Mtihani ninaona wale wanao msimanga mtu kwenye maisha yake sio suluhisho unaweza msaidiye huwezi muwache tuu kwani duniya inazunguka leto wao kesho kwako muwache ujinga
Ukwe kuongea wapo wakusaidiwa lakn so hawa wapo wagonjwa kama halivyokua mama yao na nilichangia lakn ...hao wananguvu kama sis wafanye kaz mim niko uarabun miak 8 yote kusaidia famili sio kuwa ombaomba 😢😢
Sio kila sk watu watawasaidia Tu ,kama mume sijui ni beans maana aitwae mume kaoa .napia ni ushaur Tu mmoja atoke mmoja abak na familia watatoboa wanaume SK HV wako wapi.nina wazazi wawili na kama wao ñdio waneaniazalia familia yao maana ñdio nimeisimamia mwaka wa 17 huu ,,sita saudia 11 Dubai .kubwa Nia hawana Nia hawa wapo wa kuwasaidia wagonjwa unamuona has huyu msaada wangu utanipa dhawabu unachangia MTU Usk anazini
Jamna baba ake Rose Mungu ambariki sana anamoyo anaipenda sana na kuijar iyo familia...Pole sana Happy usikate tamaa Changamoto tumeumbiwa wanaadamu 🥰❤️
Hebu angalia story ya maisha yao happy ndo alokuwa akikaa na mama yake tena alikuwa mdogo akomshughulikia mama yake na ndugu zake kama unaweza kuwasaidia saidia usimjurge mtu si kasema anafanyakazi yeye na wote hawawezi kuondoka wskawawacha watoto na maisha haya saivi
Ukiona mume anakupiga ni bora uachane nae ayo siapenzi iko Sikh atakuuwa kwa kukupiga.maisha yapo happy unaweza tafuta mwenyewe na mungu atakusimamia ishallah
Pole happy umekonda kiasi ila mungu atasimama nawe piya nanyi natamani kuwasaidiya ila na mimi nipo na mitihani mikubwa kufiwa na mke na niko na wtt 7 wananitegemeya ambao 2 ni wadogo wanojititaji msaada mkubwa wengine angalau wamekuwa wanaeza faham kustahamili ninapokosa Ila familiya yenu inanigusa piya nawaombeya mungu mfanikiwe chini ya jitihada ya kaka zahir
Kwa mungu hakuna kubwa yote yanawezekana shikamaneni tuliyeni nyiye wadogo mapenzi wekeni pembeni kwa sasa angaliyeni zaidi maisha yenu watt wenu na ndugu zenu.nawqombeya kwa mungu mfanikiwe kila la kher kwenu
Ndo wanaume walivyo washenzi kama nini akisha kuchoka tu anakuona kama mavi kikubwa pambana tu hata ikwezekana safiri njoo nje sisi wenzio tunapigika huku ila matunda utayaona baadae
@@janethngowi1058 unawalisha wewe? Sasa kwahayo mavitu yanawakuta wadada huko to uwarabuni unazani ata mm ningeenda sikakwambia apo anafanya kazi au unatombwa masikio husikiii yani kunamijitu mnakera hio msaada ni zahili kapendekeza lakini mtoto wawatu anafanya kazi kuhudumia watu kumi wekuweza? Komwe lile kama mganga siuende ww uko omani
Hapana huko Saudia hapafai hata ukiwa na tabianjema ukikutana na wanaokuajiri wabaya lazima watakuua tuu Oman ukiwa nashida afadhali ni vyepesi kusaidiwa
@@tausisaidi2096. Ppte utakapokutana na watu wabaya wanaweza kukuua. Hapo Tnz si kila siku mnauliwa??? Huko Omani mlikua mnasemaje zamani??? Nyie makafir mnatabia mbaya sana ya kutaka kupaka matope Saudia kwa sbbu mnaona waisilam wengi wanaelekea kule kufanya ibada zao. Na hzo ndizo kasumba zenu. Zamani mliikalia juu Omani na ssa mmeipata Saudia imekua Omani nzuri na Saudia mbaya? Acheni tabia mbovu km mnaona mnauliwa msingerizk roho zenu. Hakuna chenye thamani km roho, mngekaa makwenu. Mnakwenda nchi za watu na tabia mbovu halafu mnasambaza fitna??? Mnafikiri sisi hatuwajui wenye kwenda na kurudi??? Hao waajiri wabaya mnawapata nyie tu au mnakwenda na tabia mbaya???
Yaani mpaka huzuni 😢😢😢😢 yaani misichana na afya bado inataka sadaka 😅😅😅😅😅 alafu mambo ya kuachwa kwani aliolewa lini????? Alafu hata walioolewa wanaachwa sasa wewe kit-mbi haramu anasema ameachwa????? Alafu hawa watoto wadogo wana baba zao siwapambane na watoto wao watapewa sadaka mpaka lini????? Yaani ukizoea vya bure 😮😮😮😮 alafu hawa sadaka za watu usiku zinaa 😂😂😂😂😂. Sitaki povu, walishasaidiwa sana wangetaka kujiendeleza wangekuwa mbali, lakini walikuwa wanakaa barazani wakila kuku kwa mrija 😅😅😅😅 ka happy kalishaanza mkorogo Tina nae nywele kalikiti 😅😅😅 sasa happy mkorogo umeisha.
Ila happy bora ungfanya maarifa zahir akakutaftiya kazi nje ya nchi mtt wako umwachiye Kristin Wewe wende ukahangaike angalau miaka miwili upate msingi
Hii ni mtihani munazaa ovyoo tulieni musifanye zina mm nipo oman mika yafika 6 naenda na kurudi zanzibar sina habar na mwaname yoyote sijaolewa nipo tu nimetuliya wala sina mtoto hata sijawahi kujifunguwa wala kutowa mimba nipo tu kama mm nina mika mingi tu alhadulilah nafanya kazi zangu huku
Lakini usisahu kuolewa upate mtoto Mungu akujaalie kwasababu vizuri ukifanya kazi ujuwe unamfanyia nani na watoto watakusaidia uzeeni Mungu akiwapa Imani.
@@Rose-ue2ho kuolewa kwani rahisi kuna wanaume wawili nishawahi kuwasaidia wamepoteya moja amefariki kwa umalaya wake alipata ukimwi moja yupo tu sina masiliyano nae tena
Nakumbuka alimkopesha boyfriend wake hela ya michango sijui alirudisha? Kuna watoto wadogo watatu waliachwa na wazazi wao walikuwa wanajituma kila siku walikuwa wanaenda kufanya kazi za usafi ili kupata hela ya kula mtoto wa kwanza alikuwa na miaka saba
Jmniii eeeeh ebu punguzen makasiliko Kwan Kuna mtu kalazimishwa kuwap msaad CK zote hzo walivyokuw wanaish.mlikuw mnawachngia nyieee jmniii hya maish tu mweny kuguswa atachng asie guswa mkae kimyaaaa jmniiii 🙌🙌🙌
Pole sana mdogo wangu Happy maisha yanamitihani sana kwa sasa pambana achana na mambo ya wanaume tazama muelekeo wako kwanza
Mkipata pesa fungueni biashara za mboga kama banda hivi ama chakula mtatoboa inshaallah kwa uwezo wake Allah
Nani km mama jmn hata mimi cna mama kwaiyo tuwatiliye duwa kila tunapo swali munqu awarehemu wote
Na hivi anajua ulitolokea kwake na mama huna,lazima akufanyie vitimbi, pole mdogo wangu ,tafuta biashara ufanye
Mtihani ninaona wale wanao msimanga mtu kwenye maisha yake sio suluhisho unaweza msaidiye huwezi muwache tuu kwani duniya inazunguka leto wao kesho kwako muwache ujinga
Umeongea pent kubwa mno
Udugu. Umeongea. Pwenti
Ukwe kuongea wapo wakusaidiwa lakn so hawa wapo wagonjwa kama halivyokua mama yao na nilichangia lakn ...hao wananguvu kama sis wafanye kaz mim niko uarabun miak 8 yote kusaidia famili sio kuwa ombaomba 😢😢
Sio kila sk watu watawasaidia Tu ,kama mume sijui ni beans maana aitwae mume kaoa .napia ni ushaur Tu mmoja atoke mmoja abak na familia watatoboa wanaume SK HV wako wapi.nina wazazi wawili na kama wao ñdio waneaniazalia familia yao maana ñdio nimeisimamia mwaka wa 17 huu ,,sita saudia 11 Dubai .kubwa Nia hawana Nia hawa wapo wa kuwasaidia wagonjwa unamuona has huyu msaada wangu utanipa dhawabu unachangia MTU Usk anazini
Haya mambo ya kujitia watu wanasimangwa wkt wanafahishwa maisha yalivyo usidhani km ndio upendo bali ni kuzidi kuipumbaza jamii na haswa kizazi kipya.
Pole heppy umekuwa kama mmama kwel maisha jamani pole mdogo wangu
Hoo pole,madam wanakibanda kile basi kushukru mungu ataendelea kwenda kuishi na dada yake.
Mtu kama hujazoweya kutoa hebu acha wenye kutaka baraka za kutoa wenyewe watoe usivunje mwengine moyo
Jamna baba ake Rose Mungu ambariki sana anamoyo anaipenda sana na kuijar iyo familia...Pole sana Happy usikate tamaa Changamoto tumeumbiwa wanaadamu 🥰❤️
Hebu angalia story ya maisha yao happy ndo alokuwa akikaa na mama yake tena alikuwa mdogo akomshughulikia mama yake na ndugu zake kama unaweza kuwasaidia saidia usimjurge mtu si kasema anafanyakazi yeye na wote hawawezi kuondoka wskawawacha watoto na maisha haya saivi
Kweli hawa wapate tu mtaji wa biashara ndogo ndogo lkn sio kuondoka nyumbani,tuhurumie wale wadogo pia
Pole sana hepy hongera sana kaka zahir umenenepa mashallah Allah azidi kukupa moyo wakuwasaidia
Mungu awafanyie wepesi Hawa mabinti nyumba yao iishe na wafungue biashara Ameen
Kaka zahir yule mpakistani ameishia wapi?
nenda kwenye chaneli inaitwa home media utaona interview yake kafanya jana a tu sijui juzi utamuona
@@sifatiimanmbona siioni
@@sifatiimanhiyo channel sikuipata. Alikuwa anazungumzia nini
Ukiona mume anakupiga ni bora uachane nae ayo siapenzi iko Sikh atakuuwa kwa kukupiga.maisha yapo happy unaweza tafuta mwenyewe na mungu atakusimamia ishallah
Siku nyingi nimetafuta kipindi cha sad moment
HAPPY MMY SAI FOCUS SAI NA MAISHA MMY ...MWANAUME KAMA HANA MSAADA KWAKO BAKI PEKE TAKO PAMBANA MMY WANGU❤❤❤ MUNGU ATAKUSIMAMIA
Kaka mazoezi tafadhar ubonge umekuja kwa Kasi Happy pole maskini
Yuko wapi mama mapakistan?
Home media
@@maximumtvonlinemakubwa kumbe amehamia home media 😳
Mungu atakusaidia mdogo wangu ila jipeni moyo na msikate tamaa mungu yupo
Pole sana. Ndo utulie ss.
Happy amekuwa mweusi jmn pole sana ila jitahidi kufanya kazi mwenyewe
Dah amekuwa mweusi
Polesana happy wanaume wasikuhizi nimtihani nibora ukatafuta maisha uleye mtoto wako nawadogozako
Mungu akuwekeye wepesi dada mungu yuko nanyinyi sema mungu angesaidia mkahama kweny nyumba yenu
Mie ninamiak 13 toka mama kufalik tumeachwa 4 ila nikajikaz nikaj omani nikiwa na miak 18 ila Zahir mfanyie passport ajee Omanii tupigee kaziii
Mungu akusaidie mdogowangu happy
Vizuri, usikubali mtu kukutumia vibaya hasa kupigwa ovyo ovyo, mwisho ni kifo. Spousal abuse is wrong.
Pole happy umekonda kiasi ila mungu atasimama nawe piya nanyi natamani kuwasaidiya ila na mimi nipo na mitihani mikubwa kufiwa na mke na niko na wtt 7 wananitegemeya ambao 2 ni wadogo wanojititaji msaada mkubwa wengine angalau wamekuwa wanaeza faham kustahamili ninapokosa
Ila familiya yenu inanigusa piya nawaombeya mungu mfanikiwe chini ya jitihada ya kaka zahir
Oooh happy nafurahi kukuona siku nyingi siwaoni,kwanini umeachika maskini 😢😢😢 pole sana
Kwa mungu hakuna kubwa yote yanawezekana shikamaneni tuliyeni nyiye wadogo mapenzi wekeni pembeni kwa sasa angaliyeni zaidi maisha yenu watt wenu na ndugu zenu.nawqombeya kwa mungu mfanikiwe kila la kher kwenu
Pole sana my sister
Ndo wanaume walivyo washenzi kama nini akisha kuchoka tu anakuona kama mavi kikubwa pambana tu hata ikwezekana safiri njoo nje sisi wenzio tunapigika huku ila matunda utayaona baadae
Punguzeni makasiriko hiyo nyumba mungu ndo amewapa ridhiki kupitia kwa watu waliojitolea na kaka Zahiri
Amiin inshallah
Tumekumiss! Pole Happy
Hapya ww una Akili san ila kaka zahir iyo nyumba mbona ten ina Anza utata
Duuu kwnn umpige kama humtaki mtu muache aende, pole happy
Waaa hadi kamepunguza mwili kweli,hawa wasichana waachane na ndoa wakae kwao walee wadogo zao,Happy kaleta sura ya mama kabisa
Pole sana happy Mungu ataleta kheri
Pole Sana hepy ila kaka zahir wapeleke tu wakaishi Kwenye nyumba Yao Kule tuchange tuweke milango hata vyumba viwili tuu
Zahir mola akubariki kwa kupambaniya maisha yao
Pole sana mdogo wangu
Mbona siku hizi mda mrefu hamjarusha vipindi, jamani Zahir tume miss vipindi mpaka nikadhani umefungiwe kumbe upo 😊
Happy Anapitia changamoto jamani pole mdogo wangu
huyu mtt ni mpambanaji sana akikaza atatoka ila akitaka kufaidi awe single
Daaa mtian jaman daaaa pole sna happy na family kwa ujumla
Longtime happy na kaka zair mko poa na dadako happy hajambo
Mungu anawaona lakn
Happy kuwa nahofu yamungu .
Pole
Pole sana Happy sema tu mlishamga kataa kuja Oman dada ako angekuja wewe happy ukae na family nyumba zipo zinatafuta wafanyakaz wa Tz
wavivu hawa
@@janethngowi1058 unawalisha wewe? Sasa kwahayo mavitu yanawakuta wadada huko to uwarabuni unazani ata mm ningeenda sikakwambia apo anafanya kazi au unatombwa masikio husikiii yani kunamijitu mnakera hio msaada ni zahili kapendekeza lakini mtoto wawatu anafanya kazi kuhudumia watu kumi wekuweza? Komwe lile kama mganga siuende ww uko omani
@@masanjaabasi8970kaka ukanywe soda naja kulipa watu wanaropoka sana aiseee
Tatizo uvivu
Tunataka kumuona mama mpakitani na lailati
Pole sana happy 😢
Tulikumisi sana Zahiri👍👍❤❤
Unaakili Sana happy
Saudia Akufai uko ht kdg Afadhali ht Omani kdg Alhamdullillah
Utakapokwenda inategemea na tabia yako, km tabia mbaya huna pa afadhali. Wangapi wapo Saudia na mambo yanawaendea!
Hapana huko Saudia hapafai hata ukiwa na tabianjema ukikutana na wanaokuajiri wabaya lazima watakuua tuu Oman ukiwa nashida afadhali ni vyepesi kusaidiwa
@@tausisaidi2096. Ppte utakapokutana na watu wabaya wanaweza kukuua. Hapo Tnz si kila siku mnauliwa??? Huko Omani mlikua mnasemaje zamani??? Nyie makafir mnatabia mbaya sana ya kutaka kupaka matope Saudia kwa sbbu mnaona waisilam wengi wanaelekea kule kufanya ibada zao. Na hzo ndizo kasumba zenu. Zamani mliikalia juu Omani na ssa mmeipata Saudia imekua Omani nzuri na Saudia mbaya? Acheni tabia mbovu km mnaona mnauliwa msingerizk roho zenu. Hakuna chenye thamani km roho, mngekaa makwenu. Mnakwenda nchi za watu na tabia mbovu halafu mnasambaza fitna??? Mnafikiri sisi hatuwajui wenye kwenda na kurudi??? Hao waajiri wabaya mnawapata nyie tu au mnakwenda na tabia mbaya???
Zahiri ukowapi sikunyingi sijakuona kaka yangu
Jamani maisha haya nimejiikuta nalia
Nawapenda nyote wtt wa mama happy
Nyinyi watoto wabara uharak wa dunia mumeufany mwingi. Sjui mukoje. Dunia ina mitihani. Muwe mnatulia tngu udogoni. Kw nn nyinyi mnakuwa ivo.
Kaka zahir tuletee story ya Lailaty
Yes pia yule munira
Na zabibu
Zahir bibi na babu
Zahir fanya mazoezi umekuwa kibonge Sana 😅
Jmn munirs Yuko wapi,nimemic saan hbr zakee
Aje omani tumchangie paspoti aje uku
Maskini😭Namkuumbuk mamayao jamani
Dah nimtihani kabisa pole sana kabisa
I zao wamekuja kuwatia dhiki hao watto chumba kimoja wanakaa vip au roho mbaya tu zimewajaa
Kwa Sasa wataishi tuu mungu atawasaidia maana nyumba IPO ya kuishi
Pole Sana jamani😢
Nyumba ya mama yao iko wapi au ulikuwa ni UTAPELI ?
Au imeuzwa ?
Mtafanikiwa inshaalla
Cristina atafte viaz mbatata mida ya jion afanye makabaisa atapata sana
Kaka zahir tuliku miss❤❤ sana
Yaani mpaka huzuni 😢😢😢😢 yaani misichana na afya bado inataka sadaka 😅😅😅😅😅 alafu mambo ya kuachwa kwani aliolewa lini????? Alafu hata walioolewa wanaachwa sasa wewe kit-mbi haramu anasema ameachwa????? Alafu hawa watoto wadogo wana baba zao siwapambane na watoto wao watapewa sadaka mpaka lini????? Yaani ukizoea vya bure 😮😮😮😮 alafu hawa sadaka za watu usiku zinaa 😂😂😂😂😂.
Sitaki povu, walishasaidiwa sana wangetaka kujiendeleza wangekuwa mbali, lakini walikuwa wanakaa barazani wakila kuku kwa mrija 😅😅😅😅 ka happy kalishaanza mkorogo Tina nae nywele kalikiti 😅😅😅 sasa happy mkorogo umeisha.
Mungu akusamehe
Happy ameanza kua na rafudh kama mumewe
Jmn Yan hakunaga mubaya hepi kapendeza
Sio mubaya ni mbaya
Happy amepungua mdogo wangu nini tatizo
Ila happy bora ungfanya maarifa zahir akakutaftiya kazi nje ya nchi mtt wako umwachiye Kristin
Wewe wende ukahangaike angalau miaka miwili upate msingi
Kwan jmni hawafany kazi mbon munaongea ovyooo naon uyo happy anajitahd kufany kazi eti
Awajuu walisemalo
Allah kareem
Zahir jamani umerudi tena mashallah
Maskin happy 💔
Pamban happy usikate tamaa oiga kaxi hapo ulipo pata
Mama batuli mpakistani anaendeleaje?
Home media wamemuhoji juz
Epi amesha beba mimba anaonekana kabisa kwasisi tuliyo zaa anamimba uyo
Wala hana mimba maisha yamemchapa
Kuna mtu humu anakazana tuu happy aende saudia sio kuzurioabisa wakenya wengi wamikufa huko
Wakenya wanauwana wenyewe kwa wenyewe.
😂😂😂
😂😂😂
Nchi sio saudia tu dada zipo Oman Dubai Qatar na pia hao wakenya huko saudia wana uwana wenyewe kwa wenyewe 😂😂😂na ukiranga wao
Wachukuwe ukoo wao wapeleke
Nakosa cha kusema kwa hawa watoto jamani MUNGU tu azidi kuwatetea. Na mtoto akiunyea mkono usiukate.
Mbona kama anamimba
Mm mwenyewe nimehisi hivyo jamani kama mjamzito huyu happy 😢😢😅
Watoto we2mpaka yawakute ndoa wana2lia.. oky Mungu atakusimamia mdogowangu
Umeona eee likimkuta jambo basi anatuliza kiranga
Aje omani kaka uyo apambane uku
Zahir ulikua wapi
Hii ni mtihani munazaa ovyoo tulieni musifanye zina mm nipo oman mika yafika 6 naenda na kurudi zanzibar sina habar na mwaname yoyote sijaolewa nipo tu nimetuliya wala sina mtoto hata sijawahi kujifunguwa wala kutowa mimba nipo tu kama mm nina mika mingi tu alhadulilah nafanya kazi zangu huku
Lakini usisahu kuolewa upate mtoto Mungu akujaalie kwasababu vizuri ukifanya kazi ujuwe unamfanyia nani na watoto watakusaidia uzeeni Mungu akiwapa Imani.
@@Rose-ue2ho kuolewa kwani rahisi kuna wanaume wawili nishawahi kuwasaidia wamepoteya moja amefariki kwa umalaya wake alipata ukimwi moja yupo tu sina masiliyano nae tena
@@kadijahajali3918 sijakusudia rahisi sister lakini nimekushauri tuu usisahau kuolewa ukipata mtu sahihi. Omba Mungu atakupa wako.
@@kadijahajali3918. Tulia na muombe Allah akupe m’me alokua shhi. Unadhani kutafuta m’me mwenyewe kutakupatia m’me sahhi???
Hujaulizwa😂😂😂😂😂mezani ni happy
Nakumbuka alimkopesha boyfriend wake hela ya michango sijui alirudisha? Kuna watoto wadogo watatu waliachwa na wazazi wao walikuwa wanajituma kila siku walikuwa wanaenda kufanya kazi za usafi ili kupata hela ya kula mtoto wa kwanza alikuwa na miaka saba
Hawawezi biashara umewapa kila saa biashara inakufa
Nilijuia tu atatelekezwa
kaka zahir munila tuleteee
Kaka Zahir ulipotea
Jamani kakonda hepi
Ss unaona unavokuwa unabadilika ivo umekuwa km bibi wa miaka 60.
Lamsingi piga kazi na usije danganyika ukatanua k ukazalishwa tena. Ikiwasha ipotezee itatulia yenyewe.
Eti ikiwasha achananayo mh! Wewe unaweza
@@zuwenatabu9176 sasa kipi chakukushunda hapo? Kuendekeza tu uzinzi.
@@zuwenatabu9176,😂😂
Umri wako ni mdogo sn.