KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024
  • KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD

КОМЕНТАРІ • 149

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 6 місяців тому +10

    Huyu mheshimiwa anagawa Madini ✨️bure kabisa bila malipo yeyote 👏👏👏MUNGU ambariki zaidi

  • @ellenkasuthaadventistekim
    @ellenkasuthaadventistekim 6 місяців тому +3

    Amina kubwa pasta,nimekusikiliza toka huko Congo.

  • @robinsongodwin9710
    @robinsongodwin9710 6 місяців тому +14

    Tanzanian people
    Tumshukuru Mungu kwa kuwa na dr ellie ❤

  • @DEBORAHMASANJA-yz3go
    @DEBORAHMASANJA-yz3go 6 місяців тому +3

    Asante sana Mwl Mungu akubariki umeni fungua sehemu kubwa

  • @MarianaCapson
    @MarianaCapson 6 місяців тому +1

    Sooo powerful ❤

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw 6 місяців тому +6

    Mwanamke ni mbeba maisha kwa ujumla wake. Ni chanzo cha vyote. Ni sawa na ardhi inabeba vyote katka dunia hii.Mwanamke ni tegemeo kubeba maisha ya sayari hii.Mwanamke aweze kuwa tayari kubeba kama ardhi. Mwanamke usikumbatie watoto wako,utapoteza uimara wako .Mwanamke Acha kuwa tegemezi,jiamini .Nimejifunza, pongezi Dr Ellie.🎉

  • @UpendoEliasSokota
    @UpendoEliasSokota 5 місяців тому

    Dr umetisha

  • @nwntz
    @nwntz 6 місяців тому +3

    Mzee anatoaga madino heavy, namkubali sana prof Elly✊✊✊✊

  • @ReenStanfford
    @ReenStanfford 6 місяців тому +9

    God help me be that woman🙏 nimejifunzaaa mnooo

  • @DoraNatai
    @DoraNatai 4 місяці тому

    You are absolutely correct 👏

  • @MillardMushi-ce2bu
    @MillardMushi-ce2bu 6 місяців тому +20

    Dr elie nakuomba uje uwe mwalimu wa vijana wangu wana penda ngono kuliko kula

  • @eliazewanga3543
    @eliazewanga3543 6 місяців тому

    The best philosopher local wise

  • @johnchuwa1646
    @johnchuwa1646 6 місяців тому +15

    si rahisi kumwelewa Dr Ellie kama namna yako ya kufikiri imefungwa na elimu,dini n.k

  • @IbrahIbrah-m5p
    @IbrahIbrah-m5p 6 місяців тому +3

    Bila kuwa na D mbili huwez kuelewa 😂😂😂

  • @KarimuMshana-y5r
    @KarimuMshana-y5r 6 місяців тому +2

    Dr elly nakuelewa sana,ila hii salam shikamoo wakina mama halaf wakina baba habar ya saa iz nifafanulie hapo.

  • @mwakilamwaki1718
    @mwakilamwaki1718 6 місяців тому

    Doctor Janabi na uyo sawa to

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 6 місяців тому +30

    Changamoto watu wenye uwezo mkubwa kama Dr Elie VD wanatumika Vyuoni tu ila wangetumika mtaani kwa Vijana ambao ni Wapambanaji Nchi ingebadilika maana huko Chuoni wasomi wana mawazo ya kuajiriwa pekee

    • @piusdeo9380
      @piusdeo9380 6 місяців тому +1

      Nakubali sana ndugu

    • @moriskalegeleshusha2619
      @moriskalegeleshusha2619 6 місяців тому +1

      Umetisha mkuu

    • @chechem.wambura8172
      @chechem.wambura8172 6 місяців тому

      ​@@piusdeo9380ona ambao hamjasoma mnavyoshadadia. Acheni wivu na chuki kuwasema vibaya wasomi kisa nyie hamkusoma. Nani kawaambia Kila aliesoma anawaza kuajiriwa?, na kwani akiajiriwa Kuna shida Gani? Mbona wapo watu kibao walioajiriwa Wana maisha mazuri kuliko ambao hawajasoma. Kufanikiwa kimaisha haijarishi umeajiriwa au hujaajiriwa ,umesoma au hujasoma.,

    • @furahakalombe2011
      @furahakalombe2011 6 місяців тому

      Anatumika sana mtaani ila ni kwamba hatufahamu tu mtaa gani.
      Maeneo mengi anaalikwa kutoa elimu

    • @moriskalegeleshusha2619
      @moriskalegeleshusha2619 6 місяців тому +1

      Ni vzr tuwe tunapata matangazo

  • @mwakalingaabas981
    @mwakalingaabas981 6 місяців тому +7

    Jamaa lina akili sana hili dr elly waminian

  • @Nzumbi0
    @Nzumbi0 5 місяців тому

    De elie daah! Ana madini kichwani aise ya unaambiwa ni mara mbili kwa upande wangu

  • @NoelMwikeve
    @NoelMwikeve 6 місяців тому +5

    Usipo kuwa logical huwez kumuelewaa

  • @saidmlemeta8083
    @saidmlemeta8083 6 місяців тому +9

    Huyu jamaaa anakili nyingi sana alikuja kwetu hapa GGM geita gold mine yuko vzr mno

  • @petermgaya9693
    @petermgaya9693 6 місяців тому +3

    Very complex speech

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 6 місяців тому +1

    Dr Elie you are very right ❤

  • @mwakilamwaki1718
    @mwakilamwaki1718 6 місяців тому +1

    Uyu na Hamonaizi sawa

    • @HassanHassan-sn5cj
      @HassanHassan-sn5cj 6 місяців тому

      Umeonaeeee!!! Anatumiwa na utawala wa Ant crist au Masihiddajaal hata bila yeye kujua!!

  • @rahellubandila1928
    @rahellubandila1928 6 місяців тому

    barikiwa sana

  • @henrymkuye6669
    @henrymkuye6669 6 місяців тому +3

    Dr is the best

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 6 місяців тому +4

    Ok uko vzr sana, ila hayo unayongea yataishia kwenye majukwaa tu huwezi tengua uumbaji wa Mungu kwa maneno!

    • @victoriajames5413
      @victoriajames5413 6 місяців тому

      Huyu nae, hata ktk huo uumbaji umeelewa nini?? Udini unakusumbua hovyo kabisa.

    • @seifkulwa3346
      @seifkulwa3346 6 місяців тому

      @@victoriajames5413 Mungu ameumba Dunia na vitu vyote kwa formula Kila kitu mahala pake Mwanaume vs mwanaume, mchana vs usiku, kiangazi vs masika, Masaa 12 mchana vs Masaa 12 usiku, uhai vs kifo nk huwezi badilisha kwa tamaa zenu za kisiasa just waste of time for nothing.
      What is religion? Religion is nothing in this universe, created by human being to control the majority for nothing and minority continue monopolizing resources for their family!

  • @StevenHinjo
    @StevenHinjo 6 місяців тому

    Safi kabisa

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 6 місяців тому +1

    Balaa huyu jamaa 😊

  • @hgmtz8997
    @hgmtz8997 6 місяців тому +6

    Hata akili ya mtoto hutokana na akili ya mama

  • @elyudsaleh6044
    @elyudsaleh6044 6 місяців тому +7

    Jamaa kafanikiwa kukufurisha imani zote na amesepa na kijiji

    • @jamesraphaelmdima4729
      @jamesraphaelmdima4729 6 місяців тому

      Tafuteni maarifa kwa mwenyezi Mungu na wala si kwa wanadamu!

    • @bongomastory791
      @bongomastory791 6 місяців тому

      @@jamesraphaelmdima4729 Mungu pia anatumia wanadamu kufikisha maarifa

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 6 місяців тому +11

    Ukisema utoe Zawadi kwa Mwanamke ambae amekuja bila kupaka Wanja au Madikodiko hapo hayupo😂😂😂

  • @charlesmakelele4268
    @charlesmakelele4268 6 місяців тому

    Anaitwa Dr ELIE.

  • @LusiaJohn-mv4xd
    @LusiaJohn-mv4xd 6 місяців тому

    asante doct

  • @ellynikotv7178
    @ellynikotv7178 6 місяців тому +3

    Much respect though

    • @rizikiesromu1418
      @rizikiesromu1418 6 місяців тому +1

      Niambie akili sahihi ni ipi?je ni ile ya kufundishwa na mungu au mwanadamu? Acheni dharau
      Mungu hips apendye.

  • @sontrillthereal8186
    @sontrillthereal8186 6 місяців тому +3

    Ana madini sana ila ukiwa shabiki wa simba huwezi elewa

  • @elishaussiri345
    @elishaussiri345 6 місяців тому

    Hapo kwenye kwanzia umemkosea Mungu

  • @neemashingda
    @neemashingda 6 місяців тому +1

    Bila kuwa na d mbili huwezi elewa hii

  • @madreks253
    @madreks253 6 місяців тому +1

    Well said Dr! ❤

  • @ColinMhema-ne3lz
    @ColinMhema-ne3lz 6 місяців тому +3

    Huyu mtu ana akili nyingi sana na kumuelewa lazima na wewe uwe na akili

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 6 місяців тому +2

    AKILI KUBWA❤

  • @ontarget7949
    @ontarget7949 6 місяців тому +2

    Dr Elie huna baya

  • @ngaribaonlinetv
    @ngaribaonlinetv 6 місяців тому +1

    Fact

  • @ellymzera2457
    @ellymzera2457 6 місяців тому

    Agreed. .🇰🇪

  • @msomaprince2644
    @msomaprince2644 6 місяців тому +1

    Nimemuona Tima😂😂

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 6 місяців тому

    Mhhh acha zako

  • @Thabitilubunani
    @Thabitilubunani 6 місяців тому

    Mshamba huwezi kupngana. Na maandiko ya vitabu vya mungu vya dini yote

  • @leonardmadelemo3043
    @leonardmadelemo3043 6 місяців тому +1

    Elie vd nouma sana

  • @josephjeremiah-x5v
    @josephjeremiah-x5v 6 місяців тому +2

    Huyu Dr anafaa kutembea kwenye furusa ni represement ya ruge anamadin hatar

  • @MnazaretiMystry
    @MnazaretiMystry 6 місяців тому

    Mpumbavu huamini kila achoambiwa

  • @nelsonmgaya1490
    @nelsonmgaya1490 6 місяців тому

    Uchawa ni m baya sana!!!

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 6 місяців тому +4

    Uwezo wa Fikra wa Dr Elie VD lazima urithishwe kwa kizazi cha sasa. Utajiri unaanzia Fikra kisha unahamia katika roho na mwili.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 6 місяців тому +1

      Sijamwelewa kabisaaaa, alikuwa anajikanyaga kanyaga sana tu ...lakini, kwa vile ana title ya Dr professor lazima tutishike na tumuone kwamba ana akili kubwa kuliko sisi. Hakuna mwanamke hata mmoja aliyemwelewa hapo..kawa buruza tu.

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 6 місяців тому

    Asije Kugeuka Chawa tuu Kama Yule Professor Mngine Wa Majalalani Akili Zote Zitaisha

  • @frank_luminous
    @frank_luminous 6 місяців тому +1

    Huyu MTU ni zawadi kwa wote macritical thinkers!!

  • @mosesmnyantope9534
    @mosesmnyantope9534 6 місяців тому

    Duh

  • @EmmanuelSanga-u4e
    @EmmanuelSanga-u4e 6 місяців тому

    Weka tuweke ila sio kwa kuwekwa wake kuwa wanaume tufahamu mungu ni mkuu na ukuu wake utadumu milele ukiupuuza kesho yako itakuwa mbaya sana

  • @athumanhassani805
    @athumanhassani805 6 місяців тому +1

    Wewe muo😢

  • @yohanaibrahim4128
    @yohanaibrahim4128 6 місяців тому

    Nimemuona kungwi liliani

  • @husseinmnubi6834
    @husseinmnubi6834 6 місяців тому +1

    Real talk Dr🫡

  • @godfreymgaya1862
    @godfreymgaya1862 6 місяців тому +2

    I see my daddy PT

  • @yamungummungulo633
    @yamungummungulo633 6 місяців тому

    Wengne wanaona muda kumepoa #Gigy

  • @zainakingwele9228
    @zainakingwele9228 6 місяців тому +2

    Sioni ulicho sema kwenda kujiuza au kivip kweli dunia ipo mwisho

  • @peterrayunga
    @peterrayunga 6 місяців тому +2

    Mkufunzi umetupoteza kwamba mungu ni mtu? Umedanganya Kila kitu jike no no no.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 6 місяців тому

      ee mungu ni mtu ila Siyo MUNGU utofautishe hayo mambo mawili

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 6 місяців тому +5

    Dr Elie akili kubwa, vijana wajinga wajinga hamuwezi kumwelewa, kuna mtu anamuona leo ndio anakuja kumtolea hitimisho, hata kipindi cha chomoza hukijui.

    • @victoriajames5413
      @victoriajames5413 6 місяців тому

      22:34 kuna mamtu humu majinga Sana hayataki uhuru wa kujifunza yameshikilia kitu kimoja kimoja tu sio ya kuambatana nayo utadumaa!😅

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio4781 6 місяців тому +2

    Hawa wanaojiita wasomi ndo wahalibifu wa dunia unafikiri hao unaowajaza vichwa wakitoka hapo wakayabeba hayo kama yalivyo siwatataka nafasi ya mwanaume waichukue wao na nini kitafata si ndoa kuvunjika na watoto kuhangaika.

    • @nelsonmgaya1490
      @nelsonmgaya1490 6 місяців тому

      True!!

    • @ruthn9381
      @ruthn9381 6 місяців тому

      Education is truly important. That's why we need it. It enlightens our thoughts. Only people who understand him, can appreciate such lessons.

  • @dicksonulotu7427
    @dicksonulotu7427 6 місяців тому +3

    Sitakaa nimwelewe,endelea kuwadanganya .

    • @Mahene-w1l
      @Mahene-w1l 6 місяців тому +1

      Sisi Tunamwelewa tulio tayari Kujifunza n Kuelewa

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 6 місяців тому +5

    Sasa watu ambawo hawana elimu na wana hela.hawo ni kundi gani maana umeongea so badly kwa watu ambawo hajasoma.na asilimia kubwa ya watanzania hawahasoma haiyo ni matusi

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 6 місяців тому

      Ndo changamoto ya wasomi wetu wanathan elim ndo kila kitu ni ujinga mtupu

    • @masungadutta3823
      @masungadutta3823 6 місяців тому +3

      Elimu siyo darasani tu ukiwa na uelewa wa jambo ni elimu tosha

    • @Utulivu444
      @Utulivu444 6 місяців тому

      POINT 100% ​@@masungadutta3823

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 6 місяців тому

      @@masungadutta3823 👍👍👍

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 6 місяців тому +1

      Umeropoka mwana ili umwelewe unatakiwa kuwa na akili sana hivi vitu kama vinakuzid uwezo we pita tu kimya kimya si lazima kuchonga

  • @vascomwalongo451
    @vascomwalongo451 6 місяців тому +2

    Hamnw Kitu hapo

  • @elinihakimsuya1673
    @elinihakimsuya1673 6 місяців тому +3

    Mwisho wadunia huo,mafundisho potofu

    • @yamungummungulo633
      @yamungummungulo633 6 місяців тому

      Kvp ndug? Tokea zaman wanawake matajir wapo, rejea mke wa kwanza wa pro Muhmad (S.W A)

    • @ruthn9381
      @ruthn9381 6 місяців тому

      Really? Don't see why?

  • @SmithJacob-f2r
    @SmithJacob-f2r 6 місяців тому +2

    Huu ni ujinga tena ujinga wa hali ya juu na hawa ndo hutuhalibia family

  • @bennyinnocent2750
    @bennyinnocent2750 6 місяців тому

    ASILI KAMWE HAIPITWI NA VYA KUCHACHA

  • @KillyM-ry5iy
    @KillyM-ry5iy 6 місяців тому

    Uyo ni mcongo

  • @chakulachaleo
    @chakulachaleo 6 місяців тому

    Ukitaka pesa ya aibu lazima usifie kilichokupeleka,ila sidhani kama anasoma NENO la MUNGU huyu, MUNGU alishatoa majukumu ya MWANAMKE na MWANAUME,WEWE ni nani ukampinga MUNGU anaekupatia pumzi?

    • @ruthn9381
      @ruthn9381 6 місяців тому

      I wish you could understand him logically. We need such great minds in Africa. It takes a person with sound judgement to understand him. Seek knowledge first before you criticize anything. Good luck!

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 6 місяців тому +2

    anayo sema ata yeye mwenywe nadhania hayafamu 😢😮

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye 6 місяців тому +2

    Kuwa mwanasaikolojia sio kujua Kila k2 kwasifa ulizo wapa wanawake wangekuwa wanajitambua au kujua wanachokifanya lakini nitofaut, kwamfano huo huo wanaume %kubwa tunajielewa bila kufundishwa tunajifunza kwakuona kwa matukio toaut na mwanamke Ambae ht umfundishe bado anahtaj umuongoze simo kwenye nigal nishushe tetea ugali wako2 ndugu hakuna usahih ktk Hilo, ww na mungu nani anamjua binadam mpaka kumfanya mwanaume awe mtawala wa mwanamke iliwezekana vp wakat uwezo wakufikili zaid kampa mwanamke cjawah kuona akijiongoza, halafu km ww nimdhaifu kwa make wako co wote, unavyojiona ww cvyo wengne walivyo

    • @chancekambale3498
      @chancekambale3498 6 місяців тому +1

      Wewe hakili ndogo tu huna logiki bali unatumia Isia kuandika mambo haya yote .

    • @AgnessPetro-y3x
      @AgnessPetro-y3x 6 місяців тому

      Unaongea nini, na nyie ndio wadhaifu wenyewe mliomdidimiza mwanamke, tulia dawa ikuingie

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 6 місяців тому

    Usipo kua na akili yako uta amini chochote unacho ambiwa na hawa ma motivation speaker, waongo sana, wanaonga vitu vya kufuraisha watu tu

  • @AliySaid-i2t
    @AliySaid-i2t 6 місяців тому +4

    Mi nasikia pumba hakuna maana ata

    • @salehsimba5306
      @salehsimba5306 6 місяців тому

      Maneno ya kuwafariji watu dhaifu duniani

    • @pascalwissi4805
      @pascalwissi4805 6 місяців тому +1

      Itakuwa uwezo wako mdogo, si rahisi kumuelewa dr

    • @chrismassawe2939
      @chrismassawe2939 6 місяців тому

      Mungu mwenyewe alimwona ni dhaifu kwanza hajaumwa ninsehemu ya mwanaume

    • @Mahene-w1l
      @Mahene-w1l 6 місяців тому

      Kweli Kabisa 😂 Kaongea point za Msingi Sana yeye hajaziona Kwasababu ya Uwezo wake

    • @Mahene-w1l
      @Mahene-w1l 6 місяців тому

      ​@@chrismassawe2939Hakuna sehemu Kwenye Vitabu vitakatifu Mungu Amesema Mwanamke ni Dhaifu Kwa kinywa chake Zaidi ya Mtume Paulo(Biblia) tu Kwa uzoefu wake Wa kibinadamu na Si Mungu kusema

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 6 місяців тому +2

    Mafundisho ya kishetani hayo

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 6 місяців тому

    HAYO NDO MAHUBIRI YA WATANZANIA. MWANAMKE , MWANAMJE, NWANAMKE.

  • @ChristopherAmwago
    @ChristopherAmwago 6 місяців тому +1

    Nimejutia mb zangu nilizotumia kukusikiliza ila dah bure kabisa fyuuuuu.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 6 місяців тому

    Ktk mastar wote hayupo Mwanamme mmoja tu naye ni zaidi ya wanaume wote waliokuwepo humu,mkutano wa wanawake mwanaume unakuwaje kimbelembele,kwann msingewasindikiza na kuwasikiliza wao wanalipi la kuusiana kama wameshajitambua. Kwenye wimbo wao walisindikizwa tu na ujumbe waliutoa wao kwa jamii na kutambua wao wanathamani gani,hapa mnawafanya wajione watu zaidi ya watu pasipo kujituma wala kujitoa 7bu mwanamume ndio anaelezea maziri yao kanakwamba wao hawayajui majukumu yao. Waraka mzuri ila ungewaandikia wausome wao waonekane wao tu. Mondi yukowapi hapa?

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 6 місяців тому +3

    Huyu mjingai ana tu tukana huyu

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 6 місяців тому +2

    Ni siku kuu yao we wasifie tu

    • @saulostephen197
      @saulostephen197 6 місяців тому +1

      huvi yeye anafanya shughuli gani vile

    • @godfreymgaya1862
      @godfreymgaya1862 6 місяців тому +1

      Mwanaume ni logic , tunarud pale pale

    • @nasibugunda7927
      @nasibugunda7927 6 місяців тому

      huyu ni mwanasaikolojia@@saulostephen197

    • @nasibugunda7927
      @nasibugunda7927 6 місяців тому

      @@saulostephen197 ni mtaalamu wa falsafa na mbobezi wa elimu ya theolojia.

    • @nasibugunda7927
      @nasibugunda7927 6 місяців тому

      logic ni nn?
      @@godfreymgaya1862

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 6 місяців тому

    Nimekusikiliza kwa dakika kama 11 hivi unafundisha uzuzu tu nawashangaa wanaume wanao tikisa vichwa kukuelewa nao pia ni mazuzu tu

    • @AgnessPetro-y3x
      @AgnessPetro-y3x 6 місяців тому

      Sasa Kwa ukubwa wa uelewa huo anaoongea apo na udogo wa akili yko unategemea nini?😊

  • @kaginazongori
    @kaginazongori 6 місяців тому

    Huyu mshikaji apimwe akili maybe anatatizo la afya ya akili

  • @MnazaretiMystry
    @MnazaretiMystry 6 місяців тому

    Mpumbavu huamini kila anachoambiwa