SHAMBA LA MIZABIBU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 сер 2021
  • Kwaya ya Bikira Maria Mama Wa Rozari Takatifu (BMM - Olkokola) kutoka Parokia teule ya Mt. Yohane Mtume - Olkokola, Jimbo Kuu Katoliki la Arusha.
    Wanatukaribisha kusikiliza na kutazama wimbo wao Mpya ulio miongoni mwa nyimbo nyingine katika Album yao itakayokujia hivi karibuni.
    Audio na Video vimefanyika katika studio za RAJO Productions
    Ungependa kufanya nao kazi au uwe wakala wa kuisambaza kazi hii?
    Wasiliana nao leo kwa namba hizi +255 788 013 959 au +255 752 631 092
    #rajoproductions #miminaneema #kwayakatoliki

КОМЕНТАРІ • 675

  • @relaxationmusic7843
    @relaxationmusic7843 3 роки тому +99

    Sikiliza quality ya Audio, Mziki umepangiliwa, kila ala inasikika, sauti za waimbaji zimechambuka vilivyo, Ubunifu uliopo kwenye video ni viwango vya juu mno. Quality ya video ndio usiseme. Ni kiwango cha juu kabisa.
    Tuseme Tu kwamba Hii Kwaya wamefanya Kazi kubwa mno. Mungu awainue Sana. RAJO PRODUCTIONS, you are the best Kwa kazi hizi. Ulizaliwa kutimiza haya na Kwa Africa huenda huna mpinzani. Kudos..

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому +1

      Amina sana. Mungu awabariki watu wake..

    • @alximam5944
      @alximam5944 3 роки тому +1

      help me with the words. thanks

    • @mercykavaya5284
      @mercykavaya5284 2 роки тому +1

      Natamani kuingia choir

    • @csato9415
      @csato9415 2 роки тому +3

      @@alximam5944 This song is about the vineyard of the Lord.
      The chorus is from Isaiah 5:7, the first verse from Psalm 80:8, the second verse from Psalm 80:11, the third verse from Psalm 80:13.
      I hope I've tried to help you, but I'm not very good at English.🙏🙏

    • @JaKompyuta
      @JaKompyuta 2 роки тому

      Nimetii

  • @catherinewagaki2278
    @catherinewagaki2278 3 роки тому +8

    Kazi safi👏👏👏👏
    Dingii and team 💪💪

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Thank you Catherine.. Ubarikiwe sana

  • @jaqwuinbuffalo2118
    @jaqwuinbuffalo2118 3 роки тому +6

    🥰🥰I should get someone already from this choir we be singing together 😸

  • @kipchumbakelvin12
    @kipchumbakelvin12 3 роки тому +5

    Dingii kazi safii sana ...May God bless the work of your hands💥💥💥 pongezi wanakwaya pia....##rajo milele

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Thank you Kipchunba

  • @anastaciamuema
    @anastaciamuema 3 роки тому +12

    Art and Quality! Creativity at its best! Keep it up Ray!!👏👏🎉🎉🥰🥰🥰. Hongereni sana; kwako wewe na timu nzima!! ❤️❤️❤️❤️

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому +2

      Ooh Asante sana Anastacia.. Najua unapenda Mziki. Sina shaka na sikio lako. Ubarikiwe sana friend

    • @archleuspaschal600
      @archleuspaschal600 3 роки тому +1

      Hakika Mungu mwema. Awatumie watu wake vema katika kulitangaza neno lake Takatifu

  • @JaKompyuta
    @JaKompyuta 2 роки тому +4

    This is my 2021 song of the year 🧡💓💯 much love from +254

  • @hildah_anyango
    @hildah_anyango 3 роки тому +5

    Keep up the good work. 🥰🥰 Kazi safi kabisa. 🔥🔥❤️

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому +1

      Asane Hildah. Mungu akubariki

  • @hansbertmkonji8677
    @hansbertmkonji8677 2 роки тому +5

    Rajo nakumbuka tuliwa kuonana mbeya wakati ulipokuja kwaajili ya kazi ya JMC, I appreciated you, and I had a gift for you, unfortunately hatukuweza kuonana.
    But you are best video producer and director currently wa gospel songs. Nakukubali Sana mwamba. Endelea kutupa mzuki mzuri always na Mungu atukuzwe na akubariki kila wakati.

  • @FixLapiTechnologiesNairobi
    @FixLapiTechnologiesNairobi 3 роки тому +4

    Moto saaana 😍😍😘😘😘
    Kazi amazing 💥💥👏👏👏🥳

  • @user-ph3kv9xi7t
    @user-ph3kv9xi7t 6 місяців тому +3

    My favorite songs congratulations

  • @muleialexander7181
    @muleialexander7181 2 дні тому

    Wah mbona sijauona kitambo huu ,,tamu kweli
    Imetulia kweli

  • @linetsidi7144
    @linetsidi7144 3 роки тому +7

    Kazi tamu sana🔥❤️...hongera kwa mtunzi, wanakwaya na RAJO productions

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому +1

      Ubarikiwe sana Linet Sidi.. Kazi yenu ikifika tutafanya wonders...

    • @linetsidi7144
      @linetsidi7144 3 роки тому

      @@rajopro tunaingoja sana. Naamini itakua zaidi ya amazing

  • @susanmuchiri944
    @susanmuchiri944 2 роки тому +3

    My best song....bravo job well done

  • @davidsinange9796
    @davidsinange9796 3 роки тому +6

    Hongera kwa Wanakwaya, mcheza kinanda na Production team. Kazi safi ✅ 💯. 🇰🇪 🇹🇿

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому +1

      Asante sana my Friend David Sinange.. Ubarikiwe

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому +1

      Asante sana my Friend David Sinange.. Ubarikiwe

  • @MORICEZACHARIA
    @MORICEZACHARIA 4 дні тому

    Hongera mtunzi, wanakwaya na studio na walezi wa kwaya.Ole wetu sisi tusiotoa sauti yetu kumwimbia Bwana wa majeshi aketiye juu!

  • @kevinokari1704
    @kevinokari1704 3 роки тому +15

    Kazi Safi Ray😍 ubarikiwe

  • @PaulineNzioka-tc7iy
    @PaulineNzioka-tc7iy 3 місяці тому +2

    A nice piece and one of favourites. God bless you abundantly

  • @Makothful
    @Makothful 2 роки тому +4

    Rajo productions,that's a good one!Congrats sanaaa.Mbarikiwe sana mpaka mshangae!!!

  • @mrvanp4801
    @mrvanp4801 2 роки тому +5

    I am South African, I don't even understand a single word but I so love the song.

    • @Makothful
      @Makothful 2 роки тому

      don't worry you'll get it someday.it is a good song indeed as you said.

    • @elielepetit8107
      @elielepetit8107 2 роки тому

      it would be better with eng subs i tkink

  • @miriamwamboi5384
    @miriamwamboi5384 2 роки тому +2

    Beautiful voices, can't get enough of this, indeed ndilo nyumba la Israeli 😍

  • @getrudekijuu3221
    @getrudekijuu3221 2 роки тому +2

    Mungu bariki wana wako wakutumikie kwa moyo wa Upendo siku zote

    • @rajopro
      @rajopro  2 роки тому +1

      Asante sana Getrude

  • @malalerobert6984
    @malalerobert6984 3 роки тому +3

    Mbarikiwe Mungu azidi kuwaongezea nguvu na neema ktk kuhubiri kwa njia nyimbo 🎓🎓

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому +1

      Ubarikiwe pia. Mungu akuinue zaidi na zaidi.

  • @user-gu1pn8wp3w
    @user-gu1pn8wp3w 5 місяців тому +2

    Hongera sana kijana mungu akubariki katika uimbaji wako🤝

  • @shipandapamba2755
    @shipandapamba2755 10 місяців тому +3

    Mungu abariki kazi yenu ya uunjilishaji Kwa nyimbo.

  • @user-sf1hb3lr5w
    @user-sf1hb3lr5w 8 місяців тому +2

    Ray mungu mwenye nguvu na azidi kujifungulia katika biblia takatifu kutunga nyimbo.karibu kisii Kenya st. Ann town parish

  • @johnmoghu427
    @johnmoghu427 3 роки тому +3

    Kazi safi iliyoandaliwa na watu safi!!! Safi sana Ray na wote walioshiriki kutengeneza huu wimbo👏👏🙏🙏

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Uzidi kubarikiwa sana John

  • @teresiakokii4168
    @teresiakokii4168 3 роки тому +3

    Ray ufunguo wewe ni matamanio yangu kwa uimbaji
    Nyimbo Zako zanifariji nilipo mjini Kenya barikiwa.

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Oooh. Asante sana Teresia.. Wasalimu sana Kenya.

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 9 місяців тому +3

    Vigelegele teleleleleleee mbarikiwe sana

  • @phylismaina6140
    @phylismaina6140 3 роки тому +4

    Amazing kabisa ❤️

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Asante sana Phylis

  • @faustinadaniely9457
    @faustinadaniely9457 3 роки тому +5

    always nmekuwa mshabiki wa RAJO PRODUCTIONS,Mungu mwema azidi kukulinda kaka Ray Ufunguo na akutumie vema kupitia karama aliyokujalia💖💖💖

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому +1

      Tunashukuru sana Faustina kwa kuzipenda kazi zetu. Mungu akubariki sana.

    • @faustinadaniely9457
      @faustinadaniely9457 2 роки тому +1

      @@rajopro Amina, nanyi Mungu awabariki🙏🙏

    • @JosephMagutu
      @JosephMagutu 9 місяців тому

      Joseph

  • @andrewojwang21
    @andrewojwang21 3 роки тому +5

    Kazi Safi Ray👏👏👏🎹🎙️❣️

  • @alkadogerrard2675
    @alkadogerrard2675 3 роки тому +3

    Hongeren viongoz na wana kwaya kwa ujumla kwa kaz nzur hakika mmeweza Mungu awa bariki

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Shukrani sana Alkado

  • @RoseMtega-rk5xh
    @RoseMtega-rk5xh 10 днів тому

    Utukufu wa Mungu unashuka ukisikiliza wimbo huu amina san😅

  • @edgar-makori-sagero
    @edgar-makori-sagero 3 роки тому +8

    Kazi safi kama kawaida Dingii😃💥👏

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому +2

      Asante sana Dingii. Naisubiri kazi yenu...

    • @edgar-makori-sagero
      @edgar-makori-sagero 3 роки тому

      @@rajopro dingii tuko ready kabisa!

    • @violetpaul769
      @violetpaul769 3 роки тому +1

      @@rajopro I can't get enough of it pamoja na wimbo wa ndivyo alivyo.....nipee link ya kudownload audio

    • @AgnesiHosea
      @AgnesiHosea 3 місяці тому

      Asanteeeeni🙏🙏🙏

  • @rosechristopher9231
    @rosechristopher9231 3 роки тому +3

    Shamba la mizabibu nyimbo nzurii mpka sare beat la nyimbo na mdundo ndo balaaa very blessing ❤️♥️❤️♥️♥️♥️❤️❤️❤️

  • @Mwalimu_Ochieng
    @Mwalimu_Ochieng 2 роки тому +3

    Ahsanteni sana waimbaji...
    Hilo sauti ya tatu na nne vile wanatamka..." NDILO NYUMBA"...sauti ya pili na ya Kwanza vile wanatamka.. NYUMBA YA ISRAELI
    Mtunzi wa huu wimbo Hongera.
    Wanakwaya wote Hoye.
    Kwa kweli nimefarijika.
    Mcheza Kinanda..Dole kwenu.
    Quality Production.

    • @rajopro
      @rajopro  2 роки тому +1

      Asante sana Maltis. Uzidi kubarikiwa

  • @clousgabriely6376
    @clousgabriely6376 3 роки тому +3

    Kazi nzuri hongera mwalim Thomas mungu akubariki kwa wimbo mtamu awabariki na waaimbaji

  • @alexbondeni
    @alexbondeni 5 місяців тому +4

    Napenda hapo base wanaposema nyumba + their impressions 🔥 🔥

  • @richardcruickshank5631
    @richardcruickshank5631 2 місяці тому +1

    Praise his name 🎉🎉 much love from Zimbabwe ❤

  • @kelvinmulingei1600
    @kelvinmulingei1600 3 роки тому +3

    Kazi nzuri 🔥🔥🔥❤️.....Hongereni

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Ubarikiwe sana Kelvin

  • @catherinenjambi5200
    @catherinenjambi5200 6 місяців тому +2

    Wimbo mtamu i love it ❤

  • @yustinomasangula6122
    @yustinomasangula6122 3 роки тому +3

    Kazi nzuri sana hii imefanywa. Hongera kwa Mwalimu mtunzi na mfundishaji, wanakwaya na sana sana kwa RAJO kwa quality nzuri.

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Asante kwa maneno mazuri Yustino.

  • @anthonyleonard6419
    @anthonyleonard6419 3 роки тому +3

    ubarikiwe sana kaka Ray kamwe hujawahi kukosea kaka mungu akuzidishie kaka

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому +1

      Asante sana Anthony

  • @alphonsinashiyo5772
    @alphonsinashiyo5772 2 роки тому +1

    SHAMBA LA MIZABIBU SHAMBA LA BWANA. AISEE MMETISHA SANAAA MAKIRIKIRI STYLE IMENIKOSHA MNO SANA SICHOKI KUSIKILIZA HII NYIMBO

  • @brownmtofole
    @brownmtofole 15 днів тому

    Wimbo kama huu uliimbwa na wanakwaya wa kanisa Katoliki kigango cha Nyakimwe-Kigoma siku ya mazishi ya Mwanangu Abel mwezi November 2023..wimbo huu ulitufariji sana wafiwa.Mungu awabariki sana.

  • @francisfarayo7903
    @francisfarayo7903 2 роки тому +2

    @RAJO and your team you're doing amazing job! Be blessed

  • @AnnastaciaTama-ri8kq
    @AnnastaciaTama-ri8kq 6 місяців тому +2

    I like this song unafurahisha moyo wangu

  • @rosemarykhakali-mt1bc
    @rosemarykhakali-mt1bc 9 місяців тому +2

    God bless you abundantly as you spread His word through music. Great talent. Make use of it well.

  • @samuelouma9961
    @samuelouma9961 3 роки тому +3

    Safi sana Dingii

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Thank you my friend. Ubarikiwe

  • @nathannbanda3345
    @nathannbanda3345 10 місяців тому +3

    Nice one 🎉

  • @elineesso9344
    @elineesso9344 2 місяці тому +1

    Nice song, nice beat, God bless you all

  • @emmanuelnicodemo9655
    @emmanuelnicodemo9655 2 роки тому +1

    Binafsi nimebarikiwa sana na uimbaji wa wimbo huu sichoki kuusikiliza , Mungu awabariki wahusika pamoja na RAJO PRODUCTION

    • @rajopro
      @rajopro  2 роки тому

      Ubarikiwe pia Emmanuel

  • @AgnesiHosea
    @AgnesiHosea 3 місяці тому +2

    Asanteeeen mungu awabarikiweee🙏🙏🙏🙏🙏

  • @erickiptoo5785
    @erickiptoo5785 3 роки тому +5

    Kazi safi Ray

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Thank you Kiptoo

    • @stevelastborn4670
      @stevelastborn4670 3 роки тому

      Aki c mbarikiwe, my all time choir 💕💕❤️💖

  • @NasarNasar-mk2qt
    @NasarNasar-mk2qt 2 місяці тому +1

    Tuifurae kwaya zetu katoliki❤❤

  • @damarisnyandika1731
    @damarisnyandika1731 3 роки тому +4

    Clean work here!! Bravo dingii

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому +1

      Asante sana Damaris.. Ubarikiwe

  • @anithawimbe3440
    @anithawimbe3440 7 місяців тому +2

    Wapi like za Rajo Product❤❤❤❤

  • @jepkemei
    @jepkemei 3 роки тому +6

    Beautiful artwork accompanying beautiful melodies. Asanteni na hongereni sana kwa wimbo huu mtamu mbarikiwe. Kutoka Nairobi kenya

  • @janemary1688
    @janemary1688 3 роки тому +2

    Wimbo mzuri sana..umepangwa vizuri sana.mungu hawabariki sana..from 🇰🇪

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Asante sana. Wasalimu sana Kenya

  • @elyshahiggins2650
    @elyshahiggins2650 2 роки тому +2

    Hongera Wanatanzania....be blessed 🙏
    Kutoka Kenya

  • @shakaralegendly532
    @shakaralegendly532 3 роки тому +2

    Love this track...heko Rajo productions I always download all music done by rajo

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому +1

      Thank You Shakara.. May God keep on Blessing you.

  • @mceerickymbesa1597
    @mceerickymbesa1597 3 роки тому +2

    RAJO PRODUCTIONS 💪💪💪Great job.

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Asante mno. Mungu akubariki

  • @enidgitaari1812
    @enidgitaari1812 2 роки тому +2

    I discovered this choir the other day. Beautiful voices, clean and sleek video editing, great worship ❤ 🙌

  • @kassimourio6879
    @kassimourio6879 6 місяців тому +3

    U know what....just say I do not know...
    Catholic songs are rich in theology🎉🎉🎉🎉..
    Imagine I heard one of the protestant singing about praising God which is not bad, but I heard her singing mentioning that the fifth commandment of God is about honouring parents...tobaaaa😢😢😢😢

  • @christinephinarex1129
    @christinephinarex1129 3 роки тому +3

    This is a hit song 😍😍😍😍😍 much love from Kenya

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Thank you Christine...

  • @esthermaina1892
    @esthermaina1892 2 роки тому +2

    My favorite 💕💕💕💕 good job

  • @user-bq5ip4fm4i
    @user-bq5ip4fm4i 6 місяців тому +1

    Be blessed ray jamoniiii 🎉nyimbo zako nzuri uko smart ad kcheza kwako

  • @deusemmanuel7979
    @deusemmanuel7979 3 роки тому +2

    Wimbo mzuri.

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Asante sana Deus

  • @johnsadiki2657
    @johnsadiki2657 4 місяці тому +1

    Natabasamu kila nikiutazama wimbo huu.❤🎉Audio & video are of high quality. Keep it up Bwana Ray Ufunguo. Hongereni sana waimbaji

  • @cosmasgalanda4572
    @cosmasgalanda4572 3 роки тому +3

    Hahahaha!nyimbo tamu saan hii saaf saan kwa mtunzi mwalim Thomas,.

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Baraka ziwe Juu yako Cosmas

  • @ushindieliya278
    @ushindieliya278 Рік тому +1

    Nimesikiliza 2023 ni raha sana, vyombo vimepigwa vizuri,anayepiga kinanda anifundishe kweli burudani sana wakuu,.

  • @raymonadsaliboko3068
    @raymonadsaliboko3068 3 роки тому +2

    Jamani Mungu awe pamoja nanyi,awatoe nguvu

  • @camptvlive
    @camptvlive 4 місяці тому +2

    Thankful for this song 🙏🙏🙏

  • @viviancheruiyot6227
    @viviancheruiyot6227 2 роки тому +2

    That sweet melody 🥰actually music can be a painkiller

  • @mariachale6089
    @mariachale6089 2 роки тому +4

    Huu wimbo nitakuwa naandika comments kila nikiusikiliza, naomba msinichoke. Huyu Mtunzi basi apewe tuzo inayostahili, waimbaji, kamani ya ufundi, mpiga kinanda na designer wa mavazi. Big up wooote

    • @makaliuscharles4452
      @makaliuscharles4452 2 роки тому

      Asante sana Maria kwa pongezi na kututia Moyo!Hakika kazi ya Mungu itaendea mbele daima

    • @mariachale6089
      @mariachale6089 2 роки тому

      Aminaaa, mbarikiwe sana kwa majitoleo yenu

  • @asinthagervas2751
    @asinthagervas2751 3 роки тому +3

    Tumsifu Bwana katika roho na kweli.Amina

  • @janviermurhula6676
    @janviermurhula6676 2 роки тому +2

    Waimbaji wapendwa hongera sana kwa kazi njema,tuna jengwa sana na mafundisho tenu kwa nyimbo zenu.sasa nawaomba muni saidiye ni pâte samary ya yimbo hiyi(texte).Mimi ni muimbaji wa kwaya ya mtakatifu Yusufu kutoka DR congo

  • @mariachale6089
    @mariachale6089 3 роки тому +2

    Hongera sana kwa RAJO PRODUCTS, KAZI NZURI SANA, NIMEWAKUBALI

  • @josephambrose2215
    @josephambrose2215 Рік тому +1

    Napenda sana wimbo huu jamani, hongereni Kwa kazi nzuri Kwa wote mliyo shiriki ktk uandaji wa kazi hii,🙏🙏🤔

  • @edwinkosgey9561
    @edwinkosgey9561 Рік тому +2

    God bless you, iam enjoying the song in Eldoret Kenya

  • @euphyadams9056
    @euphyadams9056 3 роки тому +3

    Waaaauu !!! I love everything voice,dance yani everrything this is the best kongole

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Shukrani sana Euphy..

  • @AngelaLusweti
    @AngelaLusweti 2 дні тому

    Wimbo nzuri

  • @c.somoeyfancy
    @c.somoeyfancy 3 роки тому +2

    Woow, so nice..
    Well organized ❤️

  • @musangamfuracelestin6629
    @musangamfuracelestin6629 Рік тому +1

    Mana data wa twese, nanjye nonjyeye kugushimira ubwiza bwawe muri uyumwanya umpaye urakoze ishimwe ntanze, nuko umwuka wawe ariwo untunjyisha kumanywa na ninjoro Amena.

  • @edgambaganile6615
    @edgambaganile6615 3 роки тому +2

    Big up kazi nzuri sana. Ray kama kawaida yako, safiii

  • @joycemary346
    @joycemary346 6 місяців тому +1

    Ilike this song so so much ifeel happy when listening to it. Mostly the pianist may God continue to bless my Brother. Keep it up 👍👍

  • @evansekesa7696
    @evansekesa7696 2 роки тому +3

    Kazi safi sana bwana Ufunguo✨

    • @rajopro
      @rajopro  2 роки тому

      Shukrani sana Bwana Evans

  • @ambrosemaingi5246
    @ambrosemaingi5246 10 місяців тому +1

    Beautiful song.... well done ✅✅ blessings

  • @mariachale6089
    @mariachale6089 2 роки тому +3

    Haya, naenda kula sasa, nimeshasema nitausikiliza kila siku. Comments zangu nimeshaandika zaidi ya 4, duh, Mtunzi, waimbaji, kamati ya ufundi, mpiga kinanda, mavazi ya kitanzania... Bip up sana to you all

  • @anthonykilosa6179
    @anthonykilosa6179 3 роки тому +7

    Ukisikia Ng'ombe hazeeki maini ndo hii sasa RAJO PRODUCTION mnatoaga video zenye quality bora sana. Big up to you brother. Great thanks also to the singers may the almighty God bless you 🙏

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Thank You Anthony

  • @linahjelimo6679
    @linahjelimo6679 2 роки тому +2

    Well composed choir asante LINAH

  • @davidkiplimo2653
    @davidkiplimo2653 3 місяці тому +1

    Nyimbo mtuliivu nzuri sana ya kupendeza na kutuliza roho pongezi sana wanachoir woote yanipamba adi jinsi beats ya music instruments inaflow vizuri na sauti

  • @daudipmhadikwa6389
    @daudipmhadikwa6389 2 роки тому +2

    Mungu Amalie tele kwa kumtangaza BWANA. Kanisa katoliki lizidi kusonga mbele( A Rational Reliogion)

  • @maxijoseph5754
    @maxijoseph5754 3 роки тому +3

    @RAJO P. Good work bravo, you always find a way of bringing people close to God by doing this great work , be blessed

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Be blessed Maxi

  • @mariachale6089
    @mariachale6089 3 роки тому +2

    Duh, jamani yaani sijui nisemeje. Sauti zote zinasikika moja baada ya nyingine, hongera kwa mpiga kinanda na zana za kiutamaduni zilizotumika na mavazi ya Ki bantu. Big up sana kwa Mtunzi

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Asante sana Maria. Ubarikiwe sana

    • @mariachale6089
      @mariachale6089 2 роки тому

      Amina RAJO PRODUCTS

  • @denniskioko1562
    @denniskioko1562 2 роки тому +3

    I just love the Rajo music,,

  • @gertrudismusila6780
    @gertrudismusila6780 2 роки тому +1

    Beautiful voices,well harmonized voices.
    Nice song. I have watched several time.
    Watching from Spain.

  • @danielwangila2919
    @danielwangila2919 3 роки тому +4

    The level of Art & Quality of a creative team✨✨
    May God bless the work of your mind and hands.

    • @rajopro
      @rajopro  3 роки тому

      Thank you Daniel. Ubarikiwe sana

  • @user-ks9lf1vu1q
    @user-ks9lf1vu1q 11 місяців тому +2

    Rajo production mnafanya vzur

  • @annsabore9706
    @annsabore9706 2 роки тому +1

    I do listen this song uncountable times a day God bless the producer and the whole Rajo team