Kuhani mungu akupe maisha marefu unatuokoa Kama sio yesu anae kutumia Mimi nisinge kuwepo Tena duniani nasita acha kuja kumuomba mungu kwa Yale alio nitendea Nima kubwa Sana.
Kuhani na mm kuanzia sasa najiungamanisha na madhabao yako ninaomba unionekanie mm pmj na familia yangu hakuna mtu mwenye maendeleo wote tunashida naomba unionekanie popite nitakapokuwa na popote niendako nijaze imani na nguvu ya kuomba ili yote yaishe niishi maisha niliyopewa na Mungu amina
1:14 hii siku nilikua kanisani Ila nilikua nikifwatilia kwenye radio 103 classic na moris kembo more Grace papa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu kuhani wa Mungu kwa kazi ya kusaidia watu kupitia Jina la Bwana wetu Yesu kristo amen
Kuhani mungu akupe maisha marefu unatuokoa Kama sio yesu anae kutumia Mimi nisinge kuwepo Tena duniani nasita acha kuja kumuomba mungu kwa Yale alio nitendea Nima kubwa Sana.
Jmn mm mbona bado
BWANA YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI NA NURU ALISI ATUKUZWE AMEEN
Kuhani Mungu akupe maisha marefu 🙏🙏🙏
Mungu akupe maisha malefu kuhani Musa na mm naomba mungu ni we mtumishi
Naji ungamanisha na ngome la yesu ku toka congo DRC
Mungu akujarie uweze kutuokoa
Baba tuombee sana mutumishi wa mungu mungu alikuita makuzu mazuri nawe pamoja na uzao wako barikiwa sanaaaana ❤❤
kuhani mungu akulinde baba nitapona nitabqrikiwa ukoniita nimehangaika na magongo yangu kuomba nikuone nimekataliwa baba nina mengi nisaudie yesu
Mtlu wa Mungu ubarikiwe kwa kazi kubwa u'ko naifanya mimi ni mama Neema Niko congo
Ameen 🙏 nabarikiwa xn nabii musaa nakupenda baba
Amina baba .ushi milele
Mungu akubariki sana kuhani musa nami uniombee mumewangu aokoke awemuaminifu kama wanaume wa ngomeni nimufano muzuri
Kazi yako ni ya uhakika umetumwa na mungu kwel ,ubarikiwe baba mungu anikumbuke na mm shida zangu
Jamani mimi nimu kongo mani nakuja uko naomba maelekezo munisaidiye
Mungu akuzidisshie karama bba2
Amina baba nakufata UA-cam ni mkongo mimi
Amina baba kuhani Musa naoma watoto wetu wakuume ama wakike wasiingiye kwenye icho chama Yesu tusaidiye
Kuhani na mm kuanzia sasa najiungamanisha na madhabao yako ninaomba unionekanie mm pmj na familia yangu hakuna mtu mwenye maendeleo wote tunashida naomba unionekanie popite nitakapokuwa na popote niendako nijaze imani na nguvu ya kuomba ili yote yaishe niishi maisha niliyopewa na Mungu amina
Mshukuru mungu umefika kwa yesu mkombozi wa ulimwengu jini ha na nafasi
Amen
Najiunganisha na madhabahu ya ngomen kwanzia Leo Mungu naomba baraka zako ziwe juu yangu na kwa familia yangu pia .
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 aki amungu kama na mama maiga yupo kwa musa ww mama
Kuhani nisaidie ninashida katika sehemu yangu ya miguu
Amina 🎉🎉
YESU wa Kuhani Musa nione na mimi jamani kupitia mtumishi wako Kuhani Musa 🙏
Ameen yarab
Mali gani uyuu pimbi anazinguwa hehe mwenyew kachokaa hapo watu wangu wanaangamia kwa kukosaa marifaaaa
Maarifa gani ambayo wanaangamia kwa kukosa
Barikiwa sana Kuhani. Kazi yako ni njema mno
Amina baba
Namunganisha wif yangu na mathabau ya kuani Musa mungu akamponye
Amina.baba.👏👏🇰🇪🙏🙏🔥🔥🔥
Huyu kuhani anapatikana wapi ju namba ya ximu hapatikani
🙏🙏
ndoo hii
Mtumishi mimi naomba namba yako
Hakika mungu akutuzwe baba❤❤
Mungu akutiye nguvu baba
Ubarikiwe mutumishi
😂😂😂😂😂😂Heeeee Kuhani Mussa Richard Ameshaonaaaaaaaa
😂😂😂😂😂😂 haya Mambo banaaa
Fungua kuna kitu kinanitesa ndani ya mwili wangu
Mungu naomba niponye na mimi
Mungu akutie nguv bab
Sasa kama mke wako jini kanisani umefata nini 😂😂😂watu bana
Naomba kuani mussa aniombee nipate pesa nisaidie familia yangu na ndugu zangu
Jini ana jinsia gani?
Unazinguwaa
Aseee mbon sielewiii hapo naona jamaa anajichangany tu mara jin mara jeneza
Kuhani mungu akuongezee miaka mingi
Utapeli tu
Baba mungu akubariki sana
Baba Mimi nipo Mozambique sasa nifaye nini unibarik Nina tatizo sipati mtoto Nina miaka 25 sina mtoto na mimi sina yela nisaidiey baba amem
Endelea kujiungamanisha na ibada siku za Jumanne,Ijumaa na Jumapili Mungu atakuonekania
Mungu wa apa ngomeni niwa ajabu saana kweli
Bb.nateseka.na.mwanangu.hataki.kuja.huko.anagama..bb.anateseka.mwanangu.toka.mwaka.200.12
Hadithi za abunuasi😂😂😂
Naitaji.kuja.kwako.nipo.tanga..naomba.msada.ilinije.namwangu
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
Kuhan naomb kuombew me nk musom
Aminaaa
mtu wa sengerema mwanza duuuh!!!
Uyu jamaa hana historia mzito sana. Mpaka kafika ngomen Mungu mkubwa. Ila daah
duuuh! ni bora niendelee kuwa rofa kuliko kuingia mikataba na shetwani!!!
Kuhan mungu akupe maisha marefu na uendelee kumtumikia mungu
Kuhan naomb na mmi mungu akuonyesh kwngu
Amna kitu hapo
Nilikuwa km ww ila huyu mwamba ni real aisee imemtokea mtu nae mjua kbs na akamfanyia muujiza
Mungu ni mwema sana. Niko mkoani, natamani kupata huduma hii, je kuna hostel maana mimi siyo mwenyeji huko
Jamani Dunia hii tunapitia mengi, mungu akikubariki akuna ata cha mikatamba Jamani shetani ana mambo yake mno..
Jamani mimi nimu kongo mani nakuja uko naomba maelekezo munisaidiye
Huyu kuhani anapatikana wapi ju namba ya ximu hapatikani