MUDA HUU:AHMEDY ALLY AELEZEA ISHU YA LAWI|TFF WAINGILIA KATI/ISHU VYOTE KIJANA KUTUA SIMBA IPO HIVI!
Вставка
- Опубліковано 5 лип 2024
- #azamtv #azamfc #azampesa #mavalatv #simbasportclub #manaratv #ayomatv #azamtvmaxapp
#SimbaVSBisharaUnited#Simba#Yanga#YangaVSKageraSugar#BerkaneVSSimba#Challenge#TryNotToLaugh#Mayele#YangaVSMtibwa#LiveMatch#AllyMayay#MtibwaVSYanga#BerkaneVSSimba##AllyMayayTembele#YangaTv#SIMBA##KibwanaShomari#Yanga#Simba#Yanga#Simbawalivyoondoka#KikosichaSimba#Tryagain#SimbaApp#Simbakuondoka##UchambuziWaAllyMayay#Bocco#Mayele#yanga
Simba wanapemda mtelemko ndoshidayao
Point yko ipi maneno mengi hayana mwisho
Ovyoooo hili nalo linaongea nn kwani?
Romance nyingi kuhusiana na lawi tunataka clubu 1 ije itupe habari kuhusiana na mchezaji huyu. Lameck lawi maana hatuelew kabisa ishu ya lawi ikoje mje mtujuzeeew😂😂😂
Yakowapi hayo maelezo ya Ahmed Ali?
Eti shosho media
Dogo punguza mkali costal Union wameleta uhuni naona vichambuzi vingi mnaisema sana bila kuangalia na upande wapili kueni makini sana katika chambuzi zenu msiwe mahakimu wakuhukum simba bila kujua mambo kwa undani
Kaka unajua sana maana ishu ya lawi kila mtu alikuwa kimya na wanashindwa kutujuza kuhusu ishu ya lawi lakin wanakaaa kimya na mchezaji yuko huko hatuelewi mtuambie kuhusu lawi ama ndo mnamtafutia trending huyu kijana .....
Wakueleze ww kama nan we tulia kitakacho kuepo utakijua tu
Huyu jamaaa nsiwe mnafki anakitu kaka yangu unaongeaga sana fact ankol inabidi simba itoke front waje watubie kuhusiana na ishu ya lawi
Ni heri kaka uzungumze ukweli maana tumechoka roman x. Za kipuuzi na hawa majaaaaaa
Poroo lisilo na maana yoyote
Simba kukaa kimya nako ni majibu.
Haya mazoea ndo ambato hatuyataki kayika mpira wetu huu ndo usenge tusioutaka tunataka mje mtuambie kuhusu ishu za wachezaji kuhusu wachezJi harari wa SIMBA kuliko kuleta tantalila ..... 😂😂😂😂
We nani kwani