SHAMBA LA MIZABIBU
Вставка
- Опубліковано 12 сер 2021
- Kwaya ya Bikira Maria Mama Wa Rozari Takatifu (BMM - Olkokola) kutoka Parokia teule ya Mt. Yohane Mtume - Olkokola, Jimbo Kuu Katoliki la Arusha.
Wanatukaribisha kusikiliza na kutazama wimbo wao Mpya ulio miongoni mwa nyimbo nyingine katika Album yao itakayokujia hivi karibuni.
Audio na Video vimefanyika katika studio za RAJO Productions
Ungependa kufanya nao kazi au uwe wakala wa kuisambaza kazi hii?
Wasiliana nao leo kwa namba hizi +255 788 013 959 au +255 752 631 092
#rajoproductions #miminaneema #kwayakatoliki
Sikiliza quality ya Audio, Mziki umepangiliwa, kila ala inasikika, sauti za waimbaji zimechambuka vilivyo, Ubunifu uliopo kwenye video ni viwango vya juu mno. Quality ya video ndio usiseme. Ni kiwango cha juu kabisa.
Tuseme Tu kwamba Hii Kwaya wamefanya Kazi kubwa mno. Mungu awainue Sana. RAJO PRODUCTIONS, you are the best Kwa kazi hizi. Ulizaliwa kutimiza haya na Kwa Africa huenda huna mpinzani. Kudos..
Amina sana. Mungu awabariki watu wake..
help me with the words. thanks
Natamani kuingia choir
@@alximam5944 This song is about the vineyard of the Lord.
The chorus is from Isaiah 5:7, the first verse from Psalm 80:8, the second verse from Psalm 80:11, the third verse from Psalm 80:13.
I hope I've tried to help you, but I'm not very good at English.🙏🙏
Nimetii
Kazi safi👏👏👏👏
Dingii and team 💪💪
Thank you Catherine.. Ubarikiwe sana
🥰🥰I should get someone already from this choir we be singing together 😸
Dingii kazi safii sana ...May God bless the work of your hands💥💥💥 pongezi wanakwaya pia....##rajo milele
Thank you Kipchunba
Art and Quality! Creativity at its best! Keep it up Ray!!👏👏🎉🎉🥰🥰🥰. Hongereni sana; kwako wewe na timu nzima!! ❤️❤️❤️❤️
Ooh Asante sana Anastacia.. Najua unapenda Mziki. Sina shaka na sikio lako. Ubarikiwe sana friend
Hakika Mungu mwema. Awatumie watu wake vema katika kulitangaza neno lake Takatifu
This is my 2021 song of the year 🧡💓💯 much love from +254
Keep up the good work. 🥰🥰 Kazi safi kabisa. 🔥🔥❤️
Asane Hildah. Mungu akubariki
Rajo nakumbuka tuliwa kuonana mbeya wakati ulipokuja kwaajili ya kazi ya JMC, I appreciated you, and I had a gift for you, unfortunately hatukuweza kuonana.
But you are best video producer and director currently wa gospel songs. Nakukubali Sana mwamba. Endelea kutupa mzuki mzuri always na Mungu atukuzwe na akubariki kila wakati.
Moto saaana 😍😍😘😘😘
Kazi amazing 💥💥👏👏👏🥳
Asante sana
My favorite songs congratulations
Wah mbona sijauona kitambo huu ,,tamu kweli
Imetulia kweli
Kazi tamu sana🔥❤️...hongera kwa mtunzi, wanakwaya na RAJO productions
Ubarikiwe sana Linet Sidi.. Kazi yenu ikifika tutafanya wonders...
@@rajopro tunaingoja sana. Naamini itakua zaidi ya amazing
My best song....bravo job well done
Hongera kwa Wanakwaya, mcheza kinanda na Production team. Kazi safi ✅ 💯. 🇰🇪 🇹🇿
Asante sana my Friend David Sinange.. Ubarikiwe
Asante sana my Friend David Sinange.. Ubarikiwe
Hongera mtunzi, wanakwaya na studio na walezi wa kwaya.Ole wetu sisi tusiotoa sauti yetu kumwimbia Bwana wa majeshi aketiye juu!
Kazi Safi Ray😍 ubarikiwe
Asante sana Dingii ..
kanzi nzuri big up
Hongera sana kwa nyimbo nzur
A nice piece and one of favourites. God bless you abundantly
Rajo productions,that's a good one!Congrats sanaaa.Mbarikiwe sana mpaka mshangae!!!
I am South African, I don't even understand a single word but I so love the song.
don't worry you'll get it someday.it is a good song indeed as you said.
it would be better with eng subs i tkink
Beautiful voices, can't get enough of this, indeed ndilo nyumba la Israeli 😍
Mungu bariki wana wako wakutumikie kwa moyo wa Upendo siku zote
Asante sana Getrude
Mbarikiwe Mungu azidi kuwaongezea nguvu na neema ktk kuhubiri kwa njia nyimbo 🎓🎓
Ubarikiwe pia. Mungu akuinue zaidi na zaidi.
Hongera sana kijana mungu akubariki katika uimbaji wako🤝
Mungu abariki kazi yenu ya uunjilishaji Kwa nyimbo.
Ray mungu mwenye nguvu na azidi kujifungulia katika biblia takatifu kutunga nyimbo.karibu kisii Kenya st. Ann town parish
Kazi safi iliyoandaliwa na watu safi!!! Safi sana Ray na wote walioshiriki kutengeneza huu wimbo👏👏🙏🙏
Uzidi kubarikiwa sana John
Ray ufunguo wewe ni matamanio yangu kwa uimbaji
Nyimbo Zako zanifariji nilipo mjini Kenya barikiwa.
Oooh. Asante sana Teresia.. Wasalimu sana Kenya.
Vigelegele teleleleleleee mbarikiwe sana
Amazing kabisa ❤️
Asante sana Phylis
always nmekuwa mshabiki wa RAJO PRODUCTIONS,Mungu mwema azidi kukulinda kaka Ray Ufunguo na akutumie vema kupitia karama aliyokujalia💖💖💖
Tunashukuru sana Faustina kwa kuzipenda kazi zetu. Mungu akubariki sana.
@@rajopro Amina, nanyi Mungu awabariki🙏🙏
Joseph
Kazi Safi Ray👏👏👏🎹🎙️❣️
Asante Andrew
Hongeren viongoz na wana kwaya kwa ujumla kwa kaz nzur hakika mmeweza Mungu awa bariki
Shukrani sana Alkado
Utukufu wa Mungu unashuka ukisikiliza wimbo huu amina san😅
Kazi safi kama kawaida Dingii😃💥👏
Asante sana Dingii. Naisubiri kazi yenu...
@@rajopro dingii tuko ready kabisa!
@@rajopro I can't get enough of it pamoja na wimbo wa ndivyo alivyo.....nipee link ya kudownload audio
Asanteeeeni🙏🙏🙏
Shamba la mizabibu nyimbo nzurii mpka sare beat la nyimbo na mdundo ndo balaaa very blessing ❤️♥️❤️♥️♥️♥️❤️❤️❤️
Shukrani sana Rose
Wamenibariki kweli.Wanaimba vizuri sana
Ahsanteni sana waimbaji...
Hilo sauti ya tatu na nne vile wanatamka..." NDILO NYUMBA"...sauti ya pili na ya Kwanza vile wanatamka.. NYUMBA YA ISRAELI
Mtunzi wa huu wimbo Hongera.
Wanakwaya wote Hoye.
Kwa kweli nimefarijika.
Mcheza Kinanda..Dole kwenu.
Quality Production.
Asante sana Maltis. Uzidi kubarikiwa
Kazi nzuri hongera mwalim Thomas mungu akubariki kwa wimbo mtamu awabariki na waaimbaji
Asante sana
Napenda hapo base wanaposema nyumba + their impressions 🔥 🔥
Hapo ni ukweli kabisa
Praise his name 🎉🎉 much love from Zimbabwe ❤
Kazi nzuri 🔥🔥🔥❤️.....Hongereni
Ubarikiwe sana Kelvin
Wimbo mtamu i love it ❤
Kazi nzuri sana hii imefanywa. Hongera kwa Mwalimu mtunzi na mfundishaji, wanakwaya na sana sana kwa RAJO kwa quality nzuri.
Asante kwa maneno mazuri Yustino.
ubarikiwe sana kaka Ray kamwe hujawahi kukosea kaka mungu akuzidishie kaka
Asante sana Anthony
SHAMBA LA MIZABIBU SHAMBA LA BWANA. AISEE MMETISHA SANAAA MAKIRIKIRI STYLE IMENIKOSHA MNO SANA SICHOKI KUSIKILIZA HII NYIMBO
Wimbo kama huu uliimbwa na wanakwaya wa kanisa Katoliki kigango cha Nyakimwe-Kigoma siku ya mazishi ya Mwanangu Abel mwezi November 2023..wimbo huu ulitufariji sana wafiwa.Mungu awabariki sana.
@RAJO and your team you're doing amazing job! Be blessed
I like this song unafurahisha moyo wangu
God bless you abundantly as you spread His word through music. Great talent. Make use of it well.
Safi sana Dingii
Thank you my friend. Ubarikiwe
Nice one 🎉
Nice song, nice beat, God bless you all
Binafsi nimebarikiwa sana na uimbaji wa wimbo huu sichoki kuusikiliza , Mungu awabariki wahusika pamoja na RAJO PRODUCTION
Ubarikiwe pia Emmanuel
Asanteeeen mungu awabarikiweee🙏🙏🙏🙏🙏
Kazi safi Ray
Thank you Kiptoo
Aki c mbarikiwe, my all time choir 💕💕❤️💖
Tuifurae kwaya zetu katoliki❤❤
Clean work here!! Bravo dingii
Asante sana Damaris.. Ubarikiwe
Wapi like za Rajo Product❤❤❤❤
Beautiful artwork accompanying beautiful melodies. Asanteni na hongereni sana kwa wimbo huu mtamu mbarikiwe. Kutoka Nairobi kenya
Thank you Evelyn.. Ubarikiwe
@@rajopro
Why
@@rajopro
Utawependa Kwa mamna yao ya uinjilishaji! Amen
Wimbo mzuri sana..umepangwa vizuri sana.mungu hawabariki sana..from 🇰🇪
Asante sana. Wasalimu sana Kenya
Hongera Wanatanzania....be blessed 🙏
Kutoka Kenya
Love this track...heko Rajo productions I always download all music done by rajo
Thank You Shakara.. May God keep on Blessing you.
RAJO PRODUCTIONS 💪💪💪Great job.
Asante mno. Mungu akubariki
I discovered this choir the other day. Beautiful voices, clean and sleek video editing, great worship ❤ 🙌
U know what....just say I do not know...
Catholic songs are rich in theology🎉🎉🎉🎉..
Imagine I heard one of the protestant singing about praising God which is not bad, but I heard her singing mentioning that the fifth commandment of God is about honouring parents...tobaaaa😢😢😢😢
This is a hit song 😍😍😍😍😍 much love from Kenya
Thank you Christine...
My favorite 💕💕💕💕 good job
Be blessed ray jamoniiii 🎉nyimbo zako nzuri uko smart ad kcheza kwako
Wimbo mzuri.
Asante sana Deus
Natabasamu kila nikiutazama wimbo huu.❤🎉Audio & video are of high quality. Keep it up Bwana Ray Ufunguo. Hongereni sana waimbaji
Hahahaha!nyimbo tamu saan hii saaf saan kwa mtunzi mwalim Thomas,.
Baraka ziwe Juu yako Cosmas
Nimesikiliza 2023 ni raha sana, vyombo vimepigwa vizuri,anayepiga kinanda anifundishe kweli burudani sana wakuu,.
Jamani Mungu awe pamoja nanyi,awatoe nguvu
Thankful for this song 🙏🙏🙏
That sweet melody 🥰actually music can be a painkiller
Huu wimbo nitakuwa naandika comments kila nikiusikiliza, naomba msinichoke. Huyu Mtunzi basi apewe tuzo inayostahili, waimbaji, kamani ya ufundi, mpiga kinanda na designer wa mavazi. Big up wooote
Asante sana Maria kwa pongezi na kututia Moyo!Hakika kazi ya Mungu itaendea mbele daima
Aminaaa, mbarikiwe sana kwa majitoleo yenu
Tumsifu Bwana katika roho na kweli.Amina
Amen
Waimbaji wapendwa hongera sana kwa kazi njema,tuna jengwa sana na mafundisho tenu kwa nyimbo zenu.sasa nawaomba muni saidiye ni pâte samary ya yimbo hiyi(texte).Mimi ni muimbaji wa kwaya ya mtakatifu Yusufu kutoka DR congo
Hongera sana kwa RAJO PRODUCTS, KAZI NZURI SANA, NIMEWAKUBALI
Asante sana Maria. Ubarikiwe
Amina
Napenda sana wimbo huu jamani, hongereni Kwa kazi nzuri Kwa wote mliyo shiriki ktk uandaji wa kazi hii,🙏🙏🤔
God bless you, iam enjoying the song in Eldoret Kenya
Waaaauu !!! I love everything voice,dance yani everrything this is the best kongole
Shukrani sana Euphy..
Wimbo nzuri
Woow, so nice..
Well organized ❤️
Mana data wa twese, nanjye nonjyeye kugushimira ubwiza bwawe muri uyumwanya umpaye urakoze ishimwe ntanze, nuko umwuka wawe ariwo untunjyisha kumanywa na ninjoro Amena.
Big up kazi nzuri sana. Ray kama kawaida yako, safiii
Asante Edga
Ilike this song so so much ifeel happy when listening to it. Mostly the pianist may God continue to bless my Brother. Keep it up 👍👍
Kazi safi sana bwana Ufunguo✨
Shukrani sana Bwana Evans
Beautiful song.... well done ✅✅ blessings
Haya, naenda kula sasa, nimeshasema nitausikiliza kila siku. Comments zangu nimeshaandika zaidi ya 4, duh, Mtunzi, waimbaji, kamati ya ufundi, mpiga kinanda, mavazi ya kitanzania... Bip up sana to you all
Ukisikia Ng'ombe hazeeki maini ndo hii sasa RAJO PRODUCTION mnatoaga video zenye quality bora sana. Big up to you brother. Great thanks also to the singers may the almighty God bless you 🙏
Thank You Anthony
Well composed choir asante LINAH
Nyimbo mtuliivu nzuri sana ya kupendeza na kutuliza roho pongezi sana wanachoir woote yanipamba adi jinsi beats ya music instruments inaflow vizuri na sauti
Mungu Amalie tele kwa kumtangaza BWANA. Kanisa katoliki lizidi kusonga mbele( A Rational Reliogion)
@RAJO P. Good work bravo, you always find a way of bringing people close to God by doing this great work , be blessed
Be blessed Maxi
Duh, jamani yaani sijui nisemeje. Sauti zote zinasikika moja baada ya nyingine, hongera kwa mpiga kinanda na zana za kiutamaduni zilizotumika na mavazi ya Ki bantu. Big up sana kwa Mtunzi
Asante sana Maria. Ubarikiwe sana
Amina RAJO PRODUCTS
I just love the Rajo music,,
Beautiful voices,well harmonized voices.
Nice song. I have watched several time.
Watching from Spain.
The level of Art & Quality of a creative team✨✨
May God bless the work of your mind and hands.
Thank you Daniel. Ubarikiwe sana
Rajo production mnafanya vzur
I do listen this song uncountable times a day God bless the producer and the whole Rajo team