Uyu jamaa anajielewa sana poa na anajitambua dau liwekwe mezani sawa yawepo mazunguma ya makibaliano ndio poa siyo eende tu kamaanaenda shambani kulima shida yetu mashabiki tunachukilia kila kitu poa afu pia uyu ni Star uwezi mchukua Chukuwa tu kisa 👏👏👏👏👏👏✔️✔️✔️💯💯💯
Wabongo tuna tabu sana mwakinyo.anaheshimisha ngumi za bongo period kwanini Kuna watu wanachuki na hawakubali kitu kinaonekana cheupe wengine wanadai cheusi hizi korosho acheni mwskinyo is the best in tz na ana malengo yake ya kimataifa mistake kutaka apigane ovyo TU kama chizi haiwezekani na jingine msilolijua mwskinyo anajielewa sana na kujiamini na malengo yake mtakuja jua baadae keepin goin on Hassan all the best. champ.
Wewe ili waekewa tukuelewe.ungetuweka wazi.mashabiki kwamba kunapambano LA nje umepata kwahio.LA twaha lisubiri kwanza.lakini. umegeuka unasema wewe ndio.unatakiwa na twaha. We unamaneno yakike.namashoga zako wanaokusaport.
Wakati mwingine mashabiki.tuwe waelewa. Kwasasa utasema kati ya twaha na mwakinyo nani kamtaka mwenzake, mfano demu ulimtongoza akakataa we, ukatemana nae ukashika mambo yako. Mwaka umepita anatangaza anataka muoane. Mara. Unatangaza ndoa. Mara anasema nimepata bwana wa nje ..unakurupuka we, unatangaza ndoa yanini! sasa siushoga huo?? Acha hizo mwakinyo usimfwatex2 twaha na maneno.
Kbc kaka, maana anajua wenye mamlaka haki za tv watapata faida kubwa na je vp khc wao kama mabondia,,, Mpunga uwekwe wa kutosha ili kila mtu kati yao afaidike na hiyo fight... Marketing & Branding anaijua vizuri uyu jamaa
Mtu apende anapotaka hakatazwi. Lkn kwa kweli tuache chuki binafsi. Tz Mwakinyo number one. Haki yake apewe na sio kwamba wengine hawajui au vp noo. Hassan anapigana kwa kujua na kujiamini na anakuwa katulia sanaaa ulingoni. (Kujiamini). Mtu kama huyu ata ikitokea kapigwa bc tunajua ni bahati mbaya au kakutana na mwamba haswa.
Mi nashangaa sana kama unaangalia kalia yako basi achana nao watu wasio kufaa lakini sio kila mala unawazungumzia kukaa kimya jibu tosha sio kelele nyingi alafu wakikubali unakimbia kwa visingizio achana nao kaa kimya
Mwakinyo ni kweli ana mafanikio sawa ila anadharau hiyo mm ndy imenifanya nisiwe shabiki yake nitashabikia bondia ambae yuko chini kimafanikio lakini hana dharau📌
Kuna watu wanachuki humu wanamchukia mwakinyo sana apewe maua yake 🎉🎉🎉🎉
Mimi Pia Nilikuwa Simpend Huyu MDIGO Ila Kwa Speech Ya Leo NAFUTA KAULI YANGU
Ila @mwakinyo Sisi Walugulu Tuna Nzoso Na Wewe😅
Tumchukie yy kama nan ila ana itiker za kike uyo mwakinyo,aache maneno afanye kaz
yeyote nwenye mawazo finyu hawezi kumuelewa a nacho ongea mwakinyo
👏👏👏👏👏
Umeongea unwell mwakinyo we ndo number one Africa ❤❤❤
Kurukaruka kwa maharage ndio kuiva kwake Naona karibuni ataiva
Hpo umekanusha sio unwell sema well
Unwell😂 si uandike tu kiswahili
Mwakinyo ni brand kubwa wekeni dau linalolidhisha watu waingie kazini
Kipigwe Tuu faza, dau la maslahi liwekwe
😂😂😂😂 kaka unajua ngumi hongera sana
Eng.Hersi is very smart...,jamaa anaongea points na kwa hekima kubwa dhahiri inaonesha ni kiongozi mwenye akiri iliyopevuka.
Kwenye kuongea point tu, mwakinyo ni namba moja jamaa anajua kunyoosha maelezo
Kweli kbs mwamba yupo vzr
Sindomaan wengi wanamchikia 7bu anamsimamo tofaut na mabondia wengine
Me nampenda mwakinyo nakufa haswa😢
Sasa naaza kuelewa Mwakinyo
Uyu jamaa anajielewa sana poa na anajitambua dau liwekwe mezani sawa yawepo mazunguma ya makibaliano ndio poa siyo eende tu kamaanaenda shambani kulima shida yetu mashabiki tunachukilia kila kitu poa afu pia uyu ni Star uwezi mchukua Chukuwa tu kisa 👏👏👏👏👏👏✔️✔️✔️💯💯💯
Inabidi Yanga irejeshe Ngumi club kama zamani
Wabongo tuna tabu sana mwakinyo.anaheshimisha ngumi za bongo period kwanini Kuna watu wanachuki na hawakubali kitu kinaonekana cheupe wengine wanadai cheusi hizi korosho acheni mwskinyo is the best in tz na ana malengo yake ya kimataifa mistake kutaka apigane ovyo TU kama chizi haiwezekani na jingine msilolijua mwskinyo anajielewa sana na kujiamini na malengo yake mtakuja jua baadae keepin goin on Hassan all the best. champ.
Achana nao hao Kaka, mbona Jambo lipo wazi kuwa mwakinyo anaweza ❤💯👊
Dah' jamaa anajuwa Sana kujitetea wallah
Mwakinyo🎉🎉🎉
Ninakukubali sana Mwakinyo
Safi sanaa champez ume tisha una akili sana
Katika Africa mwakinyo ni namba ingine
Mdogo wangu Mwakinyo huyo Twaha Kiduku ni mtani wako kwa maana wewe ni mdigo yeye ni mluguru
Kumbe mwakinyo mdigo mwenzangu nakumendza sana kaka mwakinyo all the way from Kenya 🇰🇪 Mombasa
Eti mpaka leo Twaha chumbani kwake kuna chandarua!😀😀😀
😂😂😂
Huyo mwakinyo fala kweli eti bondia bado analala kwenye net 🥅kwahiyo hujui Morogoro kuna mbu wengi sana 😂😂😂😂
Hahaha uo ni umama
Umetisha #mwakinyo
Wambie Hassan,we sio kitumbua,Kama wanavyokuchukulia,achana nao na mapengo yao
😅😅
Mwakinyo acha uoga twaha alikutaka ukakataa. Juzix2 wewe ndo umemtaka. Sasa amekubali anasema promote ajitokeze tusaini. Ushaanza kusema. Twaha anakurupuka kukuhitaji. Mara hoo unapambano lingine kweli we ni mswahili.na unawaburuza wasiojielewa ..
Wewe ili waekewa tukuelewe.ungetuweka wazi.mashabiki kwamba kunapambano LA nje umepata kwahio.LA twaha lisubiri kwanza.lakini. umegeuka unasema wewe ndio.unatakiwa na twaha. We unamaneno yakike.namashoga zako wanaokusaport.
Wakati mwingine mashabiki.tuwe waelewa. Kwasasa utasema kati ya twaha na mwakinyo nani kamtaka mwenzake, mfano demu ulimtongoza akakataa we, ukatemana nae ukashika mambo yako. Mwaka umepita anatangaza anataka muoane. Mara. Unatangaza ndoa. Mara anasema nimepata bwana wa nje ..unakurupuka we, unatangaza ndoa yanini! sasa siushoga huo?? Acha hizo mwakinyo usimfwatex2 twaha na maneno.
Msenge anaijua thamani yake achaaa tu
Kbc kaka, maana anajua wenye mamlaka haki za tv watapata faida kubwa na je vp khc wao kama mabondia,,, Mpunga uwekwe wa kutosha ili kila mtu kati yao afaidike na hiyo fight... Marketing & Branding anaijua vizuri uyu jamaa
Duhhh😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna akili hapa🙌
Hasani nawewe unazingua kiduku wanini au uchawi ushamuingia we angalia mbele mwacha apambane nakatompa kwanza alafu ndo aje
😂😂😂😂😂mwakinyo mchokozi sana chumbani kunachandalua😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Mtu apende anapotaka hakatazwi. Lkn kwa kweli tuache chuki binafsi. Tz Mwakinyo number one. Haki yake apewe na sio kwamba wengine hawajui au vp noo. Hassan anapigana kwa kujua na kujiamini na anakuwa katulia sanaaa ulingoni. (Kujiamini). Mtu kama huyu ata ikitokea kapigwa bc tunajua ni bahati mbaya au kakutana na mwamba haswa.
😂😂😂😂 duuh aisee huyu mjinga ana maneno ya kukera sana
Wewe ndiye KUMA YA NYUMA. Huyo ni international Boxer hao wengine wanatafuta kick tu.
@@gibsonjosephat6352anatania, haina haja matus mzee, ni mchezo tu na mabondia wana taniana, wana kerana,kawaida tu
Hiyo miwani ni kali sana 😮😮
Mwakinyo upo vizuri tatizo lako mdomo mwingi
Mwakinyo ndugu yngu unaweza
Dg hersi atakufundisha kuishi nawa2 na maneno yakuzunguza kwenye media au au xem zawatu bondia mzr ila unajisahau xana
Wanamchukia Kwa mafanikio yake mdogo wangu Wana chuki Sana na mwakinyo
Mimi ni shabiki wa Simba deeply ila Rais wa Yanga ana akili sana anajua kuchunga maneno yake
Ety chumban kwake bdo kunachandarua😂😂😂😂
😂😂😂😂😅
Champeeez 🔥🙌🦅 mdomo lazma unalinda brand kama Wilda tu👋
😅😅😅wilda amechoka kapigwa Tena na Joseph parck😅😅
Mwoga TU ..wew
We kiduku atakuu wewe kama unaweza sign mkataba taratib zitafatwa
hassani unautani wa ngumi😂😂😂 nyumban kwake Kuna nini naomba msikilize mwakinyo 😅😅😅 international champion
Jamaa ana zarau huyuuu daah
Mwakinyo yuko very brave natamani hata kujua level ya elimu yake...... Anamajibu Mazuri sana
Ila mwakinyo,,,,,,!
😂😂bondia. Chumbani kwake hadi Leo kuna chandarua 😅😅
Siyu yule mwanajeshi sema yule bondia
Yanga inangumi pia ktk nembo zake
FACT
etii shuka ya kulalia haieleweki😂😂😂😂😂
Punguza chochoko Kama unajijua Kuna taratibu
HERSI UPO SAWA MKUU HAPO TZ WAPO WATU WANA UBAGUZI WA KIMIKOA TAIFA LAZIMA TUUNGANE
Wewe muoga..kama boxer pigana na twaha acha janja janja.broo
Mwakinyo wewe ni bendera ya Taifa kwa boxing... keep it up bro
Jamaa anajielewa
Kwel kabisa
Chandarua😁😂
Mwakinyo is 1🇹🇿
Mwakinyo mshamba tuu
Mungu akiamua hakuna wakupinga
Mwakinyo 🔥🔥🔥
Nmeskia kitanga hpo. Kma ni ivy mimi simuwezi.
Good 👍
Choko tu huyo
Hersy ana akili nyingi sana!
heris 💪💪
#Champz🙌🙌🔥
Kinywaji cha biharusi Leo yupo kujipendekeza kwa utoporo anataka kuwaimbia taarabu
Unajua kukera sana
Mi nashangaa sana kama unaangalia kalia yako basi achana nao watu wasio kufaa lakini sio kila mala unawazungumzia kukaa kimya jibu tosha sio kelele nyingi alafu wakikubali unakimbia kwa visingizio achana nao kaa kimya
Mwakinyo ni kweli ana mafanikio sawa ila anadharau hiyo mm ndy imenifanya nisiwe shabiki yake nitashabikia bondia ambae yuko chini kimafanikio lakini hana dharau📌
Mwakinyo kakonda saana
Champezzzzzzzzz🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Big up Mwakinyo
😂😂😂😂😂 kazoea kupigana ijumaa
Kwani kupigana Ijumaa ni dhambi?
Usije ukasaau tena begi mana unasingiziaga vifaa umesaau nyumban umbwa wwe
Mamayo wewe
Wakina dula wanataka ngumi za chooni
😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂chandarua
Kwa mimi nimezoea maneno na matusi ndio maongezi yao
Noma sana
mwambie huy asichanganye mpir ngumi
Me bn mwakinyo simuelewi kwa kweli
Kanye, unaanzaje kumchukia mtu ambae hakufahamu, nyie ndo watu mnaofanya ionekane kweli binadamu katokana na nyani!
Saw kaka tupigie mtoto wa ddc uyo akuna bondia mule
🔥🔥🔥🔥
Ndondi zinataka Tambo, mwakinyo pia anataka sana kuheshmisha boxing, kumuelewa ni kazi sana.
Unajua mwakinyo fundi sanaa wahizi kazi tusimchukie jamaa KAWAHI SANA KUJITAMBUA WATU HAWAJARAAA😂😂😂 chuki sasaaa😅😅😅
Tulijua tu huwez kukubal unachojua wew ni kuongea tu
Mwakinyo hahaha😂😂😂😂
HERSI MFUNDISHE DOGO JINSI YA KUONGEA
Mwakinyo ana ogopa kupigana na twaha mamaee
Huyo mlala kwenye chandarua wako hamuwezi champez wewe
Uyo jamaa ana taarabu nyingi snaa muoga
hamna bondia apo labda mipasho2
Msela mohoga huyu
Jamaa anajua thamani yake sana
dunga mawe ww
Waandishi wa habari wachochez
Mwakinyo mbangunjungwa sikonkodonko naiyeee
Huyu ni Boxer lazima amtambie mpinzani wake
Na lazima awe na maneno ya shombo
Sasa mlitaka awe na maneno laini????
Punguza kuongea sana sasa pimbi wew taarabu nyingi michambo kama kungwi bob
😅😅😅heti kama nihivyo simuwezi 😂😂 chamapz
Eti bondea mpaka sasa hivi chumbanii kwake kunachandaruaaa 😂😂😂😂😂
Hersi,team No failed
😅😂
Hersi unatuangusha sasa unatumia vibaya brand ya Yanga huyo muache ajipromote mwenyewe na jeuri zake sio jina la Young Africans
Tumia umoja umeangushwa wewe sisi wengine tumesimama acha ushabiki wako kwenye mambo ya msingi team twaha mbwa
Fact tupu🔥🙌
Ee mwamba