Wastara aeleza kwanini ndoa yake na Mbunge imevunjika ndani ya siku 80

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 466

  • @janeedward8723
    @janeedward8723 8 років тому +15

    Mdogo wangu Wastara, wewe ni mzuri umeumbwa ukaumbika. Pole sana kwa story zako zote, zinatia huruma, zinafundisha na kwa ukweii mhhuuu! pole na hongera. Ila wewe ni simba jike simama mwenyewe maisha unayaweza. Usiruhusu kujipa maumivu tena! Maisha yako si ya kuwafanya wengine kutajirika kwa kuandika na kuuza story juu yako. You are unique my dear, you are worthy my darling. stop counting marriages. Let God be your husband kama neno lake lisemavyo yeye ni mume wa wajane na baba wa yatima... Nakupenda sababu uko na moyo mkuu stop matatizo katika matatizo yako allow God to take control over your life.

  • @jumakhamisi5588
    @jumakhamisi5588 8 років тому

    pole sana my dear sister Wastara. nimeumia sana saaana ila naamini Mola yupo pmja nawe na malipo ni hapa hapa duniani atakulipia In sha Allah. HUKUMU yake ataipata hapa hapa duniani kwakukudhalilisha, kukukashifu, kukunyanyasa nakukuumiza moyowako, hakika kuna Wanaume wengine hawajui kupendwa wanaipata bahati lkn wanazichezea. hakuna kitu kimeniuma km kukuita screpa hlfu kuja kukukashifu na kukusingizia uongo imeniuma sana kwani naamini hakuna binaadamu aliekamilika na hujafa huhaumbika na wala wewe hukuomba uwe hivyo. M/Mungu atakufariji habibty. atakupa stara km jina lko lilivyo In sha Allah. Love you so muuuch my sister. shukran Kaka Ayo kwakutujuza.

    • @ibrahimfilipo5489
      @ibrahimfilipo5489 7 років тому

      Alikuita skrepa
      Huyo
      Ni
      Mwanaume
      Kweli

    • @khadijatwahir9743
      @khadijatwahir9743 6 років тому

      Jaman tuelewe uwez kumlaumu wastara kadakia mume wa mtu wakati dini yake inaruhusu tujitahidi kumpa pole

  • @marciakassimkassim9275
    @marciakassimkassim9275 8 років тому

    Katwa wasii wote bongo...wasatra nakupenda.....coz unajieshim ..sana...nii mvumilivu sjapata kuona....Masha Allah.....yote yalo semwa kuusu kuvunjka kwa ndoa sikuamn...kher umesema kwa kinywa chako..pole kwa mitian....Yataisha in sha Allah..Nakuomba wastra kaa umepona na unanguvu...nenda ukafanye Hajji..uenda Allah anaeza itikia dua zako...mitan ikaisha in sha Allah...

  • @saidikobossa7489
    @saidikobossa7489 8 років тому +19

    Wastara you need my kind of husband.
    Nimeshaoa na sitaongeza mke but tuko wachache sana INSHA ALLAH, Utapata.
    Utapata mwenye uwezo wa kawaida na mtashiriki wote kujenga Maisha.
    INNA LLAHA MAASWABIRIIN

    • @ayubnsajigwa1037
      @ayubnsajigwa1037 7 років тому +2

      wewe ni bora kuliko wanaume wanne waliyomshinda

    • @phinakamugisha6074
      @phinakamugisha6074 4 роки тому

      @@ayubnsajigwa1037 kila Jambo linalotokea Lina sababu

  • @fainerjabil5343
    @fainerjabil5343 8 років тому +7

    pole sana Wastara Allah akupe Subra na Akujalie Mme mwingine atakayejua thamani yako

  • @lasoitantoya4260
    @lasoitantoya4260 8 років тому

    Pole sana Wastara mimi nimekupata nikiwa Kenya kijijini Samburu.Nimejunza mengi sana .Huyo Mbunge ana mashetani ya mbunge pia anatatizo kubwa anahitaji si maombi tuu bali uhauri wa kimatibabu. Tafathali Millard huyu dada apewe Ulinzi wakutosha...huyo mbunge siamini aenda

  • @rosemsemwa2421
    @rosemsemwa2421 4 роки тому

    Ushaur wangu kwa wastar hupaswi kumchukia uyo baba muombee maisha malefu ni mungu tu alikuunganisha nae ili upate sapota ya matibabu tu bas na sio vingine wacha maisha yaendelee

  • @tatu128
    @tatu128 7 років тому +12

    Pole sana wastara uyo mume mwenye vituko ivo ndio ninae mm na nimezaa zaa nae watoto watatu doh yan ila saaa ivi mm mwnyewe nimeamua kuondoka nimeteseka Sana. najua kiasi gani umeumia 😨😨

  • @janetbernad5258
    @janetbernad5258 8 років тому +3

    pole sana wastara dada yangu nimekuona huruma sana .yote maisha .utazoea .ndo maisha ya kuolewa yalivyo

  • @mendeadui5111
    @mendeadui5111 8 років тому +2

    yaani wastra we kiboko...nimekuheshimu dadangu....kweli kabisa mume wa mtu who mtamu kabisa..hongera sana.

  • @sirielsamweli5688
    @sirielsamweli5688 4 роки тому +1

    Wastara pole hata mie nilikiona hicho kwa mume wangu,,,yaaaniii anakuja anakuta wageni ndani, anaingia kwa dharau anasema zima TV ,,, yaaaniii Mungu nisimamie ktk hili,,,wanawake tunapitia mambo mengi sanaaaaaaaa.

    • @mamiibatenga617
      @mamiibatenga617 4 роки тому

      😢😢😢😢wengi wanakuwa ni maskini wakubwa,wamepata pesa ukubwani

  • @marthalazaro1719
    @marthalazaro1719 7 років тому

    pole Sana wastara uyomwanaume nijibu amekudhalilisha kwawatu kakufatamwenyewe alafuanashidwa kukuheshim. Mungu yupo usikurupuketena piausisikilize ushauliwawatu utakuponza.

  • @joycemartin5306
    @joycemartin5306 5 років тому

    pole Sana dada wastara.kiukweli Usio fichika Uyo mtu alitegemea kupata mafanikio kupitia ww. ila Mungu atakulipa kwa alio yafanya. namchukia Kiukweli maana yupo kama muuwaji hayo maneno sio kabisa

  • @edinaedward9144
    @edinaedward9144 8 років тому +8

    Da wastara pole mungu akuepushie kila lililo baya nakupenda sana

  • @sumaiyaabdi7078
    @sumaiyaabdi7078 8 років тому +9

    Eti ameanguka kwa pikipiki mara amekwaruzwa jicho hahahahaha. what kind of a man was he? Those were not good signs & Who is this guy by the way? Daah tanzanian politicians are entertainers & entertainers are politicians.Sio mume yule wallah what a mess!
    Thank you millard for letting Wastara tell her story without interruption.its the best thing ive watched on YT today

  • @graciousjerry1322
    @graciousjerry1322 8 років тому +1

    ooooooops!! 😢😢😢😢 am speechless! pole sana. wastara ww ni shujaa wangu! yaan ww ni kioo changu

  • @leahpeter8815
    @leahpeter8815 7 років тому +7

    pole sana,bora kupata mume anayejua kubembeleza coz hela zinatafutwa..pole sana dada'ke

    • @zulfajuma8394
      @zulfajuma8394 4 місяці тому

      Kwenye hii dunia czani kama kuna mwanaume alobaki anaejua kubembeleza mwanamke wanaume hao hawapo jamani wanawake tunapitia mengi sana kwenye hii dunia mm kama mm cjawah kuifurahia ndoa yangu hata sikumoja maisha yangu yote nimaumivu tu tangia nikiwa mtoto mpaka sasa nina miaka 40

  • @rehemakhamishassan9940
    @rehemakhamishassan9940 6 років тому +1

    Daah.
    dada pole sana my dia na hilo dada lilikukuta kwa kuwa una stress dada ndio maana hukuchagua.
    lakini pia heshima ya familia na kujiheshimu kwako ndo kulifanya ukubali kuolewa.
    Napenda kukushauri kuwa usikate tamaa yupo aliyepangwa na akakuoa na akawa zaidi ya sajuki Mola hakuondishei ila hukuwekea kilicho kizuri zaidi.
    Nakupenda sana dada
    Natamani niwe na namba yako ya simu

  • @suleimanhega4982
    @suleimanhega4982 8 років тому

    Pole sana; Bi. Wastara.
    Lakini hupaswi kukataa ndoa na juwa kuwa Binaadamu wote sio sawa. Ndoa ni jambo la heri na baraka ikiwa Mume au Mke watadumisha mambo haya; Upendo, Imani, Kuthaminiana, Kujaliana na Subra.
    Ushauri wangu kwako, Bado unaomuda kwavile wewe bado kijana mrembo sana, unapendeza si busara kukaa bila ya kitulizo cha moyo na nafsi kitakachokupa faraja. "Nacho ni Mume" Pole sana. ..Kwa kawaida wenye pesa au wanaopata pesa 'Huharibika kwa Jeuri, Kibri, Dharau na Kutokujali' Inatokana na kutokujielewa, anachoona yeye ni pesa tu ndio kila kitu. Pole sana. ...
    Nakukaribisha nyumbani Zanzibar na mimi naitamani hiyo nafasi ya (5).
    Kosa la Mpumbavu asiyejielewa lisitukoseshe wengine wenye nia na upendo wa dhati.
    "Inshaallah Mungu Akubariki na akulinde na husda pia akupe afya njema" AMIN. ..AMIN (0777481516)

  • @memoriserichard7193
    @memoriserichard7193 8 років тому +1

    nakupenda sana wastara n pole kwa yaliyokukuta dada angu Mungu akubariki

  • @sophiealexander8703
    @sophiealexander8703 8 років тому +7

    Muombe mungu akupatie mume mwema kama marehemu sajuki. Pumzika kwa amani kaka sajuki

    • @violamosha5802
      @violamosha5802 7 років тому

      Sophie Alexander kweli hakuna mume mwema kama Sajuki

  • @mariakarey701
    @mariakarey701 8 років тому +1

    pole Sana dada wastara Mungu yupo hutapata mwenye kukuthamini take time

  • @mickeyladyilikeyourvoice7851
    @mickeyladyilikeyourvoice7851 8 років тому +3

    wastara twakuombea inshaallah Mungu atakujaalia upate mume unaemuhitaji kama sajuki inshaalla

  • @sakinasheidhan4642
    @sakinasheidhan4642 6 років тому +2

    Pole sana wastara Allah atakusaidia utapata mume bora

  • @shamsakenya3093
    @shamsakenya3093 8 років тому +2

    Subhana'Allah.Pole sana Dada
    .Usijali mungu atakupa mume mwenye imani InshaAllah usikate tamaa.

  • @twoten2547
    @twoten2547 8 років тому

    Its true am one of your new supporter....... get back on your feet and move on....life is very short to let such scenes pull you back. Also be happy you made him love his wife back... yaani haukuvunja familia yake, atleast mahali popote walipo sasa wanajua tu ni wewe ndio ulisuluhisha matatizo ya ndoa yao. I salute you Big

  • @mariammahaba5661
    @mariammahaba5661 8 років тому +1

    mackini dadangu pole sana.hadi nahisi machoz.eti anakuita scrap?hukupenda ww uwe hivyo.ila hata yy ajafa ajaumbika.jipe moyo dada.na ulichukua uwamuzi wa sawa kabisa.ata MUNGU aliona.na in shaa ALLAH utayasahau yote hayo.pole sana kipenzi.

  • @luckyasa3960
    @luckyasa3960 8 років тому +10

    pole saana Mumy mungu atkuonyesha njia RIP sajuki

  • @michaelmasijah724
    @michaelmasijah724 6 років тому

    Wastara, you're a super woman kwa upande wangu nakuelewa sana!

  • @salvakimati1944
    @salvakimati1944 8 років тому +1

    pole sana wastara. maisha ndivyo yalivyo na challenges zake

  • @deusijohn3863
    @deusijohn3863 3 роки тому

    Pole sana kwa mkasa ulipitia dada mungu atakusimamia

  • @rafanasadiki1110
    @rafanasadiki1110 8 років тому

    Wastara my sister katika maisha tunakutana na watu tofauti Sana

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy37 8 років тому

    Sajuki Sajuki!!!!! Lahaulaa, namani sana kuwa na mwanamke wa namna hii! duuuu God bless u my dia

  • @johnjackson4363
    @johnjackson4363 6 років тому +9

    Wasanii mnajua kiongea sana sikuamini 100% yafaa milad ayo tusikie na upande wapili

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 4 роки тому

      Upande wa pili tumeshasikia😁😁😁

  • @samsonpeter1891
    @samsonpeter1891 7 років тому +7

    aki pole wastara. sikujui sana but have followed your history. for sure its painful but trust in God

  • @aminaadalai280
    @aminaadalai280 8 років тому +2

    😢😢 pole sana wastara mungu yupamoja nawe

  • @janethjoseph5240
    @janethjoseph5240 5 років тому +1

    Pole sana wastara kwa janga hilo

  • @salummasoud6395
    @salummasoud6395 6 років тому +1

    Pole sana dada angu.

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 4 роки тому

    Pole sana dadangu love u

  • @marymugure2231
    @marymugure2231 8 років тому

    pole dada, mungu amekubariki dada tafuta kijana mwenye hana...hakuna ndoa tamu kama hiyo. ..bt umheshimu kama mme ata kama hana ...

    • @annewetungumusuya9213
      @annewetungumusuya9213 8 років тому

      Umenena my dia.Mume atabaki kuwa kichwa cha nyumba.awe maskini ama tajiri

  • @38wahida
    @38wahida 8 років тому +12

    sijui kwann wastara alikubali kuolewa na yule jamaa ,jamaa ana matusi yule kama barazuli ,tabia zake yaan nadhan hakumjua tabia zake .ila ndio maisha .

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 4 роки тому

      😆😆😆😆😆😆

  • @annewetungumusuya9213
    @annewetungumusuya9213 8 років тому +3

    Wastara ulipata wapi ujasiri wa kuenda moja kwa moja kuonana Na mke wa huyu jamaa? I fear to be a 2nd yf really cz matokeo ni machungu.pole Dada Gods time is the best

  • @sanayairani222love2
    @sanayairani222love2 8 років тому

    Pole sana wastara kwa mitihani inayokutokezea nausiache kumshukuru mungu kwani yote nimajaribio yake tu anatuangalia waja wake vp tutamshukuru au la

  • @rizham6442
    @rizham6442 8 років тому

    Subhana Allah!!! Pole Sana Wastara wengine SI wanaume magumegume ndio kama hayo

  • @fatmajakamwalela7842
    @fatmajakamwalela7842 8 років тому

    Pole sana dadaa mungu yuko pamoja nawe....wanao Sema mume wa mtu sumu sioni kama mko sawa kwani mume ana haki ya wake wa 4

  • @usnahbakary3770
    @usnahbakary3770 6 років тому

    pole.sana.dd.wastara.mungu.atakupa.mume.mwema.vumilia2

  • @farajaalex1603
    @farajaalex1603 7 років тому +4

    Edith umenifurahisha sana safi sana ubaguz sio mzuri ikiwa sote ni watoto Wa baba mmoja

  • @athumannambombe4334
    @athumannambombe4334 8 років тому +4

    Pole sana Ndugu ya Wastara unachopaswa kukielewa ni kwamba hizo ni Changamoto unazotakiwa Uzibadili ziwe Fursa, Usife Moyo!

  • @sabrinahkizzer5245
    @sabrinahkizzer5245 8 років тому +1

    Mungu yupo atakulipa tu usiumie sana Dada angu 👏👏

  • @anethlucas4045
    @anethlucas4045 7 років тому

    pole mpenz wangu wastara mungu akupe itaji lamoyo wako nalipo usijali hata

  • @amosnyanda7848
    @amosnyanda7848 3 роки тому

    Pole njoo mm nikuowe mwaya

  • @eunicehemed9097
    @eunicehemed9097 8 років тому +2

    pole sana wastara..poleee sanaaa

  • @mayadahassan357
    @mayadahassan357 8 років тому +1

    Pole sana Dada yng. Ndo maisha inshaallh allh atakuajaalia Mwenye kher na ww

  • @rashidarajabu7288
    @rashidarajabu7288 8 років тому

    pole sana wastara mola atakujaalia wako wa pekeyako ,unakila kitu umejaaliwaa

  • @lasoitantoya4260
    @lasoitantoya4260 8 років тому +1

    Hadi Saa Sita usiku12:00pm aah vipi mgeni alikuwa na shida kweli. Wastara your the Best#Kenya

  • @rudphyneric1446
    @rudphyneric1446 5 років тому

    Pole sana dada wastara kaa t ulee watoto wak wanaume akili hawana

  • @carenewera1709
    @carenewera1709 8 років тому

    Pole wastara God is there for you dear.

  • @ashagrills1319
    @ashagrills1319 8 років тому +2

    duuuuuhhhh pole sana mungu atakujaalia utapata mume mwema

  • @fat-hiahuwel6206
    @fat-hiahuwel6206 8 років тому +1

    Pole sn dada Wastara Mungu yupo pamoja nawe

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 8 років тому +1

    Pole sana.mwenyezi mungu atakuletea mema.

  • @saumuabdallah7484
    @saumuabdallah7484 8 років тому

    hkna dhiki wa dhiki @wastara kuwa na subra in shaa allah utapata alobora zaid ya uyo.muombe mola kwa sna.maamuzi yko sio mabaya coz unajitahidi kuepukana na zinaa allah akufanyie wepec

    • @zuhuraali9983
      @zuhuraali9983 8 років тому

      ishallah tunazidi kukuombea kwa allah take time ya kuolewa kwa allah hatupi mja wake

  • @GraceSamwel-t2g
    @GraceSamwel-t2g 4 місяці тому

    Sadifa yule siyo mwanaume wa kuoa, yule ni fataki sana

  • @salmazena7388
    @salmazena7388 8 років тому

    pole sana wastara uxijali mungu upamoja nawe dadaaa

  • @mohd46xmohd94
    @mohd46xmohd94 3 роки тому

    Nakupenda wastara

  • @lusatomagesa9410
    @lusatomagesa9410 4 роки тому

    Daah pole sana dada

  • @rehemasharriff7494
    @rehemasharriff7494 8 років тому +1

    pole sana.wastar kwakujari usijali

  • @annananna7622
    @annananna7622 8 років тому

    duh pole sana my dear hiyo ni hali ya dunia and God gives you strength

  • @janepaulo9619
    @janepaulo9619 4 роки тому

    Pole sana dd

  • @barakalukosi2251
    @barakalukosi2251 4 роки тому +1

    Sajuki ndo alikuwa mume wako tu mungu ampumzishe tu

  • @angelsjg2683
    @angelsjg2683 8 років тому +3

    wastara na kupenda sana mama, pole sana

  • @sallykanze
    @sallykanze 8 років тому +18

    Umeongea vizuri sana wastara,pole sana dadangu na nakupenda bure

  • @mergorethshirima1681
    @mergorethshirima1681 8 років тому +1

    Pole sana dada nakupenda sana.

  • @veevictorius5116
    @veevictorius5116 4 роки тому

    Wewe ni mrembo sana. Usifikirie Mambo ya ulemavu. Kuna walemavu wengi wanao mahusiano mazuri

  • @zainabulabia2309
    @zainabulabia2309 2 роки тому +1

    Pole

  • @shadrackgeorge4119
    @shadrackgeorge4119 6 років тому

    Nakupongez sana dada kwa uwamuz uliouchukua, hakuna ktu kibaya Kama kunyanyasika na kudharauliwa, pia una busara sana na hekima.

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 5 років тому +2

    Kwani alikuaga kaolewa na muheshimiwa nani 😂😂😂

  • @maggymm7302
    @maggymm7302 3 роки тому

    Si hakuwah kukupenda kabisa ww ulikuaga project tuu kwake.

  • @bintirashidantybaby8146
    @bintirashidantybaby8146 8 років тому +2

    subhanallah kweli majanga yani mpaka millard ameshikwa na baridi dooh

  • @kurthummapande
    @kurthummapande 3 місяці тому

    Pole dada ipo baadhi ya mijanadume miuajii tena mikatili

  • @shinatamar9727
    @shinatamar9727 8 років тому

    pole sana ..mola yuko nawe dia wala usiwe na uchungu shukuru mola amekutibu hata kama sio pesa zake ipa ume tibika na kama aliona ata kuzazilisha basi aibu kwake maana hata mkewe mama watoto wake wame achana sebuse wewe nibora kwa mamuzi yako umefanya vyema sana

  • @kombohaji2883
    @kombohaji2883 6 років тому

    Pole sana wastara mungu atakusaidia

  • @7176M
    @7176M 6 років тому

    Pole.sanadadaangu.mungu.atakusaidia.yote.nimapitoyadunia.

  • @mamashakira3580
    @mamashakira3580 8 років тому +1

    Usiwaze mamy mitihani tumeumbiwa mshukuru mungu kakuacha mzima

  • @reginabwija1204
    @reginabwija1204 8 років тому +1

    Nakupenda sana dada wastara

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 8 років тому

    duh pole sanaaaa usijali dada tunakupenda wewe una roho nzuri

  • @nuruhussein5318
    @nuruhussein5318 7 років тому

    sikilizeni wastara hawezi kuka na mwanaume yoyote kwakua sajuki nikiboko yake hakuna atakae shika pezi ya sajuki Ilove you wasitara

  • @carrenkapia3921
    @carrenkapia3921 7 років тому +6

    i love this lady so much

  • @ccmkirumba322
    @ccmkirumba322 8 років тому +2

    wastara ww ni mwanamke ambae hukuwa na kashfa kama baadhi ya wasanii wengine kwasasa imeshatokea huwez kuibadili nakuongea mambo yako hadharani haisaidii nikuwapa watu misemo huwasikii lkn wanakung'ong'akamahujui, jipe moyo muombe mungu akusaidie uyasahau lkn siwezi kukudanganya dd ulichokifanya sikizuri sikunyingine usirudie kuingilia nyumba zawatu unawezajikuta unaharibu maisha yako yakawa hayanamuelekeo kbs wakati ulikuwa unajiweza unafikiri mwenzio amefurahi ulivyomuingilia? huyomwanaume achananae naww achakunadi mamboyako binafsi tulia nakuwa makini ktk mahusiano lacvyo utajikuta pabaya watotowako ushindwe kuwapa maisha mazuri tulia kamaumepangiwa utapata aliewako mwanaume wakusubiriana huwahana heshima labda anaemjua mungu nakuelewana namkewe kuwaanaoa nawakakubaliana lkn wakulazimisha utapata majanga usiyoyategemea ridhika namaisha yako nautunze heshima yako mungu anakuona.

  • @hawahamisi6237
    @hawahamisi6237 8 років тому +2

    pole sana my dada mungu yupa moja nawe 😭

  • @Emp_ress_anna
    @Emp_ress_anna 2 місяці тому

    Dada anaongea kistaarabu huyu,,Mungu akutunze

  • @everlinenkata3611
    @everlinenkata3611 8 років тому +7

    Dada Wastara ww bado ni jembe! mungu atakupa haja ya moyo wako

  • @nasrayahya2885
    @nasrayahya2885 7 років тому +2

    du pole sana wasitala kiukweli unatia imani ktk hii ndoa yako ya huyo mweshimiwa kiukweli si wanawake tunapata mitihani sana ktk ndoa zingine tunazozipitia huyo hakuwa mwanaume bali nimtihani ulikufika hakuwa mwanaume wa thati kwako

  • @serodaflorans9249
    @serodaflorans9249 8 років тому +1

    pole xana my dear mungu atakupatia wako just trust in God

  • @masoudkipara5053
    @masoudkipara5053 4 роки тому +2

    Ulichoitaji ww ni msaada wake tu na ndomana ulivotibiwa tu ukazngua acha kupanga maneno apo

  • @calvinmbwana1143
    @calvinmbwana1143 7 років тому +3

    dah wastara hakika wewe nimwanamke unayejitambua. nmeumizwa sana na maelezo yako.

  • @jasminmoshi6851
    @jasminmoshi6851 5 років тому

    Nakupenda bure dadangu,uko muwazi sana

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 8 років тому

    pole my sister maisha ni safari ndefu usikate tamaa pia mtegemee Mungu kwa kila jambo

  • @bihimomasemo4651
    @bihimomasemo4651 8 років тому +1

    pole sana dada wastara

  • @scorpiorising_
    @scorpiorising_ 8 років тому +1

    pole sana mama!!!!!

  • @rukiahussein9737
    @rukiahussein9737 8 років тому

    Daaa pole saana