DOGO JANJA AANIKA UKWELI WA NDOA NA IRENE UWOYA (EXCLUSIVE)
Вставка
- Опубліковано 13 вер 2024
- #BDOZEN amefanya mahojiano EXCLUSIVE na #DogoJanja kuhusu ukweli wa NDOA yake na #IRENEUWOYA, ni kweli ilifungwa? na stori za kuachana zilikuwa na ukweli? Yote amezungumza kwenye Dozen Selection. Pia amegusia historia ya maisha yake tangu Arusha hadi kuingia DSM na kufanikiwa kimuziki. Karibu utazame.
Nzur
Hizo back to back ulio promise mwaka 2020 kwanzia mwezi wa 3 hadi leo 2021 mwezi wa 3 na hatujaona hata moja bro Dogo Janjaroo. Alaf juzi Madee anasema umeweka starehe mbele ya mziki unatubwaga shabiki zako bro. Vepeeee!!!!!!! 🙏🙏🙏🙏🙏
Nampenda dozen
Nipen like na mm nifurah
Nikuelewa sana mzazi Bdazon
"Nilipokua nalia niliweka kichwa kwenye maji....." powerful quote
Aisee neno zuri sana..
100% kabisaa
Dogo janja anajielewa sana big up..
My role model #Ngarenaro Republiq
SUPPORT DIGO NJANJA SOKSY
JIFUNZE KUDOWNLOAD VIDEO UA-cam HAPA ua-cam.com/video/iOvLslj7i08/v-deo.html
Tangu dogo jaja aachane na uwoya amekuwa handsome sana. Big up bro
Janjaro hustler
Watching from Saudis Arab dogo janja Masha Allah Allah atakupa wako Irene hakuwa rizik yako
Hizi interview ziendelee ziwe nyingi nyingi dozen big up sana
Nilijuwa tu iindowa ilikuwa yalaana mwisho ndogo janja kaambukizwa ukimwi
nakukubali sana dogo Janja unaakili sana big up Broo never give up
This is wat we call creativity huboeki kuangalia mb zako tu
Dogo Janja unaakili sanaa mdogo wangu heshima yako kaka
Noma nakuelewa
Hashim Uhehwa
Hashim Uhehwa
v
Hashim Uhehwa true
upo good Dogo janja
Eti constration ya shule
D Zen broo nip na ww miaka yote
Bonge ya interview kumamakeee....big up wanangu Dazen na Janjaro....nilijifunza hapa huyu dogo kapitia maisha yangu so nimegundua natakiwa kuendelea kupambana sanaaaaa
I like the way unampa mtu nafasi ya kujieleza we called that kuongeza ubunifu.... big up Bdozen
Annie Julius true hamuingilii ingilii
Dozen selection 2019 kaka bi dozen hongera sana kwa kazi nzuri na ndoto ipo siku nita kuwa tuuu
Team Wasoma Comments Mtandaoni tujuane😁
Nipo hapa kabisaaa maana nilikuwa siko online Leo nimeingia kuna koment kama 2000 na naa nasoma kuhu nachenk kipindi 😂😂😂😂
Tunajuanaje sasa lete mpango
mim hapa
Nipooooo😂
AaaaAaaaaah
Hongera kaka dozen kweli Ruge alikuwa anaona mbali.umetulia unaeleweka hongera
Hongera sana B.dazen unajua kuhoji ........
wow such a wonderful interview. kumsikia janjaro machozi yamenitoka, so kind, matured and has a wonderful character mashaalah.mtoto katulia na akili ya miaka 40. Ama Bdozen you are a fantastic interviewer, bravo kuweza mfanya janjaro atueleze mengi tulokuwa tunahamu kuyajua. big up for your professionalism.
dozen big up xana bro umekuja kitofaut xana
Safi sana dogo janja.. We ni mkali sanaaaa.. Mungu akutangulie kwenye kila ufanyalo🙏🙏
Well say dogo janjaaa # badoo mdogo kuisononesha nafsi ni dhaaambiii kuuubwaaa dingilai#
Badilisha jina jiite kubwa janja kwani unaongea vitu vya kikubwa
😂😂😂😂😂😂 kama alivobadilisha dogo aslay
Kweli kabisa
Yan dogo leo umenifurahisha sana, yan umeongea vizuri sana haujaleta nyodo zako safi sana mdogo wangu
Big up sana BDOZEN/B12 kubali sana kaka ...kama upo sawa na mm gonga like hapa
#janjaro nakubali sanaa.. Mwanangu🙌🙌🙌
Nmejifunza kwènye hii interview NEVERGIVEUP#
Nakubali sana mastory ya janjaro👍👍👮♂️
Meeen. Dozen yo genius man. The way u interview z perfect. Big fan ov u n i thnk all doz musician dey respect n hide nothin wen wth u
Huyu janjaro anajua San kujibu interview...Big interview dozen hukoseagi arifu...
Mungu Akuongoze kwaili na lengine inshaaalha
Iko poa sanaaa
Nice sana 😘😘😘😘
Masha Allah, una hekma dogo mjanja mwanangu
Hivi udogo wa dogo janja upo wapi? Dogo anajielewa ana majibu sahihi yenye points zaid hata ya hao wanao onekana wakubwa. Big up Dogo mm kwa kweli nakukubal na napenda Sana interviews zako u re so bright Dogo
Nimejifunza kitu kwa Dogojanja....ni mdogo lakini anajielewa Sana 💪
Thanks sana Dogo janja umejibu maswali yote. Sio kama hawa maboya wanao jifunzia English kwenye Instagram wakiulizwa swali utaskia no comment 😏😏
love u dogo janja
😂😂😂
😂😂daaah janjaro noma
😂😂😂😂😂😂😂
Nakubali kbsa bro mungu akuzidishiye unaongeya vizuri. big up sana
Kaka mtangazaji unahojigi vzr mpaka mtu anakuelewa na maswali yako ni konki
Nakupenda sana Kaka dozen mwenyez mungu aendelee kukutunza
Nimeikubali hii interview. Dogo upo vzr sana
thanks for the good interview BDOZEN
keep up janjarooo nakukubal sana broh
Kaongea kiutuuzima sn BG up
Tulipga mbanga flan hiv kama umemskia dogo janja hyooooo ukigonga like fresh....√√√√√
Shoutout to you bdozen hii idea ya DS ni nzuri sana.Na kwa heshima ambayo unayo kwa wasanii Naamini hapa tutakuwa tunapata xclusive zile deep.
Mwanamke Sio Mama yako Ishi nae kwa Makini.......Big up Janjaro
Kumbe unafuatilia vya home sana. Hahahaaaa nimefurahi kukuona pande hii
Big up B.dozen!
Mashaallah ongera dogo mungu upanga kila jambo mtangulize yye insha'Allah utafanikiwa
Sio dogo tena ni kubwa janja, hongera janjaro Allah azidi kukuteremshia baraka tele
bonge la interview Broo Nimemuelewa sana big up broo
Jaman wakwanza Leo naomben like hata kumi
Like mnazipeleka wap
My favourite 🤘
"nakaza ili nikifa wajue kwanini niliishi"
Nimekupenda bure big up janjaro😍
Huyu ni dogo janja ama diamond?
Napendaga sn mahojiano ya janjaro coz anajb vizuri sn anaeleweka big up kijana
Janja turudi zetu school mzee me mwenyew nimdishia 2 by January 2020 mungu aki bless narudi mzee
dogo janja ni mkali kuliko
DOGO JANJA AME BADILIKAAAAA ANEJUWA MZUUUURI BIG UP
Natamani siku moja Dogo janja afanye collabo Na vanessamdee wimbo kam regge fulani itakuwa 🔥🔥
v
uv
Kabisaa
Bonge la interview, dogo janja unajibu vizuri
Safi sana dogo janja mie nakukubali sana tena zaidi ww na king kiba yani nawaelewa sana jahaa bless
Safi sana. Janjaro
Nicee
Kali sana
Dozen, Kipindi kipo poa sana. Mi nakukubali kwenye maswali yenye akili. Na ninapenda utangazaji wako.
Naomba usibague wasanii wa WCB na Wengineo. Kipindi kitafka mbali sana. #DOZENSELECT
v
uko vizuri sana mdg wangu, naumejibu kiufasaha kila swali uliloulizwa hongera sana
I love you so much bdozen!! King of afternoon shows!!😍😍😍😍
Nimeipenda show na dogo uko vzr
Nimeipenda interview
Big up dogo janja w ni fire
Nimefurah leo jamani dogo janja hachoki kusikiliza jaman pongezi sana
Good interview
Big up Dogo janja pamoja n Dozen collection
Nise intevew
Pambana saana kijana
Bonge LA interview big up sana
Kazi nzuri
Tatizo ni tatizo ambapo utalichulia tatizo safi sn dogo
Nice interview
Daah nimeipenda interview yaani nimeisikiliza kwa makini
Janjaaaaro nom sn.
Nmecheka sana stori za janjaro
Salute Dozen🔥🔥
Mwz mungu akufikishe mbali abubakal, akupe hitaji la moyo wako inshaallah
One love my brother. May God protect you*
hizi ndio channel za maana. presenter haulizi maswali ya kiswahili kawa wale waswahili wengine. interview imetulia. background music tulivu. interior decoration iko standard. DOzen hajakariri maswali yote, maswali mengine anayapatia humo humo and he is leaving no stone unturned kwenye interview. Well done kaka!
Big up Dozen interview iko poa sana Dogo Janja 🔥🔥
Mungu akupiganie ktk kazi zako
Interview nzuri ever...next time tumia mic ndogo zile...izi kubwa kuna baadhi ya mambo zinalimit...
Yani dogo janja mimi nime cheka hapo kwenye shikamooo🤣🤣🤣
B, nashauri utafute lav mic zitafanya audio iwe clear zaidi.
Big up bro Nakupenda sana.
Dogo janja mungu akupe nguvu nauvumiluvu katika maisha yako.endelea kumpenda mama yako nauwapende watu wote.wakubwa kwa wadogo.inshallah
Dogo weeder anajieleza vizuri coz anaongea na Big boss