KUGUNDUA KUSUDI LA MAISHA YAKO: JOEL NANAUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 42

  • @wadauwasizoni
    @wadauwasizoni 5 місяців тому +1

    Joel nanauka Mungu akubariki Sana sema amen nafurah.Hakika umenifungua akiri

  • @PeterAlly-zr4di
    @PeterAlly-zr4di Місяць тому

    Asante mwalimu wangu

  • @user-om7pl9xm4s
    @user-om7pl9xm4s 5 місяців тому +2

    Exactly sir %% respect 🤔🤝✍️

  • @ayofrica_
    @ayofrica_ 2 місяці тому +1

    Nimekuelewa ila kuna watu hatuna both of them.

  • @HalimaAmadi
    @HalimaAmadi 4 місяці тому

    Swali la (1) ningechagua kuishi katika ndoto zangu kuwa muigizaji mkubwa duniani, (2) ningetamani kufungua vituo vya ma single mom ili kila anaefikwa na hiyo hali nimsaidie juu ya kipaji chake au ujuzi wake iwe rahis kwake kulea watoto wake, (3) napenda kufanya nilicho nacho ili nifikie pale ninapopatazamia, asante sana

  • @neemaryan9947
    @neemaryan9947 5 місяців тому +1

    Asante kaka Joel naomba kuuliza kati ya passion na professional kusudi la maisha ya mtu linaingia wapi hapa kati ya hivi viwili?

    • @Geoffreystanley-tk2tj
      @Geoffreystanley-tk2tj 4 місяці тому +2

      Kusudi la maisha ni passion, na passion ni kitu ambacho huwezi ukaki control kihisia yani kinakusumbua kichwa na huwezi kukaa mda mrefu bila kukifanya na kukiacha mfano unakuta mtu anapenda kucheza mpira yani hata asipolipwa moyo wake unajisikia amani na ndani unasukumwa kufanya ivyo mara kwa mara hata kama ukakatazwa lakini proffessional ni kitu unachojifunza au kusomea mfano ukaenda kusomea udaktari hiyo ni proffesional na unaweza usiwe na passion ya udaktari ila ulienda tu kwa sababu nyingine.

    • @neemaryan9947
      @neemaryan9947 4 місяці тому

      @@Geoffreystanley-tk2tj Asante sana Geoffrey

  • @johnbanda6601
    @johnbanda6601 5 місяців тому

    Barikiwa sana kaka...umenikumbusha na kuniamsha akili yangu.

  • @EdsonPaulo-mn1hd
    @EdsonPaulo-mn1hd 5 місяців тому +3

    Nina uhitaji wa vitabu vyako lakini sijui namna ya kupata naomba unisaidie Kaka

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  5 місяців тому +4

      0762 31 21 71 tuwasiliane

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios 5 місяців тому +1

      Au kama upo dar es salaam nenda pale Flyover ya ubungo kituo cha njia panda ya chuo kuna duka pale mimi huwa nanunua pale!

  • @erickathanas
    @erickathanas 5 місяців тому

    Thanks bro Joel somo limenibadilisha kaka

  • @DieudAmour-yr3iy
    @DieudAmour-yr3iy 5 місяців тому

    Asant sana kwa Video hii coz kujua haya ni mwanzo wa kuishi tena

  • @ayofrica_
    @ayofrica_ 2 місяці тому

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 5 місяців тому

    Hakika Mungu akubariki sana kaka ❤

  • @MalumeDiofu
    @MalumeDiofu 15 днів тому

    biashala ndyo kitu nafanya uku na enjoy naww toka niaze kukufuatilia naona kabsa ndoto zangu son zinatia nakushukulu sna naitaj kitabu chako

  • @ShukraniMpembela
    @ShukraniMpembela 5 місяців тому

    Tunashukuru Kwa maarifa🙏

  • @KalabaKlb
    @KalabaKlb 5 місяців тому

    Cha kwanza kwangu Mimi nita baki kuwa mufanya biashara mukubwa duniani, pili siwezi kubali kuondoka duniani kabla sija jenga vituo kazaa vya watoto yatima, tatu niku wafunza wengine ili wafanikiwe,najitambuwa kuwe mimi ni baraka kwa wengine,, niyale tu kaka Joël Nanauka, kitabu cha kutimiza malengo ndicho nakitaka kk

  • @GTSReal
    @GTSReal 5 місяців тому +2

    I'm waiting for this very much

  • @arafatyhussein
    @arafatyhussein 6 днів тому

    Kuendesha ndege ✈️ 5:10

  • @user-is5xi3ve2r
    @user-is5xi3ve2r 5 місяців тому

    smart one from GOF

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 5 місяців тому +1

    Natamani kupata kitabo chako lakini niko bali sasa nitakipa vipi?

  • @KalabaKlb
    @KalabaKlb 5 місяців тому +1

    👂

  • @20presenter
    @20presenter 5 місяців тому

    Namna gani nitapata vitabu vyako aisee maan najua kupata pengine siwezi labda umbali lakini soft ntapataje

  • @nikolausmnanka9362
    @nikolausmnanka9362 5 місяців тому

    Upo vizur kaka

  • @ruubenjr-gr5qx
    @ruubenjr-gr5qx 5 місяців тому

    asante kaka

  • @user-ky8ym2oz4d
    @user-ky8ym2oz4d 5 місяців тому

    Asante mwalimu

  • @elijahbuantai4766
    @elijahbuantai4766 5 місяців тому

    Nice one bro

  • @musaniwabouwambajimana6975
    @musaniwabouwambajimana6975 5 місяців тому

    Naitaji kuongeya nawewe

  • @javanskiti5911
    @javanskiti5911 5 місяців тому

    🙏🙏

  • @Sumay228
    @Sumay228 5 місяців тому

    Kusaidia wahitaji

  • @mchattachattanoga7795
    @mchattachattanoga7795 5 місяців тому

    Kaka kunakitabu kinaeleza hii tropic naweza kupata nijifunze zaidi

  • @emanuelavaleriani8646
    @emanuelavaleriani8646 5 місяців тому

    Mimi nachukia uchafu nimesafiri mikoa mingi nikipita kwenye miji naona taka kila kona, mitaro ya maji taka sio salama huwa nachukia sana, najiuliza hawa viongozi na wananchi hawaoni

    • @CalmOysters-im5lh
      @CalmOysters-im5lh 5 місяців тому +1

      Anzisha kampen ya usafi viongozi utawaonatuu

  • @paulinalerise684
    @paulinalerise684 5 місяців тому

    Ndugu, natamani kukutana nawe, niongee nawe kwa nusu saa tu, ili nijifunze kitu. Naamini kukutana nawe ana kwa ana utanielewesha vema. Inawezekanaje? Tafadhali naomba utaratibu wa kufuata....

  • @Glatus1000
    @Glatus1000 5 місяців тому

    Neno

  • @CatherineJacob-yt5sy
    @CatherineJacob-yt5sy 5 місяців тому

    Ningechagua kuwa model,
    Ningekuwa na uwezo wa kuwa na biashara ili niweze kuwasaidia watu ambao naona kabisa wanahitaji msaada

  • @johnjoho4530
    @johnjoho4530 4 місяці тому

    Kaka msaada wa namba zako ili nipate vitabu vyako

  • @franciskamau3057
    @franciskamau3057 5 місяців тому

    Where do I get your books in kenya?

  • @user-nr2mp8yb1o
    @user-nr2mp8yb1o 5 місяців тому

    Kuwa mchezaji mkubwa