MKE WA BARNABA:RAYA AMPA ONYO KALI YAMMI/AMESABABISHA UGOMVI/ANAOMBA MSAMAHA/WANAMTUKUNA MAMA KIMBO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 684

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 8 місяців тому +23

    Raya ur beautiful,ur strong and powerful keep that mindset ,boundaries must 👌

  • @saumbakari9956
    @saumbakari9956 8 місяців тому +1

    Lkn kiukweli raya kwauzuri sioo saaaanaa. Uwakawaidaa sanaaa,. Halafu kingine nawewe hapo ulipo upo uchi kwanza makwapa yapo wazi pili kichwa kipo wazi kiujumlaa upo uchiiiiiii. Weweeee na yammy wote mpoaa uchiiiiiii,. Sio mimi ni dini yetu ya kiislam,. Halafu kama kweliiiii umefundwaa Mambo yamumeo usiyatoee kwenye mtandao dada angu nivibaya,.👏👏👏👏👏. Halafu talaka usiiitamkeee,. Tatu umekubali kuolewaa na msaniii kubaliana nayotee,. Mwanzo alikua hafanyi🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏.

  • @zainabusaidi4542
    @zainabusaidi4542 8 місяців тому +19

    Ni kweli raya mume anauma tetea ndo yako ila wanaume ndo wanaanzaga hivyo,nimependa msimamo wako

    • @millycentgati2541
      @millycentgati2541 8 місяців тому

      Mmh msanii ni msanii Tu aachike akaolewe na mkulima Ila msanii watu watasema Sana..atatetea Kwa style hiyo mwisho anaachika

  • @RachelMwamini-wt4tq
    @RachelMwamini-wt4tq 8 місяців тому +14

    Unahaki mama nakupenda dadangu

  • @mariawilliam5559
    @mariawilliam5559 8 місяців тому +10

    Nimependa confidence yako dada Raya

  • @NaylaNaynay-kv8uk
    @NaylaNaynay-kv8uk 8 місяців тому +13

    Wewee mbn unavaaaga uchiii na ni mke wa mtu😂😂😂😂

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 8 місяців тому

      Umeona eeeeh? Hapo kalianika kwapa lake. Mimi huku najiskia aibu na namuogopa Mungu.

    • @MariamuJuma-t8z
      @MariamuJuma-t8z 2 місяці тому

      Uchiunavaliwa mmh makubwaaya

  • @LovenesyMhame
    @LovenesyMhame 8 місяців тому

    Pole mungu akusaidie kiukwer hat ningekuw mim kam cjamuzoea mme wangu akiwa hivo nitaumia sanaaa mapenz yanauma

  • @witneyjerry2587
    @witneyjerry2587 8 місяців тому +2

    Wewe cyo mke ni chuma ulete,eti uletewe gar dhahabu😭😅😅😅😅😅

  • @AnnoyedRaceCars-xk9zv
    @AnnoyedRaceCars-xk9zv 8 місяців тому +42

    Raya upo sawa mume anauma anaekukalia kooni hajaolewa Wala hajaoa muda ukifika nao watapambana kwenye ndoa zao.

    • @svt3
      @svt3 8 місяців тому

      Acha uwongo kwanini kaolewa na msanii na wanajulikana kabisa wanavyo fyatua akili zao na kuzitupa mbali sababu kazi tao ni ivyo inaomba Angelina basi na mchungaji wawe navaa suti wote

    • @beauty2239
      @beauty2239 8 місяців тому

      Mchungaji tena 🤣🤣

    • @doreenmsafari2945
      @doreenmsafari2945 8 місяців тому

      ​@@svt3😂😂😂😂

    • @Joyce-qf5px
      @Joyce-qf5px 8 місяців тому

      Nakuelewa sana

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 8 місяців тому

      @@svt3😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @meryamreally2768
    @meryamreally2768 8 місяців тому +3

    Nakubali sana sawa daa sawa pole ucjnli 👏👏👍👍

  • @Maria-dg6ik
    @Maria-dg6ik 6 місяців тому +1

    Mashallah daa ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @JokhaJokhaabla
    @JokhaJokhaabla 8 місяців тому +2

    kwa jina hilo la raya herufi hiyo hupitia magumi sana kwenye mahusiano so inawezekana kuachwa usiachwe ila chamoto ukakiona kwa hiyo herufi yako allah akufanyie wepesi

  • @sporttz15
    @sporttz15 8 місяців тому +2

    mi nimeona kitambi hahahahhaha yani kama ningekua ni mimi nachukua flat yammi

  • @LeukajaMavika
    @LeukajaMavika 8 місяців тому +1

    Huyu anajiblandi san hawezi kufika mbali nishaon kwa macho ya roho 😅😂😂

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila292 8 місяців тому +5

    Pole Barnaba, mwana kulitafuta mwana kulipata.

  • @geraldgwaje8967
    @geraldgwaje8967 8 місяців тому +24

    Ndoa inaendeshwa na mama mkwe

    • @sheilalinus3910
      @sheilalinus3910 8 місяців тому +1

      washamroga wanajikuta mafundi

    • @LeukajaMavika
      @LeukajaMavika 8 місяців тому

      Kazi ipo lakin dawa ishaisha ndo maan mume wake kaaza kuamka tena mpka waseme yaan iyo pt 1😂😂😂😂

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 8 місяців тому +2

    Wewe kwa sababu una hela oa mwanaume achana na barnaba 😂😂😂😂

  • @AzizaMasudi-de1cp
    @AzizaMasudi-de1cp 7 місяців тому

    Upo vizuri sema nilichokipenda tu msimamo wako awa wanaume wanatunyanyasa sana kisa pesa zao wanafanya kitu bila kujua ata ss tunamioyo inayouma ndan yake bora tutafute pesa kuliko kumtegemea mwanaume

  • @nassralsbee
    @nassralsbee 8 місяців тому +1

    Mwenyew huna akir yammi mutot mudog rakin amefany unakibia nyumban kuwa mupol bwan😅😅😅😅

  • @AdelaCasmiry
    @AdelaCasmiry 8 місяців тому +29

    Jaman dada unasema huwez kuachwa? muombe Mungu wazur nao wapo weng na wanaachwa mwombe Mungu amutetee Mume wako na shetan nae Yuko kazin pia

    • @minaelnathanael1846
      @minaelnathanael1846 8 місяців тому +3

      Tanga haachwi mtu ila Banaba asipoangalia pesa itamshinda kutafuta. Kwa mdomo huu

    • @KhalidNa-bn4gp
      @KhalidNa-bn4gp 8 місяців тому

      Na amuombe sana2😂

    • @doreenmsafari2945
      @doreenmsafari2945 8 місяців тому

      ​@@minaelnathanael1846😂😂😂😂😂

    • @NOELAMAKOYE-qs7eu
      @NOELAMAKOYE-qs7eu 8 місяців тому

      Labda ye anaahadi na mwenyezi mungu

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 7 місяців тому

      Na wafitinishajii wapooo teleeee,yaniii Wanawake Kwa kutaka Kubomkaa weeee,haifai kuongea kubwaga mdomooo hivii,tuseme tukipima maneno

  • @jantsjefta8381
    @jantsjefta8381 7 місяців тому

    Huna mke hapo pole sana

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 8 місяців тому +1

    Sanaa HIYO wewe wimbo umehit mpe uyumba mzee.YAMMI KAUTENDEA HAKI.

  • @kenjaboy8070
    @kenjaboy8070 8 місяців тому +2

    Yani unataka akuombee musamaha akupe gar jaman sasa wew nimke au kaka ameyatimbaaa 😂😂😂😂😂😂duuh

  • @mwasitijumaarafa9805
    @mwasitijumaarafa9805 8 місяців тому +1

    😂😂😂😂huyo dada nage kuwa muzur ige kuwaje jamani

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 8 місяців тому +3

    Eti watu wengi wanamtongoza. Hio ndio unaona sifa… au unaji dhalilisha..? Wakati unasema hujaachwa. Ucwe mshamba. Hakuna mwanamke asie tongozwa. Ht mwenda wazimu nae anatongoza. Punguza majicfu km kweli unalinda ndoa yako. Na pia jistiri kwa kua ni mke wa mtu. Hizo sufa utakuja kushikwa sikio na kukumbushwa.

  • @malkajr1333
    @malkajr1333 8 місяців тому +3

    Huyu dada ni mpuuzi sana sasa even mume amekosea lazima umkosoe kwenye mitandao kwani alijua ameolewa na mchungaji kuwa acha utoto na huo uzuri huna ni wakawaida mno ww dada .

  • @selinathindwa9754
    @selinathindwa9754 8 місяців тому +2

    Ila Yammy ni mzuri bwana😂 mi siwezi kuingilia ugomvi wa watu wanaovuliana chupi😂 mutajuwana wenyewe😅

  • @jenny79517
    @jenny79517 8 місяців тому +4

    Kiukweli.Namuonea huruma sana Barnaba ! Hana bahati na ndoa ,yaani picha tuu kasemwa na Mkwee vipi akikutwa ana do! Si watamuua😢

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 8 місяців тому

      😂😂😂😂😂afe tu kwann alioa km yy baba ku do do ovyooo

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 8 місяців тому

      Maskini huyu kijana ni mpole saana inavyo elekea.

  • @AminaMkopi-z2m
    @AminaMkopi-z2m 8 місяців тому

    Utaachwa mdomo mwingi kazi umemkuta nayo vumilia❤

  • @AlbertYangson
    @AlbertYangson 8 місяців тому +1

    Umemuweka kwenye nsumpu labda😂😂 au kwenye vipeyu😂😂 au umemlisha kale kanyama kamnuno!!😂😂

  • @bongetimwa4948
    @bongetimwa4948 7 місяців тому

    I like your smile 😊

  • @janethmbaga3515
    @janethmbaga3515 8 місяців тому +1

    Wewe dada punguza ukali wa maneno khaaa... Mume aje akuangukie mbele za mtandao.. watu waone.. aiseee aibu naona mm..😎😎

  • @meryamreally2768
    @meryamreally2768 8 місяців тому +3

    Sawa sana daa 👏👏👍👍

  • @NassraBurhan
    @NassraBurhan 8 місяців тому +3

    Hujatolewa nyongo safi sana.

  • @tatubaraka5752
    @tatubaraka5752 8 місяців тому +5

    Barnaba pole

  • @BMboss108
    @BMboss108 6 місяців тому

    Raya jina la mwanangu❤❤

  • @AbdallahOmari-z4n
    @AbdallahOmari-z4n 8 місяців тому +2

    Kaa kwa mama barnaba yupo kazini na hayo ndio maisha yake na PESA ndio anaipatia hapo na wewe ulimpendea hapo acha shobo, huna kitu ungejioa kama unauwezo, na kwa staili hiyo utaolewa sanaaaaa!

    • @ZenaMsumagilo
      @ZenaMsumagilo 8 місяців тому

      😅😅😅😅😅😅😅haswaaaaaa ataolewaaaaa mpaka ataolewaaaaa tena

    • @doreenmsafari2945
      @doreenmsafari2945 8 місяців тому +1

      ​@@ZenaMsumagilonimecheka mpka nimecheka Tena 😂😂😂😂😂😂

  • @maryamkhamis2321
    @maryamkhamis2321 8 місяців тому

    Anaweza sana kukuacha isipokuwa nimwanaume anayejielewa hivi weye raya unaakili kwetu unajuwa hicho unachokiongea hapo ujuwe km mwehu fulan hiv kweli dem hujielewi hat kidog du kumbe nyinyi niurisi wamachizi kwenu

  • @shakiralasway8821
    @shakiralasway8821 8 місяців тому +6

    Siku yakufundwa we Dada sijui ulikalia michongoma ukawa umsikilizi vizuri kungwi,mambo yandani namumeo unayaanika mtandaon usungo huo!

  • @BonnahIbrahim
    @BonnahIbrahim 8 місяців тому

    Honestly so asifanye kazi wueeeeh huyu naye ana mambo😅😅😅 Yammy mama najuwa una haja na mme wake😅😅😅

  • @PendoAbery
    @PendoAbery 8 місяців тому +1

    Umeanza vzl huku mwisho umelikologa my dear unapo ongea we ni mke wa mtu uwe na akiba ya maneno

  • @reginamalima9701
    @reginamalima9701 8 місяців тому +1

    Jaman wanawake mmeona kwapa tu😂😂😂😂🙌🙌

  • @Saripa234-u7g
    @Saripa234-u7g 8 місяців тому +1

    Kwapa jeusi looo Una Aya wewe Raya mkono Umeutanua panu😅😅😅😅😅😅😅

    • @ShaniJohn-qh3cm
      @ShaniJohn-qh3cm 8 місяців тому

      I coment ndo nilikuwa naitafuta 🤣🤣 lo binadamu 😅

    • @doreenmsafari2945
      @doreenmsafari2945 8 місяців тому

      ​@@ShaniJohn-qh3cm🤣🤣🤣🤣🤣😘

  • @HamidaKashushu
    @HamidaKashushu 7 місяців тому

    Big up on what you do raya haijalsh unampendaje huyo mwanaume wako unatakiwa kulinda mipeka na heshima huyo n mume jaman na sio hawara yey akiona unashikwa kiuno na mwanaum mwengine atakubal, huyo yammi n kahabaaa

  • @mohammedabbas5470
    @mohammedabbas5470 8 місяців тому +2

    Ana utoto sana she needs to grow up

  • @MohamediMkiva17
    @MohamediMkiva17 8 місяців тому +4

    Raya dada mie nakupenda tu ukweli ni huo huo

  • @xkingx8041
    @xkingx8041 8 місяців тому +16

    Mwanamke kujiamini. Jeuri ya kukuacha hana mwaya

  • @elsywilliams9750
    @elsywilliams9750 8 місяців тому

    Kweli dada...respect is a must...don't negotiate

  • @yusfaahmed4261
    @yusfaahmed4261 8 місяців тому +19

    Kwanza ungejistiri na kujiheshim halafu ni bint wa kiislam huna llte eti hawezi kuniacha km alimuacha wa mwanzo na kazaa nae asikuache ww mama ake ww au umemzaa lione kazi kuongea pumba tu jitambue kwanza mambo yenu ya ndoa kuyaanika kwenye mitandao na huo ni usungo hukufundwa ww bi kizee ww

    • @AnnoyedLimePie-lc5sw
      @AnnoyedLimePie-lc5sw 8 місяців тому +2

      Hawajui wanaume huyu Kwa lipi asiachike Kwa uzuri gan aliokuwa Nao kamuacha mama Steve itakuwa yy

    • @MishiPapalan
      @MishiPapalan 8 місяців тому +2

      Jamani awe mzuli awe mbaya ndio kesha kua mkewe tena

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 8 місяців тому

      @@MishiPapalanyes ni mke. Ila asijiamini saaana. Wanaume wakiamua. Ht ukiwa mzuri vipi. Na hakuna binadamu mbaya. Wewe ukipewa hiki, mwenzio kapewa kile. Na hakuna aliekamilika. Kl mmoja ana kasoro zake. Alie kamilika ni ALLAH peke yake.

    • @nishaabias5694
      @nishaabias5694 8 місяців тому

      mbona umepaniki sasa. nyie mnapenda mtu ajitilie huruma kwa mtu. na ao wasanii jaman tuwaacheni tu

  • @esterkessy3348
    @esterkessy3348 8 місяців тому +5

    Ama kweli mzuri 😭😭😭😭😭toa hyo mecapu

  • @HannahSamira-z5d
    @HannahSamira-z5d 8 місяців тому +4

    Kwa Barnaba bint utahama sanaaa ukiolewa na Msanii Shika moyoo Sanaa,Utapigwa matukio mpk uachie ngazi mwenyewe

  • @Maas-d5d
    @Maas-d5d 8 місяців тому +28

    wamama wa kiislamu unampokea mke wa mtu bila kutafakari alafu heshma hamna mke huyu hana adabu wala sheria ya ndoa huijui kiufupi hujafudwa kama unanidhamu na mama yako angekua na nidhamu angekurudisha nenda kwamumeo mkayaongelee huko

    • @MohammedSaleh-t5h
      @MohammedSaleh-t5h 8 місяців тому +1

      Sheria unaijua wewe kisheria anaruhusiwa kwenda kwa mzazi wake

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 8 місяців тому

      Haruhusiwi bila sheria ya mumewe au awe amepewa talaka yake.Wewe ndiyo hujui sheria​@@MohammedSaleh-t5h

    • @Mail-z5q
      @Mail-z5q 8 місяців тому

      Sahihi❤🎉

    • @Mail-z5q
      @Mail-z5q 8 місяців тому +1

      ​@@MohammedSaleh-t5hnisawa lkn sio kukaa mda bila ridhaa ya mumewe angemsihi arudi kwake ugomvi wa mke na mume umalizwa wao kwa wao

    • @NEEMATimothy-f2v
      @NEEMATimothy-f2v 8 місяців тому

      Jamani

  • @AnthoniaGeorge-tr7rd
    @AnthoniaGeorge-tr7rd 8 місяців тому +2

    Kwakweli Apo umekosea mhhhh apana dada ulimi una barnaba Oa mke mwingine tuu kumbe pesa ndio kigezo apana kwakweli mhhh kazi ya mmeo hiyo mpuuz huyo bhana

  • @nacmentodanca6498
    @nacmentodanca6498 8 місяців тому +1

    Dada unajikuta nani ww ati me mzuri😂😂😂

  • @catherinecharlz2814
    @catherinecharlz2814 8 місяців тому +22

    Mmh sjapenda maneno yako be dada kama mmeo kaomba msamaha yanini kuyasema mtandaoni, mweee kwamba wee ni mwema saana ujawaikosea umeona makosa ya yammy , tunamkosea MUNGU na anatusamehe sirini wew wataka hadharani really 😢😢 ama kwelii MUNGU atusaidie ila kama alimwacha mke wa kwanza ata we unaezakuachwa labda kama kuna kitu nyuma ya pazia😔😊

  • @nadrikhamis1399
    @nadrikhamis1399 8 місяців тому

    Hahahahaha
    Kwa hio kuotajana tuu unapesaa ndio ukatae sheria za mungu

  • @shakilaahmed5761
    @shakilaahmed5761 8 місяців тому +2

    Aniangukiee hazarani 😂😂😂😂nimetekaa rayaa

  • @MathaKomba
    @MathaKomba 8 місяців тому +14

    Rudi kwa somo shoga unakaba na sili ya ndoa alafu usijiamini sana dada wapo wazuliy zaid yako ww sema unataka mali sema

    • @gracejulius6913
      @gracejulius6913 8 місяців тому +2

      Kwanza yee xo mzuri nimrembo it means anajiremba au kujipodoa

  • @mwakirenjeomary1486
    @mwakirenjeomary1486 8 місяців тому

    Mopao hana power hapo 😂😂😂

  • @RebeckaMwengo
    @RebeckaMwengo 8 місяців тому

    Nyie msimuige huyu mshenzi yatawakuta 😂😂😂 waachieni hao hao

  • @AshaAbdallah-nu1ef
    @AshaAbdallah-nu1ef 8 місяців тому

    Raya you are a good actress dahhh

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 8 місяців тому +3

    Wewe Raya huna maaduli ya din ww unaheshima ulivo vaa huna heshima mtoto wakiislam umeweka chuchu nje humuogopi Mungu hata kidogo acha ya kukute maana hueleweki muislam au kristo koma wewe unataka Barnaba unataka awe na heshima na ww unaheshima gani umekaa uchi mbele ya mwanaume sio mahram ww mwenzio kaka uchi unaona wivu na Barnaba hana wivu ukiwa umevaa hivo mbele ya mwanaume

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 8 місяців тому

    Kuwa na msimamo na ajue msimamo wako mbona wapo wengi wanamuzi na wanajiheshimu sana kabisa. Aache utoto Barnaba

  • @NiyongaboLeonidas-hp7kh
    @NiyongaboLeonidas-hp7kh 8 місяців тому +3

    Nimependa maneno ya mke bar
    naba

  • @FatmaMazige-l2z
    @FatmaMazige-l2z 8 місяців тому +5

    Hao ndio Wanaume shoga hawajawai kulizika😂😂

  • @khumayraabdulla96
    @khumayraabdulla96 8 місяців тому +22

    Yammi sikatai lkn wewe ni mke huoni umevunja shart za ndoa .istoshe chuchu zote zinaonekana kiooni ....

    • @sandrakaingu5489
      @sandrakaingu5489 8 місяців тому +2

      Walai hata haoni aibu

    • @SafiyaJ-yw2vt
      @SafiyaJ-yw2vt 8 місяців тому +1

      Kakaa uchi na yy ajiheshimu kwa mavazi gani kavaa matiti yanaonekana muislamu gani mh😢

  • @benignajosephwatendewao2065
    @benignajosephwatendewao2065 8 місяців тому +7

    Watu wanatunza hizi video siku ukiachwa watazipost...Niko hapa na hii comment itakumbukwa.

  • @nurulembuya2208
    @nurulembuya2208 8 місяців тому

    Ukiona mtu anapa panik sana ujue kaona mwenzie kamzidi huyoo na mama yake anavyo mkandia yammy Yami ana miuno nyieeeeeeee😂😂😂😂😂😂

  • @MishyKhamis
    @MishyKhamis 8 місяців тому +1

    Anasema wtu watamuonaje na mungu yy anavyo vaa yuamuonaje 😂😂😂😂

  • @mtukwao5775
    @mtukwao5775 8 місяців тому +1

    5:29 Wewe mwenyewe upo uchi kabisa tena mtoto wa kiislam mwakwapa nnje upo uchi kabisa

  • @Beatriceswai
    @Beatriceswai 8 місяців тому +15

    Kama huwezi kuachwa mbona mapovu yanakutoka

    • @HawaSwaleheh
      @HawaSwaleheh 8 місяців тому

      Mmmmh maajabu halafu hana uhakika anatapatapa tuuuu ajua katoto ka 2000 kanaweza mpiga chin

  • @RehemaMwakapimba
    @RehemaMwakapimba 8 місяців тому +14

    Kumbe unataka nyumba gari. Na akuombe msamaa mbele ya watu mhmmm. Hujafundwa wewe.

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 8 місяців тому

      😂😂😂😂😂 masifa hayo.

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 8 місяців тому

      Apewe gari, nyumba, dhahabu. Na aimbwe msamaha hadharani. Ili iweje?

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 8 місяців тому

    Et mzur,mrembo😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @RamadhaniMayoga
    @RamadhaniMayoga 8 місяців тому

    Upo sahih wAtu wanaongea tuu at mam kimbo yup saw cz yey n mzazi lzim aumie

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 8 місяців тому +6

    Akikataaa kufanya hivyo,sasa anatakiwa akuache kabisaa,hakutaki ndo maana aliamua kujinoma na yammy.Yammy kamata usiachie,umepedwaaa.

  • @glgloria633
    @glgloria633 8 місяців тому

    Kwauzuri gani unao mpaka usiachwi 😂😂😂

  • @fatmahassan7467
    @fatmahassan7467 8 місяців тому

    Mueke ibilisi pembeni yalopita yamepita

  • @frediemary4386
    @frediemary4386 7 місяців тому

    Umeongea point shoga mume anauma dear

  • @Roqua-hs3qf
    @Roqua-hs3qf 8 місяців тому

    Wenye makasiriko kajambeni mbele 💕💕💕💕❤️❤️❤️❤️

  • @JacklinedamianMtweve
    @JacklinedamianMtweve 8 місяців тому

    Huyu c alikua anaongea sana na mshauri mkuu kuhusu ndoa 😂😂😂

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 8 місяців тому +1

    DUNIA NI NJIA TU.JIANGALIE ULIVYOVAAA

  • @Aysha-zg5jc
    @Aysha-zg5jc 8 місяців тому

    Anajiamin mpaka kaniboa😅😅😅

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 8 місяців тому +80

    Kwa mfumo huo ndoa itakushinda, halafu unajiamini kupitiliza, ww ni nani wapo wazuri zaidi Yako huyo ni mwanaume ww jidanganye tu eti oooh! Mm mzuri hata ulivyoongea vya Siri na mumeo unavitoa hadharani.

    • @happyalicko8571
      @happyalicko8571 8 місяців тому +9

      Kwa uzuri gani labda saut yenyewe mbaya msyuuu

    • @chany9950
      @chany9950 8 місяців тому +6

      Anajiamini sana duuuh nasura yake sasa🤣

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 8 місяців тому

      ⁠@@happyalicko8571Na nyiye kila mtu hana uzuri. Lakini nafkiri kwa uzuri wa Raya huwezi kumfikiya nusu yake. Wa Bongo mmezoweya uhuni nyiye. Hamna heshima na Waume za watu. Kila kitu kibaya kwenu mnakifanya ni cha kawaida.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 8 місяців тому +3

      @@chany9950Ana sura nzuri tuu hata hamumpati. Mmeiyona hiyo rangi kwanza. ????? Wenye wivu wakanywe maji ya bahari. MTanzania lakini kutoka wapi??? Tangaaaaa

    • @rukaiyaramadhani4879
      @rukaiyaramadhani4879 8 місяців тому

      @@happyalicko8571 7

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 8 місяців тому

    Mume atakuchoka maana hiyo ndoa si yako ni ya familia maana mpaka mamamkwe povu inahusi😂😂😂😂

  • @VeronicaMinja-zg3mv
    @VeronicaMinja-zg3mv 8 місяців тому

    Anajikaza anaumia mpaka kanatia huruma😂😂

  • @EmsonSambo
    @EmsonSambo 8 місяців тому

    Kwa Mimi ni iyo kauli ya kujisifia tu. Mrembo unahela kwa ivo una mapenzi apo ni hela tu. Tumia lugha nzuri

  • @MohamedOmari-wb4oy
    @MohamedOmari-wb4oy 8 місяців тому

    Weee 😂😂😂😂kina wema kina zari kina hamisa wanaachwa wee ninani 😂😂😂😂😂

  • @omante194
    @omante194 8 місяців тому +1

    Yy mwenyewe yupo uchi Nguo gni hii 😂😂

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 8 місяців тому

    Uzuri Kwa Namna Gani Ulonaho Kwanz😂😂😂

  • @Bbyjarrie17
    @Bbyjarrie17 8 місяців тому

    Tuache unafiki barnaba na yammi wanamake perfect couple sema tuu kashaoa

    • @gracejulius6913
      @gracejulius6913 8 місяців тому

      Wanapendezan sana ilo raya me ata silikubali kama linambemenda ivi

    • @doreenmsafari2945
      @doreenmsafari2945 8 місяців тому

      ​@gracej😢ulius691

  • @gracehaule8232
    @gracehaule8232 8 місяців тому

    Nyooooooooo fyuuuuu kwa kip usiachwe wameachwa wangap sema unajua mlipomrogea Kaka wa watu Barnaba sio wa kubadilisha din kisa ktuko ww hahahahaha

  • @NISHYBOY255
    @NISHYBOY255 8 місяців тому +30

    Kwa heshima gani hio unayotafuta ww na matiti yako yanaonekana ndo wale waĺe dada angu acha ujinga na udunduwazi wa maisha maisha hayaigwi..jistili na ww kwanza ndo uongee ya mwenzio saw 😂😂😂😂

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj583 8 місяців тому

    Ndoa siyokuvumilia , ndoa nifuraha . Furahaikikosekana kwenyendowa . Hakunandowa balinindowano ❤

  • @graceanyungu2774
    @graceanyungu2774 8 місяців тому +1

    Kaa kwenu na mamako coz it's like mamako ndio ana run your home

  • @FatmaHamady
    @FatmaHamady 8 місяців тому +1

    Mshambaa wewe Kwa uzur gan 😁 utaachwaa kweuuupee hutaamin😅

  • @Selina-kt1ls
    @Selina-kt1ls 8 місяців тому +1

    N kazi tu jamani usimchukulie hvyo mwenzio😅

  • @Maas-d5d
    @Maas-d5d 8 місяців тому +15

    sasa Nikwanini usinge msubiri mkaliongelea hilo swala wewe ulijua ndoa ni rahisi urahisi wandoa ni uvumilivu alafu tatizo lenu mabinti pamoja na mama zenu hamna hekma mambo ya ndoa hayawekwi kwenye mitandao Duh poleni sana huu nimtihani mlo nao nyinyi mabinti pamoja na mama zenu

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 8 місяців тому

      Ni kweli kabisa. Hao waandishi wa habari wanapokuuliza sio km wanakuhurumia. Wapo kazini wanatafuta pesa. Wewe una bwabwaja mpaka ya ndani. Na wao wanazidi kukuuliza. Basi ht mtu hujushtukii???

  • @PhilomenaSteven-x9h
    @PhilomenaSteven-x9h 8 місяців тому

    Ile ni kazi mengine mbwembwe sio kweli unajidanganya

  • @tuzoyuwa4573
    @tuzoyuwa4573 8 місяців тому +2

    Huyu mwanamke hata hajielewi kwani alipoolewa na msanii hakujua kama mambo haya yapo na yeye mwenyewe kujistiri pia hajui chefuuuuuuuuu

  • @shekhaalisaid1647
    @shekhaalisaid1647 8 місяців тому

    Nakuunga mkono my mumeanauma