ALIKIBA: SINA RAFIKI MSANII, MARIOO, MUZIKI WA AMAPIANO HAUNA UJUMBE, GABO ANA KIPAJI KIKUBWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

КОМЕНТАРІ • 136

  • @mis2ra766
    @mis2ra766 Рік тому +8

    Big up King's

  • @arleneilunga9202
    @arleneilunga9202 Рік тому +18

    King kuja Kenya nikuone na Mimi nime toka Congo 🇨🇩 kwa sasa Niko Kenya kuja my king 🔥🔥🔥

  • @stellanchagwa5297
    @stellanchagwa5297 Рік тому +17

    Alikiba ni mmoja tu ❤❤❤❤

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 Рік тому +17

    Unatisha KingKiba 🙌🙌🙌🎩🎩

  • @DeoSijaona
    @DeoSijaona Рік тому +12

    Ally unatisha sana🎉🎉😢😮😅😊

  • @frankrwegoshora4705
    @frankrwegoshora4705 Рік тому +4

    Yaan wiki ilopita yote nilikuwa Nairobi, Muziki wa Watanzania ni mwingi kweli kweli. Nyimbo za Alikiba na wasanii kadhaa zinapigwa kila kona. Congrats ndg kwa kuwa mabalozi wazuri. Kwenye play list ya Qatar Airways Alikiba na Lady JDee mmo ndg zangu. Nilifurahi saana kukuta majina haya maana ile ni 5 star flight company isee

  • @piuskanyampala4540
    @piuskanyampala4540 Рік тому +24

    kumbe waandishii wakilishwa wanahoji vzur

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Рік тому +11

    Maji muhimu😀😀

  • @MUSAMNAKU-r7e
    @MUSAMNAKU-r7e Рік тому +7

    Huyo dada analiya mkono wa kushoto

  • @FansasceAnderson
    @FansasceAnderson Рік тому +20

    Uyu brother anae mhoji Alikiba Yupo Bomba na kz yake makini Sana na maswali yake

    • @oyay2821
      @oyay2821 Рік тому

      Presenter ametulia katika kazi yake

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 Рік тому +1

      wala hafkirii nyama😂

  • @SalumuAlly-d9q
    @SalumuAlly-d9q Рік тому +3

    Kipenzi cha kila mtu hana ubaguzi sasa huyo utamfananisha na swala wa tandale kwa majizi huyo mtoto wa k/ koo bwana king kiba saruti sana ali

  • @albertkatuga2434
    @albertkatuga2434 Рік тому +9

    Mariooo kamaliza nyama ndio akaondoka😀😃😃😃 Totobady

  • @DatuBakary-in3ut
    @DatuBakary-in3ut Рік тому +6

    K2ga mbona haonekani mwambie aache roombaya

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Рік тому +23

    Kiba nimemuelewa kweli point yake rafiki niyule kwenye shida na raha mnakua pamoja ila rafiki wa kwenye kazi ndo Hao rafiki wa juju ila rafiki wa kweli ndo Hao kwenye shida na raha

    • @kilungahamis1270
      @kilungahamis1270 Рік тому +1

      Kwani msanii hawezi kuwa rafiki wa shida na raha?

    • @kaseja
      @kaseja Рік тому

      Meaning hata wasanii wake sio marafiki zake ??
      That's why hawapei promotion and the investment they need the guys to grow???
      So why have a Lebo and yet U don't want to be frndz with Ur own artist??
      What about mwana FA na yeye sio rafiki yake coz he is a musician... Huyu Jamaa aangalie kauli bana

    • @laj1699
      @laj1699 Рік тому

      ​@@kasejaKing Kiba kanukuu 'Rafiki ni yule anayekuwepo wakati unamhitaji.' Marafiki wengi wa King wamekuwa wanafiki kwake akiwemo Dimpoz, Mwana FA, Barnaba na wengine wote walioenda kwake kujirebrand nakutoroka badae.

    • @JumaJoseph-t4j
      @JumaJoseph-t4j Рік тому

      Ndio maana daimond amemuacha mbali Hana hela ni maskini anatia aibu maskini mshamba wa Cinderella

    • @JumaJoseph-t4j
      @JumaJoseph-t4j Рік тому

      ​@@laj1699Mwana fa anajua ndio mtalaamu wa mashairi misamiati na misemo huyo maskini mwenye roho mbaya Hana hela anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi mshamba wa Cinderella

  • @ivantompoo-uy3up
    @ivantompoo-uy3up Рік тому +6

    BatA jamaa wanakul

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 Рік тому +3

    Nacho kupendea kiba huna mashauzi big up bloo

  • @albertkatuga2434
    @albertkatuga2434 Рік тому +12

    Nilikua natazama sinia muda wote nashangaa haliishi au mmezisomea hizo nyama 😀😃😄😄 maana watu wanainama wakiinuka nyama 😀😃😃

    • @مراممانع-ذ3ض
      @مراممانع-ذ3ض Рік тому

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @TangaMashewa-qe8kk
      @TangaMashewa-qe8kk Рік тому

      Hahaha niilikua najua naangalia mwenyew

    • @davidcurtis175
      @davidcurtis175 Рік тому

      Hamna macho wala hamsikii mbona me nimeona sinia ya pili na wamesema kabisa round two na imetolewa imewekwa nyengine kumbeeee ndio maana wanafumzi wanafeliiiii, shule moja darasa moja walimu ni haohao ila wapo wanaotka na zero na wapo wanaotoka na 1😊

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd Рік тому +15

    Daa huyo mdada anaongea vizurii sana. Sauti yake nzuri

  • @deeonetheginger7011
    @deeonetheginger7011 Рік тому +6

    King himself

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 Рік тому +8

    King kama king..

  • @PatrickMassare
    @PatrickMassare Рік тому +1

    Nakubaliana na king amapiano ni mzk rahis mfano mzur chino anatembea na beat hamna anachoimba

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Рік тому +12

    King Ally Salehe Kiba🔥🔥🔥💓💓💓💓💓💓💓30.07.2023

  • @halima2286
    @halima2286 Рік тому +1

    Marioo anakula kwa Kasi ama anazani kitaishaa na huyo mwamba wa kofiaa ni nikuyasombaa sana

  • @officialInchakali
    @officialInchakali Рік тому +3

    Nakubali msosi huo 🔥💯💪 Alikiba Marioo Big up sana 👊👊

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Рік тому +6

    King kiba🇹🇿✅❤️❤️❤️❤️❤️💐

  • @FatakiFabien-co2qs
    @FatakiFabien-co2qs Рік тому +6

    Nimewa yinipeni liké yangu

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 Рік тому +5

    Marioo aongei 😂

  • @swaifsouq
    @swaifsouq Рік тому +1

    Mr blue na aby skils kwenye maria

  • @michaelmisana650
    @michaelmisana650 Рік тому +4

    Nakuelewa sana alikiba ❤❤❤ endelea kaz nzuli

  • @kiejustus97
    @kiejustus97 Рік тому +1

    Ni kuku ama ni nyama gani iii mlo

  • @givenmazengo7738
    @givenmazengo7738 Рік тому +4

    Hizo nyama daaaaah

  • @piuskanyampala4540
    @piuskanyampala4540 Рік тому +3

    Ki Spana hatà hakipig story😅

  • @waziriadam1022
    @waziriadam1022 Рік тому +1

    Uyo demu wa wapi anakula na nkono wa kushoto kudadadeki

  • @muhammadjamady-zx1jy
    @muhammadjamady-zx1jy Рік тому +1

    Uyooo alieva nguo nyeusi mwanamke anakul shoto tu

  • @aminaheri2590
    @aminaheri2590 Рік тому +3

    Huyo Dada kwann anakula jaman na kushoto , naomba mkatazeni

    • @cittaboy
      @cittaboy Рік тому +2

      Vnye amekaa usimulaumu

  • @EmJesho
    @EmJesho Рік тому +1

    King kiba hongera kwa kazi nzuri nakukubali sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel9576 Рік тому +2

    Show love for collegue as long as God blessed you that's is law of nature

  • @muhammadjamady-zx1jy
    @muhammadjamady-zx1jy Рік тому +2

    Kiba kaon watu wanazid akashika mkononi

  • @omarymbole9028
    @omarymbole9028 Рік тому +2

    Dada Hilo Sinia unaona mapaja tuu duu wachee na wenzako

  • @piuskanyampala4540
    @piuskanyampala4540 Рік тому +4

    Huyo dada wa wigii haulizi vzurii anafukiaa tuu

  • @AlexCc-bk8lw
    @AlexCc-bk8lw Рік тому +1

    Alikiba💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚👍👍💚

  • @yustinrockboy4091
    @yustinrockboy4091 Рік тому +2

    Oya izo nyama niaje

  • @HeritierAugustinBukurukuru
    @HeritierAugustinBukurukuru Рік тому +4

    😂❤❤❤❤❤❤

  • @rachelaisha5084
    @rachelaisha5084 Рік тому +3

    Mfalm king

  • @shreemwanakombo6794
    @shreemwanakombo6794 Рік тому +2

    Mwamba💪💪💪

  • @SaidiAll-r9i
    @SaidiAll-r9i Рік тому +1

    Tunatak kolab za kimataif xax hiv

  • @EvansSimiyu-y5u
    @EvansSimiyu-y5u Рік тому +1

    King on top

  • @renatusmkome2754
    @renatusmkome2754 Рік тому +3

    king tuna kuitaji kwetuu kigoma tume kumiss mnoo king♥️♥️♥️

    • @JumaJoseph-t4j
      @JumaJoseph-t4j Рік тому

      Hana hela maskini 2 aibu maskini hanajipya hanarafiki Msanii anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi

    • @fefebitv
      @fefebitv Рік тому

      Mmmmh

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 Рік тому

      ​@@JumaJoseph-t4jmana wamlisha ww na kumvisha ww kila cku paka mweusi

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 11 місяців тому

    KWELI NYAMA ILIVYOISHA KILA MMOJA KASHIKA ZAKE😂😂😂

  • @kukuzambawazambanga
    @kukuzambawazambanga Рік тому

    Enjoyini washikaji wangu jamani
    Mrarueni bata virivyo juu ya kagumzo
    Diamond platinumz huyo😅😅😅
    Maisha mafupi haya na matamu😅😅😅

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 Рік тому +1

    Hajaelewa swali huyu ali nae

  • @khalidsoud235
    @khalidsoud235 Рік тому +2

    Moco amekuja kucheki nyama amekosa😂😂😂

  • @swedish_james
    @swedish_james Рік тому +3

    Nyama ilivyoisha kila mtu kashika zake

  • @faidhacute
    @faidhacute Рік тому

    Binadamu kamili huwez kutokuwa na rafk bhana acha zako, sasa unajitenga mwenyew wakat hao ni wasanii wenzako inabd mubadilishan mawazo acha kujikuta

  • @kukuzambawazambanga
    @kukuzambawazambanga Рік тому

    Njooni kenya nyinyi wote
    Kenya hakuna chochote kinachoendele
    Hela imelala huko
    Hakuna wakuokota
    Ni siri tu nawachunia
    Wakenya wanawapenda
    Na wanakiu
    Yakutumbuishwa
    Wenzenyu huko kenya ni udaku tu
    Hawana lolote

  • @AliMbuna
    @AliMbuna 5 місяців тому

    King kiba safi sana 👑

  • @lenardleonardngimilanga3480

    Jamaa udende tuu unamtok

  • @JumaJoseph-t4j
    @JumaJoseph-t4j Рік тому

    Hana rafiki huyo ni maskini anaroho mbaya ngumu Kama jiwe Ndiomana hawafanikiwi huyo mshamba wa Cinderella

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Рік тому

    tazania hamuna tisho kwa nini munajipanguza na mikono jamani watafutiye tisho yakupanguziya mikono wanapa kula

  • @UwamuregeyeSamuel-rq7jz
    @UwamuregeyeSamuel-rq7jz 11 місяців тому +1

    Mlukali 👑 kiba

  • @festoasanga5572
    @festoasanga5572 Рік тому

    Mmmmm abdu kiba mrafi anachukua tidogo tudogo ila yupo fasta

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 Рік тому +2

    Mbona huyu kka hali mwala nnyi tu

  • @dennisnjiro7922
    @dennisnjiro7922 Рік тому

    Ali i realy apreciate what u did ila pia majibu unayo brother unaheshima ya kujibu

  • @AllyMahuja-gk5qi
    @AllyMahuja-gk5qi 8 місяців тому

    Tunda man

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Рік тому

    Huyo sister duu nyuma anapiga nyama sio mchezo

  • @kibslincoln
    @kibslincoln Рік тому +2

    👑❤

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Рік тому

    Hao waroho wa nyama si wakalie jikoni huko wamuache king ahojiwe kwa amani

  • @MukandilwaProspere-th2xu
    @MukandilwaProspere-th2xu 7 місяців тому

    Kig kiba mukuli kweli😊

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu Рік тому

    Alikiba ni kijana wa region gani Tz? Anaongea kama mtu mwenye kiburi fulani

  • @davidmuneza5158
    @davidmuneza5158 Рік тому

    Ki kiba

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg4390 Рік тому +1

    I love Alikiba ❤❤❤

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m Рік тому +1

    King kiba

  • @salimmwakaribu942
    @salimmwakaribu942 Рік тому

    Nani ameona hio gari iligongwa ikanyoroshwa😂

  • @immaculathaemmanuel8240
    @immaculathaemmanuel8240 Рік тому

    Kuna mmoja hapo anakula faster faster hatari🤣

  • @MusaMkembela-ex6ev
    @MusaMkembela-ex6ev 11 місяців тому

    Huyu dada anakula balaa hatari sana

  • @cosmasally883
    @cosmasally883 Рік тому

    marioo kama max kwenye mapande

  • @DottoAbas-iu4xx
    @DottoAbas-iu4xx Рік тому

    Ety abdukiba amefika nini ahahah

  • @nasibabdullah-
    @nasibabdullah- Рік тому

    Ali why more hunger, u eat more.😂😂

  • @masizitony9800
    @masizitony9800 Рік тому +1

    🦣🦣🦣🦣🙏🙏

  • @dottombilinyi5979
    @dottombilinyi5979 Рік тому

    hakuna alikiba mwingne

  • @ElijahMativo-e8b
    @ElijahMativo-e8b Рік тому

    Chakula kweli kitamu

  • @idrisamangwala6470
    @idrisamangwala6470 Рік тому

    Hahahhah huyo jamaa fala kweli wenzie wanakula yeye anaongea ila pongezi Kwa huyo mdada kwa kula2

  • @DenisMahomba
    @DenisMahomba Рік тому

    King kiba

  • @Lea-iz8fd
    @Lea-iz8fd Рік тому

    ❤❤❤❤❤

  • @athumanhusen6008
    @athumanhusen6008 Рік тому +2

    Kakuku kamoja watu 100,uchawa mtupu

  • @LaughKey-f8x
    @LaughKey-f8x Рік тому +1

    K2GA nivipi mbona hatumuoni

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 Рік тому

    Huyu mujama Ali anajiona sana

  • @kyungumedardmaurice8321
    @kyungumedardmaurice8321 Рік тому

    Mnakula kama majini ahibu Mungu wangu mnachekesha mnakosa hadi maji ya kunywa 😢😢😢