HALI ILIVYOMSIBA WA MKE WA BABUTALE MENEJA WA DIAMOND/ESMA NATAMANI KULIA/QUEENDARLEN/AMEACHA WATOTO
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- CARRYMASTORY tumepata nafasi ya kufika kwenye msiba mke wa Babu Tale, Shamsa Tale, ambaye amefariki usiku wa kuamkia leo na kuacha mume na watoto wanne, mastaa mbalimbali waliohudhuria, akiwemo Diamond platnumz na Wcb nzima kwa ujumla, Rest In .Peace SHAMSHA.
Tutafakar tuchukue hatua.dunia dunia dunia dunia dunia dunia,,tuwache maringo.
Jamani acheni kumsema Madee mtu ana huzuni na msongo wa mawazo sababu ya msiba na mtu ukiwa na msongo wa mawazo unaweza ukacheka au ukalia sababu madee ni mtu wa karibu sana na babu Tale hawezi kucheka sababu amefurahi
Am sorry for your loss praying for u and family,,,kenya
Swali moja kila mmoja wenu anauliza hivyo
Ashangaza huyu nae hana masuala mengine
mung amuraze mahari pemaaa
Bila mecup jmn watu wabayaaaa
Waandishi wa Bongo acheni ujinga na masuali ya kijinga kama msibani mnahoji nini hivi kunamtu anapokea taarifa za msiba kwa fuha jamani? Allah awape ufaham ila mnayo fanya yanakera kiasi
Eti tupo pembeni ya gari ya diamond huyu mtangazaji yaani hatariii
Yaani anakeraa sana aise
Mnaerewa maana waandish habat
KINACHOSIKITISHA ZAIDI Kuliko hata kifo chenyewe ni jinsi vijana wa kiislam walivyobebwa na IBILISI shetani wa miziki. Mpaka katika mazishi wanakwenda na miziki tizama kanzu zao na hijabu zao zinavyowasuta. Ewe Allah wewe ndie MUQALIBALQULUBI. QALIBU QULUBUHUM FIY DINIKA.(Ewe Allah wewe ndie mgeuza nyoyo za waja wegeuze nyoyo zao warudi katika dini ya haki)
SHETANI KAWATAGIA MAYAI VICHWANI MWAO WAOKOE.
Pigeni miziki tuu af mkae mkisema ooh mungu tusaidie. Ipo siku mtu anondka na hutakwenda kuulizwa zaiidi ya ulichotumwa kukifanya..
Hakika
Kweli ata mm sikuhizi nimeanza kuogopa dhambi walai maana nikifa nita mwambia nn mungu,,navile watu wanaenda wengi kila.siku,mpaka naogopa
Hizi miziki nidhambi lkn watu huchukulia poa tu
Waaa mavazi ya anawake waislamu Leo imenoga, imedamshi kweli kweli hongera Leo mumejistili vyema Pole babutale,let her RIP
Yaani nmependa jinsi mlivovaa umu ndan, nawashauri ayo yawe mavaz yenu ya kawaida na co ya kidhrura
Kabisa
Endekezeni dunia to ndio munaona kama maisha ya dunia ni kama kivuli cha mti .
Maswali ya kijinga mno waandishi .....wauliza kila mmoja taarifa wamezipata wakiwa wap ...kwa n wew ulizipata taarifa ukiwa wap ? Ebu tupunguzie uchu wa kazi yako mngesubir kwanza bana
Yaani we mtangazaji umeshindwa kumzaba madee kofii chap chap hapo😕 anachonengua meno ni nini na anatafuna hovyo hovyo hata mbele ya camera, shenzi taipuuuuu
Hahaha umeonaee nancy
Hana habari kabisa😯
Hilo swali la taarifa hizi ulizipata ukiwa wapi lina umhimu gani ?
Kiukweli tale moyo wake unavyojisikia saiv ni Mungu ndo anajua,usiombe ukose machoz uchungu uliopo moyon hauondokagi😭😭😭😭😭 ni bora anaelia kwa sauti kuliko anaelilia moyon.May her soul rest in peace
Kila nafsi itaonja umaut polen sana
Poleni kabisa!
May Allah grand you strength & courage during this difficult times!
No. One fan of WCB from ug.
@Flash B so 🤷♂️
😭😭😭hakuna kipindi kigumu kwa mwanaume kama kufiwa na mkewe inauma sana
Hata mwanamke
poleni jamani yani nasikia uchungu nasikuwa na ukaribu nahuyu marehemu yarabi mfanyie wepesi mja wako kwenye nyumba yake ya milele😢😢
Mtu unahojiwa unatafunatafuna ovyo km sio msanii mala anacheka
Wanatafutaga kick za kijinga
Bange izo
😀😀😀😀 yani mwenyew bado namshangaa huyu madee
@@ballycox1852 kaniboa balaa namimi
Ndo maana wanaitwa wasanii mambo yao Yote ni ya kisanii sanii tu, Hata kwenye mambo mazito Kama hili la msiba,, maana Hata hawana Habari na maneno ya Mtukufu wa darja mtumi Muhammad s a w yasemayo yatosha mauti kua ni mawaaidhwa. yeye analeta usanii. Namuomba ALLAH atunusuru na usanii na atuongoze katika kheri zake Aaamin Thumma Aamin yaa Rabbal Aalamin
Watu wanamlaumu Madee eti anahojiwa huku anatafuna mara anacheka jamani msameheni ni mibangi tuu.....
Hakika mpende umpendae ila tutambue ipo siku utatengana nae na tusisahau mauti hakika ya mauti hayaja tusahau hatuna budi kusema inna lilah wainna ilaihi raajiuun Allah ampe kauli thabit na awape subra wafiwa wote katika kipindi hichi kigumu كلي من عليها فان
Rest with Angelz Mrs Tale
My condolences from kenya
Sasa madee kinachokufurahisha nini? Kwann unatafuna ovyo hv huyu kaka yukoje? Lkn afadhali umefunga kilemba
anavyotafuna ovyo nimemkumbuka mamaangu maana alikuwa anatulapua mkofi mpaka tukajua hasi na chanya
@@mrs2918 🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
@@mrs2918 😂😂😂😂
Walimpata akila labda
Maskn ukifa sio kwamba watu hawatakula,hawatakunywa,hawataongea na wala hatacheka.yte watayafanya.amali yko tu ndo itakayokusaidia na sivingne.tuishi kama tutakufa kesho.
Alhmdllh ahstum kwa kutukumbusha ss binaadamu n wpes wa kusahau jaman
Kweli kabisa mm nilikuwaga najua msibani watu hawacheki wala hawali nilivo kua ndo nimejioneaa
Q
Ni kwel jmn😭😭
yaani umeongea kweli
Innahlilahi wainah ileyhi rajiuun Allahumma ighfirlaha warhamha waskiniha fil jannah.Allahumma Ameen. Ya Rabb amjalie kabri lake liwe minariyadh liwe bustan katika mabustan. Ya Rabb nasi atujalie khusnul khatimah na shahada katika mauti yetu. Lailaha illah Allah Muhammad rasulu Allah tufe hali yakuwa yu radhi nasi . Allahumma Ameen. In sha Allah biidhnilahi karim Mwenyezi Mungu atawapa subra.
Aaaaamin Yarrab 🙏🙏🙏🙏
Inalilahi wainailah rajiun 😭😭polen sn amsiba
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Sasa apo Madee kinachokufanya utafune tafune mbele ya camera kitu gan nakinachokuchekesha apo kitu gan ata simuelewag uyuu kaka mim
Sasa apo Madee kinachokufanya utafune tafune mbele ya camera kitu gan nakinachokuchekesha apo kitu gan ata simuelewag uyuu kaka mim
Allah subhanna wataala ndiye aliyewaumba hao watoto msimfundishe majukumu. nani amesema watu wote wenye shida duniani wamefiwa na mama zao. mtangazaji waulize hivi; wamejiandaaje na safari hiyo kwani hata wao muda wowote itawafika.
Am sorry for your loss praying for you and family.
Poleni kwa. Msiba
Wanahabari wa bongo mnatabu pia kwenye misiba wenyewe Wana majonzi nayie mupo matangazo yenu makali iseeeee
Daaaaah mweeee me watoto tuu wananiuma wanapat tabu san mama asipo kuwepo
Huyu mtangazaji unaweza mzabua Kofi mshenz hata km n habari hutakiw kuuliza watu wamepokeaje taarifa ya msiba....msiba haupokelew kwa furaha shenz type sipendi muwe na mipaka haya Mambo makubwa kiukwel nafikil hata madee hakupendezwa na huyo mtangazaji kamjibu Basi tu..
Innalillah wa innaillaihi raji'un 😭😭😭
Inalillah waina ilaih rajihhun
Allah amlaze mahal pema😭😭😭😭
Huyu Hasima sijui ndo nani ana Attitude ya hajabu kweli kwa mlivyo na Tale almost like family si ungesema kama mwenzeo tu Qeen kama mpo family kuliko kujiweka juu sijui hatupo ukaribu kiivyo kwa lipo kubwa ata usiseme tupo family, mana family sio lazima mzaliwe Tumbo moja mkiishi vizuri tu imetosha Kuunga Udugu, duh binadamu tunajisaau tukipata kidogo tu, Zarau sote za nini wakati sote njia ni Moja, Allah amlaze pema peponi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Hawa waandishi wanamaswali ya kijinga sana,poleni wafiwa Mungu awape subra
Daaah,kila kiumbe kitaonza mauti,masuali ya nini msibani???ndugu zangu
Hakuna kilio kibaya km kulia moyon babu tale analia moyo msishangae akaja kuanguka ghafla na yy
Innallillahi lllaihi, Wainna llillaihi Rajioun! Pole Boss!
Waandishi wanapenda swali la taarifa umezipata wapi hivi hii inasaidia ..jifunzeni maswali ya kuuliza khaaa mnaboa
Sijui walitaka taarifa mtu apate akiwa wapi hata siwaelewi, na akishakuwa uko wao sijui inawasaidia nini, mi ningekuwa mwanaume ningesema taarifa nimeipata nikiwa juu ya kiuno cha mkeo
@@vanessalaizer4363 kkkkk hatariii uko mlipo mnke tunaona mengi duuuuuh
Mbona babu tale kama vle ana furaha? Yaan mke wangu afe niwe na furaha! Saizi nafikiri ningekua muhimbili. Kwa jinsi navyo mpenda mke wangu
Utamzika saa ngapi
@@umakramzahor4836 😂😂😂😂😂😂 shangaa
Pole Babu Tale jipe moyo Mungu akupe wepesiii uweze kupokea Msiba huo mzintoo
Inna lillah wa inna illahim rajiun
Wacha maswali za kiujinga, unauliza kila mtu the same question, Yaaani unatafuta Kiki kwa msiba, tafuta kazi ufanye na uwache kuharibia watu Data nkt
Innalilahi wa innailaihi rajiuun hayo ni maisha yetu subira tuitangulize masikitiko ni kuzidhulumu nafsi. Kifo ni ukumvusho na mafunzo tukumbuke kifo katika mambo yetu yote.
Yaani hakuna swali ngine zaidi ya Taarifa hii umeipata ukiwa wapi? Na ulichukuliaje? Jamani hii ni taarifa ya msiba huwezi kusikia uanze kucheka ni lazima usikitike tu Mtangazaji unakwama wapi leo?
Inallillah wainalillah rajiunna pole sana family ya baba tale
Huyu fala anahojiwa na bado anatafuna tu kama mbuzi. Reporter naye maswali ya kipuzi tuu wakati wa msiba nkt.
Innalillah wainnailaih rajiun😢😢😢
Jifunze kuseti Internet ktk simu za android bofya hapa ua-cam.com/video/Z7m_cJm0Nh4/v-deo.html
10 Easy Fixes for Mobile Data & Internet Issues, Crick here ua-cam.com/video/G2Yh0mwD6NU/v-deo.html
Inna Lillah wa Inna Ilaihi rajiun
Allah amrehemu
Na awape subira wafiwa
Na tujiulize, mtu akifa huwa vipi? Yeye hujihisi vipi? Na huko anakokwenda atakuta nini? Na kitaendelea nini?
Basi tusijisahau 🙏🏽🙏🏽
Nanyinyi waandishi wa habar huwa mnafata nini msibani shenzy type watu wanalia nyie mko busy kuhoji watu
Korona will kill u guys wacheni ujinga
Babu tale pole sana kwa musiba
Hivi waandishi wa habari mna nini, habari ya gari ya Diamond na msiba wapi na wapi
Alafu unauliza ameacha watoto sasa mnataka wawaambieje ebu waacheni kwanza
Banaaaaee
@@awinojuju8522 wanakwaza sana eti ulipataje habari za msiba kha kuna mtu anapata habari za msiba kwa furaha sisi tusiomjua tumeuzunika wao wanaoshinda nae si zaidi yaani waandishi wasikuizi sijui hawasikilizagi walimu wao.
Poleni na msiba Ila mtangazaji unakera na maswali yako
Innalillah wainaillah rajiun 🙏
Eti kila mtu ningetamani kujua😡😡😡 wtf kwani lazima jamani??? Mfyuuuuuu
Innalilah wa Innalilah rajiun pole ni sana ndugu zetu watanzania 😭😭😭😭😭😭😭😭😭+257
Umeona umuweke diamond ili tufungue sio
Yaani huyo ni kama mungu wa watu fulani
Nacheka kama mazuri
Mbona wa tanzania munapenda mahojiano msibani si muache watu wazike ndio murudi muulize maswali
Rip shammy mwenyezi Mungu akufanyie wepesi huko uwe ndako hakufanyie wepesi
Pole sana Babutale Allah akupe nguvu
Inna lillah waina ileyh Rajiun Allah Amlaze pema kwenye wema pamoja na walotangulia Aamin Allah akupe subra na nguvu Babu Tale na watoto
Amin
Maskini poleni sana
Madee umevaa tabasam si la kitoto!
Poreni wasanii na uwongozi wcb
Innalilah waina illah rajiun
Jaman mngewaacha wazike kwanza
Watu wanauchungu mnauliza maswali ya kijinga
Babutale am deeply so so sorry it’s too painfully really l can’t believe that really 😭😭😭😳😳💔💔💔
Watu WA karibu hamu a Habari za kifo Ata hospital hamu kwenda inamaana huyu Dada hamukua nae karibu kwa maana ameolewa kwenu ndio maana hata hamuhuzuni
Am very sorry,,, kwanini Niko na mafeelings zingine
Huyo kapelekwa msukule tayari. Dah, dunia haina uruma.
Pole sana bro kwakuondkewa na mke mungu ampunguzie adhabu ya kaburi
R.I.P shamsa na mungu mbariki sana na mpe moyo wa busara sana babu tale
Kuitazama video click
💪💪
ua-cam.com/video/EmGkqCwcPfI/v-deo.html
R.I.P Shamsa pumzika kwa amani tupo nyuma 😭😭😭
Innalillah wainnaillah rajiun Polen Sana Mungu awatie nguvu ktk kipind hiki kigumu kwenu
Waandishi wengine uchwara kinoma tena pumbavu nanusu
Pole Sana’ 😥😥
Simba abatuliwa na tembo
Madee kazingua .....innah lil'llahi waiiiinnah illahi raaajiun
Why are you asking too many questions bro
Ndiyo kazi yake, it's called "Journalism".
Ili mrad watu wajue mfano mm na wewe
Ooh I didn't know Babutale lost his wife..so sad May God strengthen the family and may her soul rest in eternal peace
Innalillah wainnalillah rajiun poleni kwa msiba Allah ampe kauli thabiti uko alipo amiin
Inna lillahi waina rajiun. Tumrudie Allah
😭😭😭hakuna kipindi kigumu kwa mwanaume kama kufiwa na mkewe inauma sana
Kwa kweli ni pengo kubwa kwa Tale. Mungu akupe faraja ya kweli
Kifo hakina huruma...sote njia moja polen
Inna Lilla wa Inahi rajuun sasa kaswida ya nini wakati wa mazishi mungu awahid yarab
May God give you strength and the understanding you need through such a difficult time B. Tale,the children and family as a whole, it is well.
Rest with the Angles Shammy.
From +254.
Mungu amulaze Mari peponi 😭😭
Poleni sana
Poleni wote
Watangazaji masuala ndohayohayo chuo gn mmesoma nyie?