Dakika 10 za Maangamizi / Toxic

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 885

  • @alfreddavas358
    @alfreddavas358 4 роки тому +92

    Enzi hizo ndama mutoto ya ng'ombe ila siku hizi john mutoto ya pombe...kama umeusikia huo mstari pita na like hapa

  • @anthonylister754
    @anthonylister754 4 роки тому +101

    Ebanaa eeh!.. kama ushaangalia hii video zaidi ya mara5 tujuane 👍... #Toxic unabalaa ww mtoto 👑

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 3 роки тому +2

    Namtaka mwny range wkt baba yako anapaki ndala, hata nyoka mwny sumu unaweza kumuua kwa maziwa, kifo hata nisipomwomba Mungu hawezi kuninyima, chupi ni singilendi ya miguu, mnafiki sio yule anayepangua ninayopanga bali ni yule asiyeamini katika uchawi wakati mama yake ni mwanga, we fala ni nomaaa sana. Kuna fee style na free style

  • @saimonsilva6209
    @saimonsilva6209 4 роки тому +225

    Toxic fundiiiii mazee kwa anayemkubaliii atupie like

  • @smartworktz2128
    @smartworktz2128 4 роки тому +163

    Hamjawah nipa like aiseee...nipeni likes mia tuu Ila huyu MwaNa ni kisanGa

    • @hamisigungu9980
      @hamisigungu9980 4 роки тому +1

      Hizi ndio freestyle Sasa ,kudadadeki mapafu ya fisi mwanzo mwisho mpaka anakatiwa beat,hakulazimishi corus unaimba mwenyewe kilaaiiiniii,asee utaipenda hiphop bana kumbe Kuna wanayoiharibu asee,mbona Sasa wakongwe wajiandae asee na huu mchakamchaka!!!

    • @dottodavid1935
      @dottodavid1935 4 роки тому +1

      We shoga nini, yaani achane Toxic likes tukupe wewe

    • @chekautamu3487
      @chekautamu3487 4 роки тому

      Caliii

    • @smartworktz2128
      @smartworktz2128 3 роки тому

      @@dottodavid1935 ukizeeka lazima utakuwa mchawi ww😎

  • @m72gang
    @m72gang Рік тому +3

    Toxic umeuwa man hhm 72 from 254 kenya

  • @EarningsEdge101
    @EarningsEdge101 4 роки тому +23

    uyu ndo mtu niliekua namsubiria aje kuangamiza na ameua kabisa! sasa ata nikiacha kufatilia dk kumi za maangamizi amna shida.

  • @DekelvaSoujaboy
    @DekelvaSoujaboy Рік тому +2

    Daaah toxic fuvu unyama kama wote na kukubali sana mwamba Never disappoint Love from Drc Congo Lubumbashi ❤❤❤❤ mistari yako unasomeka unyama ni mwengi

  • @khaledmrtrap6937
    @khaledmrtrap6937 2 роки тому +4

    Toxic anajuaa bn ila asiwadharau wenziee anajuaaa bn ambay hampend mchawi

  • @raphaelmbanga5542
    @raphaelmbanga5542 4 роки тому +16

    Moja kati ya dakika 10 zilizofanyiwa maajabu, Toxic kills it🍻

  • @muddyally799
    @muddyally799 4 роки тому +4

    Daa yani katika top freestyle Toxic wewe ni noma sio wale. Wanaoimba nyimbo zao ..hii ni next level.

  • @saidinalmsofethatsgoodwaya6454
    @saidinalmsofethatsgoodwaya6454 4 роки тому +9

    Nafasi ya Mangwair imepata mtu wa kuiziba nice brother!!

  • @guruvoke4331
    @guruvoke4331 3 роки тому +13

    You can tell this is freestyle the way he engages those presenters like kumguza na kumtaja jina huyo presenter. This is fire, best freestyle by far have ever seen from Tanzania. Love from Kenya

  • @nyumbumjanja
    @nyumbumjanja 4 роки тому +15

    Weweeeeeeeee jamaaaaa Big up sanaaaa #Toxic Rapp Kali, Flow, style kaliii💥💥💥💥

  • @MohamedShaban-bo6rd
    @MohamedShaban-bo6rd 4 роки тому +72

    Best freestyler of all time

  • @valencevedastus2954
    @valencevedastus2954 4 роки тому +25

    Ngwear kazaliwa temeke🔥🔥🔥

  • @official_shaban4101
    @official_shaban4101 4 роки тому +18

    Duuuuuuh Mr toxic ni fireeeeeeee🔥🔥🔥 Tisha Sana jeshi God blessed you ufanyikiwe

  • @allyramadhani9081
    @allyramadhani9081 4 роки тому +14

    Nyiiiieee wajanja kama mmnamkubaliii toxic ile mbaya gonga like kama 2000 twende xawa

  • @MoneyDaily
    @MoneyDaily 4 роки тому +39

    This is by far the best freestyle I ever heard from Africa. Real bars of the dome and so organic. Keeping it EastAfricaRadio for more entertainment!

  • @fidelisdamu784
    @fidelisdamu784 4 роки тому +12

    Bring for us Jini kujua he is one of the best upcoming rappers fanyeni aje kuangamiza🔥🔥

  • @sirobinsiro1436
    @sirobinsiro1436 3 роки тому +6

    Hakuna Cha bongo bahati mbaya aiseee..tungezaliwa China wowowo tungeiona wapi🤭😂😂😂 Toxic you on another level bruh💥🙌🙌

  • @daniikirunda7113
    @daniikirunda7113 4 роки тому +22

    Hahahaa umechinja mwanangu Sana TOXIC...FreestyLe master 💪

  • @mathewtuwei1031
    @mathewtuwei1031 4 роки тому +9

    Natural talent, hakuna kulazimisha , yaani flow inabuniwa hapo studio😄

  • @deenicetz
    @deenicetz 4 роки тому +27

    Dah tokea dk 10 zianzishwe,this is my best session of all the time,ma mcs wa siku hz sijaona wa kumzima huyu jamaa,Salut sana toxic

  • @kiokomutua3209
    @kiokomutua3209 4 роки тому +27

    cypher realist 254 mob love toxic,,,wapi likes toka nyumbani kenya

  • @ltprod3714
    @ltprod3714 4 роки тому +26

    Now this is real freestyle off the top.....

  • @midopestjr5297
    @midopestjr5297 4 роки тому +28

    New cowbamaaa..... freestyle killer🔥🔥🔥🔥🔥

    • @midopestjr5297
      @midopestjr5297 4 роки тому

      @Cheka na Samjela ziko wapi...

    • @midopestjr5297
      @midopestjr5297 4 роки тому

      @Cheka na Samjela bac anafanana na wewe...😜😜

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 4 роки тому +28

    Dah! Uyu jamaa n balaaaa yani yupo freshi kwa uandishi yupo fiti pia kwa freestyle... Ubarikiwe sn mzee toxic...

  • @allenottaro
    @allenottaro 4 роки тому +14

    Deadly freestyle! 255 MCs are on fire meeeen! Kama hela nishapay! Mad love from 254

  • @RyaiNews
    @RyaiNews 4 роки тому +6

    Huyu SUMU fala na nusu dadeq zake, kila beat anazunguka nayo kama anafagia uwanja😅 salute mia sama asee👐👐👐

  • @Ibrahcataryan
    @Ibrahcataryan 4 роки тому +7

    Nadiriki kusema kuwa huyu mwamba ni freestyle killer#Toxic🔥🔥🔥

  • @ItsThedon2Lorenzo
    @ItsThedon2Lorenzo 4 роки тому +2

    Mzeee flow Kali Kali Noma sana

  • @Ammy_Rain
    @Ammy_Rain 7 місяців тому +4

    Till today 2024 fellas lets gather here bdo hakujatokea freestyle kali kuizidi hii yan mwamba anashuka tu like a cassette 🙌☝️sijawah choka kuisikiliza

  • @huberthaule3621
    @huberthaule3621 4 роки тому +12

    best freestyl rapper ever in tz

  • @willywilson3442
    @willywilson3442 4 роки тому +8

    Mad love from +254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    Tushakubali🙌🔥

  • @sallyzanzibar2817
    @sallyzanzibar2817 3 роки тому +4

    Salute bro 🔥💪🏾 kazikazi

  • @adomedia9932
    @adomedia9932 2 роки тому +1

    Huyu jamaa ndio the best so far, salute!

  • @naimannganunga4072
    @naimannganunga4072 2 роки тому +2

    Toxic mnyama kabisaaaaaa💥💥💥💥💥👏👏👏👏👏👏👊👊👊

  • @zizimayotham7279
    @zizimayotham7279 4 роки тому +7

    Hii ndo maana ya freestyle 🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @nnex334
    @nnex334 3 роки тому +1

    Uyu jamaaa so poa
    Anaweza💥💥💥🤟🤟🤟🔥🔥🔥

  • @eddytzonlinetvTallMan
    @eddytzonlinetvTallMan 4 роки тому +31

    NIKITOKA HAPA NAMTAFUTA IMSTAR UYU BWANAA OG...

  • @shaxymemes4163
    @shaxymemes4163 3 роки тому +4

    Uyu mchizi daaah katengwa

  • @sebasidney8440
    @sebasidney8440 2 роки тому +7

    After almost two years i never hear freestyle like this he is freeestyle killer💥

  • @pharergyramson5918
    @pharergyramson5918 4 роки тому +30

    Huyu jamaa ni mchafu best rapper cjawahi ona kwenye hizi dakika 10 za maangamizi yan anafanya anachotaka kwenye beat dah qummke huyu kweli sumu

    • @hamisigungu9980
      @hamisigungu9980 4 роки тому +2

      Yaan ogopa hiphop inachwana bila kukunjwa sura halafu inapenya,jamaa sijawahi shuhudia hiphop kiwango Kama ya toxic

    • @daviem8538
      @daviem8538 4 роки тому

      Yuko vizuri sana aisee

    • @ibrahimuKidevu
      @ibrahimuKidevu Рік тому

      kibasilaaa boy

  • @twalibtz1936
    @twalibtz1936 4 роки тому +19

    Tumeumbwa na mishipa tumewekewa na misuli ndo maana ukiumwa mshipa unavaa msuli 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Dillarare
    @Dillarare 4 роки тому +27

    4:26 Nani kasikia huo mstari "Hata mkipiga wimbo wa taifa...ila shoga hasimami" 🤣🤣🤣🤣

  • @eidmaulid6655
    @eidmaulid6655 Рік тому +1

    Zamani Utasikia mimi ni ndama mutoto ya ng'ombe sasa hiv shida ni magufuli mutoto ya pombe duh hatari

  • @Shuletz075
    @Shuletz075 4 роки тому +1

    Nakubali Sn Umetsha Mwng

  • @kutosidenis
    @kutosidenis 3 місяці тому +1

    Kama upo hapa 2024, gonga like tukisonga mbele

  • @yahyasaid5841
    @yahyasaid5841 4 роки тому +25

    Hhhh uyu jamaa me skueza kumskiza mara moja yaani 🔥

  • @dannymartin2656
    @dannymartin2656 4 роки тому +7

    Wanaomkubali toxic wa gonge like hapa twende sawa 💯💯🔥🔥🔥💥

  • @shadrackmarembe
    @shadrackmarembe 4 роки тому +5

    Toxic I love your job,, this is more wonderful, keep it up.. Mistari kinoma

  • @gerald_boss
    @gerald_boss 3 роки тому +4

    Real freestyle...no pre-written bars here

  • @AthumaniMsumbwa-qf3dx
    @AthumaniMsumbwa-qf3dx Рік тому +2

    etibongo bahati mbaya wakati bongo tunabahati beeg up TOXC fuvu

  • @godlistenshayo1144
    @godlistenshayo1144 4 роки тому +1

    Mzee cjamaliza naona ushauwa unajua sana you nailed it

  • @mormanjk7534
    @mormanjk7534 4 роки тому +12

    Bigger thinker freestyle toxic 2020

    • @juliusnorasco8803
      @juliusnorasco8803 4 роки тому +1

      Oy mwanangu uyu toxic si aludiswe au sio mwanangu

    • @juliusnorasco8803
      @juliusnorasco8803 4 роки тому +1

      Oy mwanangu uyu toxic si aludiswe au sio mwanangu

  • @mwambete
    @mwambete 3 роки тому +6

    This guy is an alien 🙌🏿🙌🏿🙌🏿 🔥🔥🔥🔥

  • @mudathirumwalimu4767
    @mudathirumwalimu4767 2 роки тому +1

    Kali cana kaka

  • @sayuniurassa2826
    @sayuniurassa2826 4 роки тому +2

    Huyu ni sumu na yeye kaandika historia ya pekee Leo his the best rapper in this earth. Keep it up John.

  • @ernest4470
    @ernest4470 4 роки тому +9

    Best freestyle of all time

  • @kevinndie5635
    @kevinndie5635 2 роки тому +1

    Moto pasi

  • @johnbuhumbi1593
    @johnbuhumbi1593 4 роки тому +21

    Huyu jamaaa apate mtu wa kumshika mkono tu ni bonge la rapa ,hii ndio Kali yang 2020 naitabiria

  • @hamisimsangi8274
    @hamisimsangi8274 3 роки тому

    Huyu dogo anajua mimi namkubali mno @ mungu amjalie afike mbali

  • @mdigokhan8227
    @mdigokhan8227 4 роки тому +34

    Dislike za nini sasa mlitaka aimbee na mama zenu 💥🔫

  • @jamesdeus7044
    @jamesdeus7044 3 роки тому +1

    Daaaah asee🔥🔥🔥🔥🔥 noma sanaa naraumu kuchelewa asee

  • @pidpower9920
    @pidpower9920 4 роки тому +3

    Nasema ukweli jamaa kamfunika boshoo ninja yani dah

  • @lemaxGallery
    @lemaxGallery Рік тому +2

    Here 2023, still the best💦

  • @tomexman455
    @tomexman455 4 роки тому +15

    Freestyle 💥💥

  • @Mtamaduni14
    @Mtamaduni14 3 роки тому +2

    Best freestyler

  • @vincemugeni
    @vincemugeni 4 роки тому +10

    The freestyle is on point, 🔥

  • @littleangelslearn9332
    @littleangelslearn9332 11 місяців тому +1

    Huyu jamaa picha yake iwekwe hapo studioo

  • @PremaMarcel
    @PremaMarcel Рік тому +1

    2023 listening at this hatar sana

  • @ComfidenceNakamba
    @ComfidenceNakamba 9 місяців тому +1

    Wewe mukali from Zambia

  • @AboubakariAgogo
    @AboubakariAgogo 10 місяців тому +1

    Battle la Toxic vs Mbeya Boy Chuma Tuleteeni Planet Bongo

  • @BBMBonnie
    @BBMBonnie Рік тому +1

    Apatiwe soda 🥤 kwa bill 💵 yangu, moto 🔥 sana

  • @shakazulu8532
    @shakazulu8532 2 роки тому +1

    Mwaaana anajuaaaaaaaa balaaaaa

  • @kibwanambegu2295
    @kibwanambegu2295 Рік тому +1

    😂😂😂 zaman ukiona X alama ya kubomoa, sasa ukiona X alama ya kubong'oa

  • @MartinJ.D.Msigwa
    @MartinJ.D.Msigwa 4 роки тому

    Toxic freestyle ✌✌ tisha mbaya

  • @kevinmay7262
    @kevinmay7262 Рік тому +1

    So toxic boy...the best ❤

  • @officialkatuba
    @officialkatuba 5 місяців тому +1

    Toxic ni mmoja tu u kill it bro🔥🙌

  • @adomedia9932
    @adomedia9932 2 роки тому +1

    Muregeshe tena huyu bingwa bana ni sumu kweli kaua show🔥🔥

  • @barcarynzory3763
    @barcarynzory3763 3 роки тому +1

    Mkali sana

  • @EmceeMjax
    @EmceeMjax 4 роки тому +5

    Toxic amepuliza sumu ya kweli, unatisha mtu mzima 🇰🇪

  • @sumaussi7764
    @sumaussi7764 3 роки тому +1

    Wale tunaosikiliza hadi leo tujuane, huyu jamaa noma

  • @meddymewa1663
    @meddymewa1663 4 роки тому +1

    Duuh this one Toxic ameuaa
    Jah bless 🙏🙏🙏🙏

  • @karathajunior6675
    @karathajunior6675 3 роки тому +1

    Daaah.. this is the best free style.. ever

  • @teddyauch1788
    @teddyauch1788 4 роки тому +11

    Jamaa ni sumu mwana anabuni mistari kwenye mic....toxiiiiiiic

  • @ibrahimimu4618
    @ibrahimimu4618 4 роки тому +1

    Dulla jamaa mlete tena kwenye maic
    Big up toxic

  • @ritadama6588
    @ritadama6588 2 роки тому +3

    Toxic is the toughest rapper in Tz karibu 🇰🇪

  • @shumamwinyikombo5981
    @shumamwinyikombo5981 4 роки тому +6

    Ooohh my God.....!!you killed it....shit umeuwaa bhabha🙌🙌

  • @nivogee9830
    @nivogee9830 4 роки тому +1

    Big up sana mzee umefanya kitu kubwa mzeee una bonge la talent afu una nonge la vibe mnigaa kazaaa

  • @justinewillson844
    @justinewillson844 4 роки тому +8

    Ww Jamaa n mbwaaaaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥

  • @davido-scooper9471
    @davido-scooper9471 3 роки тому

    Toxc anajua sana

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 4 роки тому +14

    Jamaa mwenye Tshat nyeupe haimini anachokisikia na kukiona ...!!
    Anashangaa shangaa kama fala 😆😆😆

  • @MiaTheLathini
    @MiaTheLathini 4 роки тому +3

    Toxic Fuvu
    Damn Ume-Murder sana👏👏💪

  • @ismailabdallah4512
    @ismailabdallah4512 2 роки тому +1

    Hip hop never big up tixic

  • @Charles-xs7by
    @Charles-xs7by 4 роки тому +4

    Like kama umemfeel Ngwair, King zilla, Stereo, Bill Nass na Nikki Mbishi...ndani ya #toxic
    Jamaa amenipa ladha zote za muziki..all in one package...
    #temeke

  • @frankbundi7713
    @frankbundi7713 Рік тому +1

    Kenya representing 🇰🇪 💯 🙏

  • @abelsembuli6066
    @abelsembuli6066 4 роки тому +7

    Huyu Buda , He is the Best One Kwa Wale Wote Mc's Waliopitaga kwa 10 Dakika za Maangamiz

  • @bernardmkuffya5171
    @bernardmkuffya5171 3 роки тому +1

    Toxic simalizi kumcheki yaani daily ni fundi sana.big up bro.