Ati sikujui Ati FIDDY alikua kwa ngoma… hii ngoma … ilipotoka, ndani ya Kenya niliona kwa cyber café Really liked it🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸👽👽👽👽 rhymes were dope!! Can’t remember the year.. enzi hizo, kina Mangeear pia wanavuma na ule chali mitikasi achana Dudubaya.. lake l imefika na Jay Proffe
@@cheddyreddy4607 emsley Smith ndio Baba T sio Afande sele .. huyu Emsley smith aka baba t ni mtangazaj wa reggae na ni moja wa waanzilishi is dini ya ki Rasta bongo ..
Hii ngoma ni encyclopedia ya hip hop Bongo Tanzania 🔥🔥 #kiHesabu💯Hii ngoma > ngoma za young lunya🙌🏽. Na so kwamba Lunya so wamotoo!! Mwaka huu nna comment Young Lunya is 🐐✨. Hii Ngoma ni Ramanii ya Bongo Hip hop/rap🔥🔥🔥🙌🏽
Watoto wa 2000 manmuona Lunya Msanii hujawahi hata Kumskia Fanani au Jose Mtambo au Hata KadGO.... Skiliza na Kawaskilize Achana na Wazugaji Mdogo wangu
Asiye mpendaa ndugu yakee anaemwona basi awezi kumpenda munguu asiye mwona
Ati sikujui Ati FIDDY alikua kwa ngoma… hii ngoma … ilipotoka, ndani ya Kenya niliona kwa cyber café
Really liked it🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸👽👽👽👽 rhymes were dope!!
Can’t remember the year.. enzi hizo, kina Mangeear pia wanavuma na ule chali mitikasi achana Dudubaya.. lake l imefika na Jay Proffe
when bongo was bongo, when hip hop was hip hop
This is dope. Started listening to this way back in school. Hip hop forever
Fid q Ni mtu na nusu 🙌🏾
Rest in peace baba t😢, leo ndio mekuja kufahamu ili jina kwenye hii song 🙏
Baba t ni afande sele ndo maana anasema rasta kama baba t yaani baba tunda
@@cheddyreddy4607 emsley Smith ndio Baba T sio Afande sele .. huyu Emsley smith aka baba t ni mtangazaj wa reggae na ni moja wa waanzilishi is dini ya ki Rasta bongo ..
Leo ndio nmejua aisee...miaka yote nilikuwa najua afende sele..kweli hip hop inaitaji vichwa
Shukran kwa midini leo mimi ndio nemejua 12/05/2023 kwanza nilikuwa nafikiri baba T ni Afande sele
Hii ngoma ni encyclopedia ya hip hop Bongo Tanzania 🔥🔥 #kiHesabu💯Hii ngoma > ngoma za young lunya🙌🏽. Na so kwamba Lunya so wamotoo!! Mwaka huu nna comment Young Lunya is 🐐✨. Hii Ngoma ni Ramanii ya Bongo Hip hop/rap🔥🔥🔥🙌🏽
Watoto wa 2000 manmuona Lunya Msanii
hujawahi hata Kumskia Fanani au Jose Mtambo au Hata KadGO.... Skiliza na Kawaskilize Achana na Wazugaji Mdogo wangu
Rock city the capital of rap music in Tanzania
2023 tuko hapa
Hii ngoma noma sana hip hop
Hatari na nusu hii ngoma
Best hip hop truck Africa.
Jeshi moja
HARDCORE🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Hapa HATUTAKI views, unless mama yako alikuzaa kitambo hicho, .. kama wewe ni fala, sawa.. unakaribishwa 🇰🇪🇰🇪
Mwanza mwanza
🙏🙏🙏🙏 home
Baba t
❤more Rider bouncer 🎉
King fid q❤
Namwaamini MUNGU TU sababu mm co mshirikina
nanu ayubuu duh kitamboo
A Classic Forever ✨💯💯
Napiga ka bruce leee waaaaaaa
Madini
Nakubali sana ngosha
Wivu humuuwa mtu mjinga
Hatari na na kilo
🔥🔥🔥
Mzee mbuzi
Ukitaka kumfuga chatu andaa unga wa kumulisha ,ukitaka kufika 3 lazima 1,2 uwe umeshazipita.
🔥🔥
Mwanza Mwanza
Huyu anaesema mwanza mwanza ni nani? Anasikika kwneye kiitikio
Mwanza ni mji ambako yeye ndo alikotoka Mwanza ni Kati jiji moja wapo linalo patikana Tanzania
Ni jay mo unae msikia mwanza mwanza
Jay moe
Jay mo
2022