MUSUKUMA amraru MPINA kwenye hukumu yake, MPINA ashindwa kujizuia asimama kuongea
Вставка
- Опубліковано 23 чер 2024
- ..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook - Розваги
Musukuma nae Kawa mdembwedo MR MPINA jembe hili Mungu amulinde
Tatizo la watanzania tuna amini kua utukutu ni jambo jema. Alicho fanya mpina ni kosa
@@birianination7097fact
@@birianination7097
Kabisa kosa kubwa sana
Viva mpina mungu akulinge na aku bless
Mmmh unajua alicho fanya ila, au mfata mkumbo
Mpina akili kubwa kuliko Msukuma😂😂😂
dah!
Msukuma kumbe ni jitu la hovyo,vile mnamtetea huyo msomali wenu,ndiyo tuliyowatuma?Tuna ina imaani na MPINA.
Mpina akiwa waziri wanyonge tulikula samaki Leo samaki inaliwa na tajili mpina uko sw
Yani wangejua kuwa wanampaisha kisiasa alafu wao wanajishusha hadhi wao wangeacha kuropoka
Kajamaa haka Nako kanaropokaga ropokaga tu Kapoyoyooo Fulani.
Kwa jina la yesu mpina atarud bungeni 2025 tena Kwa kishindo na Kwa uwezo wake yesu HAO wanafiki wote hamtarud bungeni 2025
Msukuma Msukuma..... Msukuma kasheku... Hujui kuwa hujui... Watz tuko wengi hayo ni mawazo yenu. Wananchi tunasemaje.....alicho wasilisha hatungekijua kama asingekisema
Mpina oyeeeee
Unajua alicho fanya
Hatuna bunge bali tuna genge la maharamia
Kama like la kenya hawajielewi kabisa
Mpina usiogope unajeshi kubwa la watu nyuma yako
Mpina ndiye mshindi kwenye game ya kutetea wananchi, mnaomshambulia ni watetezi wa matumbo yenu tu hilo tushalijua wapiga kura
Katetea wanyonge au katetea matajiri? Akili za kuambiwa changanya na zako
@@haggaikinyau1395 kitu ambacho hujui ni kwamba wamepewa tender watu wasiohusika na masuala ya sukari na kupindisha utaratibu wa kisheria wa ununuzi wa sukari kwa lengo la kupiga fedha ya mnyonge. Mafisadi kwa sasa wamekuja na porojo watakazoziamini mataga kuwa wanatetewa matajiri.
Msukuma ni moja ya wale viongozi Nyerere aliwahi kusema wananunulika..Msukuma amenunulika sasa yupo team kikwete
Huyu Msukuma kwa Sasa Hana hoja.
Nitakuwa ni mnyimi wa fadhira kama sitampongeza Mheshimiwa Mpina...!! Mpina amekuwa ndiye shujaa wetu ndani ya Bunge na hata nje ya Bunge...VIVA...VIVA...VIVA... VIVA... Mheshimiwa Mpina
Kwa ushujaa upi uliouona wewe, upuuzi mtupu
Sisi watanzania na Mungu tuko pamoja na Mpina. Wengi wenu wabunde ni madwanzi tu
Legend Luhaga Mpina ... 🎉🎉🎉🎉
Mmmmh! Unajua alicho fanya ila
Mimi niseme ingekuwa kumchagua mtu bila kadi ya ccm , chadema ,ACT ama chama chochote basi jimbo la kisesa MPINA anashinda. Kama hujui watanzania wanataka nink basi tujaribu siku moja hiyo.
Huna maana yoyote wewe Msukuma na nimekushusha mpaka mwisho kwa unafiki wako,hufai kuwa Mbunge hata kidogo
Bunge LA ajabu kuwahi kutokea duniani ,,mnaoenda tofauti na mpina wote hamjielewi kabisa Muda wenu unakuja mimi niko na MPINA
Wewe na wasukuma wenzio!
Legend mheshimiwa mpina
Kasheku Kwa sasa Hana jipya,
Dawa zimeisha nguvu
Mm niko bega kwa bega na Mpina
Hongera mpina, upo sahh sana ,ngoja hao wakuzodoe Kwa kukuondoka bungen lakn ss wananch tutakulpa kura mwakan 2025
Huyu msukuma ni Fala sana
Hata sijui anafanya nini bungeni hiyo nafasi wangekaa mtu mwenye taaluma
HATA MNGESEMAJE MPINA NI MWAMBA NYIE WENGINE MNATUPIGIA KELELE TUU
Unajua alicho kifanya mpina
Mh Mpina Mungu ubarikiwe kwa kuwa mzalendo kwa nchi yako ndio maana wanakupiga vita wewe ni tunu kwa taifa letu
Hongera Mpina umetekeleza wajibu wako kama mbunge
Wewe Msukuma ndiye anayelifhalilisha bunge
MR Mpina Ni Akilikubwa sana
Hana lolote huyo kakosa uwaziri sasa anatapatapa
Kwa hiyo ni sawa kuendelea kununua sukari 10000 maana ndio wazo la mpina
Mpina mwambaaa
Unajua alicho fanya
@@birianination7097Tuambie wewe
Ww msukuma mm nlikua nakukubali Sana lakini Toka uwanyanyase wavuvi kuchoma mtego yao sikupend na mungu atakupa laana utakwenda walipa ukifa
Msukuma saiz yy ndo Ana msongo wa mawazo mpina oyeeeeeee
Kweli Wabunge hatuna, kila kitu ndiyo Mzee hadi Msukuma amekuwa ndiyo Mzee?
Wewe Kasheku darasa la saba hujui lolote hata wanao nyumbani maana ninahakika umewapeleka shule watakuwa wanasema kweli tuna baba kilaza mama alimkubalije huyu nyumbu?🤣🤣🤣🤣
Mpina kaupiga mwingi alitambua kabisa kuwa hoja zake zisingewafikia wananchi.
Kweli mukuma mnafiki alichoma mitengo ya samaki kwa mjibu wa sheria au kwa mawazo yake
Msukuma nilikuwa namuelewa sana but, kwa hili ame ni disappointed sana msukumaaa
MPINA sisi wenye Akili tunakuelewa sana tena sana wananchi wote tunaumia sana kupewa ww adhabu kisa kuwasema kwenye ukweli aloo...Tz muelekeo sahh imepoteza😢😢
Mbunge huyu ni bendera ,hana uwezo wa kuchambua mambo Bali kujipendekeza.
Hizo nguvu mnezitumia kwenye mswaada wa bandari lakini mlikiwa kimya af mambo yasiyo na maan ndo mnakaza misuri machawa watupu, MPINA for life
Kumbe msukuma fala sana
Ndo maana na kesi za CAG zimepuuzwa, Ukisema ukweli unakuwa na hatia tena, hii Tanzania ukiiba kuku ndo wizi 😅😅
Wote ni wapuuzi wakubwa tu. Kumbe wabunge wengi wanahangaikia matumbo yako tu, nadhani washughulikiwe na Wananchi kwenye majimbo yao
❤❤❤❤❤❤❤NIKWELI MSUKUMA HUYO MPINA ANAVUTA BANGI
www mbwa nyinyi wote vibaka hamtaki kuambiwa ukweli mwaume ni mpina pekeake
Wananchi amkeni. Hatuna watetezi.
Msukuma unajikomba kwa serikal achazako
Msukuma yy ndo anamsongo wa mawazo sio mpona mwamba
Msukuma MNAFIKI SAAANA HOVYOOOO
Yaani Msukuma ni mpumbavu vibaya msenge kweli
Hivi leo kuna mgomo wa wafanya biashara kariakoo
Bunge mnakaa kumpiga vijembe vya kipumbavu mpina baada ya bunge kushughulikia mambo ya muhimu kama haya
Any way nchi hii haijawahi kuwa na bunge la kipumbavu kama hili kila kitu kujipendekeza kwa serikali
wachangiaji mbona hawatoi hoja kama mpina alivyotoa yeye, ametoa ushahidi wa namba...ila ccm nzima majungu tupu yaani.
Shida ndio hiyo hawaendi kwenye point wanakwepesha hoja inaonekana hawa wote wezi
Napenda kukumbusha Msukuma, maneno unayozungunza yanakaa zaidi ya miaka 400, siku moja yatakuhukumu
A man of the people , Mpina, has become "an enemy of the people"
Kipindi Cha Magufuli hata mbwa walipewa ubunge...
Mh tuliwaona kwenye mswada wa bandari hamna msimamo ...ogopeni Mungu hela ina mwisho
Huyo ni Mbunge na atarudi 2025 kuwapiga nyundo mapoyoyo nyie
Msukuma ni mfanya biashara hawezi kupinga ufisadi maana hatujui kama hii ni mbinu ya kulinda mitaji ya biashara zake
Kwahiyo hapo nani fisadi mpina au bashe
@@ramsojimmykelly3379 Bashe anatumiwa na wakubwa kuwakusanyia pesa za kampeni
@@samsonhamery3809 mwana akili huna!! samahani lakini
mpina yeye anamtetea nani hapo kwenye suala la sukari
Mnasoma lakini koment za hao watanzania mnao wazungumzia kuwa wanawasikieni 😂😂😂😂
Mpina mwamba Mungu akupe roho ya ujasiri
Hongera Mpina.
Huyu msukuma ni mnafiki Sana, wabunge wengine mko kutetea ufisadi tu
Umeongea kweli Msukuma waziri kama bashe ni kiongozi bora sana
Huu mfumo jike utanyanyasa sana wanaume na kuidharirisha nchi hii vibaya wanaume kuweni makini mnapiga makofitu bila kutafakari kwahiyo ukibishana na mwanamke tayari niuonevu kwa mwanamke.Aloo mbona Pana kazi kubwa sana .
Tz ukiongea pumba na kuvunja sheria ndio unakuwa mwamba na kuonekana anafaaa😂
Mimi nashangaa wanao mkubali mpina kivipi
@@chusseboywcb2808kakosea nini ndugu kuanika uovu ni heshima mbele za Mungu na duniani
@@chusseboywcb2808 mpina mkweli
Jamani i feel to cry.yaan kweli wabunge wamekua machawa ivi.
ccm ndio laana tuliyolaaniwa Tanzania ,tujitahid kuitubu laana hiii.hivi wamepewa mgao au n uzezeta hawajielewiiii
Katika Wachangiaji wote Msukuma amezingua sana hasa aliposema Luhaga Mpina apimwe afya ya akili huo ni udharirishaji Tena kwa haki za binadamu Msukuma anatakiwa kufunguliwa kesi na athibitishe tatizo LA akili la mpina lipo wapi!?
Visasi vhavitamuacha mtu salama
Tuko na mpina mwanzo mwisho msema kweli
Adhabu ya Mpina tumeiskia. Ya Bashe nayo yawekwe wazi.
Msukuma bang zinamsumbua naona alichanganya na gongo taifa linaangamia mpina anapiga kelele taifa lipone mnampa hukumu tuone hiyo hukumu kama nyie mtabak salama
Msukuma ulichangia nini kwenye bandari?
Once you stand on the truth you will always stand alone
Nyinyi wabunge hajitambui mnampa mbunge adhabu isiyo mhusu mkimzuiya kuhudhuliya vikao mnatunyima sisi wananchi muwakipishi mnyimeni mshahala sio kuingia bungeni jipimeni
Yaliyowakuta wenzao wa kenya kwa sababu ya kulindana yako jirani hawana hata aibu😢
Mpina hamia chadema tunakusubiri una starndard ya viongozi wetu
Niye kama Bunge kaeni upande Wa kutetea mnachokiwaza Ila sisi wananchi tupo na Mh Mpina
Yani huyu msukuma ni chizi kwer sio mzima kwakwer simuelewagi kabisa ila tupo nyuma ya mpina hata mseme nini lakini sisi tupo kwa mpina bunge la mchongo Hilo hakuna lolote nyie mmezoea kulindana sana
Anapendwa na watu acheni Uchawa kafanya kweli subirini kama wengine watarudi
Mpina oyeee tunajua mpina ni kamanda Hawa wengine tukutane 2025
Mimi najiuliza wanao msifia mpina kwalipi jamani sierewi😂😂😂😂😂😂maana Alitoa hoja yakua Hussein bashe nimuongo spiker akasema lete ushaidi akashindwa kuleta bado watu mnamsifia hapo mimi sierewi 😂😂bongo watu wana hakili gani jamani bashe kashusha sukari bado mbaya mnataka nini😂😂😂😂vichwalungu nyingi
Hujui kitu tulia wewe. Unajua kuwa amesimamishwa baada ya kutoa ushahidi kwenye vyombo vya habari badala ya kwa spika pekee!? Idiot
Kumbe hukufuatilia mjadala. Alileta japo kwa mazoea ya wabunge wa CCM ni kutetea jambo lolote hasa linalogusa uongozi wao. Unadhani kww namna hii kesi za CAG zitakwisha?
Msukuma nae kabadilika?! me nilitegemea msukuma angepinga hukumu dhidi yaMpina dah!
Hivi kweli nchi hii ni ya kukosa sukari? Hatuna ajira! Mnanyoongea kwa ukakamavu mngeongea hivi kwa mafisadi tungekuwa na maendeleo.
Mh. Msukuma unayumba wananchi tz tumekumark. Huna point sasa unatukana msukuma usitaje Mungu ww... ccm tunaipenda ila wabunge mmmh
bunge letu ni bunge la wendawazimu halifai hata kuimba wimbo wa sala.
Msukuma nae alisha left group😂😂
Mpina yuko sahihi kwa suala la sukari na ni mzalendo wa kweli!
😮😮
Kuanzia leo nimekubali kwa tz hamna haja ya kufuata majority maan wengi wana comment kimuemko tu
Sisi wananchi ndio tunajuwa nyinyi lopekeni tu... Ila mpina ni jembe sana
Mpina oyeeeeeeeeeeeeee
Msukuma unachuki ya kukamatiwa samak kweenye basi lako
Watu kwa kweli mnapotea njia msukuma sio sahihi unavyoogea huna jipya mikakti tu,
MPINA TUNAKUKUBALI ILA KWA HILI ULIKULUPUKA JITAHID KUTULIZA AKILI UNAPO FANYA MAMBO LA SIVYO WATAKUPOTEZA KUMBUKA UNAGUSANMASLAH YA WATU KO AKIL KUBWA INAHITANIKA ONE MISTAKE ONE GOL
Wewe akili ya Mpina ni kubwa aliamua kulijulisha taifa liamue kuliko bunge ambalo lingefunika Watanganyika wenye akili wa sasa wanamwelewa wewe wa miaka ya sitini hutakaa umeelewe hukumu ya wananchi ni kubwa kuliko ya bunge
Mungu akulinde mpina
Uchaguz ujao ipo kazi ccm mtaangalia njia ya kupitia
mpina vumilia yatapita ata ndugai alipo wafukuza wapinzani walimshangilia sana lakini alipopinga mikopo tuna kumbuka walivyo mtukana
Huyo mama mwenye Juba, anatoa pongezi nyingi kwa Bashe kwamba bashe ni mwamba 😢🚮
Daaah viongozi mnayakumjibu mwenyezi Mungu siku ya mwisho?😢
Mkimaliza hapoo mtuambie taarifa ya Mpina ina ukweli au ni uongo msituletee siasa na DP WoRD mlipiga kelele hivihivi kumbe kuna madudu ya ajabu.
Msukuma hoja zako hazina mashiko,rudi ukasome upya hakuna unachokielewa.
Hakuna mzalendo hapo nyinyi wote wasaka Tonge
Msukuma Kasheku tumeshakuponda sasa hivi umekuwa chawa Mpina anapendwa sana na watanzania tena tuko pamoja nae
Yani mpinakuongeya ukweli munaongeyaivyo Yani msukuma umenishangazakweli usijiweke mjuwaji
UPOYOYO na UANASESERE.
Huna jpya umefel sana bro