TULITAKA KUPEWA MILIONI 250 ILI TUPIGANE| SISI NI KAMA SIMBA NA YANGA| MIMI NI BORA KULIKO MWAKINYO
Вставка
- Опубліковано 16 лют 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
UYU NDO MWANAUME WASHOKA LOVE KIDUKU UNAJUA MPAKA UNAKERA YANI
swali kwenu kama twaha anajuwa nani Kati Yao mwenye mkanda wa wbf wa afrika achenu ujinga wa Kula makopa mkishiba mnabwata
International ni kimataifa lkn pia inatazamika unapigana na bondia mwenye Renk gani uwezi ukapigana na bondia wa promotion kama Mandonga alafu ujiite International
Hasani na twaha wanajuana na hawa jamaa wanataka kutengeneza pesa, aidia ya hasani , ila kiukweli nimeipenda hii, kama mashabiki Wana kelele dawa kelele zao nikupiga ela
😊😊😊😊Mwakinyo mtu kazi
Mwakinyo mbona anashinda uko nnje
Ajiaamina uyooo bado sna
Twaha yuko pw.sanaaa
Ninyi wa bwataji wa mitandaoni tambueni kila mchezo Una Sheria zake kaulizwa nani mshindani wako Tanzania kadai eti pambano wanalotaka watanzania ni yy na mwakinyo ww twaha cc tunaofatilia ngumi Sheria ndio inayotakiwa isimamiwe tu
Twaha si wa kumkariri, muulize dula na yule jamaa wa afrika kusini.
Jitahidini mmwite na Mwakinyo "Chapes"
Namkubali
Mb zangu azijaemda bule MI ni muhaya wA bukoba kagela mama yangu alizikwa apo morogoro makaburi ya kola ivo twaa Mimi na mama uko aliko ushindi mchape mwakiyno
Ww mwakinyo ni hatari Sanaa aiseee
Ukimtizama anavyoongea tu unagunduwa Jamaa Anajuwa jinsi ya kuongea Public na Akili sana. Ila angekuwa yule mwimbaji wa Taarabu kutoka Tanga sasa mweeee 😂😂😂
Talented boxer ni mmoja tu. Hassan Mwakinyo
chiz ww
Tim Twaha Kiduku🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mbona Mwakinyo alishinda kwa KO kule Uingereza? Tela alimpiga Sammy Erghinton. We sema ukweli kwamba ulidundwa Poland. Acha uchawi dogo.
Ndo maana hamo alikupchapa
Kamwakinyo kanaogopa ukikauliza kuhusu pambano Ilo kanataja era twaa ye anataka eshima ata akipoteza poa tu Wala ajali
Wewe unahamu na mwakinyo wakati hata kwa seleman kidunda hutoboi
Mwakinyo atakufa hapa knock out
Kwani baba levo nimtangazaji?
😂😂😂😂
Mbona kiduku Suleiman kidunda bado humuwezi kiwango chake ikiwa uzito wenu ni sawa
Tena huyu cku akijichanganya kwa kidunda atakufa
@@AbdillahiLulinda 🤣🤣🤣
Siku ya kukutana na mwkinyo pamoja na twaha kiduku nawatua makofi wote wananijuwa wanajuwa mimi ninani tena nwasaka kwelikweli niwatie makofi mawili matatu niwatowe mawenge kwanza washamba awo wanakngea ongea tu niekekezeni wanakopatikana nikawatowe mawenge
Naam
Huyu kiduku atakiwa akacheze nnje ya inchi
Wewe pua kubwa muòngo subiri mondi akuchezee matako
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mwanangu Dula Kapata kitongaaa😂😂😂.
Hawa wote siyo mabondia wazuri kiuchezaji , sitegemei kama kutakua na pambano la kuvutia hapo
Ngumi jiwe mlingoti chuma jichanganye mwakinyo😊
Hakuna wapiganaji hao ni warusha ngumi...yani hawana mbinu kabisa...wanachoka haraka...wala huna hamu ya kuangalia mapambano yao
Mwakinyo huwezi mshindanisha na huyo macho kupinda wew
Ni kweli bondia wengi wa inchi zakizungu hutumiya steroide kujibusti.wanajiongeza round 12 bila mchoko.ila mazowezi nayo usaidiya.
Kumbe mashabiki wa mwakinyo wanamfatilia twaha kiduku hongereni san
Twaha ni mtu humble sana,ila technically ni mbovu sana anaamini kwenye ubaunsa kuliko mbinu...
👈 Shauriako
Ngumi nitekniki apo atuwezi kua mbabe nani kama awajapigana
A me ata sijui nini kinaendelea
ila baba levo ana ufala sana 😂😂😂😂
Kama twaha unataka kuendelea kuishi acha kumchezea champezzz atakukiliii na wewe unategemea ...ukithubutu huna kichane Cha meno
Ss nyonyi mnamuoji mtu ambahe ataajuhi what the meaning intonation....?
twaha huwezi mpiga mwakinyo nakataaa
Acha uwongo ww bondia wangapi wameshinda nje na wanatangazwa vp alokupiga msauthi mbna alipewa ubingwa?
Bongo swaga nyingi awawezi towa izo hel mwisho wapambano viswahili
Kiduku Hana lolote akajifunze ngumu tena
Mlugulu ubishi kawaida yao
Nikiangalia styke ya uchezaji kwa mabondia WOTE wawili, naona pambano litakuwa VERY VERY BORING ONE EVER
we uwezo wako unauereza hapa tunae jierewa tunajua nje auendi kwajili uwezo wako nimdogo sana ndomana unafos bongo ukimpiga hasani wewe niite ngulue
😂😂😂twaha hana lolote
Ww jifunzi kiswaili kwanza
Akili huna ndo maana hata lugha tu inakushinda
Jamaa yuko vizur
jamaa namkbal mwakinyo na mkbali Ila mwakinyo maneno meng ya shombo
Twaha wacha tamaa ya Hela Ila jambo liko wazi humuezi mwakinyo ndugu yangu Ila nakukubali Mwamba Wa moro hauko vibaya
Uwezo waku shinda nnge huna kiduku
HAHAHAHHA ETI MBAKATI
Kwa ngumi Mwakinyo yupo juu sn naata Twaa moyon analijua ila kama Twaa anavigagula apo Sawa ila kama ni ngumi Mwakinyo yupo juu sn
Twaha,nakuhakikishia huwez kumpiga mwakinyo,nimeangalia fight zako nyingi,hauwez kumpiga jamaaa,nataman sana fight yenu
Uko pamoja na mimi kaka huyu jamaa kurupu kurupu sana harafu hachelewi kuchoka hamuwezi mwakinyo huyu yule master wa game kubwa
tatizo la huyu ni miguvu kulukundu yaan hitumii akili kweny fight zake
PAMBANO LA MWAKINYO VS KIDUKU LITAJAA UCHAWI KULIKO UWEZO HARISIA KILA MMOJA ANATEGEMEA MGANGA WAKE
Umepatia sana
Unapewa ela mboga kwa kua ujielewi ndio mana lkn Mwakinyo ana misimamo ya kazi yeke ndio mana anakuja ndefu.
ila babalevo una zinguwa sana 😂😂
Warusi htarii
kabisa wa Russia ni noma ukanda ule wote masugu 😂
Kamwakinyo kanaogopa ukikauliza kuhusu pambano Ilo kanataja era twaa ye anataka eshima ata akipoteza poa tu Wala ajali
kinachomfanya bondia aonekane anajuwa ni mapambano anayopigana tena Kwa hadhi ya mkanda wala sio maneno swali kwenu lini twaha kaenda nje ya nchi kupigania mkanda?