Ubarikwe baba kuhani musa Richard mwacha naomba mungu akure maisha marefu sana Yesu kristo mungu mkuu Yesu kristo mungu wa kuhani musa Richard mwacha naomba TENDA NA KWANGU MIUJIZA MIKUBWA NAPOKEA BARAKA NA NEMA ZA NGOMENI 🙏🙏🙏🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿
Hakika Yesu wa Ngomeni unafanya maajabu kwa macho yetu tunashuhudia,, Yesu wa Kuhani Musa Richard Mwacha watesi wanao mtesa Mama angu Magreth , naomba mwaka huu Yesu ufanye jambo juu ya hao Watesi 🙏🙏 Yesu wa Ngomeni nakuamini najua utafanya Jambo 🙏🙏🙏🙏
Chapa kazi baba hakika tunauona utukufu wa yesu aliekutuma kwetu yesu wa ngomeni sasa hivi anatisha wafu Tanzania yoote sasa anawafufua baba usijali wanadamu tumepewa vinywa kunena illa laiti wangejua karama na kipawa mungu alichokupa kwa ajili ya Tanzania na dunia kwa ujumla
DUH WATU SIJUI MTAFANYWA MATAHIRA MPAKA LINI UONGO WA WAZI KABISA PUMBAVU KABISA MAJITU MAZIMA MTADANGANYWA KITAAHIRA HIVYO YAANI HATA ANAVYOONGEA HUSHTUKI TU ETI LAKINI NIKIMUENDEKEA KILEMA SASA HIVI AAMKE SIWEZI ILA KUNA WAKATI INATOKEA😂😂😂😂MMEKALISHA MATAKO TU
Wote mnaopinga huduma ya kuhani mussa basi nyinyi utakuwa wachawi ila sisi tunaoamini tunajua watu wanafufuka ngomeni mkubali muache ila habar ni mmoja tu ngomeni kunaufufuo tu
Acha ujanja wa kutaka kuwaibia watu sadaka zao na kuwadanya watu hakuna mtu kafa akafufuka na kama kweli nenda mahospital ukawafufu watu walio kufa hii didi ya kikiristo ni dini ya kishetani
Ina maana yy hawamis wazazi wke walomzaa akamfufua japo mama yke Dunia hii tokea iumbwe hajawahi Mtu kufa akarudi Yani hata angekuwa Shekhe wa Dunia ningemwambia muongo kw herufi kubwa
Amina sanaa baba angu Mungu wa mbinguni hazidi kukueka tunakupenda sanaa uzidi kutenda na kwetu wengine
Ubarikiwe baba nasi mungu atuwone kwajiya yamutadawo
Ubarikwe baba kuhani musa Richard mwacha naomba mungu akure maisha marefu sana Yesu kristo mungu mkuu Yesu kristo mungu wa kuhani musa Richard mwacha naomba TENDA NA KWANGU MIUJIZA MIKUBWA NAPOKEA BARAKA NA NEMA ZA NGOMENI 🙏🙏🙏🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿
Amina sanaa
Amiiiiiiina
Na
Musa
Bwana yesu asifiwe aongezewe
Balaka na Nuru nyingi zimuchukiye
Amiiina
🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Sio Dar pekee, baba njoo na hapa pia🇸🇸
Ubalikiwe.sana.yesu.wangomenì.ana.weza.baba.
Bwana Yesu kristo mungu mkuu naomba usiwache salama watesi wangu wote wakate moto 🔥🔥🔥
Nakupenda sana baba yangu Wa kiroo mungu akupe maisha. Marefu
Nakupenda sana baba mungu akulinde akuepushie na mabaya yote ya dunia❤💖🥰😘
Ahsantene
Baba
Musa
Yes
Yes
Nachukuru amiiina 🖐️🖐️🖐️
Mungu amekuchagua wewe kwa kusudi maarumu, angeweza ata kunichagua mimi ila ni wewe. Mungu akulinde uipige injiri kwa moyo mmoja
🙏🏿🙏🏿🙏🏿mungu akupe maarufu zaidi ya neno la bwana amina
Mm nkukubali cn kuhani make unamafundisho yko nayapenda cn ubarikiwe cana
Mungu aiweke maisha marefu uzidi kutusaidia wanyonge
Kuhani musa nabiii MUNGU amsaidie kaka petro arudi live
Mwenyezi Mungu akutunze na kukulinda Baba Kuhani ,kwa jina la Yesu Kristo alie hai .
Baba hapa mpole kama sio wewe ukiwa madhabahuni...Amina arab ubarikiwe sana baba
Hakika Yesu wa Ngomeni unafanya maajabu kwa macho yetu tunashuhudia,, Yesu wa Kuhani Musa Richard Mwacha watesi wanao mtesa Mama angu Magreth , naomba mwaka huu Yesu ufanye jambo juu ya hao Watesi 🙏🙏 Yesu wa Ngomeni nakuamini najua utafanya Jambo 🙏🙏🙏🙏
Naomba no ya mutumishi wa mungu nimwindaji kwetu Kenya mungu akipenda atakufunulia yaliyo kwetu barikiwa sana mumishi wa mungu ❤❤❤
Nakupenda bure tu❤❤❤❤❤ kuani Wangu
Ata mimi naomba yesu afufue maisha yangu
Mungu.akubariki.san.Baba.yetu.wakiroho..
Ahsante sana yesu wangu wa ngomeni umenito mbali sana, mungu akupe afya utupone wengi amina
Mwenyezi Mungu azid kukulinda Baba yangu 🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭🤲🤲
Acha kusema uongo bas mm sipend hiv mnavo sema mnafufua watu uongo 😅😅😅😅😅😅
Maisha marefu baba Kwa huduma👍👍👍👍🔥
Amen Baba Mungu azidi kukutia nguvu..
Jaman nakukubali sana baba angu kuhan mussa amiinaaaaaaaaa😢😢
Amen Amen Mungu akupe maisha marefu
Nakupenda Sanaa baba angu wa kiroho
Mungu akusaidy kuhan wetuuu❤❤
Mimi nakependa Sana na Nina kuamini Mungu anakutumia piga kazi jembe la yesu.
Baba tunashukuru kwa kazi unayo ifanya. Mungu akujalie kabisa. Lakini huku kunawengine wanahangahika. Tunahitaji kupata nambayako ya sim.
Ubarikiwe sana Kuhani wa Mungu Baba.
Mungu akubariki xna naakpe maisha marefu
Mungu akipenda kuhani Musa plz naomba tukualike kwetu Kenya
Mungu atukuzwe sana kuhani Musa
Bwana yesu kristo mungu mkuu nataka usiwache salama watesi wangu woote wakate moto kwa jina la yesu
Mungu akutunze baba yangu wa kiroho
Amen.mungu.Akurinde.Baba.miaka.mingi.sana
Bwana yesu atukuzwe Baba mm namatatizo ya kiafya naomba maombi yako baba
Kweeli Baba,naaaamini nikiwa. Hapa Kenya🇸🇸🔥🙏
Amina
Mungu akutunze baba tumekuelewa
Amiiiina
Baba 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭
YESU akuzidishie miaka mingi Baba
Yesu wa ngomeni🔥🔥🔥🔥
Utukufu na shukrani ikwelekeye mwalimu musa Richard kuhani .Nami unikumbukeko!Nami muito wangu arudi nhumbani.nami nishudiye ukumbwa wa yesus
Aminaaa baba 🙏
Amina baba mungu akupe maisha marefu
Tangu nianze kufatilia huyu Baba kwakweli alhamdullilah najiskia vizuri
🎉❤amina.ngo.me.iko.salama.
Sauti ya upole subiri fatigue yake akiwa madhabahuni.😂😂😂Amina ya radi
Ubalikiwe sana na nakuamini sana
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ❤❤❤
Chapa kazi baba hakika tunauona utukufu wa yesu aliekutuma kwetu yesu wa ngomeni sasa hivi anatisha wafu Tanzania yoote sasa anawafufua baba usijali wanadamu tumepewa vinywa kunena illa laiti wangejua karama na kipawa mungu alichokupa kwa ajili ya Tanzania na dunia kwa ujumla
Amina🙏🙏🙏🇴🇲
Naomb niombee baba
Amen.BABA
❤❤❤❤❤❤
Ww ni jembe la mungu azidi kukutia nguvu foreva
Mimi na mwamini
Kama ninguvu zaMUNGU basi ubalikiwe
Amina🙏🙏🙏🙏
AmenAmen
Baba Nami unisaidiye.niko apa angola.roho imesha umwa kabisa.dju ya mototo Ana itwa prisesa Kiala tambue
Hii clip kufuuka watoto mke naioata wapi
Umenikumbusha junzi nalioda Niko Kwa shamba nafiega muzituni alafu nikamaliza nigaaza kung,oa mizizi kumaliza kung,oa mizizi nigaaza kulima ile shamba ukacha unganiambiya nitakusaidia kulima hii shamba nilikuona nigashangaa sana
Naamini namimi mama yangu atafufurka amekufa kifo kutayanisha
Alafu mnatoa maneo ya shombo wakati mko na shida kibao unatakiwa maombi ili muache uchawi maana mtakata moto kwa jina la yesu kiristo
Alafu mkome kumtukana kuhani watu
Kuan mssa muungu akulinde sn san utusidie nakuombea ukae miak maelf namaelf kuan mssa naomb namm unissdie unifichulie mkoan singd saiv nipo dar kigambn
Kumbe,atauchumi,wangu,umeshafufuko,walipouzika
DUH WATU SIJUI MTAFANYWA MATAHIRA MPAKA LINI UONGO WA WAZI KABISA PUMBAVU KABISA MAJITU MAZIMA MTADANGANYWA KITAAHIRA HIVYO YAANI HATA ANAVYOONGEA HUSHTUKI TU ETI LAKINI NIKIMUENDEKEA KILEMA SASA HIVI AAMKE SIWEZI ILA KUNA WAKATI INATOKEA😂😂😂😂MMEKALISHA MATAKO TU
Baba kama baba
Wote mnaopinga huduma ya kuhani mussa basi nyinyi utakuwa wachawi ila sisi tunaoamini tunajua watu wanafufuka ngomeni mkubali muache ila habar ni mmoja tu ngomeni kunaufufuo tu
Ninakupendamutushimunguazidikukuuongeza moyo
Acha ujanja wa kutaka kuwaibia watu sadaka zao na kuwadanya watu hakuna mtu kafa akafufuka na kama kweli nenda mahospital ukawafufu watu walio kufa hii didi ya kikiristo ni dini ya kishetani
Kama unaona ni ujanja fanya na wewe basi tuona
Uchawi unawasumbua tu huna lolote pepo wewe unakaz yakutukana mtumishi wa mungu je kakosea wapi mbona makasiliko ivo au wewe ndiye uliwaua nini
Shetani ni wewe na dini yako
Uwelewa wako na mambo ya rohoni ni kiduchu sana, wanaofufuka ni watu waliokufa na kuchukuliwa msekule na si kifo Cha mapenzi ya Mungu
Kama mnaona uchawi ni rahisi basi fanyeni nyinyi.Huyu ni mtumishi wa Mungu na ametumwa kuwasaidia wengi wenye shida zao
Huna uwezo huu ni binadam wa kawaida tu Tena huna lolote ktk ilo ulilosema acha uwongo wako
Wewe kiumbe funga domo lako mbona mimi kwetu kafufuka kama huna imani acha watu wengine wafunguliwe
Kama ujui Yesu yuko ndani yake ndiyo maana watu wanafufuka kuhani watu umuache kabisa tena umkome
Pepo iloooooo
@@evelnemlanzi9257 wewe apo uko na iyo pepo maana uwezi tukana mtumishi wa mungu ama unalaana wewe katubu
Angemfufua Magufuli🤣🤣🤣🤣
Ina maana yy hawamis wazazi wke walomzaa akamfufua japo mama yke Dunia hii tokea iumbwe hajawahi Mtu kufa akarudi Yani hata angekuwa Shekhe wa Dunia ningemwambia muongo kw herufi kubwa
Acha kumzihaki mtumishi wa mungu utachuma rana kubwa
Kama huelewi acha c razima ufatilie ibada zetu
Ila kaaukijua ngomeni ndiyo sehem ya ufufuo upo utake usitake kelele zoko wala kwetu hazina maana zaid tutakupiga kwa radi na moto wa yesu kiristo
Hujielewi pimbi ww
Pimbi wewe😏
Amina
Amen
Amina