Nilimfumania mke wangu na mwanaume mwingine nyumbani kwangu, walikuja kufariki kwa kufuatana | Kovu
Вставка
- Опубліковано 6 лют 2025
- Maisha yana changamoto nyingi. Kuyaishi yakupaswa kuwa mstahilivu. Amri amekutana na mikasa mingi ya kuumiza. Amebaki na #Kovu ambalo haliwezi kufutika. Tunakualika kufuatilia mkasa huu
Huwa napenda vpindi kama hivi, asante sky , pole kaka kwa uliyopitia mitihani tumeumbiwa binadamu mungu ni mwema umenyanyuka tena ❤🇨🇭🇹🇿
Shoga!.
Kwa Mungu yote yawezekana👏👏👏🔥🔥🔥❤️🌞🙏🇰🇪.
I remember listening to those stories “sitosahau” on Radio Free Africa.I never wanted to miss any episode. I am so glad I have lived to see who was in charge of it all. Keep on 🏆 , keep climbing 🧗.
Hii ndio kipindi babu kubwa. Big up Bro SKY na team nzima ya SnS🙏🏾🙌🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Kusema kweli ukiangalia mda kabla unaonekana mrefu lakini ukianza kutazama unaona mda unaenda kasi.
big up guys.......wale wakenya vidole juuuuuuuuu
Stori nzuri and I learned something, your aggressiveness in life is dope. ila kumloga your sibling 4 material stuff is beneath you 😎..😳😳jamani SnS weka hapa bottle of water mezani. Guests watapaliwa siku ya siku,.. 😆😂😂😂
Naam! Hii sasa Skywalker, utapata wafuatiliaji wengi sana, greetings from Ontario
Story nzuri Bro pole sana na matatizo, wana SNS - imagine HEADING Ingekuwa Nilimfumania mke wangu Nyumbani kwangu,nikamloga akawa chizi..
ha ha ha, heading kali sana
Nakukubali sana brother
Huu Ni mpango mzuri Sana. Tumekuwa wote tangu SITASAHAU. unazijuwa kazi yako. HONGERA SANA BROTHER
mwanalushoto mwenzetu huyu like nyingi kwake
Kaka hongera sana na kipndi hii maaana makovu yapo mengi sana na kila mtu anahistoy ya kipekee
This is wonderful hii story inahuzunisha na kufundisha sana pongezi sana kutoka 🇺🇸
Duh kweli nimeamini maisha ni safari na kila msafiri anajua alipokanyaga/kukanyagwa, kibaya na kizuri hata ufanye vipi #kovu/kumbukumbu lazima zitasafiri na wewe mpaka mwiaho, na ili uwe umeishi/umesafir safari ya maisha mpaka upitie/upande
milima na mabonde.
#Pole na hongera kwa uliopitia kaka.
Hongera sana umejitahidi kujikwamua na maisha ila jitahidi kumtafutia tiba kaka yako. Mali umezipata tena ulikosea sana.
Mtangazaji safi sana,lakini weka na kikaribisho cha maji hivi kwa sababu ni kipindi chako ni kirefu.
Safi hata mimi ni mdau sna wa hizi story aiseee hongereni sns kwa kuturudishia hii rahaaa tutawasapoti mpaka kufa we love you
Wow from Kenya I love that may God continue to bless you always 🙏❤️
Nice one
Wooooow Ahsante Kaka sky kiukweli kipindi cha sitosahau kilikua kizuri sana story za wale vijana walio zamia South Africa, na simulizi zingine za vijana ambao tunakumbuka ilikua very hot RFA(Radio free Africa) ilikua Hatari sana enzi hizo
Wonderful shōw! Dah kijana kapitia mengi maskini, still very positive Watching from Oman.
Yeeeeeeh🙌🙌🙌🙌Duh🤔🤔Kumbe was you....!!!!!! BRAVO Br./Wana SnS... Good PRODUCT..
Nawakubali wagosi aisee from Iraq
Hongera shemela vile nawapenda
Kizuri sana🙏👏👏
Du!! Pole sana na hongera sana
Safi Sana brother sky since when I was young
Duuuh kumfanya mtu awe chizi ,hapa nako syo , Ila mtu akikufanyia Jambo lazima uwaze Jambo hilii , Ila mungu endelea kunipooza moyo wangu bado unavitu vingi 💉💉ninauchungu sanaaaaaa
Mungu azidi kukufungulia kila hatua dua
Big up Kaka nakujua unavyopambana Mungu atazidi kuinua
Amoor umepambana well done
NAITWA ZAKAYO HUYU JAMAA NAMFAHAMU KITAMBO SANA,KIPINDI NIPO BUNGONI KULINGANA NIMUDA MREFU, NILISUBIRI ASEME KAMA ALISHAWAHI FUNGUA KIJIWE BUNGONI STENDI CHA KUUZA PIPI SIGARA N.K,JAMAA ALIKUWA MCHESHI NA MCHANGAMFU SANA NIMEMKUMBUKA SANA.
Jamani nikweli unayosema alikuwa na kijiwe bungoni mpaka usiku pipi na sigara
Bonge la show brother Fred hongera na KOVU
Daaah naikumbuka sana sito sahau ya RFA, , asante sana kutuletea Kovu
Mariam.alimpataje.kwakipindi.kirefu.ivo.ukweli.umetupa.moyo.mungu.akubariki
You're my favorite fredric bundala nakuelewa sana bro
Hayo ndio maisha lazima ukutane na changamoto
Naipenda san sns na nna shaur kitu kwenye jina la kipindi! Nashaur ungeangalia jina linalosisimua ili mtu akiskia atake tension na awe na feeling flan iv mfano "sito sahau" "njia panda" ushaur tu kama mwanafamilia
Tupo pamoja na mungu akutangulie #foreversns
Sitosahau alikua anatumia kpnd yupo radio free njia panda pia kuna radio wanaitumia but kovu pia sio mbaya
Polesana mtanga mwenzangu kwamajanga nakunakitunimejifunza kusamehe ni jambokubwa n'a kwamungu kunamalipo makubwa
Mimi ni mshabiki wako sana bro kipindi kizuri sana tena sana. Na the business Allah akubariki sana. Ukusema lini tutapata Kovu nyingine. Kutoka Muscat Oman
Yaaap tulikua tunakuelewa sanaa kaka na mpaka hapa bado tunakuelewa toka kule kwenye zile story za Gambushi kk
SUBHANA ALLAH😭
WANAWAKE TUACHE TAMAA JAMANI . ALLAH ATUONGOZE VYEMA🤲🏻
Nakupendaga sana fredrick bundala
Sky wape hata kikombe cha maji hapo maana simulizi refu mpk koo linakauka
#Diamond Platnumz muajiri brother huyu SkyWalker aisee kuanzia mida ya saa mbili pale wasafi hakuna kipindi muda huo.....Itakuwa poa sana boss.
Mtu anatengeza media yake unataka akaajiriwe tena
Unachekesha badala amuuzie kipindi unasema amuajiri unajua hela anayoingiza hapo
@@tutiwatuti ww ndo msemaji wake???
@@ginnimoreno6239 ww ndo msemaji wake???
Pole sana kwa mtihani ya kidunia
Mtoto mdogo watoto 8 😁😁😁😁😁😁hongera brooo
Binadamu Bwana, Yani unamroga nduguyo na unajisifia. Daaah. Wewe unaweza mtoa mwanao kafara kwa ajili ya Mali. Wewe si mtu mzuri.
Kaka hii ni kubwa sana!! This is the sky walker i know!!
For sure
Number yake ya sim kwa ajili ya matangazo
Asalam.aleykum.pole.sana.kka.kwa.yalokufika.ila.usione.wanawake.wote.ndio.kama.hao.uliyopitiya.matatizo.ila.tu.kka.ulikosea.pamoja.kumfanya.mtu.chizi.bora.ungemuachia.mungu.allah.ndio.hakimu.wa.yote.una.jukumu.kubwa.kka.utakwenda.kuulizwa.unajuwa.kama.watto.mke.wake.wanateseka.apo.kama.kazini.mke.una.makosa.zidi.kumuomba.allah.kka.akusamehe.ok.shukran.kka.na.muandishi.wa.kipindi.tupo.mbali.ya.tz.ila.tunapata.yote.ya.nchi.kwetu
Ngugu akikudhurumu roho inauma sana. Waraah ngumu kupoa. Mimi mwenyewe mdogo wangu kanidhurumu kiwanja changu. Waraah kila nikikumbuka moyo wangu unawaka moyo sana. Na nikikumbuka nilikotokea nilikopita mpaka nikapata waraaah inauma. Usiposema na moyo wako waweza muendea huko ujiji
Pole my pia usiamini sanaa watu kwenye pesa au vitu wanakosa uaminifu kabisa...
Nakukubali sana sheikh
Mdudu longtime kakaaa ......baba mamuu
Safi sn na mm nayangu sito sahau
Alhamudullah kwa kila jambo
Polesana
Mr Frederick Keep On GoodWork..💜🙌
Waaau!!! What a hardworking guy! ,keep it up.
Big up kwako brother Fredrick bundala bonge la kipindi
JaAman khairat njoo Kwa Baba ako ukimaliza Masomo alau kumsalimia t
Kaka uko vizuri ila pamoja na mabaya alokufanyia naumia ulivomfanya chizi tafta namna ya kumrudisha kwa Mungu hakuna linaloshindikana
To be honest we need Jesus.very shocking story watching from Canada
98uwiiii kitambo
Jesus couldn't save his own self akapigwa hadi kafa ndio atasev other people?
Ningekuwa na fedha kaziyangu ingekuwa ku promote hizi mikasa zaukweli kuanzisha kukundi cha movie nakuanza kucheza movies kuusu hizi mikasa zaukweli nahisi ningekuwa napiga mkwanja mrefu
Dahh mm pia nilikua nafikiria hilo maana unaweza tengeneza bonge la muvi
Excellent thinking
Sanaaa
Gonga like Kama umefurahi kumfaham mr Sky wa radio free Afrika ktk kipindi cha sitosahau huyu jamaa alinifanya nikariri simulizi zote kila Jumapili
Nashauri jambo moja muwe mnaweka HATA vinywaji au Maji Maana MPK wanakauka makoo.
Mimi nimekuwa wakwanza kukoment
Ila jamaa ana ndere, kila hatua anapata mwanamke tena mwenye umri wa kumzidi
Dere ni nn?
Ndere ndo nyota au
36:32 wajina baada ya week mbili watu wakaanza kuanguka km migomba aaaah we noma🤣🤣🤣
Hongera sana bro tupo pamoja endelea kutufurahisha kipindi ni 🔥🔥🔥
Kutoka burundi🇧🇮nafatilia sana habari zako kupita kiasi
❤️❤️ from Bujumbura 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Frm nimependa... ww ni mchapa kazi endelea hivyo hivyo
Atakutafuta tu mwanao in shaa Allah
We mzinguaji
Hakika Mungu wetu anajua zaidi. Toka Kwa Zabron Hadi SnS. Be blessed.
Mwana SnS Tawi La 🇰🇪
Tupo Sambamba Na Kovu 💯
Pole maumivu na changamoto ndio hufanya mtu aijue zaidi dunia na kumkuza kiakili na pia kujua aina za watu walio sahihi kwake
Hatujaelewa mtt maryam ulikutana nae vipi baada ya kupoteana kipindi kirefu yy na mama ake wakati ww uko gerezani
A alaiykumm warahmatullah Kaka samahani Sana naomba msaada wako tafadhali na mm unitafute Kaka na mm Nina Kovu kubwa Sana Wallah,
Daaaaah
Maisha yanachangamoto
Love from 🇺🇸
Asante bro sky
Stori inafundisha Sana.. Never give up
Pamoja 🤝🤝🇪🇭🇪🇭
Dada unafika ad uku hhahaaa
@@aiyamhassan1321 eeee kipenzi🤣🤣🤣😋😋
@@aiyamhassan1321 umeshndaje😋😋😋
Nicee kbs courage from burndii🙌🙏
Tupo pamoja Sky 🌌
Daah story tamu balaaa
Noma sn,Pole sana bro
Amri the Business ni balaa... ukishikamana nae ni aitha ufe au chizi.
😃 uko unamfahamu
😢😢😢 mim ndo nishakua mpenz wake
Bro sky
Barikiwa unatuletea vitu vya kutujenga
Bro Rama madilu ashafariki bwana jamaa kasaidia Sana watu tajiri wa makabichi na dalali wa makabichi
MIMI MWENYEWE NINA MAKOVU KAMA YOTE NATAMANI KUSHEA NA WATZ NA DUNIA KWA UJUMLA
Duuuuuu maisha bwana!!!!!!!
Mcheki SNS
jamaaa nimegundua wewe siompambanaji maana kila unacho pambania wanawake ndo unategemea wakunyanyue nda ndamana unawatoto wengi na wote wana mamazao , yani umelelewa na wanawake maisha yako yote . ww sio mfano wakuigwa. mwanaume unatakiwa kupambana sio kulelewlelewa na wanawake. but tumshukuru mungu pia kwakua unaonekana mtulivu pia.
Duh kitu na box uchizi safi sana
Duu,huyu jamaa,Hakumroga mwanamke aliyemfumania,kamroga dada yake aliyemuuzia Mali zake😂😂😂😂
Kamroga Kaka si dada yake,
Umenichekesha kweli Mali vs Mke , umetisha Steven Bigho
Jaman hakukurupuka aliuliza mare 3 yan Bora mtenda ubaya angemtafuta wawili wakayamaliza pengine ngeendelea mfiliri but all in all ni hasira tu mwenyez mungu awasamehe na amtafutie tiba kaka ya Amin
Nimeipenda saaana diamond muajiri huyu kaka
Aujawaona utamu wa kujiajiri wewe aswa ukiwa unapiga hela achana na frikra za kuajiriwa jamaa Sasa ivi anapiga mpunga mawazo duni kwamba ili ufanikiwe lazima uende kwa flani
Baba Mariam umenichekesha Sana
Daah aisee watanzania wengi tuna pitia changamoto maishani
Sky Kuna story moja ulituacha hewani sitosahau rfa... Yule jamaa jambazi wa kigoma
Machozi yako hayakudundoka bure mungu analipa kwa wakati na yapo kwa wengi
Young father
Mwambie mimi nampenda sana👌😀
Unampenda nani sasa wewe mtoto
@@ibrahimngurungu5607 nampenda Mdudu😍
mdudu huogopiii
Mpenz wangu huy dad kua makin
Safi Sana ayo ndio mambo
Dahh maisha ni safari kweli nimeamini
Aiseeee story taam sana