Kuhani Musa Asimulia Alivyofufua Watu4 walikufa familia 1 Sikiliza Uone maajabu ya mungu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 86

  • @KhadijaAli-zd8jq
    @KhadijaAli-zd8jq 10 місяців тому +2

    Ubarikwe baba kuhani musa Richard mwacha naomba mungu akure maisha marefu sana Yesu kristo mungu mkuu Yesu kristo mungu wa kuhani musa Richard mwacha naomba TENDA NA KWANGU MIUJIZA MIKUBWA NAPOKEA BARAKA NA NEMA ZA NGOMENI 🙏🙏🙏🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇹🇿

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 11 місяців тому +1

    Amiiiiiiina
    Na
    Musa
    Bwana yesu asifiwe aongezewe
    Balaka na Nuru nyingi zimuchukiye
    Amiiina
    🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @joanelisha7996
    @joanelisha7996 2 роки тому +4

    Mimi nakependa Sana na Nina kuamini Mungu anakutumia piga kazi jembe la yesu.

  • @KhadijaAli-zd8jq
    @KhadijaAli-zd8jq 10 місяців тому +1

    Bwana Yesu kristo mungu mkuu naomba usiwache salama watesi wangu wote wakate moto 🔥🔥🔥

  • @user-et4so5em5j
    @user-et4so5em5j 11 місяців тому +1

    Mungu amekuchagua wewe kwa kusudi maarumu, angeweza ata kunichagua mimi ila ni wewe. Mungu akulinde uipige injiri kwa moyo mmoja

  • @CarenMichael-dd1yd
    @CarenMichael-dd1yd 7 місяців тому +1

    Sio Dar pekee, baba njoo na hapa pia🇸🇸

  • @r2kgang856
    @r2kgang856 Рік тому +1

    Baba hapa mpole kama sio wewe ukiwa madhabahuni...Amina arab ubarikiwe sana baba

  • @user-kg1cc6ov1y
    @user-kg1cc6ov1y 9 місяців тому +1

    Nakupenda sana baba mungu akulinde akuepushie na mabaya yote ya dunia❤💖🥰😘

  • @sifamwashite
    @sifamwashite 8 місяців тому

    Bwana yesu kristo mungu mkuu nataka usiwache salama watesi wangu woote wakate moto kwa jina la yesu

  • @user-wk3dn7wj5k
    @user-wk3dn7wj5k 9 місяців тому +1

    Nakupenda sana baba yangu Wa kiroo mungu akupe maisha. Marefu

  • @JoharyMakumuli
    @JoharyMakumuli 3 місяці тому

    Ahsante sana yesu wangu wa ngomeni umenito mbali sana, mungu akupe afya utupone wengi amina

  • @user-yb2jo7re1l
    @user-yb2jo7re1l Рік тому +2

    Mungu.akubariki.san.Baba.yetu.wakiroho..

  • @veronicamillinga
    @veronicamillinga Рік тому +1

    🙏🏿🙏🏿🙏🏿mungu akupe maarufu zaidi ya neno la bwana amina

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 5 місяців тому

    Naomba no ya mutumishi wa mungu nimwindaji kwetu Kenya mungu akipenda atakufunulia yaliyo kwetu barikiwa sana mumishi wa mungu ❤❤❤

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 11 місяців тому +1

    Ahsantene
    Baba
    Musa
    Yes
    Yes
    Nachukuru amiiina 🖐️🖐️🖐️

  • @devotajohn756
    @devotajohn756 Рік тому +2

    Mwenyezi Mungu azid kukulinda Baba yangu 🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭🤲🤲

  • @AlceMasanga-gp8db
    @AlceMasanga-gp8db 11 місяців тому +1

    Mm nkukubali cn kuhani make unamafundisho yko nayapenda cn ubarikiwe cana

  • @CarenMichael-dd1yd
    @CarenMichael-dd1yd 7 місяців тому

    Kweeli Baba,naaaamini nikiwa. Hapa Kenya🇸🇸🔥🙏

  • @user-es2tf1dy7p
    @user-es2tf1dy7p 10 місяців тому +1

    Mungu aiweke maisha marefu uzidi kutusaidia wanyonge

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 4 місяці тому

    Mungu akipenda kuhani Musa plz naomba tukualike kwetu Kenya

  • @user-cx8sh4ru3f
    @user-cx8sh4ru3f 4 місяці тому

    Baba tunashukuru kwa kazi unayo ifanya. Mungu akujalie kabisa. Lakini huku kunawengine wanahangahika. Tunahitaji kupata nambayako ya sim.

  • @user-ku5so9sb2t
    @user-ku5so9sb2t 2 місяці тому

    Bwana yesu atukuzwe Baba mm namatatizo ya kiafya naomba maombi yako baba

  • @jenniferlopezy3644
    @jenniferlopezy3644 Рік тому +2

    Nakupenda Sanaa baba angu wa kiroho

  • @augustinfrancis6924
    @augustinfrancis6924 Рік тому +1

    Maisha marefu baba Kwa huduma👍👍👍👍🔥

  • @vickystellah3194
    @vickystellah3194 Рік тому +2

    Ubarikiwe sana Kuhani wa Mungu Baba.

  • @rosemambo1347
    @rosemambo1347 3 місяці тому

    Amen Baba Mungu azidi kukutia nguvu..

  • @user-gm4qi3nn9n
    @user-gm4qi3nn9n 3 місяці тому

    Tangu nianze kufatilia huyu Baba kwakweli alhamdullilah najiskia vizuri

  • @jonisshayo5334
    @jonisshayo5334 2 роки тому +1

    Chapa kazi baba hakika tunauona utukufu wa yesu aliekutuma kwetu yesu wa ngomeni sasa hivi anatisha wafu Tanzania yoote sasa anawafufua baba usijali wanadamu tumepewa vinywa kunena illa laiti wangejua karama na kipawa mungu alichokupa kwa ajili ya Tanzania na dunia kwa ujumla

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Рік тому +1

    Mungu akutunze baba yangu wa kiroho

  • @user-lk1zc7qx2d
    @user-lk1zc7qx2d 11 місяців тому

    Nakupenda bure tu❤❤❤❤❤ kuani Wangu

  • @dianapaulo-qe6rw
    @dianapaulo-qe6rw Рік тому +1

    YESU akuzidishie miaka mingi Baba

  • @user-wv9wc6yr1u
    @user-wv9wc6yr1u 10 місяців тому +1

    Amina

  • @user-gk1fz3zw8e
    @user-gk1fz3zw8e 7 місяців тому

    Mungu akusaidy kuhan wetuuu❤❤

  • @mussaabobakar7537
    @mussaabobakar7537 9 місяців тому +1

    Acha kusema uongo bas mm sipend hiv mnavo sema mnafufua watu uongo 😅😅😅😅😅😅

  • @JudithMwakasege
    @JudithMwakasege 3 місяці тому

    Mungu akutunze baba tumekuelewa

  • @adisabetty2173
    @adisabetty2173 11 місяців тому +1

    Amiiiina
    Baba 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Рік тому +2

    Sauti ya upole subiri fatigue yake akiwa madhabahuni.😂😂😂Amina ya radi

  • @jonisshayo5334
    @jonisshayo5334 2 роки тому +1

    Amina baba mungu akupe maisha marefu

  • @evelnemlanzi9257
    @evelnemlanzi9257 Рік тому +2

    Yesu wa ngomeni🔥🔥🔥🔥

    • @chissolamujingasolange1183
      @chissolamujingasolange1183 Рік тому +1

      Utukufu na shukrani ikwelekeye mwalimu musa Richard kuhani .Nami unikumbukeko!Nami muito wangu arudi nhumbani.nami nishudiye ukumbwa wa yesus

  • @SaidaNassoro
    @SaidaNassoro 4 дні тому

    Aminaaa baba 🙏

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 4 місяці тому

    Umenikumbusha junzi nalioda Niko Kwa shamba nafiega muzituni alafu nikamaliza nigaaza kung,oa mizizi kumaliza kung,oa mizizi nigaaza kulima ile shamba ukacha unganiambiya nitakusaidia kulima hii shamba nilikuona nigashangaa sana

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 5 місяців тому

    Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ❤❤❤

  • @SaraphinaSamweliSamwelli
    @SaraphinaSamweliSamwelli 3 місяці тому

    Ww ni jembe la mungu azidi kukutia nguvu foreva

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk 10 місяців тому +1

    Kama ninguvu zaMUNGU basi ubalikiwe

  • @MagrethJukael
    @MagrethJukael 2 місяці тому

    Kuan mssa muungu akulinde sn san utusidie nakuombea ukae miak maelf namaelf kuan mssa naomb namm unissdie unifichulie mkoan singd saiv nipo dar kigambn

  • @fatmamussa2373
    @fatmamussa2373 Рік тому +1

    Alafu mnatoa maneo ya shombo wakati mko na shida kibao unatakiwa maombi ili muache uchawi maana mtakata moto kwa jina la yesu kiristo

  • @user-ql2xt5fk7d
    @user-ql2xt5fk7d 4 місяці тому

    Amen.BABA

  • @chissolamujingasolange1183
    @chissolamujingasolange1183 Рік тому +1

    Baba Nami unisaidiye.niko apa angola.roho imesha umwa kabisa.dju ya mototo Ana itwa prisesa Kiala tambue

  • @merryguza3307
    @merryguza3307 7 місяців тому

    Amen

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 Рік тому +1

    Amina🙏🙏🙏🇴🇲

  • @user-ku5so9sb2t
    @user-ku5so9sb2t 2 місяці тому

    Naomb niombee baba

  • @r2kgang856
    @r2kgang856 Рік тому +1

    Hii clip kufuuka watoto mke naioata wapi

  • @BeatriceGeorge-ge4km
    @BeatriceGeorge-ge4km 29 днів тому

    Kumbe,atauchumi,wangu,umeshafufuko,walipouzika

  • @user-np4io9vq4z
    @user-np4io9vq4z Рік тому +1

    Ninakupendamutushimunguazidikukuuongeza moyo

  • @Churchofecclesia
    @Churchofecclesia Рік тому +1

    Baba kama baba

  • @fatmamussa2373
    @fatmamussa2373 Рік тому +1

    Alafu mkome kumtukana kuhani watu

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 4 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @AnnaMwapila-de3ry
    @AnnaMwapila-de3ry Рік тому

    Ubalikiwe sana na nakuamini sana

  • @marymarco9148
    @marymarco9148 Рік тому

    Amina🙏🙏🙏🙏

  • @fatmamussa2373
    @fatmamussa2373 Рік тому

    Wote mnaopinga huduma ya kuhani mussa basi nyinyi utakuwa wachawi ila sisi tunaoamini tunajua watu wanafufuka ngomeni mkubali muache ila habar ni mmoja tu ngomeni kunaufufuo tu

  • @r2kgang856
    @r2kgang856 Рік тому

    Naamini namimi mama yangu atafufurka amekufa kifo kutayanisha

  • @maspro6294
    @maspro6294 2 роки тому +2

    Acha ujanja wa kutaka kuwaibia watu sadaka zao na kuwadanya watu hakuna mtu kafa akafufuka na kama kweli nenda mahospital ukawafufu watu walio kufa hii didi ya kikiristo ni dini ya kishetani

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Рік тому +1

      Kama unaona ni ujanja fanya na wewe basi tuona

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Рік тому

      Uchawi unawasumbua tu huna lolote pepo wewe unakaz yakutukana mtumishi wa mungu je kakosea wapi mbona makasiliko ivo au wewe ndiye uliwaua nini

    • @evelnemlanzi9257
      @evelnemlanzi9257 Рік тому

      Shetani ni wewe na dini yako

    • @georgemrinji4729
      @georgemrinji4729 Рік тому

      Uwelewa wako na mambo ya rohoni ni kiduchu sana, wanaofufuka ni watu waliokufa na kuchukuliwa msekule na si kifo Cha mapenzi ya Mungu

    • @michaelfaraday9568
      @michaelfaraday9568 Рік тому

      Kama mnaona uchawi ni rahisi basi fanyeni nyinyi.Huyu ni mtumishi wa Mungu na ametumwa kuwasaidia wengi wenye shida zao

  • @karimujuma6595
    @karimujuma6595 2 роки тому +1

    Huna uwezo huu ni binadam wa kawaida tu Tena huna lolote ktk ilo ulilosema acha uwongo wako

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Рік тому

      Wewe kiumbe funga domo lako mbona mimi kwetu kafufuka kama huna imani acha watu wengine wafunguliwe

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Рік тому

      Kama ujui Yesu yuko ndani yake ndiyo maana watu wanafufuka kuhani watu umuache kabisa tena umkome

    • @evelnemlanzi9257
      @evelnemlanzi9257 Рік тому

      Pepo iloooooo

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Рік тому

      @@evelnemlanzi9257 wewe apo uko na iyo pepo maana uwezi tukana mtumishi wa mungu ama unalaana wewe katubu

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 Рік тому

      Angemfufua Magufuli🤣🤣🤣🤣

  • @zayanazayana5353
    @zayanazayana5353 2 роки тому +1

    Ina maana yy hawamis wazazi wke walomzaa akamfufua japo mama yke Dunia hii tokea iumbwe hajawahi Mtu kufa akarudi Yani hata angekuwa Shekhe wa Dunia ningemwambia muongo kw herufi kubwa

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Рік тому +1

      Acha kumzihaki mtumishi wa mungu utachuma rana kubwa

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Рік тому +1

      Kama huelewi acha c razima ufatilie ibada zetu

    • @fatmamussa2373
      @fatmamussa2373 Рік тому +1

      Ila kaaukijua ngomeni ndiyo sehem ya ufufuo upo utake usitake kelele zoko wala kwetu hazina maana zaid tutakupiga kwa radi na moto wa yesu kiristo

    • @evelnemlanzi9257
      @evelnemlanzi9257 Рік тому +1

      Hujielewi pimbi ww

    • @michaelfaraday9568
      @michaelfaraday9568 Рік тому +1

      Pimbi wewe😏

  • @Rodahpaschal
    @Rodahpaschal 11 місяців тому +1

    Kuhani musa nabiii MUNGU amsaidie kaka petro arudi live

  • @subiralusako9098
    @subiralusako9098 Рік тому +1

    Amina

  • @user-yb2jo7re1l
    @user-yb2jo7re1l Рік тому +1

    Amen.mungu.Akurinde.Baba.miaka.mingi.sana

  • @jennifernyongesa2713
    @jennifernyongesa2713 Місяць тому

    Amina