MAFUTA 5 YA SUNSCREEN KWA AJILI YA AINA ZOTE ZA NGOZI/sunscreen products for oily skin
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- je unatafuta sunscreen nzuri kutokana na aina ya ngozi yako bila kuichubua?
video hii itaenda kukuonesha sunscreen nzuri za kupaka ili kulinda ngozi yako dhidi ya mionzi ya jua,mda gani wa kupaka sunscreen na umuhimu wa kupaka sunscreen.hizi sunscreen ni kwa aina zote za ngozi bila kuichubua.hizi sunscreen ni nzuri kwa ajili ya ngozi zote na pia haijalishi ni mwanaume au mwanamke.
#sensitiveskin #skincare #sunscreen
Disclaimer
Video zote kwenye hii channel zipo kwa ajili ya kutoa ufahamu kwa watu.na sio kuingilia dawa unazopewa na daktari.hivyo kama unasumbuliwa na Matatizo ya ngozi au kiafya ni vyema kumuona daktari
bonyeza link hii kuangalia video ya kulainisha miguu na kuondoa magaga
• JINSI YA KULAINISHA MI...
Jinsi ya kutunza nywele kavu na zilizokatika
• JINSI YA KUTUNZA NYWEL...
Mafuta mazuri kwa ngozi zenye mafuta mengi
• MAFUTA MAZURI KWA NGOZ...
Jinsi ya kufanya face steaming
• UMUHIMU/JINSI YA KUFAN...
ijue aine ya ngozi yako ili kutibu chunusi haraka..bonyeza link
• FAHAMU AINA YA NGOZI Y...
#chunusi #dawayachunusi #beutyandlifestyle
#swahilination
#swahilianimation
swahilikatuni,katunizakiswahili2021,madoa,acneskin,oilyskin ,mafutayachunusi,ngoziyamafuta,jinsi ya kutibu chunusi sugu,Tanzania youtuber,
,ondoamadoa ,urembo ,ngozi ,ngozilaini ,carrymastory ,chunusinamadoa ,makeup ,acne ,nyweleasili ,afya ,mafutayanywele ,katunikiswahili ,katuni ,wasafi ,wemasepetu ,urembo ,punguza kitambi,afya,asili,ireneuwoya ,bongofleva,tanzaniayoutuber ,nyweleasili ,bongo1media ,millardayo ,tanzaniacomedy ,eatv ,style,diamondplatnamz,wasafi media,mashamsham ,bongofleva,madoa ,mapenzi ,tanzania travel,zanzibar tanzania,tanzaniamovies ,kiswahili ,bongomovies swahilicomedy,dizzimonline
Niabie ile sunscreen zuri kabisa
Mimi ngozi yangu ya mafuta sana nmeangaika na tatzo la chunus mpaka bac had ninaweusi uson nitumie sun cream gn kuondoa weus na kupunguza mafuta uson???na je tatzo likiisha nikaacha kutumia sun cream kuna madhara?
Mwenye oily skin hyo sunscreen ya wix inafaa?au n nzito?
Hii broad wix sunscreen inapakwa na mafuta mengine au yenyewe inajitosheleza
Kipenzi ngozi yangu ni normal naweza kutumia ipi kati ya hizo??
Nimeach cream kupaka nawez kupaka tu suncreen
Thank u dayana
Karibu mpendwa
Unapatikan wapi
Mi naweusi uson ngoz yangu ya mafuta nitumie sunscreen gan
Dada mbona ujaongelea hiyo ya wix jaman
Mimi Nina ngozi ya mafuta Sana Dada naipataje hiyo ambayo unatumia ww
Kwenye maduka ya online Instagram yapo
Inaitwaje iyo dada unayo tumia mm mataka ya kama yako
Mimi nauza
@@raquellyrommel1348 nipe namba dada,au nakupataje
Dada nitumie sanscreen gani mzuri mm ngozi yangu nikavu ila usoni nina chunusi na mikunjo
Nenda kanunue lady diana
Mi nahitaji jamani ilio kua nzuri
Ntaipataje
Mimi Nina ngozi ya mafuta Sana Dada naipataje hiyo unayoitumia ww
Kwa anayehitaji sunscreen anayotumia huyu dada nauza
Bei gan
Nataka mm ukowapi?
Dada naomba nisaidie namba yako me ni mhanga jaman
Naiuza mimi anayotumia huyo dada
@@raquellyrommel1348 unauza bei gani ??
Je Kama nimeungua na cream inaweza kuniondolea huo weusi
Sunscreen haitoi weusi wa cream ila inakinga ngozi isiungue na jua
Asante D je naweza paka sunscreen pekee yake asubuhi ninavyotoka jion ndio nikapaka mafuta yangu?
Sorry Naomb unisaidie namba yako
Hahaha et bei yake imechangamka
Inauzwa shingp dada plz hiy ya la Roche posay
35k