BARNABA NA YAMMI WAFIKA BASATA/BARAZA LA SANAA LATOA TAMKO WIMBO WA NIBUSU/AOMBA MSAMAHA KWA FAMILIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • BARNABA NA YAMMY WAFIKA BASATA/BARAZA LA SANAA LATOA TAMKO WIMBO WA NIBUSU/AOMBA MSAMAHA KWA FAMILIA #BARNABABASATA #basata #BASATABARNABA
    WATCH PART 1 BARNABA AMJIBU MAMA MKWE/NAOA MKE WA PILI/RAYA AMEONDOKA AMENIBLOCK /KUPIGA PICHA NA YEMMY/SITAACHABARNABA AMJIBU MAMA MKWE/NAOA MKE WA PILI/RAYA AMEONDOKA AMENIBLOCK KILA SEHEMU/SITAACHA SANAA YANGUMAMA KIMBO AMPA ONYO BARNABA/AFUTE PICHA ZOTE ALIZOPIGA NA YEMMY ALIVOVAA UTUPU #MAMAKIMBO #BARNABA #yemmi #gigymoney #BARNABA #YAMMY

КОМЕНТАРІ • 89

  • @halimahussein6792
    @halimahussein6792 4 місяці тому +7

    Hilo ndiyo nilitegemea, Safi Sana, wakiachiwa hata chupi wataziona nzito

  • @Official83640
    @Official83640 4 місяці тому +20

    Wapuuzi ndy watatetea lkn Yammy yupo uchi sana yy na Phina wamezidi kupiga picha uchi ukweli ndy huo

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 4 місяці тому

      Ni kweli kabisa

    • @sakinamohamed5518
      @sakinamohamed5518 4 місяці тому

      Tatizo wapo wengine wanaovaa vibaya lakini mbona wasiitwe kukanywa pia hao. Diamond Kuna nyimbo video vixen alikuwa uchi kabisa na hawakumkanya hao basata waache ubaguzi.

    • @michelinemapendo6652
      @michelinemapendo6652 4 місяці тому

      😢😢😢😢 WANAUME WAKITAZANIA KIUKWELI
      HANAGA ADABU AND NOT RESPECT 😢😢😢

    • @HawaSwaleheh
      @HawaSwaleheh 4 місяці тому +1

      Tumekubali lakin tuna complain mbona wanao vaa hivyo ni wengi mbona hawakanywi wanamuonea barnaba

    • @jamilahali-jg8er
      @jamilahali-jg8er 4 місяці тому

      Mm ntka yami afungwe kabsa mziki

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 4 місяці тому +11

    Duh damu ya mtu zuchu mara ngapi anavaa hivyo mbona hamjamwita😅😂🤣umasikini nao shida😅😂🤣mondi anaogopewa

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 4 місяці тому

      Sio zuchu tu wasanii wa kike woote huvaa uchi hakuna anaevaa vizur stara

  • @ashamahadi5281
    @ashamahadi5281 4 місяці тому +4

    Barnaba mtoto mwema Mungu akubariki. Mbona Nandi na Ally Kina walikuwa wanaogolea mkewe alielewesha akaelewa.

  • @theresiamwacha7845
    @theresiamwacha7845 4 місяці тому +7

    Akanywe uyo mwanamke alievunja ndoa uchi kabisa nabado mnamtetea akanywe

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 4 місяці тому +1

    Kaongea vizuri Barnaba hongera sana.

  • @EverlyneSamuel
    @EverlyneSamuel 4 місяці тому +8

    Apo mnamuonea barnaba..mbn kina gigy wanavaa vibaya na hamuongei😢😢

    • @siaammo1104
      @siaammo1104 4 місяці тому +1

      Itakuwa mama mkwe wake kaenda basata kuwashtaki😅

    • @HawaSwaleheh
      @HawaSwaleheh 4 місяці тому +1

      Hapo sasa ubaguzi

  • @RashidaAbdallah-gb6pk
    @RashidaAbdallah-gb6pk 3 місяці тому

    Umekosea Jamani Barnaba Omba Msamaha

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 4 місяці тому +6

    Tanzania ya hovyo sana huo ni uonevu tu hatujaona kosa la barnaba na yammy

  • @NusraHozza-qp8yy
    @NusraHozza-qp8yy 4 місяці тому +4

    Halafu najiuliza bila kuonyesha linguo lake la ndan anaona hapendezi au anajiamini nini mtt wa kike mwenye wazazi wa2 mbona jide kaimba miaka mingi na hajawah kukaa uchi.

    • @MsNajma-e6e
      @MsNajma-e6e 4 місяці тому

      Memuona yamm tu mbon zuchu anavah nguo na chup rake rinaonekana na gigy anakaha uchi mbon hawamuiti na wenginewe wengi hu ni uwonevu wasani wengine wavae ila memuona barnaba tu na yamm kwa kuwa mkwe kaongea ndio basata wakamua ivyo wanashindwa kuwaita wanaokosea wanamkataza barnaba na yamm kisa chup mbon miziki ya nje mnangaria kenge nyie

    • @NusraHozza-qp8yy
      @NusraHozza-qp8yy 3 місяці тому

      hii video ni kuhusu yammi na tunacoment mada iliyopo mda huu na kila mtu anacoment anachojisikia

  • @RashidaAbdallah-gb6pk
    @RashidaAbdallah-gb6pk 3 місяці тому

    Huyo Ammy Ne Pia Sio kwa Vazi Lile Jamani

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 4 місяці тому +7

    Mbona Daimond na Zuchu uwa amuwaiti kuwaonya ndugu zetu

    • @radhinamedi8301
      @radhinamedi8301 4 місяці тому

      Hawana ndowa na hawavai utupu vile kama uyu mikojo yummy

    • @noraazan9124
      @noraazan9124 4 місяці тому

      Et na chupi Yake Kama gunia la mashine huenda wao Wapo marekani

  • @HamidaOmar-ub4kb
    @HamidaOmar-ub4kb 4 місяці тому

    Mi nashangaa kweni amupigi picha lazima muwoneshe mwili wandani😂😂😂

  • @theantara8931
    @theantara8931 4 місяці тому +1

    Hao ni WA kuwapa Elimu? Yaani hawakujua baya na nzuri!

  • @radhinamedi8301
    @radhinamedi8301 4 місяці тому +1

    Ivi mumeelewa musisahau mimi ni MUHAMMED

  • @HappystarMotto
    @HappystarMotto 3 місяці тому

    Mbona wasanii wengi tu wanavaa uchi tu Basi muwapangie nguo za kuvaa

  • @AishayoutubeMoosa-zn1co
    @AishayoutubeMoosa-zn1co 4 місяці тому +1

    Sasa nyie wapumbavu mnatetea ñn kwa yammy

  • @YacintaJames
    @YacintaJames 4 місяці тому +5

    Nyie Basata na wale wanaoimba nyimbo za matusi huwa hamzisikii au?

    • @Lulucut
      @Lulucut 4 місяці тому

      Wananjaa skuiz

    • @HusnaSalum-p1q
      @HusnaSalum-p1q 4 місяці тому

      Wanazingua licha ya nyimbo wapo wanaovaa uchi zaidi ya yami

    • @shuweikhasalum9836
      @shuweikhasalum9836 4 місяці тому

      Ndio hapo xaxa 😂😂

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 4 місяці тому

    Ubaguzi watu wanavaa uchi nahawaitiwe lakini Barrnamba na Yammy wawaonea tuu

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 4 місяці тому +1

    Nyie basata muna upendeleo mbona hua wengine hamuwaiti

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan 3 місяці тому

    Wanaki wakumbwa nyinyi mmemuona huyotu mbona wangine mbona hamuwaite wateni wote

  • @lucypius4414
    @lucypius4414 4 місяці тому +1

    Doh.... Pole sana mdogo wangu... Mbona kama wana visa sana

  • @PhinaGeorge-o5m
    @PhinaGeorge-o5m 4 місяці тому

    Basata mnamuonea Barnaba mtamkondesha mala ma Kimbo mala Raya muacheni bhana

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 4 місяці тому +3

    Barnaba wimbo ni mzuri ila yule mwanamke siyupo uchi pala sio vizuri usiwasikilize hao wanaokwambia eti mme bweke jitabuwe mwenyewe ww ni baba watoto wako wanakuwa kwani sanaa ndio inataka mtu akae uchi leo unawatoto wa kiume kesho utazaa wa kike nje akivyaa hivo utafurahi waallaahh hao wanao tetea waweke dd zao vile

    • @Veni584
      @Veni584 4 місяці тому

      Na coco beach mkawakumbushe

    • @radhinamedi8301
      @radhinamedi8301 4 місяці тому

      Yumy kamuharibia mwenziwe ndio ajifunze na pia hiari yake atafungiwa ndio kwanza kindege kidogo

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi 4 місяці тому

      Wasanii wote wanakaa uchi sijawahi kuona msanii kavaa stara hao bassata ni wanafiki tu wanataka pesa maana woote wasanii wanavaa uchi uchi​@@radhinamedi8301

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 4 місяці тому

    Ndio Kaz za Sanaa Iyo lazima uwende nyumban kusalimia Ila nyimbo hatar Na nusu

  • @yapukahassan
    @yapukahassan 4 місяці тому

    Huyu jamaa ni mwanamke au mwanaume

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba 4 місяці тому

    Barnaba mmmmh,

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 4 місяці тому +1

    Ila mboni tunaona watu wapo uchi hamuwaiti kazen but wabadilike wote

  • @MbeyuSauko
    @MbeyuSauko 4 місяці тому

    Ila wamekosea bwana co sawa mme wa mtu kufanya vile. Hata kama ndo kaz. Ushamba tu. barnaba, yammy wote washamba tu.

  • @julianavicent4845
    @julianavicent4845 4 місяці тому

    Mbona hamaangalii ya zuchu

  • @benjaminmartin4548
    @benjaminmartin4548 4 місяці тому

    Mambo mengine tuwaachie wazungu. Wao kutembea uchi ni kawaida. Si tunaiga kila kitu.kwani. Miziki zamani haikuwepo?

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi 4 місяці тому

    Wasanii woote wanavaa uchi sijawahi kuona msanii kavaa stara basata wanafiki msaan gani aliyewahi kuvaa stara unafiki mwingi wanataka pesa Tu

  • @MwanajemaPharmacy
    @MwanajemaPharmacy 4 місяці тому +7

    Heshima gani na nyie.. watu kutwa wanapiga na bra na bikini wanajipost akina gigy ila hapo ndio vya ajabu 😏 Tanzania nchi yangu embu dilini na mashoga mkimalize tuendelee na mavazi. Vido unamaswali mazuri sana umembana mpaka anashindwa kujielezea🤝

  • @bdvc7107
    @bdvc7107 4 місяці тому +1

    Tatizo yami yuko uchi mchupi uwo alimuiga pina

  • @asyawaamidu2968
    @asyawaamidu2968 4 місяці тому

    Uyo yamm mwanzo alijifanya mtu wa dini na nilimpenda lkn kaona aidhalilishe nchi kwa kuvaa uchi huu sio uungwana

  • @sisifaty9183
    @sisifaty9183 4 місяці тому

    Msimuonei Barnaba na Yamy mbona kuna zuchunpia aliwahi kuvaa kama Yamy

  • @user-ox5jy4uo9r
    @user-ox5jy4uo9r 4 місяці тому

    Alafu anajiita mumin wa kiaslam ...utumbo ndio kma uo iv kweli

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 4 місяці тому

    Mama mkwe oyeee

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 4 місяці тому

    Sasa basata tuwaulize swali kuhusu maadili ya Tanzania je wanaume wanapaswa kusuka nywele?

  • @ZainabothmanZainabothman
    @ZainabothmanZainabothman 4 місяці тому

    Kilasiku wao tu hawaon wezawao wanacho katazwa

  • @sophykivuyo
    @sophykivuyo 4 місяці тому

    Why between the interviw you say bilnass😂😂😂😂😂

  • @nikelaJimson
    @nikelaJimson 4 місяці тому

    Ahahah vido why bilnas lakini😂😂😂😂😂

  • @RemmyTuva
    @RemmyTuva 4 місяці тому

    Ila Wana habari wambea

  • @joycemtaita6418
    @joycemtaita6418 4 місяці тому

    Sidhan Kama mkewe atasurvive

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 4 місяці тому

    Comments za watu ndizo zilizo mtia barnaba kwenye shida mbona wengi tu wanatuonesha utupu na hawaitwi basata

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 4 місяці тому

    Maajabu huyo anayeacha matiti nje

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js 4 місяці тому

    Hiyo nyimbo ni baraha hatari

  • @lavendaadhiambo
    @lavendaadhiambo 4 місяці тому

    maokoto

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 4 місяці тому

    Wasanii wote wanamuakilisha rusifa

  • @meshacksamwel3887
    @meshacksamwel3887 4 місяці тому

    musanii unatakiwa kufanya kiti chenye maana uhalisia ndo unahitajika hujakosea kaka

  • @sikudhanimohammad7692
    @sikudhanimohammad7692 4 місяці тому

    Barnaba anaongea kwa huruma maskini

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 4 місяці тому

    mnamuonea tu barnaba mbona dai na zuchu wananyonyana ulimi na hamuwaiti mnamuonea tu zuchu chupi pia ipo nje mbona hamumpi elimu uonevu tu basata mtupu

  • @BJM-j2t
    @BJM-j2t 4 місяці тому +2

    Banaba ni bwege mume chupi

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 4 місяці тому

    Hi iwe kwa wasani wote zuchu anakuwa uchi chup nje mbon hamuwaiti au kwakua mondi anawapa maokoto

  • @matridamakange7286
    @matridamakange7286 4 місяці тому

    Usingekuwa mme wa mtu hizi taharuki zisingekuwepo

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy 4 місяці тому

    hakuna geni kwa wasanii, wengi wa wasanii inamaana hamuwaoni, tuachieni barnaba wetu afanye kazi

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn 4 місяці тому

    Kuna nguo fupi ni muhimu waonyeshe kabla hawajatoa sio wawape adhabu waonywe hata sisi tunapenda music lkn waache kuvaa nguo za uchi baadhi wanaonyesha mpak makalio hawatakiwi kuadhibiwa il elimu ndio wapewe wakipinga ndio nyimbo hawataipiga acheni mkiendelea hivyo watakao zaliwa wataimba nyimbo uchi kabisa

  • @radhinamedi8301
    @radhinamedi8301 4 місяці тому

    Barnaba anahema chezea wananchi wewe

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 4 місяці тому

    Dogo uku mke anazingua uko baraza .usijali dogo kutoboa sio raisi sana pambana

  • @lavendaadhiambo
    @lavendaadhiambo 4 місяці тому

    wafute izo nyimbo

  • @DidaRashidi-dz1ll
    @DidaRashidi-dz1ll 4 місяці тому

    M

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 4 місяці тому

    Yamm kavaha uchi sana chup njee kiuno nje makario njee ndio nn ssi atupo marekan jmn tupo tz bado tupo nyuma sana

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 4 місяці тому

    Hivi kweli upuuzi km huu ndiyo Tanzania pekee wanaufanya. Lol mnataka nini haswa‼️⁉️ Yaani Barnaba wala usikubali KUKALIWA NA MKE NA MAMA YK. WEWE UMEOWA NA UMELIPIA MAHARI 💯 Achana na huyo mke hana maono ona ameshaanza kukutilia Nuksi kwenye KAZI YK. Mpe talaka kaowe mwanamke mwenye kujielewa na mwenye MAONO🙌🙌

  • @mariyamumadebari4296
    @mariyamumadebari4296 4 місяці тому

    Huyu mama mkwe mbuzi tu kampinza