"UNATAKA KUJUA KUHUSU MUME WAKO?"
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au (kwa Dar es Salaam piga +255712112244) kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
Amen amen daddy pray for me am in Kenya ninatamani kufika uko uniombee nipate pesa ndio nifike
Mungu ni saidie kwa kupitia.njia geodevi
Am ready to start a new life with JN IN JESUS MIGHTY NAME AMEN.
Mungu wangu naomba unione na unijibu haja ya moyo wangu kuptia nabii wako mkuu
Asante sana na hpngera kwa majibu mazuri sanna baba
Yaan mungu wangu tusaidie sasa mtu analazimishwa kikubali kisicho sawa tafuteni makanisa ya kiroho achaneni na makanisa ya kimoyo
Taja makansa hayo ya kiroho
Jiombee mwenyewe
Bwana asifiwe mtumishi wa mungu baba yangu napenda uliyenisaidia sana Kwa utumishi wa mungu umenisadia sana Kwa huduma ya mungu na kufwatilia Kwa UA-cam Yako nimeona mujiza unayetenda naitaji kutendewa na wewe baba yangu Niko Kenya , Nakuru naitaji anointed yako
My name is prophet Esther MUSIMBI
Baba na Mimi natamani unitamkie Mungu wako anionekanie na Mimi nimetamani sana
Kulingana na mungu,,,,,mume au mke wako wa ujana ndie mke au mme wako,,,,,nabii tabiri kulingana na bibilia
Mungu akuongezee.miaka.namiaka.nabii.wamungu
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu
Mungu tenda kwangu
Huyo sio Mungu tunaemfahamu
Sijaelewa kidogo muujiza unatoka Kwa Mungu au Kwa nabii jaman unawezaje sema unataka muujiza kutoka Kwa nabii
Jamani wanawake wanaroho ya udhaifu hadi shida,,,wanaume hawanaga mpango aisee
Baba na mm unisaidie ndoa yangu inatatizo baba
Great anointing!God bless you. Mighty prophet.
Baba unatisha kwa unabii huu Mungu akubariki
Haya maisha yana ma reality 💔eh Mungu tusaidie 🙏
Napenda huduma hii ya nabii mkuu je ntapataje mawasiliano
Baba barikiwa Sana, naomba unabii wangu
Naomba Mungu anijibu maombi yangu kupitia Nabii wake
Jaman dada ana glosary na bado anambiwa atapokea muujiza hivi kwan pombe ni halali na kama ni halali basi atoe sadaka hizo pombe maana wakulima wanatoa mavuno yao, jaman achen kupumbazwa na miujiza kinachotakiwa ni kuacha dhambi
Kwani anaiba hiyo grocery au kakopa kakimbia
Endeleen kupumbazwa na kuzilea dhambi halaf mnataka miujiza hao hao manabii wanawacheken mlivyowajinga badala mfundishwe kuacha dhambi mnataka miujiza Neno la Mungu linasema utafuteni kwanza ufalume wa Mungu na hao mengine mtazidishiwa
Wawe acha zako angalia somo linalosema ufafanuzi kuhusu pesa la soko acha ujinga
@@noahlomayani3778 yan nikwamba huo ni upofu wakutokujua maneno ya Mungu ila isiwe kesi ipo siku mtatambua2 kuwa wap ni nuru na wap ni giza
Huyu jamaa ako kwa biashara lakini pia alipa bongo akaona huyu dada fala akaamua amchane kenya awezi pewa hata 10
Mungu akubariki sana nabii
nabii mkuu ni Yesu Kristo acheni michezo na kuwafundisha watu neno la Mungu
Mimi wangu asirudi unipee mwingine asante nabii wamungu bariki nabii wangu yesu natamani nifike huko 🙏🙏
🤣🤣🤣🤣🤣wewe Estar kwnn hutak wako arudi .mm namuombea huko aliko arud kwako
Nimeshangaa Sana kuhusu huyu nabii nimepitia Hali hiyo us mume wangu kurudi baada miaka 10 Na all HIV positive, nimengepata Namba yake ningefurahi Sana from kenya.
BABA tunakupenda sana,🇧🇮🇧🇮🇧🇮
My ni murundi naitaj nabi aniambie namy ninamyaka 23 sinamume na wenye tuk ubri umoja wamzolea wameowa naomba namy
Ameen Nabii Umenena Vema sn🙏👏
Nakuja dady nakuja arusha
Dada anaupendo wa agabe jamani mungu ampe haja ya moyo wake jamani
Kukosa maarifa nako kibaya mama jiongeze unangoja maradhi?
Daddy you are too fun,luv it
Church iko wapi
Amina mkuu
Ndiyo baba Nabii naomba unisaidie ndiyo yaliyonikuta na watoto nimewapoteza na Afya yangu imezolota nisaidieetu.
Bwana yesu asifiwe baba habari za hapo nyu.bani ninaomba namba ya zimu ninaomba namba ya simu njko moçambique ninaitaji msaada wa kiroho
Hyu jamaa sinema zake nimeziona sana hataji yesu,hasomi bibilia,haubiri,haombi alafu wataka 80 kivipivipi yaani kumanina sana njoo kenya ushangae
Yani wanawake wanavyoombewa kwa wingi, ingetakiwa tajiri namba moja duniani angetakiwa kuwa mwanamke..
Jodevi👉....unataka nini
Mama👉..... nataka muujiza kutoka kwako ( yaani kutoka kwa Jodevi) 🤣🤣🤣 dah, hebu wakristo fungueni akili zenu acheni kutaka vitu kirahisi rahisi, yaani badala ya kutaka muujiza kutoka kwa Yesu eti muujiza utoke kwa Jodevi,,, jamani 🙌🙌🙌🙌 "WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA "(eti nakujibu maombi yako)
...for really Jodevi unawezaje kumjibu maombi mtu, yaani wewe unachukua nafasi ya Mungu, dah 🤣🤣🙌🙌
Alafu anaitikia NDIO BABA!
Hhhh vipofu
Rudia mara mia Halafu uchambe
@@shangwekamando2599 hakuna wa kuchamba hapa, hapa ni ukweli tu ndo utasemwa, i know jodevi in and out, naongea ninachokijua.
God bless you umesema kwel jaman .... Tumwombe MUNGU anaweza yote
Eeeh Mungu nijaalie mwisho mwema.
Maana hawa manabii wa sasa mpaka naogopa.
Ila shehe sharifu safii katumwa na Mungu Huyu hapana kalale mbele
Kabisa
Namshangaa
Mwengine anajiita jehovah huku Kenya yaani vituko
Naskiaga hasira kuona mtu anamwabudu mwanadamu eti nitendee muujiza khaaa
BUPE ISAYA Eti ndio baba!khaaa!
Mkoa Wa Arusha watu wanapenda miujiza cyo Mungu
Bupe ulimwengu wa Roho unautaratibu wake soma biblia vzr utaelewa tu
Ndg huelewi unachozungumza Nabiiii ndo mtu pekeee Anaweza mliza mwanadam kuwa Nikutendeee nini
@@damsonwillison435 sio nabii amfanyie nn inatakiwa aseme unataka Mungu wangu akufanyie nn....na kazi ya nabii nikusema na Mungu attendee kwa huyo mtu maana wote hatuwez kuwa manabii kwahiyo kazi ya nabii n kufichua ya sirini Na wao uomba Kwa mafunuo zaidi sasa huyo nabii kusema unataka nikufanyie nn kwan yy ni Mungu
na wezaje umupata nabii
Thank you 🙏 Jesus
Nampenda San mpemzi Wang to naomba tuludiane kwajina layesu
Nabii wamungu naomba upemzi wangu nimpendae naomba aniludie nampenda san
Tuliacha na mume wangu miaka 9, tulivyo achana akaowa wamepata watoto 2 ,mkewake bahat mbaya akafariki sikuwa nahiyan bwana akanipa talifa yamiba nikaenda watu walinishangaa sanaa moyo niliona tumezika ndugu zake waligoma kuchukua watoto Akawajibu mnanizilia watoto mkewangu mkubwa yupooo atanilelea watoto Eti leo anataka kuludo kwangu ,
Mimi wangu arudi napokea kwa kupitia huyu dada amina
Angetumiwa laki saba angeomba na ya kutolea.
achalia upako na Mimi ila matatizo yanayonisumbua Kila siku nabii
Huyu ninabi wa uwongo fungukeni macho watu wa Mungu.
Hapo hakuna lolote, hao watu wa ushuhuda huwa wanawaandaa ili kuvutia watu.
Umeona huyo baba ni wa kuandaa watu wivu itakuuwa ww
@@chalesnguyaine9991 hakuna wivu hapa ila ukweli lazima usemwe, imekuchoma mfuasi wa jodevi eeee 😜😜
Kondoo zina kuliwa hivio : wakomedy tuuuuuuuu!
Yangu halambi kubaladeki
BABA BABA 😧😧😧😔😌😌😌😌
Cpendagi habari kuwekewa mikono kichwani eti unaniombea mfyuuu
Nitumie na ya kutolea
Huyu dada aliipenda ndoa yake sijui shetani alitokea wapi jamani mpaka anashindwa afanyaje bora nabii amempa ushauri
Aaaa Daddy you are too Dangerous Amen 🙏
Yaani Mimi siwaeoewagi kabisa awa wajinga wanaotaka kuabudiwa kama mungu siwapend toka moyoni,
Yani nitume 80000 na yakutolea du wanawake mmh acheni tunateseka kutafuta et kwajl enu
Uuuuuu ur right Daddy
I wander wat is wrong with people the Church of Christ is founded under Apostles and prophet s bt many denie the truth God has ordained them if you don't like them stop hindering others
Glory Glory Glory
Baba Mimi mwanao naitwa selina Niko mlandizi nahitaji uponaji sitembei Nina mwaka wa sita sipati sikuzangu mwaka wa kumi na moja nahitaji maombi yako nitembee na nipate Siku zangu
Wanaume sijui niseme nini 13 years bila kuonana loading nkilea watoto siwezi ng'angania mtu forward ever backwards never watching from Saudi
Kabisa
mwanaume akuache miaka Minne.akija nitamwambia nimekusahau nikumbushe we nan
🤣🤣🤣🤣🤣🤣na akikukumbusha je utafanyaje?
Kabisa wewe sasa ndio umenena Cecilia
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hacheni ujinga akuna mungu hapo
Naomba no ya nabii jamani nina hamu sana yakuzungumza nae
Mhhhhhh hatari sana sana
Hivi watu hawana akiri nimeamua kukutumia hela. Nimetuma 80 unataka ya kutolea kivipi? So toa inayowezekana kutoa??? Pumbafuuuuuu mjinga Sana Mwanamke wa namna hii.
Tatizo uelewa mdogo yaani utumiwe hela yote hiyo ila anataka na ya kutolea 😀😀😀😀
@@noxlosingida2369 kwangu halambi hata 10
Haahaa afu anaongea kwa ujasirii kabisa!.....inaonekana hana shukran hyo ela yotee ushukuruu
Asirudi. Nataka mwingine
mjinga uyo anataka na ya kutolea du wanawake hawa?
😂😂😂😂😂😂
Hahahahaaaaaa alkua htumi ya kutolea
nabii anakaz ngumu sana mungu amsaidie?
Ameni baba
Nimecheka mimi
Jina la Yesu pekee ndilo lituponyalo na mbona huyu Nabii sijasikia akijata jina la Yesu. Wakati akiwaombea waumini wake jamani tufunguke jamani tuache kufuata mkumbo
Please upload even your preaching
Daah! Mchungaji kakunja 4 kwa Raha zake!
Levina Byamungu,hela inaingia hapo ataacha kuweka 4
@@christermelaka5689 kabisa
Daaah hata mm naona kwa biashara zote hii Iko sawa kabisa
Tusaidieni namba ya nabii huyu jaman
Nampenda San naomb aniludie yuwe km mwanzo nipo njombe
Wahubili waache zambi kwanza acha kutabilia watu wenye dhambi kabla lock haijatoka nikazi bule (Mathayo16:26)
@Mathayo Papiasi Yesu kristo mwenyewe alisema alikuja kuokoa kilichopotea
Kilicho unganishwa na MUNGU mwanadamu asiwatenganishe.
Shikamu baba! Naomba namba zako hili tusiliane! Nina matatizo mabubwa! Tutoka Moçambique
Piga hela mzee,..
Kabisa
Biashara tamu hyo bob
Ahaaa kwel anapiga uyu da
Me cwesi kabiza
Ohooo no confused woman
mwenzie haombi yakutolea
Nimecheka mimi
🤣🤣🤣
Barikiwa sana mtumishi ushauri nimeupenda
Hapo sawa nilitamani nimjibie vile duuu
CounceLL hyooooo"""
Uyu mama nae baga mtu kakuach aruud na maukimwi yake nawe umpokee stareh alikula nanaii ww uje uuguze fyuuuuuu
Huyu mwanamke hana akili nzuriiiiiii. MWANAMUME akazunguke alete ukimwi muache WATOTO mayatimaaaaaa. USHENZI GANI HUYOOOOOOO????
Mwehuu auguzww ukoo
Alipikwa huyo maana akiwa timamu huwezi ngoja miaka 13
Hiyo dada mjasiriamali namuhita sana.
Nafanya kazi benki, hata kupiga deki. Lakini si benki.
I connect myself to this prophecy even me Lord Jesus send me my own man
Indeed sister he will, God's time is the best
Hivi Yesu aliposema hakujatokea nabii mkubwa kama Yohana mbatizaji alikuwa na maana ipi.
@Nickodem Mwandambo hakujatokea Nabii mkubwa kuliko Yohanna maana yake manabii wote wale wa agano la kale waliomtangulia yeye walikua wadogo Hata biblia inasema aliyemdogo kwenu katika ufalme wa Mungu ndiye atakua mkubwa
Muulize Kwa kufunga na kusali atakujibu
Wazinzi wakubwa nyie, kazi kuachanisha ndoa za watu, subirini jehanam ya moto wa milele, na nyie mashabiki someni Mathayo 24:24 watatokea manabii wauongo nakufanya ishara kubwa namaajabu kwaajili yakuwadanganya watu
Mathayo 7:15-23 Nyie munajiona mpo kanisani lakini mpo katika njia iendayo upotevuni( moto wa milele)
Asipo tubuu nabi huyu atakufa hovyo
Jama hawa madem watatuua yaan ya kutorea kutorea daaaah
Nabii mkuu!
Huyu dada mjingasana,w watoto wetu niwabishisana
Ifike pahala wanadamu tujitambue,nenda mbele za Mungu moja kwa moja na ujinyenyekeshe kwake,alafu uone matokeo yake,nyie mkipitia magumu tuu mnakimbilia kwa manabii,amkeni jamaniiii,manabii wa sasa wanawadhalilisha tuu haki,
Hiyo ndio dawa ya kulishwa matango mopori...I mean Mungu ndie mwenye majibu yetu na siyo mwanadamu .wewe nabii huwezi kuwa na majibu ya huyo dada.kwann unamdanganya hivyo 😞😞😞😏😏😏
Heeeee nothing
Niombee namagonjwa Hlv banibeba ngu o nataka uniombee nataka mwaume
Hela ya kutolea,,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu kiboko
@@noxlosingida2369 unaonaje hyo biashara
Jamn naombeni namber zahuy mtumishi
Maboya
Mrudie ukaambukizwe huko wenzako hawana kazi nawanalea watoto wewe unakazi lakini bado unangangania mwenye virus
Mungu mwema
Namshangaa mimi miaka 3 nimekusahau mpaka jina
Ya kutolea ya nini hiyohiyo inatisha mnapendaga Sana punguzeni
Ikiwa kiwete anaweza kufanya kazi itakuwa wewe na mikono yako hebu give us a break
Yaaan wanawake cjui mmerogwa na nan kwann hamfunguki mnakwama wap
Aiseee
Shadrack ni huko Tanzania lakini aje Kenya apatane na wanawake wagumu
Yaan kwa ufup wanawake mmetekwa sana mnadanganywa na jina nabii cjui nan vp lkn hamwon mnajidhehesha kuanika mambo yenu mbele za watu
@@shedrackchadulaga5501 hyu hajui uchungu wa kutafuta hela mwambie aje Saudi ndio ajuwe uchungu wa hela
Wewe dada umeganda akili mnooo. Wa nini sasa