ALIKIBA: SINA RAFIKI MSANII, MARIOO, MUZIKI WA AMAPIANO HAUNA UJUMBE, GABO ANA KIPAJI KIKUBWA
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Big up King's
King kuja Kenya nikuone na Mimi nime toka Congo 🇨🇩 kwa sasa Niko Kenya kuja my king 🔥🔥🔥
Mambooooo
Alikiba ni mmoja tu ❤❤❤❤
Unatisha KingKiba 🙌🙌🙌🎩🎩
Ally unatisha sana🎉🎉😢😮😅😊
Yaan wiki ilopita yote nilikuwa Nairobi, Muziki wa Watanzania ni mwingi kweli kweli. Nyimbo za Alikiba na wasanii kadhaa zinapigwa kila kona. Congrats ndg kwa kuwa mabalozi wazuri. Kwenye play list ya Qatar Airways Alikiba na Lady JDee mmo ndg zangu. Nilifurahi saana kukuta majina haya maana ile ni 5 star flight company isee
kumbe waandishii wakilishwa wanahoji vzur
Chezea buree hahaha
🤣🤣🤣🤣
😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sasa?
Alo be vidu kiba cito aci bela
Maji muhimu😀😀
Huyo dada analiya mkono wa kushoto
Uyu brother anae mhoji Alikiba Yupo Bomba na kz yake makini Sana na maswali yake
Presenter ametulia katika kazi yake
wala hafkirii nyama😂
Kipenzi cha kila mtu hana ubaguzi sasa huyo utamfananisha na swala wa tandale kwa majizi huyo mtoto wa k/ koo bwana king kiba saruti sana ali
Mariooo kamaliza nyama ndio akaondoka😀😃😃😃 Totobady
Mjinga Kabisa Omar 🤣🤣
😅😅😅😅😅😊😊😊😊
K2ga mbona haonekani mwambie aache roombaya
Kiba nimemuelewa kweli point yake rafiki niyule kwenye shida na raha mnakua pamoja ila rafiki wa kwenye kazi ndo Hao rafiki wa juju ila rafiki wa kweli ndo Hao kwenye shida na raha
Kwani msanii hawezi kuwa rafiki wa shida na raha?
Meaning hata wasanii wake sio marafiki zake ??
That's why hawapei promotion and the investment they need the guys to grow???
So why have a Lebo and yet U don't want to be frndz with Ur own artist??
What about mwana FA na yeye sio rafiki yake coz he is a musician... Huyu Jamaa aangalie kauli bana
@@kasejaKing Kiba kanukuu 'Rafiki ni yule anayekuwepo wakati unamhitaji.' Marafiki wengi wa King wamekuwa wanafiki kwake akiwemo Dimpoz, Mwana FA, Barnaba na wengine wote walioenda kwake kujirebrand nakutoroka badae.
Ndio maana daimond amemuacha mbali Hana hela ni maskini anatia aibu maskini mshamba wa Cinderella
@@laj1699Mwana fa anajua ndio mtalaamu wa mashairi misamiati na misemo huyo maskini mwenye roho mbaya Hana hela anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi mshamba wa Cinderella
BatA jamaa wanakul
Nacho kupendea kiba huna mashauzi big up bloo
Nilikua natazama sinia muda wote nashangaa haliishi au mmezisomea hizo nyama 😀😃😄😄 maana watu wanainama wakiinuka nyama 😀😃😃
😂😂😂😂😂😂😂
Hahaha niilikua najua naangalia mwenyew
Hamna macho wala hamsikii mbona me nimeona sinia ya pili na wamesema kabisa round two na imetolewa imewekwa nyengine kumbeeee ndio maana wanafumzi wanafeliiiii, shule moja darasa moja walimu ni haohao ila wapo wanaotka na zero na wapo wanaotoka na 1😊
Daa huyo mdada anaongea vizurii sana. Sauti yake nzuri
Abdhalla salamu kwanza ndio ule bana
King himself
King kama king..
Nakubaliana na king amapiano ni mzk rahis mfano mzur chino anatembea na beat hamna anachoimba
King Ally Salehe Kiba🔥🔥🔥💓💓💓💓💓💓💓30.07.2023
Marioo anakula kwa Kasi ama anazani kitaishaa na huyo mwamba wa kofiaa ni nikuyasombaa sana
Nakubali msosi huo 🔥💯💪 Alikiba Marioo Big up sana 👊👊
King kiba🇹🇿✅❤️❤️❤️❤️❤️💐
Nimewa yinipeni liké yangu
Tukikupa likes na ww utatupa jicho?😋😋
Marioo aongei 😂
Mr blue na aby skils kwenye maria
Nakuelewa sana alikiba ❤❤❤ endelea kaz nzuli
Ni kuku ama ni nyama gani iii mlo
Hizo nyama daaaaah
Ki Spana hatà hakipig story😅
Uyo demu wa wapi anakula na nkono wa kushoto kudadadeki
Uyooo alieva nguo nyeusi mwanamke anakul shoto tu
Huyo Dada kwann anakula jaman na kushoto , naomba mkatazeni
Vnye amekaa usimulaumu
King kiba hongera kwa kazi nzuri nakukubali sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Show love for collegue as long as God blessed you that's is law of nature
Kiba kaon watu wanazid akashika mkononi
😅😅😅😅😅😊😊😊😊😊😊
Dada Hilo Sinia unaona mapaja tuu duu wachee na wenzako
Mroho
Anashindwa kula vizurii na Ali kiba
Huyo dada wa wigii haulizi vzurii anafukiaa tuu
😂😂😂😂kazi nakulaa
amesahau kilichompeleka pale😂
Anatetemekea chakula mnooo na anakauroho
Alikiba💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚👍👍💚
Oya izo nyama niaje
😂❤❤❤❤❤❤
Mfalm king
Mwamba💪💪💪
Tunatak kolab za kimataif xax hiv
King on top
king tuna kuitaji kwetuu kigoma tume kumiss mnoo king♥️♥️♥️
Hana hela maskini 2 aibu maskini hanajipya hanarafiki Msanii anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi
Mmmmh
@@JumaJoseph-t4jmana wamlisha ww na kumvisha ww kila cku paka mweusi
KWELI NYAMA ILIVYOISHA KILA MMOJA KASHIKA ZAKE😂😂😂
Enjoyini washikaji wangu jamani
Mrarueni bata virivyo juu ya kagumzo
Diamond platinumz huyo😅😅😅
Maisha mafupi haya na matamu😅😅😅
Hajaelewa swali huyu ali nae
Moco amekuja kucheki nyama amekosa😂😂😂
Hiyo pia mimi nimeona😅😅😅😅😅😅😅
Nyama ilivyoisha kila mtu kashika zake
😂😂😂😂wew unajua kusoma Ramani
Binadamu kamili huwez kutokuwa na rafk bhana acha zako, sasa unajitenga mwenyew wakat hao ni wasanii wenzako inabd mubadilishan mawazo acha kujikuta
Njooni kenya nyinyi wote
Kenya hakuna chochote kinachoendele
Hela imelala huko
Hakuna wakuokota
Ni siri tu nawachunia
Wakenya wanawapenda
Na wanakiu
Yakutumbuishwa
Wenzenyu huko kenya ni udaku tu
Hawana lolote
King kiba safi sana 👑
Jamaa udende tuu unamtok
Hana rafiki huyo ni maskini anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi huyo mshamba wa Cinderella
tazania hamuna tisho kwa nini munajipanguza na mikono jamani watafutiye tisho yakupanguziya mikono wanapa kula
Mlukali 👑 kiba
Mmmmm abdu kiba mrafi anachukua tidogo tudogo ila yupo fasta
Mbona huyu kka hali mwala nnyi tu
Amefunga😂
@@jacksonmathayo6510 😆😆😆😆😆
Ali i realy apreciate what u did ila pia majibu unayo brother unaheshima ya kujibu
Tunda man
Huyo sister duu nyuma anapiga nyama sio mchezo
👑❤
Hao waroho wa nyama si wakalie jikoni huko wamuache king ahojiwe kwa amani
Kig kiba mukuli kweli😊
Alikiba ni kijana wa region gani Tz? Anaongea kama mtu mwenye kiburi fulani
Yae jamaa ana kiburi yani ukimuona tuu
Ki kiba
I love Alikiba ❤❤❤
King kiba
Nani ameona hio gari iligongwa ikanyoroshwa😂
Kuna mmoja hapo anakula faster faster hatari🤣
Huyu dada anakula balaa hatari sana
marioo kama max kwenye mapande
Ety abdukiba amefika nini ahahah
Ali why more hunger, u eat more.😂😂
🦣🦣🦣🦣🙏🙏
hakuna alikiba mwingne
Chakula kweli kitamu
Hahahhah huyo jamaa fala kweli wenzie wanakula yeye anaongea ila pongezi Kwa huyo mdada kwa kula2
😂😂😂😂😂😂
King kiba
❤❤❤❤❤
Kakuku kamoja watu 100,uchawa mtupu
kunamcango wako apo kwenye iyo kuku mbona kisirani
Punguza chuki itakupelekeaaa uwe mchawi dogooo
😄
K2GA nivipi mbona hatumuoni
Huyu mujama Ali anajiona sana
Mnakula kama majini ahibu Mungu wangu mnachekesha mnakosa hadi maji ya kunywa 😢😢😢
😅😅😅, daah 😅🙌
Binadamu hamkosi lakusema ..ila sema wewe ndo jini