sahihi kabisa ni wa ajabu, lakini waarabu na mkataba wao wakafie qalikonywea sumu

  • @salyali7807
    @salyali7807 Рік тому +3

    Babu Duni tumekumiss

  • @omarsharif-ok6wf
    @omarsharif-ok6wf Рік тому

    SII MTU WA SIAS ila dini uko sawa

  • @yassinnabwera4273
    @yassinnabwera4273 Рік тому +7

    Unajua hizi hongo au rushwa ni mbaya sana,sasa Juma Duni Haji anasema;Kuna watu wanakataa Warabu kupewa Bandari wakati Bandari ya Bagamoyo walitaka kumpa Mwarabu,hayo ndio maneno ya Duni,sasa tumuulize;Nani anataka Bandari zetu wapewe Warabu bila ya utaratibu wa maana na mikataba ya hovyo.?Tunataka mikataba yenye tija na yenye kuleta manufaa kwenye nchi yetu,hatuwakatai Warabu wa Dubai kwa Uislamu wao,tunawakataa ulaghai wao kwenye mkataba wa bandari zetu.

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Рік тому

      Mengine hujayasikia

    • @methodrweyendera6814
      @methodrweyendera6814 Рік тому +1

      Huyu mbwa koko tu

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Unaposema munakataa ulaghai wao!ni Sawa lkn sio Kwa domo Tu tuonesheni huo ulaghai walioufanya ni you na ktk kipengele gani cha makubaliano!sio kusikilizia maneno ya Maoadri na wanasiasa Tu,na kuhusu uladhai hao wanaopiga domo ndio walaghai wakubwa hapo bandarini maana wanatumia Bandari Kwa udhsifu wake na kupitisha mizigo Kwa kutumia nembo ya Kanisa bila kulipia ushuru na ndio unawaona Mapadri wamesimama imara kukosoa bila ushahidi wa wanalolisema kwasababu watakosa maslahi Yao,kwani ikiwa hao DP World watapewa kazi ya kusimamia Bandari hawatajali Kanisa wala Mskiti au kiongozi kuitumia Bandari Kwa kukwepa ushuru na hapo ndipo penye utata Kwa wapiga domo la kupewa bandari,sasa wanatoa dia na kulinasibisha na Uarabu!mara wengine kubadilisha na waislamu.Na tujiulize kwanini wakatumia neno Uarabu?na wasitumie neno DP World?maana hiyo ni Kampuni inayotoka Dubai!sasa walitegemea Dubai waweko Wachaga na Wanyakyusa?na pia kujuwa Hawa Wana Lao ktk maendeleo hayo yajayo ktk Bandari,pia wakambagua Rais na Waziri wa sekta hiyo kuwavua Utanzania wao na kuwabandika Uzanzibari!kama vile Baraza la Wawakilishi Zanzibar limepitia na kuridhia mkataba huo uliopitishwa na Bunge la Tanzania na mwanasheria wake!na pia Hilo Bunge Lina wajumbe wanaozidi Mia tatu(300)na Wazanzibari hawafikii hata Mia moja!sasa vipi leo Washutumiwe Wazanzibari wawili juu ya hili?kwani nchi hii inaongozwa na amri ya Rais? au Waziri?au Wazanzibari ndio Wana maamuzi ya hili? Wakristo wacheni chuki,tunajuwa hamuwezi kuacha Hilo lkn fanyeni kificho kidogo!na wala musione kwamba hayo munayoyafanya hatujuwi la hasha tunajuwa mengi lkn Sisi ni wavumilivu Sana ,lkn uvumilivu Una kiasi chake!

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Na wewe kama si Mkristo basi ni Muislamu usiyejitambua(Muislamu poa)

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      @@methodrweyendera6814 mbwa Koko ni wazazi wako sasa jiulize wewe utakuwa Nani?

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 Рік тому +1

    Sasa mpaka ngoma zetu tumewacha tumeanza kupiga mdundiko huoni msiba huo Babu duni

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 Рік тому

    We tulia weye Babu duni tuwache tumejichokea roho tuwache tucheze msewe na vibati vyetu weye subiri kaburi tu

  • @alvinsanga2428
    @alvinsanga2428 Рік тому

    MKUKI KWA NGURUWE UMEONGEA KWELI MATANGANYIKA MAJINGA SANA

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Рік тому +2

    Msipate tabu hata siye hatuwataki kila mtu akae kwao kwa kutuletea warabu turudi utumwani hatutaki kila mtu akae kwao

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Рік тому

      Kwan TANGANYIKA ukuwa kolon la waarabu

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Рік тому

      Kuna ubaya gani kuja waarbu NA pesa zao kufanya anagalao mwarabu kuliko kuja wengreza au myahudi waarabu sio wabaya wala hawana chuki NA wa africa lakini waarabu hawajui wala hawaelewi kwamba wanachukiwa hao vijana wa dobai wanaelimu wanapenda kufanya kazi tu kote duniani sio tanzania tu NA kila mahala wanakaribishwa huko uarabuni vijana wengi sana wanafanya kazi kwa amani NA usalama bila ya ubaguzi

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 Рік тому +1

      Mjinga wewe

    • @yussufmussa8122
      @yussufmussa8122 Рік тому +1

      Kijiji kwenu umeendaa lin😢?!

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Рік тому

      ​@@alialamoudi9729tatizo sio waarabu, ni aina ya mkataba.. wawekezaji tunawahitaji,walete manufaa.. tunayasikia makesi nchi ambazo DPW wamewekeza

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 11 місяців тому

    Samia nenda kwenu ukafanye maendeleo tuache susi na mali zetu

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp Рік тому

    Kwanza mshukuru wazanzibar mshukuru muungano. Ukiona mmeuvunja mjue mtaingia kwa passport kama Mtanganyika anavyoingia kwenu mpaka awe na passport. Tumewavumilia sana. Mlipaswa kushukuru muungano Kati yanchi yenye watu m.60 na nchi yenye watu milioni 1 halafu mnagawana mapato Sawa.

  • @ahmedaltauqi7152
    @ahmedaltauqi7152 Рік тому

    Pongezi Babu Juma Duni, kalishwa nini Bumbwini ana oneka kijana na hamasa zaidi .

  • @nickjuma6020
    @nickjuma6020 Рік тому +4

    Kama hii bandari haiwahusu mbona faida inayopatikana gawio pia hupelekwa Zanzibar!! ?? usilete mambo ya udini na Uzanzibar hapa hoja ni mkataba wa wizi na rushwa!!

    • @WeyaniTvonline
      @WeyaniTvonline  Рік тому +2

      Lakini huko bara nyie ndo mnamuita Samiya Rais 'Mzanzibari'. Na viongozi huko wanasema wazi kuwa Wazanzibari yaani Rais na waziri wake wanauza bandari ya Watanganyika kwa mwarabu. So usiseme uongo hapa. Tatizo ni UZANZIBARI na udini pia ndo u awasumbueni Watanganyika.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Рік тому

      Tokea lini gawio la bandari likagawiwa ?Udini unatoka huko bara,sikiliza hotuba ya mheshimiwa Lukuvu kanisani.

    • @salumiddi6500
      @salumiddi6500 Рік тому +1

      Tueleze lini mumetoa gawio la bandari kwnda zenj?

    • @elsonkibasindila7526
      @elsonkibasindila7526 Рік тому

      ​@@WeyaniTvonlinekwani Samia ni mtu wa wapi?

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 Рік тому

      Lini mlowagaiya wazanzibar mapato yenu ya bandari mnafiki mkubwa wewe

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya1693 Рік тому +1

    😢Ama kweli....Samia una kazi!

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Samia Hana kazi nyie ndio muna kazi!si umesoma munaropoka yeye kimyaa kazi inaendelea!haiwezi kujadiliana na wajinga"She don't urgue with a fools"

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Samia kazi yake ni kujiingiza Tanzania na sio kujibizana na wajinga"SHE DOESN'T URGE WITH A FOOL"

  • @mussabendera1751
    @mussabendera1751 Рік тому +1

    Hawachukuliwi, kila mjeshi anataka kwenda safar za nje ya nchi.

  • @labanigalusi874
    @labanigalusi874 Рік тому +1

    muungano wawa sisi wenyewe atuutaki

  • @emmanuelmwakyoma5746
    @emmanuelmwakyoma5746 Рік тому +1

    Mbona huyu mzee hajaeleweka vizuri

    • @user-ex3mw1bj9k
      @user-ex3mw1bj9k Рік тому +2

      Huwezi kumuelewa kwa vile kiswahili sio lugha yako bro wee kausha tu sisi wenye znz yetu tumemuelewa

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Рік тому

      Umeelewa vizur sana ndoman ukacomment VUTU weeeeeee

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Рік тому

    saf kabisa izo hoja nlitaman kuzsikia Leo rais samia anatetewa na ict.

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz Рік тому

    Kwa Hiyp Babu Duni Ndio Unatuchambaaaa au😅😅😅

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Рік тому

    Sijui Chadema unawalaumu kwa kosa gani.

  • @dadymanzy1068
    @dadymanzy1068 Рік тому +3

    Wataelewa tu mpaka kieleweke

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Рік тому

    10:28 kama suala la bandari sio mambo ya muungano, kwa nini waziri anatoka Zanzibar

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Рік тому

    10:28 hapo hujasema ukweli. Viongozi wa dini walikuwepo wote..kwa nini unawasema maaskofu tu..

  • @justinewalwa7387
    @justinewalwa7387 Рік тому

    Chakufanya mwambieni au mlazimisheni atengue kiapo na kuvunja muungano ili muwe huru kama mnavyodai. Na kwa vile yeye ni rais, maana yake yeye ndo kila kitu. Na asipofanya hivyo, basi mjue huyo ndo msaliti wenu namba moja na si Watanganyika

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Yeye ni dereva Tu lkn gari Lina wenyewe na wenyewe ni akili na Kikwete na Watanganyika wenzake

  • @karachiwala5419
    @karachiwala5419 Рік тому

    uyy

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Рік тому

    Mmmmh hawa mlenda tu....hakuna kitu hapo

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Рік тому

    Hii mijamaa kumbe mipumbavu sana, kwani nani aliyesaini huu mkataba mbovu? Kuna mtanganyika aliyesaini? Kwa maneno haya sioni kama kuna muungano tena.

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Рік тому +1

    Duni umechoka haswa

  • @bekabeka-ww2mn
    @bekabeka-ww2mn Рік тому

    usipo muelewa utakua chizi

  • @franciskulwa2322
    @franciskulwa2322 Рік тому +1

    Cjamuelewa hata kidogo anapo sema tunataka Zanzibar yenye mamlaka kamiri cjaelewa

    • @bockerbocker8495
      @bockerbocker8495 Рік тому

      Zanzibar iliyo huru

    • @salyali7807
      @salyali7807 Рік тому +2

      Itabidi ukajifundishe kiswahili ili umuelewe

    • @user-ex3mw1bj9k
      @user-ex3mw1bj9k Рік тому +1

      Utaelewa wakati ukifika tulia tu kwa vile sio shida yako huwezi kuelewa, hata sisi hatuwaelewi mkipigia kelele mkataba wa bandari.

    • @5amediaonline335
      @5amediaonline335 Рік тому +2

      Chukua daftar na peni nikusomeshe

    • @pavillioncry5241
      @pavillioncry5241 Рік тому +1

      Mkataba wa bandari mzur sana kwa watanganyika

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Рік тому

    Mtaendelea kulia hivyohivyo maadamu mumeanza kutukana Wabara badala ya kushirikiana nao kukomboa nchi zenu.

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe3852 Рік тому

    Kwa hatua ya muungano ilipofikia ni bora ukatazamwa upya maana kila upande unalalamika bora uangaliwe muundo unaofaa

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 Рік тому

    Siasa za lawama ni laana tupu. Kabla ya uhuru tuliwalaumu wakoloni kuwa ni chanzo cha shida zetu. Haya tukapata uhuru. Lawama zimeendelea kwa vyama vyetu. Sasa lawama zinaendelea kila upande dhidi ya mwingine kati ya Tanganyika na Zanzibar. Kati yao dhidi ya Muungano. Ni lawama politics

  • @AbdulSalim-xb6mm
    @AbdulSalim-xb6mm Рік тому

    Imewauma lakini imewaingia na bado nondo zitarushwa bila kukoma wakufa afe

  • @denisjoel2833
    @denisjoel2833 Рік тому +2

    Sauti gani hiyo mbona haikufai kama mwanaume? Umeilemba sana mwisho tukushtukie mbona haukuwa hivyo!

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Рік тому

    Historia ya ACT WAZALENDO ILISAJILIWA WIKI UCHAGUZI MKUU UKO MBELE GARI NYINGI MAJIMBO YOTE WALISIMAMISHA WABUNGE WAO. UMOJA WA CUF MAALIMU,DUNI MWENZA,NA CHADEMA LOWASA.MLIPATA WABUNGE WENGI LEO.DUNI MAALIMU SEIF,MNAJIUNGA NA ACT?ILIYOPEWA MSAADA NA......KWELI MKO SALAMA?

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Рік тому

    Sasa mbona hamwendi Mahakamani kupinga hayo?

  • @bigdad1816
    @bigdad1816 Рік тому +1

    Cheap politics Mungu saidia

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Рік тому

      Elaborate for us to understand

    • @papaj6795
      @papaj6795 Рік тому

      Fella if you don't get keep Quiet instead of looking for a solution everyday complain complain this why African we are behind selfish Religious we don't think big we think ccm or other political part same boat.

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Рік тому

    Mbona mwinyi hujamtaja??

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Рік тому

    Wacheni kupotosha umma na ufatani mtupu Wacheni kupotosha umma bhana uongo mbaya na muwajua fika

  • @karenstephen8738
    @karenstephen8738 Рік тому +1

    Waiteni dp zenj wawajengeeni misikiti tusisumbuane stupid

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Рік тому

      Ndio hao wa akina Lukuvi

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      It's very stupidity ideal,Bandari ni ya Watanzania na sio ya Tanganyika na tukienda mbali historia unahukumu ni Nani mwenye Bandari hiyo

  • @hamisndusu3625
    @hamisndusu3625 Рік тому

    Mashoga wengi sio walevi tu hamuwezi kaz mpo kishoga shoga2

  • @adeltuszakumuha9618
    @adeltuszakumuha9618 Рік тому

    Huyu mzee maskini hajui anaongea nini

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 Рік тому

    MWAMBA NGOZI HUVUTUA KWAO

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Ni kweli maana Watanganyika mumeivuta Hadi sasa inataka kukatika

  • @omarsaid6059
    @omarsaid6059 Рік тому

    Ndio tunataka tanganyika yetu

  • @methodrweyendera6814
    @methodrweyendera6814 Рік тому

    Umefilisika akili tu wewe

  • @khairatkhamis5845
    @khairatkhamis5845 Рік тому

    Nick juma huna akili ww upelekwe mental

  • @emmapaul1766
    @emmapaul1766 Рік тому +3

    zanzibar hakuna wanasiasa ni ujinga mtupu

    • @user-ex3mw1bj9k
      @user-ex3mw1bj9k Рік тому

      Unavoona wewe kwa vile na wewe ni mjinga unafkiria watu wote ni wajinga kama wewe, respect ujinga wa watu kama wewe ndio ulowafikisha hapo mlipo mkajikuta mko pending mpaka leo hamjijui ni watu wa wapi sie unaosema ni wajinga tunajijua ni nani ni wazanzibari na wewe unatujua ni nani ingawa wewe mwenyewe hujijui

  • @karenstephen8738
    @karenstephen8738 Рік тому

    Mchukueni huyu bibi yenu kwanza Muungano mshauvunja

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Рік тому

      Kwani aliwekwa na nani?

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому +1

      Na nyie mchukuweni huyu kijana wenu wa Mkuranga!

    • @WeyaniTvonline
      @WeyaniTvonline  Рік тому

      😂😂😂

    • @inukaonlinetv7969
      @inukaonlinetv7969 Рік тому

      😂😂😂

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Рік тому

      Tumchukuwe Sisi kwani ndio tuliomuweka?kama ni kumchukuwa chukuweni nyie halafu muweke Bibi yako wewe mwenye msalaba na kichwa wazi akiwa amevaa kimini mapaja nje!

  • @denisjoel2833
    @denisjoel2833 Рік тому

    Hauna aibu miaka yote Wazanzibari mliishi kwa jasho la Watanganyika hamjawahi kuuchangia muungano hata kidogo iko siku kitaeleweka tu.

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j Рік тому +1

      Usolijua usiku wa kiza kinene. Bora unyamaze tu.

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j Рік тому

      Miaka mingi wazanzibari hawstaki muungano, kama ni mzigo kwenu kwa nini hamuwaachii nchi yao??

    • @user-ki4sg8yz9j
      @user-ki4sg8yz9j Рік тому

      Huna aibu wewe tena hujui lolote juu ya znz inavyonyanyasika kwa muungano huu.

    • @kawiche4911
      @kawiche4911 Рік тому

      @@user-ki4sg8yz9j
      Mwinyi . Mkapa na kikwete ndio wametufikisha hapa. Waluza rasilimali zetu kwa wageni sasa Samia nae anauza bandari swala na hoja kubwa ni bandari au rasilimali zetu kuuzwa kwa wageni na hakuna chochote Zanzibar au Tanganyika inafaidi watu tunaishi kwenye halli duni Tanganyika na Zanzibar tusijigawe tuungane tupiganie uhuru wa kiuchumi pande zote huyu MZEE anatugawa hii haitasaidia kiuchumi.
      Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.

    • @user-ex3mw1bj9k
      @user-ex3mw1bj9k Рік тому

      Kwa vile wewe ni mtoto mdogo sana ndio maana hujui unachokiongelea sababu ya huo muungano hasa ni njaa yenu ndio Mwalimu wenu alikopa sana znz mpaka akaona atashindwa kulipa ndio akafanya ujanja wa huo muungano feki ili aendelee kula pesa zetu na le deni alipotezee asilipe na kumpoteza Rais wetu ili kuuwa ukweli na hata hati ya muungano wenyewe hakuna mnaendelea kutuibia mpaka leo tumechoka na muungano wenu feki mkatuunga sisi nyie mkapotea kizani muko wapiii mmepotea kizani miaka 60 ndio mnaanza kuona mwangaza sasa poleni sana karibuni kwenye mapambano

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 Рік тому

    Halafu ninyi makafiri acheni chuki na waislamu nusu ya raia wstanzania bara ni waslamu na wanamuunga mkono Samia

    • @thobiasbukali9008
      @thobiasbukali9008 Рік тому +1

      Nusu ipi mkuu unayozungumzia?
      Rais haungwi mkono na Waumini wa dini yoyote maana anawakilisha CCM wala siyo Uisilamu wala Ukiristo. Kuweni makini sana na udini,maana tukianza kuchagua kiudini hatutatoboa. Kuhusu muungano nakubali mapungufu yapo. Kikubwa viongozi wakae chini kutatua tatizo. Ni raihisi sana. Wakiamua na tukabakia wamoja zaidi ya zamani.

    • @MariaOmary-dw4yl
      @MariaOmary-dw4yl Рік тому

      Subhanallah pumbavu wewe muislam gani anamsapoti Samia labda wewe peke vk

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 Рік тому

      @@MariaOmary-dw4yl wewe ni kafiri sio muislamu fala wewe

  • @kawiche4911
    @kawiche4911 Рік тому

    Mzee unaumasikini wa kufikiri
    Naona unawaongopea ndugu zetu wanzanzibari
    Hoja ni mikataba mibovu
    Alioingia Raisi na Seriksli yake

    • @user-ex3mw1bj9k
      @user-ex3mw1bj9k Рік тому +1

      Sisi pia tunawafikiria nyinyi mna umasikini wa kufikiri kama ni mikataba mibovu ishapita mingi sana na mlikaa kimya hatujawahi kuwasikia mkicomplain mnapambana na njaa zenu na mikataba inaendelea kulisha wachache sisi haituhusu hiyo yoote mnayoongelea nyie unaotuhusu ni mkatakaba mbovu mmoja tu nao ni wa muungano sio mwengine na huyo ndio mama wa hiyo mnayoongelea nyie leo mlipozinduka baada ya kuzimia miaka 60 ya mnaoita uhuru

    • @alikhamis3723
      @alikhamis3723 Рік тому

      Pale mulipo sema wazanzibar wamewauzia bandari yenu mulimanisha nini???

  • @user-su6xu7ks7m
    @user-su6xu7ks7m Рік тому

    Zanzibar bila TANGANYIKA Sultan msingemzuia kurudi makao makuu yake kwa kutumia Majambia.Zanzibar hakuna kitu zaidi ya karafuu na Utalii .

    • @alikhamis3723
      @alikhamis3723 Рік тому

      Hujui historia wewe nyamaza

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 Рік тому

      Jinga kabisa ili. Visiwa vina mafuta www unafanisha na punda milia... Unafanisha bahari kuu na mappri!! Au hujui kama TANGANYIKA haina bahari kuu bila meli kupita zanzibar haifiki uko. Unafanisha katafuu na korosho VUTU wewe kwa zahabu ina kazi gani zaid ya kujipamba

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Рік тому

      Wewe ni kijana usiofaham ya kale.Kabla ya Uhuru wa Tangamyika,mulikuws

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Рік тому

      Wewe ni kijana usiofaham ya kale.Kabla ya Uhuru wa Tangamyika,mulikuws

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Рік тому

      Wewe ni kijana usiofaham ya kale.Kabla ya Uhuru wa Tangamyika,mulikuws