Hongera DIAMOND, Pole BONGO FLEVA
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Hamna jipya wasafi weshafanya yote hayo wanapiga ngoma za kiba kila ck pale ila tatizo lenu ushabiki nyinyi wanafiki sana
Unabishana na matajiri
Good work no discriminations#crown media
Yule Mmakonde yupo wap😂😂😂😂😂😂😂
Midia za tz zijifunze kwa crown midia kutoa ubaguzi
Baada ya. Watu kuandamana kwenye account yao walikuwa kimyaaaa
Good support for diamond PLATNUMZ ❤ congratulation crown media
HUYU M'MAKONDE ni tajiri wa Wivu na utovu wahisani !!!!---------------- HEBU natumiw lebo yake ainue masanii kutoka chini hadi ainuke tumuone --- wivu NI UJINGA
Duh namiona mbali Sana nyie watu crown 👑 nimoja Tu nyingine mapama😂😂😂
Crown media kazi nzuri sana
Mr pimbi alikuwa sahihi watu wakamtukana bure kipimbi cha watu😂
❤❤❤❤poa sana
Kweli msanii mkubwa
Unafiki mwingi mno kuliko uelewa,bongo flavor ni nini kwani hebu atuimbie tusikie kwake?!
😂😂😂😂😂bongo bhana wacha nicheke 😂😂😂😂😂😂
What going on 😢
About what
Crown Media 👑🎉🎉🎉❤❤
kawaida tu hiyo msiwe washamba
big up crown media
Nakubali
hapo kwenye kupata identity ya bongofleva.
kwanin isitaftwe sound kali kutoka kwenye makabilaya ki tz ili ichambuliwe moja ambayo ipewe mkakati wa kuiwekea nguvu, ipushiwe ili kuleta utofaut dunian?
zeze lilopigwa kwene sensema ni pendekezo langu la kwanza.
Tunamuonambaaaaaaaaali
😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
I love that promotion is going down guys mondi on 💥💥🌎🌎
Craun ni ya kupongezwa sana
Challenges not live concert😂😂😂😂😂
Master Jay kaongea ukweli, hapo hajapromote bongo fleva
Bongo flava ndo ipi? Zile Ngoma za kisukuma, ao kihaya ao kigogo? Sababu naongea hivo ni kwamba hamna mziki wa bongo flava labda kama lugha ikitumika ni kiswahili basi ni bongo flava lakini beat zote ,guitar, piano , ni vyombo vyote vinatumika vina fata beat za nje, kala Jeremiah aliimba regaae sio bongo flava, kina fid q, chid Benz, sugu Wana omba hipap ,sio bongo flava, wasani wa bongo flava kama jay melody ,rayvanny wanatumia mtindo wa zouk nayo sio bongo flava, unakuta ukiangalia hamna pure bongo flava, hata beat za kina TID, so music ni international kwa sasa ,
Crown media munakosha sana
😢😢😢
Kwani ARIKIBA KAPOTEREA WAPI TANGU SEDUCEME😂😂
Yupo kw MAMAAKO MZAZ😂
Wewe umefika wapi kenge wewe
Acha mambo ya kingese
Arikiba ndio nani tena huyo?😂😂😂
Jua kutafatisha R na L 😅
Huyo Arikiba niwako na familia yako lakini sisi tuna ALIKIBA mfalme.
From🇨🇩✌️✌️
Ludi shule kwanza ukafundishwe kuandka ndio uje uandke huo utumbo wako
❤
❤❤❤
Crown mpo kitofauti sana
Mond ukipata callable na Chris Brown acha mziki kaa nyumbani ugoje pepo kaka
Mbona nyimbo ni kawaida sana ila promo kubwa au mimi ndio sielewi
Kwa hiyo walioko TikTok ni younger than huyo jamaa?
Sasa jaman mziki wa bongo atakuwa endapo uwalisia utatumika maana 😂
Mafundi wa unafiki mnatumia sifa kumponda lukuga
Sasa kwanini msitoa maua2 bila dosali
Badoo cr7 tumalize kazi🎉
Bongo fleva nn??
Mnasifia kinafiki😂😂
*watakubali tu*
Misomisondo naye mbona hakuzungumzwa hivi maana naye alipostiwa na crisbrown
Miso misondo alitumia beat ya wimbo wa chriss ndo maana Ali post
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kiukweli mond yuko mbali sana
Chri anacheza kwa mkono wa kushoto kweli zarau 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.konde boy coming number one
Nomaaa saana
Sio sifaa kufurahi msaanii Ngoma yake ikichezwa inje Ila nifa msaanii kukuza kitu cha kwao ili wengine waige...mana kwenye tuzo wimbo wa COMASAVA hauna sifa ya kuingia kwasababu Sio muziki WA kitanzania tunadumisha Mila za wengine kuliko zetu..Leo hii tunawaiga wanaijeria na South Africa kila kukicha Kwa ubunifu wao bhasi nasisi ifike Maali tuingwe Basi..how is bongo frevaaaaa...
Naomba unielimishe kwa kunipa mfano wa nyimbo ya bongo flava. Maana navo jua Kuna hipap za kina fid q, sugu ...hizo sio , Kuna nyimbo Zina mahadhi ya zouk nazo sizo, Kuna reggae kama Justin kalikawe, nazo sizo, sasa bongo flava ni marimbe ? Ao nyimbo za kienyeji za kisukuma ao kihaya? Sababu midundo yote tangu zamani iliiga kwa ki congo, bolingo, ama salsa , zouk , rap hipap, r n b, reggae, ragga, Arabic mix na indian kama taarabu. Because hata singeli Ina sound za beat za nje
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Na missondo je