Tatizo wapo wengine wanaovaa vibaya lakini mbona wasiitwe kukanywa pia hao. Diamond Kuna nyimbo video vixen alikuwa uchi kabisa na hawakumkanya hao basata waache ubaguzi.
Halafu najiuliza bila kuonyesha linguo lake la ndan anaona hapendezi au anajiamini nini mtt wa kike mwenye wazazi wa2 mbona jide kaimba miaka mingi na hajawah kukaa uchi.
Memuona yamm tu mbon zuchu anavah nguo na chup rake rinaonekana na gigy anakaha uchi mbon hawamuiti na wenginewe wengi hu ni uwonevu wasani wengine wavae ila memuona barnaba tu na yamm kwa kuwa mkwe kaongea ndio basata wakamua ivyo wanashindwa kuwaita wanaokosea wanamkataza barnaba na yamm kisa chup mbon miziki ya nje mnangaria kenge nyie
Barnaba wimbo ni mzuri ila yule mwanamke siyupo uchi pala sio vizuri usiwasikilize hao wanaokwambia eti mme bweke jitabuwe mwenyewe ww ni baba watoto wako wanakuwa kwani sanaa ndio inataka mtu akae uchi leo unawatoto wa kiume kesho utazaa wa kike nje akivyaa hivo utafurahi waallaahh hao wanao tetea waweke dd zao vile
Wasanii wote wanakaa uchi sijawahi kuona msanii kavaa stara hao bassata ni wanafiki tu wanataka pesa maana woote wasanii wanavaa uchi uchi@@radhinamedi8301
mnamuonea tu barnaba mbona dai na zuchu wananyonyana ulimi na hamuwaiti mnamuonea tu zuchu chupi pia ipo nje mbona hamumpi elimu uonevu tu basata mtupu
Heshima gani na nyie.. watu kutwa wanapiga na bra na bikini wanajipost akina gigy ila hapo ndio vya ajabu 😏 Tanzania nchi yangu embu dilini na mashoga mkimalize tuendelee na mavazi. Vido unamaswali mazuri sana umembana mpaka anashindwa kujielezea🤝
Kuna nguo fupi ni muhimu waonyeshe kabla hawajatoa sio wawape adhabu waonywe hata sisi tunapenda music lkn waache kuvaa nguo za uchi baadhi wanaonyesha mpak makalio hawatakiwi kuadhibiwa il elimu ndio wapewe wakipinga ndio nyimbo hawataipiga acheni mkiendelea hivyo watakao zaliwa wataimba nyimbo uchi kabisa
Hivi kweli upuuzi km huu ndiyo Tanzania pekee wanaufanya. Lol mnataka nini haswa‼️⁉️ Yaani Barnaba wala usikubali KUKALIWA NA MKE NA MAMA YK. WEWE UMEOWA NA UMELIPIA MAHARI 💯 Achana na huyo mke hana maono ona ameshaanza kukutilia Nuksi kwenye KAZI YK. Mpe talaka kaowe mwanamke mwenye kujielewa na mwenye MAONO🙌🙌
Hilo ndiyo nilitegemea, Safi Sana, wakiachiwa hata chupi wataziona nzito
Kaongea vizuri Barnaba hongera sana.
Barnaba mtoto mwema Mungu akubariki. Mbona Nandi na Ally Kina walikuwa wanaogolea mkewe alielewesha akaelewa.
Duh damu ya mtu zuchu mara ngapi anavaa hivyo mbona hamjamwita😅😂🤣umasikini nao shida😅😂🤣mondi anaogopewa
Sio zuchu tu wasanii wa kike woote huvaa uchi hakuna anaevaa vizur stara
Umekosea Jamani Barnaba Omba Msamaha
Akanywe uyo mwanamke alievunja ndoa uchi kabisa nabado mnamtetea akanywe
Apo mnamuonea barnaba..mbn kina gigy wanavaa vibaya na hamuongei😢😢
Itakuwa mama mkwe wake kaenda basata kuwashtaki😅
Hapo sasa ubaguzi
Wapuuzi ndy watatetea lkn Yammy yupo uchi sana yy na Phina wamezidi kupiga picha uchi ukweli ndy huo
Ni kweli kabisa
Tatizo wapo wengine wanaovaa vibaya lakini mbona wasiitwe kukanywa pia hao. Diamond Kuna nyimbo video vixen alikuwa uchi kabisa na hawakumkanya hao basata waache ubaguzi.
😢😢😢😢 WANAUME WAKITAZANIA KIUKWELI
HANAGA ADABU AND NOT RESPECT 😢😢😢
Tumekubali lakin tuna complain mbona wanao vaa hivyo ni wengi mbona hawakanywi wanamuonea barnaba
Mm ntka yami afungwe kabsa mziki
Huyo Ammy Ne Pia Sio kwa Vazi Lile Jamani
Sasa nyie wapumbavu mnatetea ñn kwa yammy
Mi nashangaa kweni amupigi picha lazima muwoneshe mwili wandani😂😂😂
Tanzania ya hovyo sana huo ni uonevu tu hatujaona kosa la barnaba na yammy
Basata mnamuonea Barnaba mtamkondesha mala ma Kimbo mala Raya muacheni bhana
Ubaguzi watu wanavaa uchi nahawaitiwe lakini Barrnamba na Yammy wawaonea tuu
Mbona wasanii wengi tu wanavaa uchi tu Basi muwapangie nguo za kuvaa
Halafu najiuliza bila kuonyesha linguo lake la ndan anaona hapendezi au anajiamini nini mtt wa kike mwenye wazazi wa2 mbona jide kaimba miaka mingi na hajawah kukaa uchi.
Memuona yamm tu mbon zuchu anavah nguo na chup rake rinaonekana na gigy anakaha uchi mbon hawamuiti na wenginewe wengi hu ni uwonevu wasani wengine wavae ila memuona barnaba tu na yamm kwa kuwa mkwe kaongea ndio basata wakamua ivyo wanashindwa kuwaita wanaokosea wanamkataza barnaba na yamm kisa chup mbon miziki ya nje mnangaria kenge nyie
hii video ni kuhusu yammi na tunacoment mada iliyopo mda huu na kila mtu anacoment anachojisikia
Ivi mumeelewa musisahau mimi ni MUHAMMED
Hao ni WA kuwapa Elimu? Yaani hawakujua baya na nzuri!
Huyu jamaa ni mwanamke au mwanaume
Wasanii woote wanavaa uchi sijawahi kuona msanii kavaa stara basata wanafiki msaan gani aliyewahi kuvaa stara unafiki mwingi wanataka pesa Tu
Mbona hamaangalii ya zuchu
Mbona Daimond na Zuchu uwa amuwaiti kuwaonya ndugu zetu
Hawana ndowa na hawavai utupu vile kama uyu mikojo yummy
Et na chupi Yake Kama gunia la mashine huenda wao Wapo marekani
Ila wamekosea bwana co sawa mme wa mtu kufanya vile. Hata kama ndo kaz. Ushamba tu. barnaba, yammy wote washamba tu.
Ahahah vido why bilnas lakini😂😂😂😂😂
Ndio Kaz za Sanaa Iyo lazima uwende nyumban kusalimia Ila nyimbo hatar Na nusu
Wanaki wakumbwa nyinyi mmemuona huyotu mbona wangine mbona hamuwaite wateni wote
Nyie basata muna upendeleo mbona hua wengine hamuwaiti
Uyo yamm mwanzo alijifanya mtu wa dini na nilimpenda lkn kaona aidhalilishe nchi kwa kuvaa uchi huu sio uungwana
Kilasiku wao tu hawaon wezawao wanacho katazwa
Why between the interviw you say bilnass😂😂😂😂😂
Alafu anajiita mumin wa kiaslam ...utumbo ndio kma uo iv kweli
Barnaba mmmmh,
Doh.... Pole sana mdogo wangu... Mbona kama wana visa sana
Mama mkwe 😂😂😂
Ila mboni tunaona watu wapo uchi hamuwaiti kazen but wabadilike wote
Msimuonei Barnaba na Yamy mbona kuna zuchunpia aliwahi kuvaa kama Yamy
Mambo mengine tuwaachie wazungu. Wao kutembea uchi ni kawaida. Si tunaiga kila kitu.kwani. Miziki zamani haikuwepo?
Barnaba wimbo ni mzuri ila yule mwanamke siyupo uchi pala sio vizuri usiwasikilize hao wanaokwambia eti mme bweke jitabuwe mwenyewe ww ni baba watoto wako wanakuwa kwani sanaa ndio inataka mtu akae uchi leo unawatoto wa kiume kesho utazaa wa kike nje akivyaa hivo utafurahi waallaahh hao wanao tetea waweke dd zao vile
Na coco beach mkawakumbushe
Yumy kamuharibia mwenziwe ndio ajifunze na pia hiari yake atafungiwa ndio kwanza kindege kidogo
Wasanii wote wanakaa uchi sijawahi kuona msanii kavaa stara hao bassata ni wanafiki tu wanataka pesa maana woote wasanii wanavaa uchi uchi@@radhinamedi8301
Tatizo yami yuko uchi mchupi uwo alimuiga pina
Sasa basata tuwaulize swali kuhusu maadili ya Tanzania je wanaume wanapaswa kusuka nywele?
Sidhan Kama mkewe atasurvive
Mama mkwe oyeee
Ila Wana habari wambea
Barnaba anaongea kwa huruma maskini
maokoto
Wasanii wote wanamuakilisha rusifa
musanii unatakiwa kufanya kiti chenye maana uhalisia ndo unahitajika hujakosea kaka
Hiyo nyimbo ni baraha hatari
Hi iwe kwa wasani wote zuchu anakuwa uchi chup nje mbon hamuwaiti au kwakua mondi anawapa maokoto
mnamuonea tu barnaba mbona dai na zuchu wananyonyana ulimi na hamuwaiti mnamuonea tu zuchu chupi pia ipo nje mbona hamumpi elimu uonevu tu basata mtupu
Maajabu huyo anayeacha matiti nje
Dogo uku mke anazingua uko baraza .usijali dogo kutoboa sio raisi sana pambana
Usingekuwa mme wa mtu hizi taharuki zisingekuwepo
Barnaba anahema chezea wananchi wewe
Nyie Basata na wale wanaoimba nyimbo za matusi huwa hamzisikii au?
Wananjaa skuiz
Wanazingua licha ya nyimbo wapo wanaovaa uchi zaidi ya yami
Ndio hapo xaxa 😂😂
Comments za watu ndizo zilizo mtia barnaba kwenye shida mbona wengi tu wanatuonesha utupu na hawaitwi basata
hakuna geni kwa wasanii, wengi wa wasanii inamaana hamuwaoni, tuachieni barnaba wetu afanye kazi
Banaba ni bwege mume chupi
Heshima gani na nyie.. watu kutwa wanapiga na bra na bikini wanajipost akina gigy ila hapo ndio vya ajabu 😏 Tanzania nchi yangu embu dilini na mashoga mkimalize tuendelee na mavazi. Vido unamaswali mazuri sana umembana mpaka anashindwa kujielezea🤝
M
Kuna nguo fupi ni muhimu waonyeshe kabla hawajatoa sio wawape adhabu waonywe hata sisi tunapenda music lkn waache kuvaa nguo za uchi baadhi wanaonyesha mpak makalio hawatakiwi kuadhibiwa il elimu ndio wapewe wakipinga ndio nyimbo hawataipiga acheni mkiendelea hivyo watakao zaliwa wataimba nyimbo uchi kabisa
wafute izo nyimbo
Yamm kavaha uchi sana chup njee kiuno nje makario njee ndio nn ssi atupo marekan jmn tupo tz bado tupo nyuma sana
Hivi kweli upuuzi km huu ndiyo Tanzania pekee wanaufanya. Lol mnataka nini haswa‼️⁉️ Yaani Barnaba wala usikubali KUKALIWA NA MKE NA MAMA YK. WEWE UMEOWA NA UMELIPIA MAHARI 💯 Achana na huyo mke hana maono ona ameshaanza kukutilia Nuksi kwenye KAZI YK. Mpe talaka kaowe mwanamke mwenye kujielewa na mwenye MAONO🙌🙌
Huyu mama mkwe mbuzi tu kampinza