Yakobo 4a: 6 Lakini hutujalia sisi neema iliyozidi;....." *TUNAPOKEA SASA TOKA KWA MUNGU NEEMA ZAIDI NA KUONGEZEKA KWA UTENDAJI WA NGUVU ZAKE MAISHANI MWETU. UJUZI WA NENO LAKE UNATUFANYA TUTEMBEE KATIKA WINGI WA NEEMA AMBAYO HUZAA UPENDELEO, UZURI, NIA NJEMA, MAPENZI MEMA, UKAMILIFU, UTUKUFU NA UWEZO KATIKA MAISHA YETU, HALELUYA!!!*
i see watu wanalazimisha swalha kuonekana alikua na tatizo lkn huyo saidi hiyo ilikua ndoa ya ngap kwake? and besides ndoa still alikua na wanawake wa pembeni mpk mama yake mzazi alisema alikua na wanawame wengi sana hamuoni hiyo ni shida?? Shida ya wabongo mwanamke akiwa na muonekano mzur huyo ni malaya na hiki kitu kinapoteza wengi.... ingekua swalha ana sura ya mjomba wake kusengekuepo na comment za namna hiyo .... Tubadili Mtazamo ktk mahusiano if not kila siku kutakua na matukio na wanawake msikingie vifua wanaume wana mambo mengi sana na wao wanaona ni vzr kuwa na wanawake wengi pasipo kujua wanaharibu afya ya akili kwa mke au mpnz wake All in All RIP
Wanawake mnaomhukum swallher mnaniumiza Sana,,aisee,,,hivi imeandikwa wapi ,mwanamke ndio anatakiwa kutulia kwenye ndoa tyu,,?jukumu la kutulia nilawanandoa wote mwanamke na mwanamme,,nasi mwanamke tyu,,,,,
Somo kubwa hapa ni Kwamba ndoa ilfanywa kwa desturi za Ki islamu. Makosa ya vijana wengi TZ wakusoma Dini vyema kiasi cha kufahamu elimu ya Tawhid. Kuna habari kwamba mganga au wanganga waliruhusiwa kuingilia mambo ya ndoa hiyo. Ikiwa ni hivyo, viumbe hao huwa ni hatari, hugombanisha watu na kuharibia mtu Dini kabisa. Ni jukumu la Ulamaa nchini wawaonye watu wasiangamie. Wawaelimishe vijana na hata wazazi na Waislamu wapya. Njia sahihi ni ile ya Allah.
@@freduallughano2301 Afrika ni pana ina Dini nyingi ikiwepo Uislam Ukienda Misri , Moroco , Algeria au Tunisia au Sudani kote Huko ni Afrika Na Imani zao Za Asili ni Islam Hivyo Acha Maneno Maneno yenye Viashiria vya Chuki
shida kubwa ni ujinga wa wengi katika baadhi ya waislamu kutokuijua dini yao na misingi yake mtu huwezi kuidhulmu nafsi ya mwenzako na bado ukaongeza na yako mwenyewe pia.. ni sawa upitie shida au migogoro kiasi gani , pia ni wazi khofu ya Mungu haikuwepo vyote chanzo ni ujinga maana angejua alichokitenda matokeo yake kwa Mujibu wa dini yake ingemfanya apate khofu ya Mungu
Mwanza Uyuu Dada Ni Muongoo Na Umrii Amedanganya pili Amesema Aliondoka kwenye Ndoa Yke na Said Mwanzo mwa Mwaka 2022 mpka hpo ni Muongoo Akiwa Saidi Alimuoa Swalha December mwaka 2021 Uyuu Danga ni Muhungo Jmn
Unakimiss wakati ulisha achika kitambo na nyie waandishi ulizeni naswali ya msingi yanayoendana na wakati bush it: R I P wapendwa mungu awafanyie wepesi huko muendapo🤦
Nachokiona,ni huyu jamaa baada ya kufilisiwa hakukutana na watu wa kumkansel.Naalitembea na vidonda moyoni na akili mwake.Hivyo alijikaza kiume.Na ikapelekea kuwa nahofu na kila mtu ama niadui wa maisha yake.Kiukweli alilaumiwe kama aafufuka saizi kisha aelezee maswaiba yaliyo ndani ya moyo wake,yawezekana watu wengi watatoa machozi.
Huyu alimkuta hana kazi na kuna mwingine anasema pia alimkuta hana kwa kifupi wanataka kusema mali ni halali yao Marehem ndo alimkuta akiwa vzr, hata wafanye nini haez pewa chochote hao, mama anakir said qlikuwa na wake wengi, swalleher ndo mke nhie wengine simliondoka swalleher kavumilia mpk kifo😭😭
@@dorahwillson1807 Swalha angekuwa hai angepewa mali.sasa atapewa shemeji,mama mkwe, au Baba mkwe?Kwa hapo watoto walivyo wengi Yule Mama naa anaweza pewa.au huyo mama Saidi
Yaaani Kusikia ajali imetokea hakukufanyi uache kusafiri...tusikiapo haya ya ndoa hakukufanyi kuacha kuamini bado kuna waume na wake Bora wanaishi it's matter of selection tuu🤞
Tangu nimeanza kufatilia interview huyu mwanamke wa5 niliyowaona wakihojiwa mama Ashraf mke wa kwanza watoto 2 Kuna mama Naa mke wa pili ndy aliyechuma nae kuanzia kiwanja hd nyumba miaka 6 wameishi wamepata mtoto 1 Kuna yule asiyemuoa kazaa nae watoto 2 kuna huyu hajazaa nae kakaa nae miaka 2 Mwisho Marehem Swalha wameishi ndy baadae ndoa miezi 5 wamependana ndy wakafa hawakubahatika kupata mtoto Hapo sasa asisemwe Swalha hajatulia wenyewe mnaona maneno ya ma x wanavyotoa ushuhuda 2022 ndy wameachana na huyu Swalha kaishi nae hd mwaka jana 2021 wamefunga ndoa sasa huyu wameishi wapi hd kufika mwaka huu na Swalha yupo humo ndani yaani Ma x hawaeleweki interview zao wanajikanyaga familia nayo vile vile dah. Tukubali Saidi alikuwa kivuruge hapo kuna watoto wengine hawajaonyeshwa wala kuhojiwa wazazi wao jaman ifike kusema tusihukumu mkamilifu hakuna
Sema huyu mwamba kazingua Bora angejiua akiwa hana watoto sasa amejiua huku ameacha watoto Unafikiri watoto wataishi kwenye mazingira gani? Cjapenda jamaa alichokifanya Bora angeachana na huyu mwanamke
Marehemu kapuzika hawezi kuyajibu haya yote, Msimpe njia ngumu huko aliko nyinyi wanadamu kwani ninyi niwakamilifu, jibu litakuwa hapana si wamilifu Basi acheni apumzike, Tafakari ya kwako Kwanza marehemu kamaliza kazi yake hapa duniani!
Subhanaallah hasira hasara Mama yake Anamtetea mwanae kumbe mwanae ndie mkorofi upendo bila kuona wazazi bila wazazi mngepatikana? Mbona mama yake anakuja kutembelea ukimpenda uwa penda na boga lake matatizo kweli
Mimi Dada huyu dada kanipiga na kitu kizito, alikaa na saidi miaka 2 afu Ana watoto3, inaana alikua akijifungua na kubeba mimba au Mimi ndio sijaelewa🙇🙇🙇
KUNA WATANZANIA AKILI KICHWANI HATUNA MMEAMBIWA NI KAZIKWA WAPI MOJA KWA MOJA TAFAKARI WANAUME WA HUKO KABLA YA KUMLAUMU MTU TAMBUA ASILI YAKE KUPIGA NI KAWAIDA TU. HUYO MWAMBA KWAO HUKO MARA NI SHUJAA ILA KIBINADAMU SIO KABISA.
Sasa dada hebu turudi nyuma wewe umeishi nae miaka miwili 2021 mpaka 2022 ukaondaka .sasa hapo swalha alianza mahusiano na said mwaka gani mpaka kufikia ndoa na swalha amefunga ndoa 30/12/2021.naona kama kaka yangu mnampiga na vitu vizito tu .yupo arosema ameachana walijenga nae nyumba Kisha wakaachana Ndio kumuoa swalha .kwa kabira la kina saidi habari yawake wengi kwao sio swara hiro watoto wengi sio shida zao .hata watoto 80 na zaidi usimuulize tu .ss hapo mama saidi ndie watutajie wakwe zake maana hata michepuko nayo ina wanasema walikuwa wake.
Kwa hiyo interview tu ya huyo mwanamke. Ni wazi kuwa jamaa alikuwa na wivu kupitiliza na hasira. Kosa kubwa hapo ni kumiliki chuma! Na kukosea maamuzi ya wapi kuitumia, hatujui ukweli ni upi na uongo ni upi ila ndiyo hivyo tena chuma kimeshatema shaba!!!
Sasa imebakia kutoleana aibu zenu wapumbavu wakubwa kisha kufa na ameenda na makorokoro yake nanyie jipangeni na kukutana na mola wenu nahakuna faida yoyote mtakayopata kwa kutoleana aibu zenu.
Basi hapa nimeamini huyu Said alikuwa ana wivu sana na alikuwa mkorofi sana maana kwa maelezo tu ya huyu dada wanawake wote hao walikimbia said alikuwa na matatizo .Wivu ukizidi sana matokeo yake ndio Kama haya ni mauti.R.I.P Swallher & Said.
Alikuwa ana wivu kwa vile alikuwa anajua anachokifanya huko nje na wanawake wengine. Mwizi always anahisi na yeye anaibiwa hivyo anachunga mali yake kwa uangalifu sana ila alikuwa na matatizo ya akili.
Nimejaribu kufatilia lakin asilimia kubwa ya ss wanawake tunatak kushindan na mwanaume ww ukisha olewa kubali kuwa chin mumeo akikukataz jambo usifany pia kuna kuomba ruhusa na kuaga asilimia kubwa ss wanawake hatujui kuomba ruhusa tunaaga pia pale tunapoag tukikataziwa bc usiende lakin mtu umekataziw ila ww unaenda mwish wa siku utatokea tu ugomv wanawak wote walio ojiwa wote hawakubali kushindwa nao wanatak wafany kama mwanaume anavyo fany
Namm nlsema hvyo huyu jamaa maisha ndo yalmchanganya tu swalher imekua njia ya yy kujiua tu basii,ila kama alyachoka si angejiua mwenyew tu kulko kuua dada wawatu yan binadamu bhana
Ila wanawake tuna mambo sana cheki huyu dada eti mwanamumewake alikuwa mkali hehehe huku anatamaa yakuwa na saidi pumbavu kabisa ndo maana mnafyatuliwa
Kwa maelezo ya make said alikua na shida kwenye mental health (he was depressed,he had an obsetion with perfection Yani watu wenye hii tunasema ni Alpha,what he says goes.. he had anxiety and he was late in it mpk akawa suicidal when things don't go the way he wanted)
Saidi wa kumuombea tu Mungu amsamehe alikuwa na matatizo. Swallha kawa victim tu Mungu ampumzishe kwa amani Swallha watu wamemzomea sana bora ukweli uwekwe hadharani hakuwa malaika
Huo sio ukewenza,wakewenza huishi kwenye ndoa ya mume mmoja kwa wakati mmoja,hao wanawake wa Said Kila mmoja ameishi nae kwa wakati tofauti, acha upotoshaji kama hauelewi waulize wanaojua
apepoulimpa hii ni mitihani amabayo hakufanikiwa kushinda wivu ulizaliwa na upendo wakupitiliza kwa wake zake hata kujiua na kuchanganyikiwa uchumi ulikua unamsumbua kuhusu ushirikina mke a mwisho ndio alikutwa na hivyo vijimambo mpaka babayake kuitwa na kuja na mganga kitulize
Na yule mtoto wake Ashrafu anaonekana atakua kama baba yake daah maskini Mungu amnusuru huyo Ashrafu, Said hakuwa mtu mzuri naona alikua na madudu kichwani
SIFA ZA AKINA SAIDI: 1)Wana midudu (mibolo) mikubwaaa. 2)Wana hasira Sana 3)Wana roho za kwa Nini. 4)Wana sumbuliwaga Sana na maradhi ya tumbo. 5)Wana penda utani ila Wana wahi kukasirika. 6)Wana desturi ya kuperekesha wanawake (wapenzi wao). 7)Wana mapenzi Sana na mama zao wazazi. 8)wanapenda Sana ndugu zao. 9) asilimia kubwa wanapenda Sana michezo ya kubahatisha (kamari), Hawa jamaa huwaambii kitu Katika issues za kubeti. 10) wasafi kwa nje, ila siyo nguo za ndani. 11)Wana kuwaga na viarufu kama vya beberu la mbuzi lililo komaa. 12)Wana wivu Sana wa mapenzi ,ila ni wazinzi Sana, wanapenda Sana kuhisi vibaya wanawake wao. Ahsante!.
Ila dada kwa miaka umetupiga chenga😅😀
Alivyobabaika kwnz wakat wa kujibu😂
🤣🤣🤣
Wote wanawake zake warembo lazima awe na wivu
Nilikuwa naitafuta hii
@@petermahimbo3458 Akii ata mimi🤣🤣🤣tena Masha Allah hasa
Yakobo 4a:
6 Lakini hutujalia sisi neema iliyozidi;....."
*TUNAPOKEA SASA TOKA KWA MUNGU NEEMA ZAIDI NA KUONGEZEKA KWA UTENDAJI WA NGUVU ZAKE MAISHANI MWETU. UJUZI WA NENO LAKE UNATUFANYA TUTEMBEE KATIKA WINGI WA NEEMA AMBAYO HUZAA UPENDELEO, UZURI, NIA NJEMA, MAPENZI MEMA, UKAMILIFU, UTUKUFU NA UWEZO KATIKA MAISHA YETU, HALELUYA!!!*
i see watu wanalazimisha swalha kuonekana alikua na tatizo lkn huyo saidi hiyo ilikua ndoa ya ngap kwake? and besides ndoa still alikua na wanawake wa pembeni mpk mama yake mzazi alisema alikua na wanawame wengi sana hamuoni hiyo ni shida?? Shida ya wabongo mwanamke akiwa na muonekano mzur huyo ni malaya na hiki kitu kinapoteza wengi.... ingekua swalha ana sura ya mjomba wake kusengekuepo na comment za namna hiyo .... Tubadili Mtazamo ktk mahusiano if not kila siku kutakua na matukio na wanawake msikingie vifua wanaume wana mambo mengi sana na wao wanaona ni vzr kuwa na wanawake wengi pasipo kujua wanaharibu afya ya akili kwa mke au mpnz wake All in All RIP
👏👏👏👏👏
🙌
1
Nawewe nimojawapo mwenyetabia kama za huyomke
umesema kweli....yaani at last nimekutana na mtu mwenye akili kwenye comments....so many ni psychos u can tell kwa comments tu
Wanawake mnaomhukum swallher mnaniumiza Sana,,aisee,,,hivi imeandikwa wapi ,mwanamke ndio anatakiwa kutulia kwenye ndoa tyu,,?jukumu la kutulia nilawanandoa wote mwanamke na mwanamme,,nasi mwanamke tyu,,,,,
Mbona uyo dada mwingine kiherehere ivo kwan anaulizwa yeye khaa🤣
Na alisema alikua rafiki wa swalher uyu alihojiwa Hadi msiban kwa swalher kumbe mnafikii tu
Anafanana na mke wa hamorapa
@@gracejonh4022Ni yy
Ila huyu dada kafanana na Masha love kama unakubaliana na Mimi gonga like hapa👇
Mmmh huyu dada kafanana na Masha love
Somo kubwa hapa ni Kwamba ndoa ilfanywa kwa desturi za Ki islamu. Makosa ya vijana wengi TZ wakusoma Dini vyema kiasi cha kufahamu elimu ya Tawhid. Kuna habari kwamba mganga au wanganga waliruhusiwa kuingilia mambo ya ndoa hiyo. Ikiwa ni hivyo, viumbe hao huwa ni hatari, hugombanisha watu na kuharibia mtu Dini kabisa. Ni jukumu la Ulamaa nchini wawaonye watu wasiangamie. Wawaelimishe vijana na hata wazazi na Waislamu wapya. Njia sahihi ni ile ya Allah.
Njia sahihi ni ile ya asili yako kama ni mwafrika.
@@freduallughano2301
Afrika ni pana ina Dini nyingi
ikiwepo Uislam
Ukienda Misri , Moroco , Algeria au Tunisia au Sudani kote Huko ni Afrika
Na Imani zao Za Asili ni Islam
Hivyo Acha Maneno Maneno
yenye Viashiria vya Chuki
shida kubwa ni ujinga wa wengi katika baadhi ya waislamu kutokuijua dini yao na misingi yake mtu huwezi kuidhulmu nafsi ya mwenzako na bado ukaongeza na yako mwenyewe pia.. ni sawa upitie shida au migogoro kiasi gani , pia ni wazi khofu ya Mungu haikuwepo vyote chanzo ni ujinga maana angejua alichokitenda matokeo yake kwa Mujibu wa dini yake ingemfanya apate khofu ya Mungu
@@freduallughano2301 Dini ya asili ni uislamu.
Mwanza Uyuu Dada Ni Muongoo Na Umrii Amedanganya pili Amesema Aliondoka kwenye Ndoa Yke na Said Mwanzo mwa Mwaka 2022 mpka hpo ni Muongoo Akiwa Saidi Alimuoa Swalha December mwaka 2021 Uyuu Danga ni Muhungo Jmn
Kwakwel umri amedanganya
Unakimiss wakati ulisha achika kitambo na nyie waandishi ulizeni naswali ya msingi yanayoendana na wakati bush it: R I P wapendwa mungu awafanyie wepesi huko muendapo🤦
Atleast amesema mabaya ma mazuri...wengine wanasema mazuri tu
Ukiona ela yako yako inakupeleka kwenye umalay maisha yako yatakua mafupi san
𝙿𝚘𝚒𝚗𝚝
Kabisa ndugu
Daaah umenena kweli
Umeonaeee?
Duh word
Kuna wanaume hawafai au hawajaumbiwa ndoa kbsa... na baahdi ya wanawake vilevile!
Ila said alikuwaga anachukua vyuma kwelikweli wake zake wote warembo😘
Sahh uko sawa
pesa
Ila mama iyo miaka 23 hapo kwa umri wako uwenda tumepigwaa🤣🤣
😂😂😂😂😂
Tena na kitu kizito
Kwa maelezo ya huyu, Said alikuwa na msongo wa mawazo pia.
Nachokiona,ni huyu jamaa baada ya kufilisiwa hakukutana na watu wa kumkansel.Naalitembea na vidonda moyoni na akili mwake.Hivyo alijikaza kiume.Na ikapelekea kuwa nahofu na kila mtu ama niadui wa maisha yake.Kiukweli alilaumiwe kama aafufuka saizi kisha aelezee maswaiba yaliyo ndani ya moyo wake,yawezekana watu wengi watatoa machozi.
Huyu alimkuta hana kazi na kuna mwingine anasema pia alimkuta hana kwa kifupi wanataka kusema mali ni halali yao Marehem ndo alimkuta akiwa vzr, hata wafanye nini haez pewa chochote hao, mama anakir said qlikuwa na wake wengi, swalleher ndo mke nhie wengine simliondoka swalleher kavumilia mpk kifo😭😭
je watoto wanatambulikaaa ?
@@dorahwillson1807 Swalha angekuwa hai angepewa mali.sasa atapewa shemeji,mama mkwe, au Baba mkwe?Kwa hapo watoto walivyo wengi Yule Mama naa anaweza pewa.au huyo mama Saidi
Sema mwamba alikuwa anapenda kuchukuwa pisi kaliii
La!! maana hata huyu anauehojiwa!!! du!!! simchezo.
@@saimonijonas4356 wa kawaida sanaa
@@ahz6907 😂😂😂
@@saimonijonas4356 alikuwa anapenda wanawake wale cha wote
Wadangaji hao
Huyo Dada nyuma si ndio alisema ni rafiki yake salha kabisa kumbe ni rafiki yake pia huyu, inaelekea pia alikua mke wake
sishangai kusikia hata huyo dada wanyuma keshaliwa na saidi
😂😂😂
Mama alisema mwanawe alikuwa na wake wengi sana
Yes alisema
Yani aliropoka yule mama jamani
@@sarahomary3615 kasema kweli
@@sarahomary3615 hajaropoka alisema kwa Nini amefanya tukio la hivi mbona hakuwahi kufanya kwa wake zake wengine.
Hasira kupitiliza,wivu kupitiliza,madeni ya mamilioni na anamiliki chuma ya moto😂😂😂😂 kaa mbali hapo ni hatar sana
Hio nyumba ya huyo kaka wamepita wanawake wengi jmn 🤲🙌
Yaani kwa kweli alioa wake wengi
ameweka maagano na watu wengi
Zaidi ya watano ata mama yk alisema
Pesa a babuu🤣🤣
Dini yake inamruhusu,mkumbuke hilo???
Naona pembeni Kuna danga lingne linataman kuongea au kuchomekea maneno 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Yaaani Kusikia ajali imetokea hakukufanyi uache kusafiri...tusikiapo haya ya ndoa hakukufanyi kuacha kuamini bado kuna waume na wake Bora wanaishi it's matter of selection tuu🤞
Punguzeni uongo. Usi uwo miaka 23 loooh wabongo taireni. Hupungui. 38
Tangu nimeanza kufatilia interview huyu mwanamke wa5 niliyowaona wakihojiwa mama Ashraf mke wa kwanza watoto 2
Kuna mama Naa mke wa pili ndy aliyechuma nae kuanzia kiwanja hd nyumba miaka 6 wameishi wamepata mtoto 1
Kuna yule asiyemuoa kazaa nae watoto 2
kuna huyu hajazaa nae kakaa nae miaka 2
Mwisho Marehem Swalha wameishi ndy baadae ndoa miezi 5 wamependana ndy wakafa hawakubahatika kupata mtoto
Hapo sasa asisemwe Swalha hajatulia wenyewe mnaona maneno ya ma x wanavyotoa ushuhuda 2022 ndy wameachana na huyu Swalha kaishi nae hd mwaka jana 2021 wamefunga ndoa sasa huyu wameishi wapi hd kufika mwaka huu na Swalha yupo humo ndani yaani Ma x hawaeleweki interview zao wanajikanyaga familia nayo vile vile dah. Tukubali Saidi alikuwa kivuruge hapo kuna watoto wengine hawajaonyeshwa wala kuhojiwa wazazi wao jaman ifike kusema tusihukumu mkamilifu hakuna
umeona kumbe
Na hapo Huyo said asingelikua na Mali usinge muona mtu kujitokeza hapo
Huyu jamaa kwa shuhuda hizi anaonekana alikuwa na matatizo ya ugonjwa wa akili, shuhuda inaonyesha alishawai kumeza vidoge na pombe ili ajiue
Washafika 7
Sema huyu mwamba kazingua Bora angejiua akiwa hana watoto sasa amejiua huku ameacha watoto Unafikiri watoto wataishi kwenye mazingira gani? Cjapenda jamaa alichokifanya Bora angeachana na huyu mwanamke
Kaulizwa mwingine atikisa kichwa mwingine
Marehemu kapuzika hawezi kuyajibu haya yote, Msimpe njia ngumu huko aliko nyinyi wanadamu kwani ninyi niwakamilifu, jibu litakuwa hapana si wamilifu Basi acheni apumzike, Tafakari ya kwako Kwanza marehemu kamaliza kazi yake hapa duniani!
Ibaki kuwa fundisho kwa wengine kuua na kujiua ni dhambi kuliko yasemwayo
Mungu amekataza kujiua ama kuua nafsi yoyote tayari Hilo Nikosa, mwenyezi Mungu anaahidi ukifanya kitendo cha kujiua utaishi motoni milele
💪💪
Ni kweli Kaka maana huyo aliyekuwa mke wake anakuambia alikuwa na upendo Sana sasa kwa sababu hawezi kujibu wamwache apumzike
Kabisa wamwache apumzike kwa amani.
Masikini alikuwa na shida jamani 😭😭 ni vile watu hawakuona hilo
Poleni Wafiwa Innalilah wa Innalilah Rajiun pepo iwe makaazi yake 😭😭😭🇰🇪🇰🇪
Huo sio upendo ni control ufanye anachotaka yeye ndio rewards anakutoa shopping he was not mental stable
Kuna vitu majumbani tunavichukulia poa utaona mtu ana tabia za ajabu ukali mwingi kumbe ana tatizo la akili bl kujua matokeo yke hasara na misiba
Kweli kabisa alikuwa mgonjwa wa akili
Kabisaaa ukiona hivi bora ujitoe
Kwa iyo ww ndo umemfanya apate fedha? Wanawake bana. Miaka 23 umedanganya ww.
Subhanaallah hasira hasara Mama yake Anamtetea mwanae kumbe mwanae ndie mkorofi upendo bila kuona wazazi bila wazazi mngepatikana? Mbona mama yake anakuja kutembelea ukimpenda uwa penda na boga lake matatizo kweli
Muongo uyu dada miaka 23 khaaaaaaa😆😆😆😆😆👏
Afadhali tuskie na upande wa Pili maan Hiyo familia ya Said wanajitahid Sana kumtetea Ndugu Yao 😪😪😪
Hahahaahaha
Kabisa nawakati ndo kafanya tukio
@@TamuzaKale 😂😂😂😂
@@zulfahalily6095 kabisa
Sio family ya Said tu mpaka shemeji yake anamtetea
Mnapost pumba siku izi. ... yani mtu anameishi na Saidi miaka miwili amezaa nae watoto watatu!! How Come?
Una miaka 23🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Huyo dada hapo pembeni anatamani ahojiwe yy au nayy x maana anavyosaidia kujibu maswali yasiomuhusu🤣🤣🤣💃💃💃
Kumbe kakaang alikuwa mtu wa hivyo, mtihani kwakweli.
Mimi Dada huyu dada kanipiga na kitu kizito, alikaa na saidi miaka 2 afu Ana watoto3, inaana alikua akijifungua na kubeba mimba au Mimi ndio sijaelewa🙇🙇🙇
Said ulikuwa ukioa kilasiku. Hongera mama mzaa chema. pesa zinamfanya mtu afanye anacho weza
KUNA WATANZANIA AKILI KICHWANI HATUNA MMEAMBIWA NI KAZIKWA WAPI MOJA KWA MOJA TAFAKARI WANAUME WA HUKO KABLA YA KUMLAUMU MTU TAMBUA ASILI YAKE KUPIGA NI KAWAIDA TU. HUYO MWAMBA KWAO HUKO MARA NI SHUJAA ILA KIBINADAMU SIO KABISA.
Huyu marehemu alikuwa na mitihani mingi yote pombe
Huyo kumbe alikuwa mwehu mlikuwa mnakimbikia vijisent
😢he needed someone to help him ,he was stressed and he didn’t know what to do.
Stress nyingi uzaa hasira 🙏🏾. So sad 😞
Huyu Dada Wa pembeni mbea kuliko kawaida
Hahaa
Sema uyo said anajua kuchagua kweli yaaan 😂😂😂
Hahaha ni kweli alikuwa mchaguaji na mpambanaji saana
😁😁😁😁😁
Sanaa
Apo kwel
🤣🤣🤣🤣alikua anajua kuchagua
Sasa dada hebu turudi nyuma wewe umeishi nae miaka miwili 2021 mpaka 2022 ukaondaka .sasa hapo swalha alianza mahusiano na said mwaka gani mpaka kufikia ndoa na swalha amefunga ndoa 30/12/2021.naona kama kaka yangu mnampiga na vitu vizito tu .yupo arosema ameachana walijenga nae nyumba Kisha wakaachana Ndio kumuoa swalha .kwa kabira la kina saidi habari yawake wengi kwao sio swara hiro watoto wengi sio shida zao .hata watoto 80 na zaidi usimuulize tu .ss hapo mama saidi ndie watutajie wakwe zake maana hata michepuko nayo ina wanasema walikuwa wake.
Kwa hiyo interview tu ya huyo mwanamke. Ni wazi kuwa jamaa alikuwa na wivu kupitiliza na hasira. Kosa kubwa hapo ni kumiliki chuma! Na kukosea maamuzi ya wapi kuitumia, hatujui ukweli ni upi na uongo ni upi ila ndiyo hivyo tena chuma kimeshatema shaba!!!
😂😂😂
Haha
Sasa imebakia kutoleana aibu zenu wapumbavu wakubwa kisha kufa na ameenda na makorokoro yake nanyie jipangeni na kukutana na mola wenu nahakuna faida yoyote mtakayopata kwa kutoleana aibu zenu.
Huyu Said nae alikuwa na Majanga na mama ake alikuwa anakaa kimya tu
Dah jamaa alihitaji matibabu ya mental health,
Basi hapa nimeamini huyu Said alikuwa ana wivu sana na alikuwa mkorofi sana maana kwa maelezo tu ya huyu dada wanawake wote hao walikimbia said alikuwa na matatizo .Wivu ukizidi sana matokeo yake ndio Kama haya ni mauti.R.I.P Swallher & Said.
Pesa bwana hkosi vyuma lkn yote wapumzike kwa aman
Mwandishi mbona umemtolea mbavuni huyo mpambe wa mjane hahahahahahaha
Alikuwa ana wivu kwa vile alikuwa anajua anachokifanya huko nje na wanawake wengine. Mwizi always anahisi na yeye anaibiwa hivyo anachunga mali yake kwa uangalifu sana ila alikuwa na matatizo ya akili.
Umejifunza nini kutokana na hilii, pumbavu kabisaa
Sasa huyo mwingine mbona anadakia maada wakati hajahojiwa yeye
Uyo mwengne mke wa homorapa pia ni rafik wa marehem wote
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu wa pembeni ana kielele si alishahojiwa kwny msiba wa swalha
Alimuachia watoto 3 alaf hajawah kuzaa nae apo sijaelewa😂😂😂
Amjamuelewa alikuwa akiishi nae na watoto watatu means watoto wa said
Hata mimi sikuelewa🤣🤣🤣
Hapo tyu kwa miaka 23 unaongopa
Si ndio hapo Sasa kumbe umeisoma na wewe🤣🤣
Nimejaribu kufatilia lakin asilimia kubwa ya ss wanawake tunatak kushindan na mwanaume ww ukisha olewa kubali kuwa chin mumeo akikukataz jambo usifany pia kuna kuomba ruhusa na kuaga asilimia kubwa ss wanawake hatujui kuomba ruhusa tunaaga pia pale tunapoag tukikataziwa bc usiende lakin mtu umekataziw ila ww unaenda mwish wa siku utatokea tu ugomv wanawak wote walio ojiwa wote hawakubali kushindwa nao wanatak wafany kama mwanaume anavyo fany
Amefanana na mashalove
Sana had me nimeona ivo
Tofauti n maziwa tuu apa
Mimi naona hayo yote ni kumdhalilisha marehemu said kafakufa wakujibu hayo yote ni nani????????😭😭😭😭😭😭
Kajidhalilisha mwenyewe kwa alichofanua
Uwiiii kumbe alikuwa na wanawake wengi uwiii
Uyo demu alikua ni malaya tena uyo aliopo apo nyumba ndo kiboko aswa anaitwa khadja ziota nikwambie tu wadada mnapoamua kuolewa mtulie muache umalaya
Shida siijui mi nadhan hayo maden aliyolipa yalimchanganya huyu jamaa
Mi wala simsemi huyo jamaa mpaka kuamua kujiua sio jambo dogo
Maisha yangekua bila mawazo yoyote makubwa wala sio sababu kusema mwanamke bali kachanganywa tu na maisha aisee🤮😓dah haya maisha yana siri nyingi
Namm nlsema hvyo huyu jamaa maisha ndo yalmchanganya tu swalher imekua njia ya yy kujiua tu basii,ila kama alyachoka si angejiua mwenyew tu kulko kuua dada wawatu yan binadamu bhana
@@catherinemuhagama7338 kweli kabisa yani
@@catherinemuhagama7338 kwakweli yani dah mdada WA watu ndiyo tegemezi kubwa kwao maskini
Ndo muache kukimbilia wanaume wenye pesa hamjui wanapata je hzo money but mapenz ya kweli siyo pesa ni upendo na amani ndani ya nyumba
Sura imevimba iyo ati miaka 23 kenge ww
Labda 46
🤣🤣🤣🤣Jamanii watuuu
😂😂😂😂
😅😅😅😅 kajua kutuvunga zee zima iloo
Si alikua analia jamani... Na wengn ndo walivyo umbwa na Mungu
Yote kwa yote braza side pisi kali alikua anazijua
Huyu mwanamke wa 6 sasa🙌🙌🙌
Ila wanawake tuna mambo sana cheki huyu dada eti mwanamumewake alikuwa mkali hehehe huku anatamaa yakuwa na saidi pumbavu kabisa ndo maana mnafyatuliwa
Kwa maelezo ya make said alikua na shida kwenye mental health (he was depressed,he had an obsetion with perfection Yani watu wenye hii tunasema ni Alpha,what he says goes.. he had anxiety and he was late in it mpk akawa suicidal when things don't go the way he wanted)
Of course you are right
Obsession***
I need to know more about Alpha male I feel like I am like that
Eti Yuko na miaka 23😂😂😂😂😂
Muongo huyo mtu mzima kabisa 30na uchafu huko 😂😂😂
@@annieemmanuel4148 umeona eeeh😂😂😂
Alikuwa maraya tu pesa bira Yesu
🤣🤣🤣Yesu kafanyaje tena jmn
Unajua mtu Malaya akiona mke wake analiwa roho yake huwa inauma Sana,mtenda akitendewa huzan kaonewa
Kwani saidi alikuwa nawakewangapi
Saidi wa kumuombea tu Mungu amsamehe alikuwa na matatizo. Swallha kawa victim tu Mungu ampumzishe kwa amani Swallha watu wamemzomea sana bora ukweli uwekwe hadharani hakuwa malaika
ili jidada jingine jimbea ata halijaulizwa lishajibu
Haya mambo ya uke wenza sass jamn,, kumbe alikuwa na wanawake weng
Huo sio ukewenza,wakewenza huishi kwenye ndoa ya mume mmoja kwa wakati mmoja,hao wanawake wa Said Kila mmoja ameishi nae kwa wakati tofauti, acha upotoshaji kama hauelewi waulize wanaojua
Ndyo ni sawa,,, rakn hayo ndo madhara ya kuolewa na mwanamme ambae alishawahi kuwa na wanawake weng wengne amezaaanao🙄🙄
Ashraff kaishi na mama wengi jamani
Wapo wengi hao wake utahoji wangapi
😂😂😂😂😂😂
Mazauli yake wapi mnapenda pesa kuliko utu
Said alitaka makuu. Said wa mapepo congratulations gal u left him
apepoulimpa hii ni mitihani amabayo hakufanikiwa kushinda wivu ulizaliwa na upendo wakupitiliza kwa wake zake hata kujiua na kuchanganyikiwa uchumi ulikua unamsumbua kuhusu ushirikina mke a mwisho ndio alikutwa na hivyo vijimambo mpaka babayake kuitwa na kuja na mganga kitulize
Pole anamabaya yake mazuri yake
Nyoote mlikua wake zake akini nahisi mtu aliempenda Sana alikua swallher,,maana hi inaitwa kufa na kuziana jmn duh
Angekuwa anampenda angempiga na kumuua, angejiua mwenyewe kuthibitisha anampenda
Upo sahih kwan ameshindwa kuwaua wote hao.aliopita nao kaamua kumuua swallher ili asibaki akapendwa na mwingine ameona bora wote waende tu
Nyoko nyie ndo mkinyanyaswa mnahisi mnapendwa...jua kutofautisha...huenda kafanya hayo kwasababu ya aibu...huwez kumuua unayempenda
@@emmysfitnessandforex9403 waambie hao hawajitambui
Khadija ziota tulia na wewee..huojiwi wewee
Said alikuwa kivuruge Ila sasa dada kwel una miaka 23 mmmmh uwongo huo mbona hufananii kuwa na miaka hyo
Kwahiyo ulitaka akuambie miaka 30 Ni miaka yake kwani inakuuma nini kwanza humfaham hebu tuachie ndugu yetu
😁😁😁
Hata mimi pia nina 40 lkn ukiniuliza nitakwambia Nina 25 😂😂😂sijali Wala nn 😂😂
Huyo kaka anaomekana mapenz yalikua yakimtesa
Miaka 23 jaman hahaha mbon mkubwa usoni au macho angu
Ngono za mapema. Miaka 23 ashaolewa na kuachika?
Mambo mengi mjini mtu akifka miaka 20 utasema anamiaka 40 🤦🤦🤦🤦🤦🤦🤦jua kali
kwakweli tunazeeka mapema uwii
Wabongo kwa kujifanya watoto hawakuwii bs mastaa wamezidi kabisa.
@@malak-lz6kx Mi mwenyewe Nina 40 lkn ukiniuliza nitakwambia 25😂😂😂 sijali Wala nn 😂 😂
Una kihere here we mdada wa pembeni sikupendi mnafki ww
Na yule mtoto wake Ashrafu anaonekana atakua kama baba yake daah maskini Mungu amnusuru huyo Ashrafu, Said hakuwa mtu mzuri naona alikua na madudu kichwani
KWELI kabisa yuke ashrafunanaonekana ana roho.mbaya sana
Huyo mwingine anatamani aojiwe yeye
Huyu saliha ilikuwa hapendeki na wazee wake wanasema uongo leo ukalale mkoa siku 3 unatoka unaenda mpirani bila ya izini ya mumeo
Hadi katoto kadogo hako kalimshinda. Afu mnamzingizia mdada wa watu.
Mmmh dada eti tuangalie na wanaume wenyewe utamjuaje si mpaka uingie uyaone
23 haaaaaaa jamanii ivi ukisema38 SHIDA nn
SIFA ZA AKINA SAIDI:
1)Wana midudu (mibolo) mikubwaaa.
2)Wana hasira Sana
3)Wana roho za kwa Nini.
4)Wana sumbuliwaga Sana na maradhi ya tumbo.
5)Wana penda utani ila Wana wahi kukasirika.
6)Wana desturi ya kuperekesha wanawake (wapenzi wao).
7)Wana mapenzi Sana na mama zao wazazi.
8)wanapenda Sana ndugu zao.
9) asilimia kubwa wanapenda Sana michezo ya kubahatisha (kamari), Hawa jamaa huwaambii kitu Katika issues za kubeti.
10) wasafi kwa nje, ila siyo nguo za ndani.
11)Wana kuwaga na viarufu kama vya beberu la mbuzi lililo komaa.
12)Wana wivu Sana wa mapenzi ,ila ni wazinzi Sana, wanapenda Sana kuhisi vibaya wanawake wao.
Ahsante!.
😆
Iyo kwel my wala hujakosea
Ni kweli hujakosea ngumi mkononi
Inabid nicheke2 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@No one like 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌nimecheka jaman 😂😂😂😂😂😆😆😆
Mshkaj alikuwa mnyanyasaji aise. 😬
Wanaume tuwavumiliee hawa wanawake Wana mambo mengi