MCH MASANJA Anena Mazito Kwenye Msiba wa Mama Shigongo
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- MCH MASANJA Anena Mazito Kwenye Msiba wa Mama Shigongo
MCHUNGAJI Emmanuel Mgaya maarufu kwa jina la Masanja Mkandandamizaji amewasili msibani kwa mama wa Eric Shigongo na kupata fursa ya kuhubiri neno la Mungu kwa wafiwa na waombolezaji wengine.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Suazi1 / uwazi1 WEBSITE:
://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Masanja ni mmoja Wa wasanii waliokoka ambao hajawahi kumuonea aibu Yesu ati kwakuwa ni wasanii marufu. ..anatumia vizuri tarent yake
Mungu akubariki sanaaa!!
Poleni wanafamilia kwa kuondokewa na mpendwa wenu,Mtumishi Mungu akubariki Sana mahubiri yamenibariki Sana,
Bwana Yesu asifiwe, masanja kweli roho ya Mungu iko ndani yako na ni kweli kabisa hutanii umesama kwa mungu kweli ubarikiwe mchungaji kwa mafundisho mazuri
Barikiwa mtumishi
i wish uhubiri siku nzima Mchungaji masanja,mimi binafsi sipendi kuzoom matukio ya misiba maana naogopa sana kifo....ila sio kwa mahubiri hayo yanayofariji sana .....nimefanya maamuzi pia ya Kumpokea Yesu
Ubarikiwe sawa
amina mtumishi
Ubarikiwe sana mchungaji Masanja hebu uje na huku Sumbawanga tunakupenda sana.
Pascal hongera sana kwa maamuzi mazuri
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu!
Duh..!
Pole kaka Shigongo kwa Msiba wa Mama yetu.
Mungu azidi kukuza na kulinda kilicho ndani ya mtumishi mashanza
Huwa unachekesha lakini unasem vitu vya msingi sana mungu akutie nguvu sana ubarikiwe sana
Watching this from Germany nimebarikiwa sana japo ni ya zamani ila leo nimekutana nayo imenibariki sana Mungu atusaidie
Asante mtumishi WA MUNGU kwamaneno mazuriMUNGU akubariki Sana.
masanja naamini yesu ni komando anafanya majabu ujumbe umenibariki kifo cha uyo ndugu nisababu ya wengine kupona amina
Hongera mtumishi wa mungu
Ila masanja nakupenda sana , ni mfariji mzuri Mno
Ali M1966 nimeyapenda sana mahubiri
Ali M1966 mungu. kubark
Aminaa mtumishi ubarikiw sana
Mungu akubariki sana umeongea vyema kama unachekesha vile kumbe bonge la funzo Mungu azidi kukuinua utufundishe mengine mengi sote twende Mbinguni Amen
Yuko vizuri ktk kuwaliza wafiwa
barikiwa sana mchungaji masanja sichoki kukusikilza
Umenifanya nijifunze kitu ijapo kinasiharasihara,,Ubarkiwe saana Masanja,,Amen
DUH UBARIKIWE MCH UKO NJEMA SANAAAAAA
Akika nimejifunza kitu kikubwa kutoka kwako masanja barikiwa sana
Amina masanja umenibariki sana
Asante sana kwa ujumbe wako ila tu ningesema hivi..Kufa sio lazma. Kuna wale ambao watashuhudia kurudi kwa Yesu na ufalume wake. Kumaanisha wao watakua ni Kati ya wateule. Amen
Amen mtumishi wa Mungu
amen
Amen Mtumishi wa Mungu
Amen msanja
Daaah Mch Massanja Mungu akubariki sana
Asante sana Masanja kwa mahubiri yako kwa kweli yameniingia ipasavyo.Ameeni 🙏
Mungu akupe falaja brother Eric.MASANJA mungu akuongoze napia nimebalikiwa achawaseme mungu aliye kuinua ndie atakaye tulinda ameeee
Barikiwa sana mchungaji
Masanja you are blessed
Mungu azidi kutunza huduma iliyo ndani yako
Amen mtumishi wa Bwana Yesu......Mungu azidi kukubariki
Kaka pole sana kwa msiba Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu
Mutumishi MASANJA MUNGU AKUSIMAMIE SIKUZOTE ZA maisha YAKO. Uwa nafarijika napo sikiza Mahubiri YAKO.
Aminaaaaaa nimebarikiwa saaana na mahubiri yako Mchungaji
Nakupendaga bure masanja 2019
Kwa Mungu kila goti litapigwa. Nimefurahi kuona hata imani zingine wametii ukuu wake Bwana, na wameomba pamoja na mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe sana masanja. Nakutamani sana masanja, hatua uliyofikia ni kubwa mnooo!
Pumzika kwa Amani mama,,,asante mtumishi wa Mungu,kwa mahubiri mazuri,hakika nimebarikiwa.....poleni wafiwa wote...
Asante Mchungaji, mbeleni utakuwa Mch wa hatari, Mungu aendelee kukupa kibali cha kukubalika, poleni wote kwa msiba wa mama mpendwa
pole bro Shigongo Mungu akupe wepesi,hyo ninjia ya kila mwanadamu hapa duniani,so kikubwa ni kumuombea bib mkubwa apumzike kwa amani katika njia yake ya milele amen.
Ameeeen!!!!!!mtumishi Masanja Mungu akubariki sana, pia poleni wafiwa wote
amina mungu akubariki injili yko iwafikie hata wale walio mbali
Hallelujah, nimeipenda sana
Barikiwa sana Mch. Mkwndamizaji
nimependa ngazi anaiondoa Amen nimebarikiwa👏👏👏
Mafundisho mazuri kaka ubarikiwe 🙏
Pastor masanja nimependa ujumbe wako mungu azidi kukuinua
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.Daa mafundisho yako yanabariki sana.
Ishi kwa kwa kumtegemea mungu
umeugusa moyo wangu kwa neno hili..BARIKIWA
Kwa jina yesu naomba cku nikuone masanja nisaidie plse..
Bado nayaangalia haya mahubiri 2020
Pole kaka yangu kwa kuondokewa na mama mzazi, mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
nimebarikiwa sana na maubiri yako masanja God bless you
Nimebarikiwa sana na mahubiri haya
Asante cn mch masanja kwa kuwafariji wafiwa wote mungu awape guvu
Amina mtumishi wa Mungu
Uko vizuri mchungaji masanja
Asantee sana mtumishii wa Mungu masanja mkanfamizaji
Nime barikiwa saaaanaa
Amen.
Ubarikiwe sana Mchungaji.
Unanibariki sana na mahubiti yako.
barikiwa sana
Masanja unajuwa kufariji watu ubarikiwe mtumishi 🙏🙏🙏
Mungu yu mwema.Amen
Mungu akubariki Sana Mtumishi wa Mungu, Akulinde Sana, be blessed man of God be Protected in the Blood of God of Jesus.
Asante sana kwa mahubiri mazuri......
Barikiwa sn mch Masanja kwa injil nzur
Ubarikiwe mchungaji
Umenifaliji na mm nimeondokewa na mama yangu mzazi tarehe 18 mwezi wa 4 2019,bado niko nahuzuni ila nimefarijika sana ubarikiwe mtumishi.
Pole sana Kaka Shigongo,,Mungu ampumzishe mama mahali pema pepon Amen,,,najua upo katika kipindi kigumu lkn usife moyo Mungu yuko na ww
aminaaaaaaa!!!!!! nimefurahishwa na maubiri mtu wa MUNGU yamenigusa atareeeeeee ubarikiwe
Number yake bas...
Loveness Titus sina no zake maa
Love Kyungai djf
Good Massanja, you are now blessing others
Nimecheka mpaka baaaasi!!
Machozi ya kicheko
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Masanja you are talented mbayaa comedy mpaka injili
mch nakukubali sana pole bro erick
ubarikiwe means wane kwa mahubir mazuri masanja mungu akutunze tumwombe mungu joti aokoke
Niko shinyanga masanja mahubiri yako yanajenga barikiwa sanaaaaa mwana wane
God almighty be with you Emmanuel for the rest of your life in Jesus name amen
neno lake Mungu kupitia mtumishi wake Masanja hakika limekuwa FARAJA HAPO MSIBANIamen
Kumjua Mungu niraha sana Kama utaupa nafasi n kuamin inawezekana. Masanja Mungu akubariki sana Nina iman Naanza kubadilika kutengeneza kesho yangu
Waoo so so powerful brother Masanja BWANA akuzidishe kwa jina la YESU
Masanja Mungu akubariki sana
Ba rikiwa m'y brocher niko DRC
Barikiwa sana Masanja!
Amen ukweli kabisa ubarikiwe
l like u preach amen
Barikiwa sana masanja
Upo vzur bro mungu mwema kwako
Dah!!! Nmekuelewa saanaaaa braza ema, my salvation tym z nw
Stella Edward Mungu akubariki
Hakika wewe ni mchngaj wakipekee nakupenda kwa dhat pia mungu akuongoze katika kazi hyo alokupa
Mungu akubariki asante kwako kutumishi " "
Nakukubali sana mwanawane uko vizuri mafundisho yako ni ya kweli tupu karibu sana Mwanza Mungu akubariki sana.
Asante mchungaji masanja kwa ibada mzuri nami nimepata kitu kupitia ibada hii ubarikiwe sana pia natoa pole kwa kaka Eric kuondokewa na mama RPI MAMA
Vizuli masanja
amen mchungaji nipo budhabi nimekusoma mwenyez mungu akupeuhai mrefu uzidi kutupatia neno lakiroho
Ubarikiwe mtumishi was Mungu kwa neno la faraja na mafundisho
hongera sana bwana MASANJA mwenzezi MUNGU akupe nguvu sana na hekima kila siku na neon lake lisikose kinywani mwako
amina mtumishi
Mchungaji Masanja Mungu akubariki maana umekuja kwenye kizazi hiki chenye kutaka ishara. Naona Mungu alikupitisha kwenye comedy kwa makusudi
Amina pastor masanja
Ameen
Iga kwa waliofanikiwa mungu yu pamoja nawe isack mnyikondo
Ubarikiwe ndugu Mchungaji
Amen,hakika umeibariki siku yangu leo Mch. Masanja.
Amina mchungaji 🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Imenigusa amen:👏👏✌
amen God bless you Man of god
nimeelewa sana mtumishi
Amen mtumish nimepokea uponyaji
Mwahija Shaban lnnalilah
Aboud Msonde msipende kukalilisha iyo inalilah cjui nn jitamkie mwnyw jina lisikupumbaze
Mwahija Shaban sasa kosalangu nini???
Mwahija Shaban Amen
Na nyumba/ hati ya kiwanja hujapokea?😂😂😂
Ila masanja😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Dyana Tanz komedi msibani 😂😂😂😂😂😂😂