KAMA UNATAKA DEMU. _______________________ "Kama unataka demu" Sema unataka awaje-awaje "Kama ukienda boogie" Ungependa atokeaje-atokeaje "Marashi itakuwaje" Angenukiaje "Na akiwa mtaani" Ungependa atokeje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 1: ----------- Ndiyo nataka demu Lakini tuanzie makumbusho Awe mfano wa Fifi Madada zangu waitwe wifi Siyo Nkinde siyo Leyla Mtaa wao Miyeyusho Simtaki fulani amri ndefu Ndiyo wa leo na kesho Siongopei Phat Pham Nimefull zaidi watapeta Belinda na Moza waki-realize Vipi watadata Jadida la Lydia Wabakie vikono nikipita Sina habari na Naomi wala Salama Vile walinitesa Ndiyo kisa cha kutompenda Koku wala Septou Mwambie Samira amtoe Kachichi Ni washkaji tu Rose na Mariam mapacha Nisije nikachanganya Ni sawa na Esther na Suzie Wa maghorofa ya Bima Bora nitoke Makumbusho Niende zangu K Nyama Kwenye Watoto wa geti Kali Baba Mama tajiri Kama Miriam Hassan Nusu mbongo nusu Msomali Nakwenda kumpa dili Akinata nageuza gari Nikaendelee na Sinza Mbezi mpaka Kunduchi Herieth wa Sinza Mbezi Shakira Tamoh Kunduchi Nadhani ushanielewa Demu wangu atakuwaje-atakuwaje We njoo makumbusho Utamuona amevaaje-amevaaje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 2: -------------- Sasa nakwenda kwenye majina Na heshima mahsusi. Kama mfaudhia, Jodity, Domina au kama Hoops. Au sera zikimnasa Kibibi kuna ubaya.? Nadhani Mamiss Hawataniona tena mimi mbaya Ila awe Mkweli Siyo mambo ya Miss California Awe kama Sister J Mweupe kama Eugenia Naomba radhi Niliowataja naomba msiwe na kinyongo Mimi nafanya kuwapeni thamani ya juu ndani ya Bongo Tukisema mtoto wa tajiri Mimi namchagua Regina Tukisema Model Ni Miriam Odemba, au hapana..? Tukisema Miss Aminata Keita haina noma IFM watakoma Kwa muda wote ambao anasoma Ila ataweza vipi Kuimba R&B kama Stara Au ni sawa na Mercy Galabawa Leo kuwa msela Nini Gado kama Zay B Mrefu kama Basilla Designer Khadija Mavazi akatuoneshee Kajala Nitahakikisha Hakuna machozi kama Jaydee Sintosubiri Akisema anakuja kama Sister P Nadhani ushanielewa Demu wangu atakuwaje-atakuwaje Kama ukija Bills Utamuona amevaaje-amevaaje 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶 Verse 3: ------------- Yo.. Nataka demu Miguu mizuri kama Ray C Macho kama Asia Alcoholic kama Sister V Nampenda demu Awe Sister Dread kama Babe Naogopa sana Mpenda chapaa kama Dokii Awe anapenda Rap Siyo bolingo kama AC Mchizi kama Naziz Ila bright kama Cecy Mrefu siyo mfupi na nyama Siyo mwembamba Hewani kama Magese Kiuno kama Odemba Hasiwe Lady flani Hajui kupiga pamba Avae Kama Seven Japo atoke bomba Awe anajua kupika Awe anang'aa kama Sanca Laini kama mafuta Kwenye giza awe anawaka Awe anang'ara Apoze zangu harara Awe na sauti tamu Kuliko ile ya Stara Siyo Kauzu kama Nina Bora mcheshi kama Nora Ili nimpende Sana Waganga wasijenipora Awe anaishi kama Precious Bila mama yake Gypsies Ili siku akichacha Tukakope hata chipsi Maridadi.. Mvuto wa Zamaradi Apitapo maskani Washkaji mpandwe midadi Awe aliyefundwa kama Zinduna Mjanja kama Muna Awe anatabasamu Siyo Kila siku ananua Kama ntapata demu Atakuwaje fikiria Lafudhi iwe tamu Siyo kithethe ka Radhia Hapo mimi ntadata Kama Nature kwa Sonia Hapo mimi ntadata Kama Nature kwa Sonia 🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶 ************** Wimbo: Kama unataka demu Wasanii: Jay Moe Solo Thang & Q Chilla Studio: Bongo Records Prodyuza: P Funk Majan
Hapo Kwenye Chorus ukickiliza vizuri “kama ukienda Boogie”..! Kwa wasiojua miaka ile kuna Shows za mziki zilikuwa zinaitwa Boogie Zilikuwa zinaanza Mchana Hadi Jioni 😂😅 Daah…
VERSE 1__JayMo Ndiyo nataka dem lakini tuanzie Makumbusho, Awe mfano fifi madada zangu wamuite wifi, Siyo Mkinde siyo Leyla, mtaa wao miyayusho Simtaki flani Amri Dave ndiyo leo na kesho, Siogopei Fat Family full dhahiri watapeta, Belinda na Mose wakirealize vipi watadata? Jedida na Lidya wabaki vikono mkipita, Sina habari na Naomy wala Salama vile walinitesa, Ndo kisa cha kutompenda Coco wala Zeitun, Mwambie Samira mtoe kachichi ni washkaji tu, Rosillah, Mandu mapacha nisije nkachanganya, Ni sawa na Esther na Suzzy wa Magorofa Bima, Bora nitoke Makumbusho niende zangu Kinyama, Kwenye watoto wa geti kali baba mama tajiri Kama Miriam Masa nusu Bongo nusu Msomali, Nakwenda kumpa dili Akhenaton nageuza gari, Nkaendelee na Sinza, Mbezi hata Kunduchi, Heri ntoe Sinza, Mbezi Shakilla hata Makunduchi, Nadhani ushanielewa dem wangu atakuwaje takuwaje, Wee njoo Makumbusho utamuona amevaaje mevaaje
who else 2024
We here
We here
Nataka demu / basi nimegahili nenda kwauyo jay moe 2024
KAMA UNATAKA DEMU.
_______________________
"Kama unataka demu"
Sema unataka awaje-awaje
"Kama ukienda boogie"
Ungependa atokeaje-atokeaje
"Marashi itakuwaje"
Angenukiaje
"Na akiwa mtaani"
Ungependa atokeje
🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
Verse 1:
-----------
Ndiyo nataka demu
Lakini tuanzie makumbusho
Awe mfano wa Fifi
Madada zangu waitwe wifi
Siyo Nkinde siyo Leyla
Mtaa wao Miyeyusho
Simtaki fulani amri ndefu
Ndiyo wa leo na kesho
Siongopei Phat Pham
Nimefull zaidi watapeta
Belinda na Moza waki-realize
Vipi watadata
Jadida la Lydia
Wabakie vikono nikipita
Sina habari na Naomi wala Salama
Vile walinitesa
Ndiyo kisa cha kutompenda
Koku wala Septou
Mwambie Samira amtoe Kachichi
Ni washkaji tu
Rose na Mariam mapacha
Nisije nikachanganya
Ni sawa na Esther na Suzie
Wa maghorofa ya Bima
Bora nitoke Makumbusho
Niende zangu K Nyama
Kwenye Watoto wa geti Kali
Baba Mama tajiri
Kama Miriam Hassan
Nusu mbongo nusu Msomali
Nakwenda kumpa dili
Akinata nageuza gari
Nikaendelee na Sinza
Mbezi mpaka Kunduchi
Herieth wa Sinza
Mbezi Shakira
Tamoh Kunduchi
Nadhani ushanielewa
Demu wangu atakuwaje-atakuwaje
We njoo makumbusho
Utamuona amevaaje-amevaaje
🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
Verse 2:
--------------
Sasa nakwenda kwenye majina
Na heshima mahsusi.
Kama mfaudhia, Jodity,
Domina au kama Hoops.
Au sera zikimnasa Kibibi
kuna ubaya.?
Nadhani Mamiss
Hawataniona tena mimi mbaya
Ila awe Mkweli
Siyo mambo ya Miss California
Awe kama Sister J
Mweupe kama Eugenia
Naomba radhi
Niliowataja naomba
msiwe na kinyongo
Mimi nafanya
kuwapeni thamani ya juu
ndani ya Bongo
Tukisema mtoto wa tajiri
Mimi namchagua Regina
Tukisema Model
Ni Miriam Odemba, au hapana..?
Tukisema Miss
Aminata Keita haina noma
IFM watakoma
Kwa muda wote ambao anasoma
Ila ataweza vipi
Kuimba R&B kama Stara
Au ni sawa na Mercy Galabawa
Leo kuwa msela
Nini Gado kama Zay B
Mrefu kama Basilla
Designer Khadija
Mavazi akatuoneshee Kajala
Nitahakikisha
Hakuna machozi kama Jaydee
Sintosubiri
Akisema anakuja kama Sister P
Nadhani ushanielewa
Demu wangu atakuwaje-atakuwaje
Kama ukija Bills
Utamuona amevaaje-amevaaje
🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
Verse 3:
-------------
Yo.. Nataka demu
Miguu mizuri kama Ray C
Macho kama Asia
Alcoholic kama Sister V
Nampenda demu
Awe Sister Dread kama Babe
Naogopa sana
Mpenda chapaa kama Dokii
Awe anapenda Rap
Siyo bolingo kama AC
Mchizi kama Naziz
Ila bright kama Cecy
Mrefu siyo mfupi na nyama
Siyo mwembamba
Hewani kama Magese
Kiuno kama Odemba
Hasiwe Lady flani
Hajui kupiga pamba
Avae Kama Seven
Japo atoke bomba
Awe anajua kupika
Awe anang'aa kama Sanca
Laini kama mafuta
Kwenye giza awe anawaka
Awe anang'ara
Apoze zangu harara
Awe na sauti tamu
Kuliko ile ya Stara
Siyo Kauzu kama Nina
Bora mcheshi kama Nora
Ili nimpende Sana
Waganga wasijenipora
Awe anaishi kama Precious
Bila mama yake Gypsies
Ili siku akichacha
Tukakope hata chipsi
Maridadi..
Mvuto wa Zamaradi
Apitapo maskani
Washkaji mpandwe midadi
Awe aliyefundwa kama Zinduna
Mjanja kama Muna
Awe anatabasamu
Siyo Kila siku ananua
Kama ntapata demu
Atakuwaje fikiria
Lafudhi iwe tamu
Siyo kithethe ka Radhia
Hapo mimi ntadata
Kama Nature kwa Sonia
Hapo mimi ntadata
Kama Nature kwa Sonia
🎼🎶🎶🎶🎶🎶🎶
**************
Wimbo:
Kama unataka demu
Wasanii:
Jay Moe
Solo Thang & Q Chilla
Studio: Bongo Records
Prodyuza: P Funk Majan
Umetisha 🔥
@@queenandchill91 Yeah
Safi sana
@@KalamuYaGalana 💥💥
sjawai ku reply comment you tube hii ya kwanza
Huu wimbo ulikua kama signature (kibwagizo) wakati Channel 5 ilitokea. Mtamu kweli. This introduced me to Bongo Music. Mad love from 🇰🇪
2023 who else around here ?
Nimepiga seti hapa nimekuwa naitafta.Hii ndio bongo yenye ilitawala enzi zake.Rhymes after rhymes
2024 still going strong
This to me is the best bongo flava beat of all time 🔥🔥🔥🔥
Daaa enzi hizo nasoma Kijitonyama primary school hii ngoma nilikuwa naimba verse after verse
Ulikuwa darasa la ngapi na ilikuwa mwaka gani
Enzi hizo tupo na kodo
A legend indeed
Gone are the days, 2002 Kiwira - Tukuyu.
NYIMBO YA TAIFA ENZI HIZO
Here 2024.... and counting!
Aaaaah kitamboooo iyoooo jay mo
Old is gold...i missed these songs
Old is gold 🔥🔥🔥
Bonge la ngoma
June2024' who else z HERE.
16/May/ 2024
+27 Bado Tunaish nayo 😜
Jamani hii nyimbo enzi hizo mimi mim hata shule bado sjaanza kusoma mpaka leo 2022 naingalia
Duuh
Hii ngoma 2002, miaka 22 iliyopita
Namkumbuka sana DJ Fred Waaah!
Tanzania day by p mawenge
Verse la solo thang noma
2024
Hii na ingekuwa vipi ya FA ngoma za zamani kali
Kwa heshima zote kwa FA hili dude kali sana. Jay Mo, Solo thang Mkono wa P- Funk. Bonge la biti
Old iz gold## j mo🔥🔥🔥🔥🔥
here 2024
Ngoma kali san daaaa ktmboooo san daaa😢
ila brother J moe noma sana
Jay Moe nakubali mkuu
Nyimbo nzuri sana 2005-2023
Nataka demu❤❤
U
dude kali mpaka leo hii 2022
Zamani sana hadi raha
March 5 2023 🤗
Oyaaa kama hili goma ulikuwa kwenu na hadi Leo uko kwenu mkuu mkuu mkuu utapakatwa toka magetoni kondoo wa bwana
2002-2024🇹🇿
More technics👍
Kitambo sana
Unyama ni mwingi haina longo longo
2023❤
Jay moe
Q chief aliua kwenye chorus .. Enzi hizo niko Form One ngoma imetoka
Wow! Kumbe ni qchief
Kati ya mvua najua unapenda nini??😂😂
classic
Hapo Kwenye Chorus ukickiliza vizuri “kama ukienda Boogie”..!
Kwa wasiojua miaka ile kuna Shows za mziki zilikuwa zinaitwa Boogie
Zilikuwa zinaanza Mchana Hadi Jioni 😂😅
Daah…
18 may 2024
2024😂
VERSE 1__JayMo
Ndiyo nataka dem lakini tuanzie Makumbusho,
Awe mfano fifi madada zangu wamuite wifi,
Siyo Mkinde siyo Leyla, mtaa wao miyayusho
Simtaki flani Amri Dave ndiyo leo na kesho,
Siogopei Fat Family full dhahiri watapeta,
Belinda na Mose wakirealize vipi watadata?
Jedida na Lidya wabaki vikono mkipita,
Sina habari na Naomy wala Salama vile walinitesa,
Ndo kisa cha kutompenda Coco wala Zeitun,
Mwambie Samira mtoe kachichi ni washkaji tu,
Rosillah, Mandu mapacha nisije nkachanganya,
Ni sawa na Esther na Suzzy wa Magorofa Bima,
Bora nitoke Makumbusho niende zangu Kinyama,
Kwenye watoto wa geti kali baba mama tajiri
Kama Miriam Masa nusu Bongo nusu Msomali,
Nakwenda kumpa dili Akhenaton nageuza gari,
Nkaendelee na Sinza, Mbezi hata Kunduchi,
Heri ntoe Sinza, Mbezi Shakilla hata Makunduchi,
Nadhani ushanielewa dem wangu atakuwaje takuwaje,
Wee njoo Makumbusho utamuona amevaaje mevaaje
Enzi izoo