Ubarikiwe sana kaka zahir kwa kazi kubwa unayoendelea kuifanya ya kuokoa maisha ya wagonjwa kama hawa maana bila wewe hata sisi tusingejua kama kuna waginjwa wamekosa pesa ya kujitibia hakika Mungu atakulipa mazuri kwa mema unayowatendea viumbe wake.Na pia napenda kuwashukuru watu wote wenye mapenzi mema waliojitoa kumchangia binti huyu waliotoa pesa na aliyetoa kitanda cha mtoto huyu Mungu azidi kuwaongezea maradufu🙏
Sifa na utukufu ni zako Mungu wetu. Asanti kwa hii familia na ulicho watendea na utakacho watendea. Tunakusifu, pokea sifa zote kwani wastahili. Amina. Maximum TV pia... Asanteni.
Maashaallwaa maashaallwaa mungu ibariki maximum tv na watu mbalimbali waliyokuwa ndani ya Tanzania na njee ya Tanzania Inshaallwaa mungu atazidi kuleta faraja
Ongera sana Mpndw Wangu uliyeleta kitanda cha mtoto na nguo amependeza sana maashaallwaa mungu wabariki wote waliyo towa msada aallwaa atazidi kuwajaziya zaidi na zaidi
Pole sanadogo wangu utapona tu na mwanao atakua kwa uwezo wa mungu. Ubarikiwe pia kaka zahill kwa moyo wako wa kujitoa kwa kweli na mbarikiwe nyote mlochangia.
Asaalam alykum waramatulah wabarakatul. Alhamdulillah hongerani sana kwa wote waliochangia. Mungu atawalipa Insha Allah . Kaka ZAHIR Insha Allah mungu atakulipa na mamangu utapata nyumba yako Insha Allah .
Kaka MWENYEZI MUNGU Atakulipa kwa hii kazi unayofanya, vilevile nawaombea wote kwa Allah Awazidishie maradufu waliojitolea kuwasaidia huyu bibi, mjukuu na kitukuu...Ni historia na hali inayohuzunisha lakini Allah Atawapa mwongozo Ishallah,...Halafu nimemsikia akisema huyu dada anataka tu kushughulika na malezi ya mtoto wake mbali na kurudi shule....Mimi kwa maoni yangu ningependa tu akirudia afya yake na akiwa salama arudi tu SHULE kwasababu dunia hii bila ELIMU ni sawa na kujiroga,...Mimi nilikuwa mwalimu na ninashuhudia wanafunzi wangu niliowafundisha darasani wakiteseka saana na watoto bila kupata mahitaji hitajika kwa watoto wao na hata hao wenyewe kwa kuwa hawana QUALIFICATIONS zozote, na huku[kwetu] ni KENYA, hata kazi ya kufagia choo lazima uwe na CERTIFICATE sijui sheria za Tz zasemaje lakini USHAURI wangu mkubwa ni ARUDI SHULE coz bado ni mdogo saana [15years] , Wasamaria wa TANZANIA nawaomba, mumushauri zaidi ARUDI SHULENI,,,, ELIMU NI MUHIMU DUNIA HII.
Safi aisee, Mungu mkubwa mno, hongera kaka Zahir na team nzima ya maximum tv watz wote mnaojitoa kwa hali na mali Mungu akarudishe pale mlipopungukiwa.
Alihamdulillah nimefarijika sana kwa kumuona tu hata mtazamo tu najisikia raha sana mm nahitaji kutoa nitakacho jaaliwa na Allah naomba namba zao tafadhari
Zahir sina la kukwambia zaidi kukuombea Allah anajua Cha kukulipia binty leo tu mashallah tabasam limeonekana tunapenda Sana kuona mrejesho Kama hivyo jamon tuwe na moyo wa kusaidia hata kidogo kinasogeza hatua leo kwa nwenzie kesho kwako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Bnafsi ckuwa na uwezo ila co mbaya nikaombea ndugu zng wote miliojtokeza kumsaidi amina m/mungu awajarie kheri awajaze iman mana ad 😭 kwa fraha tupenda kwajli ya m/mungu lnshaallah🙏
Swala zima la dam mimi jamn niliumwa nilibak na 4 tu subhannallah lakin nilijitaidi kula matunda yanaitwa roman,TARO SHABANDAR juisi ya tende ,tendezenyewe ,alhamdellah zimenisaidiA USHAHULI WANGU HUU
Mwenyezi Mungu azidi kuwasimamia katika kila jambo na awahepushe na mabaya yote,hongereni sana mlioweza kuonyesha mioyo yenu yenye huruma na utu Mungu awazidishie mlipopunguza
Pole sana, neda kwa mwaposa , au maombi ya saa tatu sikiliza, pia kula sana matembele na vitamin, za kuongeza damu , kidanda kizuri sana hongera sana alietoa mungu amuzidishie, nawaliotoa michango
Mungu awabariki sna wote na Zahir pamoja na team yako Mungu awaweke awalinde kazi yenu ni ngumu na nzur tunaiona (tuzid kusaidiana wapendwa dini iliyosafi ni kusaidia maskini na kuwa na upendo)
Sio kweli kua dini safi ni kusaidiana na upendo. Wapo wengi wanaosaidia na hawana upendo. Dini safi ni kumjua Mola wako aliyekuumba, kumuabudu, kumshukuru na kufuata maamrisho yake.
Mashallah jmn mungu mkubwa 😢😢choz la Faraha jmn tujipen hongera woote waliochangia na ht ambao hawajachangia ht kwa huruma zenu dua zenu pia mungu mkubwa aende hsptl yy na mwanae wote apimwe mwili wote apate dawa ht km kupanga apange chumba kimoja chatosha
Ubarikiwe sana kaka zahir kwa kazi kubwa unayoendelea kuifanya ya kuokoa maisha ya wagonjwa kama hawa maana bila wewe hata sisi tusingejua kama kuna waginjwa wamekosa pesa ya kujitibia hakika Mungu atakulipa mazuri kwa mema unayowatendea viumbe wake.Na pia napenda kuwashukuru watu wote wenye mapenzi mema waliojitoa kumchangia binti huyu waliotoa pesa na aliyetoa kitanda cha mtoto huyu Mungu azidi kuwaongezea maradufu🙏
Allah atamfanyia wepesi inshaaalla utapona mwanangu na mjukuu wetu atakua poa zaidu
Hongera sana kaka Zahir, kwa maana bila ww watu wasingemfahamu huyo binti .mungu azid kukubariki na wote mliotoa msaada kwake
Hongera kwa alie ujali usalama wa mtoto, Allah amzidishie imani malipo ni kwa Allah🙏🙏🙏🇰🇪
Amiin
Ameen
🤰🤝📩📩😘
Amin
Amiin
Rizik Yatoka Kw mola na iko mikononi mwamja Alhamdulillah ..
Sifa na utukufu ni zako Mungu wetu. Asanti kwa hii familia na ulicho watendea na utakacho watendea. Tunakusifu, pokea sifa zote kwani wastahili. Amina. Maximum TV pia... Asanteni.
Asante sana
mungu ni mwema arhamdulih Allah awe pamoja nawe lnshallah
Maa Shaa Allah... Shukran za dhati kwa wale wote waliochangia... Allah atawalipa kheir.Aameen
Mungu ata msaidia inshaallah hata mimi hayo matatizo ya miguu niliyapataga nilipo jifungua ila nashkuru mungu alileta heri
Mungu awabariki mliochangia na awakumbuke katika uhitaji wenu! Amen🙏🙏🙏
Maashaallwaa maashaallwaa mungu ibariki maximum tv na watu mbalimbali waliyokuwa ndani ya Tanzania na njee ya Tanzania Inshaallwaa mungu atazidi kuleta faraja
Ongera sana Mpndw Wangu uliyeleta kitanda cha mtoto na nguo amependeza sana maashaallwaa mungu wabariki wote waliyo towa msada aallwaa atazidi kuwajaziya zaidi na zaidi
Mungu awabariki sana wrote mliochangia mungu awaongezee
Mashaallah mtoto mzuri hongera kwa walio mchangia hongera na mama yake na bibi yake kwa kumtunza mtoto I ngekuwa mamamwengine angemtupa
Mungu ambariki kaka zahri na maximum TV.kwa kuwaibua na kuwajali wenye shida.mungu endelea kuwagusa watu wazidi kuwasaidia.
Asante Mungu kwa kumfungulia lidhiki mja wako,Mungu awabariki nyote mliomchangia
Zahir unaipenda kz yk, Mungu akupe uhai mrefu uzid kutuwekea watu weny shda
Yeah I love my job..tupo pamoja
@@maximumtvonline sawa
Kaka Zahir ahsante sana kwa kuwasaidia watu wenye matatizo naww Mungu atakulipa kwa wema wako Insha Allah
Yaan kaka zahir ww ipo sku mungu atakuonyesha ukuu wake mungu anijaalie cku moja nifanye jambo kwako asante kwa niaba ya wote unaowasaidia
Mungu awabariki wote waliotoa na zahr mungu akubariki Sana
Ameen yarrabil alamin insha'Allah Khair 🤲
Amen..Asante sana
Bima ya Afya ni muhimu sana, kabla ya matumizi mengine.
Pole sanadogo wangu utapona tu na mwanao atakua kwa uwezo wa mungu. Ubarikiwe pia kaka zahill kwa moyo wako wa kujitoa kwa kweli na mbarikiwe nyote mlochangia.
Mungu awabariki Sana wote mlichangia pia namuombea huyu binti Mungu akuponye.
Shukran sana kaka zahir kwa kusimamiya aziyako kwa zaidi mungu yupo pamoja nww Inshaallwaa
Inshallah tupo pamoja
Zahir kaz unayofanya haitoishia dunian inshaallah allah atakulipa siku y hesab umesaidia wengi umebdlshia wengi maisha
Asaalam alykum waramatulah wabarakatul. Alhamdulillah hongerani sana kwa wote waliochangia. Mungu atawalipa Insha Allah . Kaka ZAHIR Insha Allah mungu atakulipa na mamangu utapata nyumba yako Insha Allah .
Mungu azindishiye huyo aliye jitoleya na kk yetu zahir mungu akubariki
Amen...Asante sana
Kaka MWENYEZI MUNGU Atakulipa kwa hii kazi unayofanya, vilevile nawaombea wote kwa Allah Awazidishie maradufu waliojitolea kuwasaidia huyu bibi, mjukuu na kitukuu...Ni historia na hali inayohuzunisha lakini Allah Atawapa mwongozo Ishallah,...Halafu nimemsikia akisema huyu dada anataka tu kushughulika na malezi ya mtoto wake mbali na kurudi shule....Mimi kwa maoni yangu ningependa tu akirudia afya yake na akiwa salama arudi tu SHULE kwasababu dunia hii bila ELIMU ni sawa na kujiroga,...Mimi nilikuwa mwalimu na ninashuhudia wanafunzi wangu niliowafundisha darasani wakiteseka saana na watoto bila kupata mahitaji hitajika kwa watoto wao na hata hao wenyewe kwa kuwa hawana QUALIFICATIONS zozote, na huku[kwetu] ni KENYA, hata kazi ya kufagia choo lazima uwe na CERTIFICATE sijui sheria za Tz zasemaje lakini USHAURI wangu mkubwa ni ARUDI SHULE coz bado ni mdogo saana [15years] , Wasamaria wa TANZANIA nawaomba, mumushauri zaidi ARUDI SHULENI,,,, ELIMU NI MUHIMU DUNIA HII.
Amiin..Asante sana
Kaka Zahir unafanya kaz nzuri sana mungu akupe mema ww na kizazi chako🙏🙏hongera pia maximum Tv kwa kupaza sauti za wanyonge
Amiin...Asante sana
Safi aisee, Mungu mkubwa mno, hongera kaka Zahir na team nzima ya maximum tv watz wote mnaojitoa kwa hali na mali Mungu akarudishe pale mlipopungukiwa.
Asante sana
Mashallah mungu awabarik sana kaka zahir mungu akubarik pia kwa kaz unazofanya....
Alihamdulillah nimefarijika sana kwa kumuona tu hata mtazamo tu najisikia raha sana mm nahitaji kutoa nitakacho jaaliwa na Allah naomba namba zao tafadhari
Ziko hapo wanaonyesha
Mwenyezimngu azidi kuwahifadhi pamoja na wote walio wachangiya insha'Allah Khair 🤲
Zahir sina la kukwambia zaidi kukuombea Allah anajua Cha kukulipia binty leo tu mashallah tabasam limeonekana tunapenda Sana kuona mrejesho Kama hivyo jamon tuwe na moyo wa kusaidia hata kidogo kinasogeza hatua leo kwa nwenzie kesho kwako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu awabariki Maxmum Tv.
Zahir mungu akupe maisha marefu kwa kazi unayofanya mungu atakupa haja ya moyo wako
Mtangazaji mungu akupe siku nyingi zakuishi,maana unabadilisha historia ya watu wengi.binti mungu atakuimatisha.
Amen..
Hongera sana dada mwenyezi mungu azid kuwajaalia
Mungu ampe afya njema dada yetu na zahir mungu akulipe kher zako yarab
Bnafsi ckuwa na uwezo ila co mbaya nikaombea ndugu zng wote miliojtokeza kumsaidi amina m/mungu awajarie kheri awajaze iman mana ad 😭 kwa fraha tupenda kwajli ya m/mungu lnshaallah🙏
Alhamdullillah malaika wa mungu kaja na bakhti yake Allah atazidi kukufanyieni wepesi yarrab
penda sana wee mkaka kwa ajili ya kuwasaidia wasiojiweza 🙏🙏
Yarabi wazidishie Baraka ndugu zetu wa omani kwakweli wa najitahidi kusaidia Sana
Amina kazizetu ngumu ilatunajitaidi tulenawenzetu
Mungu hawabariki wale wote mliomchangia hii familia
Ameen
Amiin
Pole mwaya mungu atakufanyia wepesi
Masha Allah mungu azidi kukupa nguvu na walochangia Allah atujaalie zaid tuwe na Iman hii hii
Hongera bibi Mungu akubariki
hongera xana kwa walio toa mchango mwenyez mungu atawarip
Kwa mirejesho ndipo mnanikoshaga ...big up bro zahir
Bless up
Hata mimi
Mashallah jamani hadi raha.kutoa ni moyo sio utajiri.tujikaze tutafika....
Amiin Shukran
kabisa ndugu yangu ..
Swala zima la dam mimi jamn niliumwa nilibak na 4 tu subhannallah lakin nilijitaidi kula matunda yanaitwa roman,TARO SHABANDAR juisi ya tende ,tendezenyewe ,alhamdellah zimenisaidiA USHAHULI WANGU HUU
Ooooh LORD, MUNGU Akubariki sana KAKA ZAHIR
Asante mungu wew ndo kimbilio letu akika umeonesha utukufu wako amina
Mungu ni mwema hakika...utapona mdg wangu
Kwanza hongera kaka Allah akupe maisha marefu na moyo wa subra kwa kazi yako inshallah 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mashallah MwenyeziMungu awajaalie kipato cha halali wote kila anae toa Inshaallah
Mwenyezi Mungu azidi kuwasimamia katika kila jambo na awahepushe na mabaya yote,hongereni sana mlioweza kuonyesha mioyo yenu yenye huruma na utu Mungu awazidishie mlipopunguza
Kiukweli ubarikiwe sana kaka zahiri
Mungu awabariki Sana walio msaidia jamanii
Mwenyezimungu azidi kukufanyia wepesi kwarehma zake In Shaa Allah
Ameen yaraab alamiin
Alhamdlilah.
Ameen yarrab
Mashaallah wajina wangu mrembo sana. Allah azidi kuwafangulia kheri👏
Ongera kwa waliomchangia🙏🙏🙏👍👍💕💕 allah awabariki
Ata tunae muombea tuu,bila kumchangia mtupe hongera zetu!hatuna pesa ila maombi
MashaAllah, Mungu hamtupi mja wake, hata a naweza nunu kiwanja wa kapata kwao kabisa.
masha ALLAH mama nurat Leo amechangamka.
Pole sana, neda kwa mwaposa , au maombi ya saa tatu sikiliza, pia kula sana matembele na vitamin, za kuongeza damu , kidanda kizuri sana hongera sana alietoa mungu amuzidishie, nawaliotoa michango
Mazoezi pia yale anaoaweza kama kutembeatembea
Mashallah mwenyezi mungu awabariki wote walichangia hii familia
Utapona dadangu Mungu anakuona na anakuwazia mema
Mungu awabariki sna wote na Zahir pamoja na team yako Mungu awaweke awalinde kazi yenu ni ngumu na nzur tunaiona (tuzid kusaidiana wapendwa dini iliyosafi ni kusaidia maskini na kuwa na upendo)
Kweli kabisa..Asante sana
Sio kweli kua dini safi ni kusaidiana na upendo. Wapo wengi wanaosaidia na hawana upendo. Dini safi ni kumjua Mola wako aliyekuumba, kumuabudu, kumshukuru na kufuata maamrisho yake.
Mubarikiwe wote mliomchangia🙏
Amin
Ameen yaraab alamiin
Ameen
Amiin
Amiin
Pole sana mdogo wangu yote mitihani ya maisha mungu atakusaidia
Mungu hamtupi mja wake kwa kweli Usijali kila kitu kitakua sawa
Kweli kabisaa
Leo mimi ndo wa kwanza ku comment
Honger
Hongera
🤝
Mungu mponeshe huyu dada jamanii
Hongera Sana kijana kwafatilia matatizo ya watu unasaidia Sana fika mpk zanzibar
Soon
..
Mashaallah Kafurah Sana Amina
Mungu akubariki kaka
mshallah bibi kwa huruma yako na wengine mliojitolea
maashaallah maashaallah mschana mzuri
M.mungu awajaalie wote mliojitolea kumsaidia binti huyu
Shukrani
mashallah allah amzidishiye afya nchema jitahid kula matember na juis ya tente inarudisha dam haraka
Zahir Shukran jaza kwa Allah
Amiin...
Mungu azidi kukusimamiaa dadanguu
Allah azidi kukusimamia inshaallah 🤲
Ameen yaraab alamiin
Inshallah
Alhamdhulillah shukran zote kwa Allah pili kwako ww Zahir tatu nawote waliojaaliwa kutoa..
Amiin...
Inshallah Allah atawafanyia wepi
Alhamdulilah baada dhiki faraja
Kama alivyotuambia Allah katika quraan
In sha allah mtafajirika karibu
Tupo pamoja mpaka peponi ....
Allah atakifanyia wepesi inshaallah
Mashalaaaah!
Kaka Zahir. M. Mungu atakulipa inshaallah
Aisee mungu awabariki wote mnaojitolea
Mashaaalaah binti mzuri Sana uyooo
She look happy bless her
Alhamdulilah Allah awalipe kilalakheri walio msaidia uyo binti kwakweli nilikua namfikiria ila Mungu mkubwa
Mashallah jmn mungu mkubwa 😢😢choz la Faraha jmn tujipen hongera woote waliochangia na ht ambao hawajachangia ht kwa huruma zenu dua zenu pia mungu mkubwa aende hsptl yy na mwanae wote apimwe mwili wote apate dawa ht km kupanga apange chumba kimoja chatosha
shukrani kwenu wote wapendwa wengine tupo mbali tusamehiane tunaendelea na maombi kila siku🙏🏼
Amina mrembo jamani
Sana
Mashallaah mungu yuko pamj na ww
Mungu akupe afya mtoto mzuri, usikate tamaa
Mungu atakupa afya inshallah wewe na mwanao na bibi yako anae kutunza pia zahir mtangazati malipo utapata inshallah shukraan
Zahir mungu akutunze ,pia mungu awabarik wote mlioguswa kuichangia familia hii.
Amiin...
Amen
Mungu awabaliki wote walio jitolea malipo kwa Allah Inshallah utapona amina
Mugu. Yup
Bado kweli nim gonjwa alikaa utasema kapoa akitembea nim gonjwa haswaaa pole Sana Allah atakuafu