Faza,kwa niaba ya mashabiki wako naomba uweke na ule uwanja wa kudisplay pitch na mchezo tuone uchambuzi kwa position kabisa,ukiwa unafanya uchambuzi.ASANTE
Naomba nitofautiane kidogo na mchambuzi wetu huhusu sifa ya urefu japo namwamini na kumpenda sana.Tumewahi kuwa na mlinzi George Magele Masatu alikuwa mfupi lakini alikiwasha kwa hatari.Kikubwa ni uwezo wa mchezaji
Sahihi sana Bro. Hata pale Yanga msimu wa 2022/23 Job ndiye alikuwa kinara wa kucheza mipira ya juu ingawa si mrefu wa kufikia futi 6+. Lakini mabeki wa vimo virefu wanakuwa na faida zaidi kwa mipira ya juu na pia vipaji special vya mabeki aina ya Masatu na Job si vingi.
Mbwaduke nakukubali sana
Mkuu unaumanya kisawasawa mpira wa miguu
Big up!
Mchambuzi wangu Bora wa muda wote huwa namaliza bando kwa kusikiliza uchambuzi wake
God bless you brother
Aamyin!
Big up mbwaduke pamoja sana
Baba unajua sana nakupenda unajua sana
Kweli umekuwa mwalim mzuri wa ball na enjoy sana kwa statistics unazotoa , thanks
Uchambuz mzur sana mwl wa mpira..
Asante Mbwaduke
Anayejua anajua 🎉🎉🎉🎉
We mchambuzi wangu boraa kwasasa❤
Nakukubari sana we baba
Kwa taarifa rasmi ziIilizotolewa na Kamwe ni kwamba bado yupo kikosini Yanga.
Thanks alot mwamba, tupatie uchambuzi wa FADLU DAVIDS tafadhali
Umbile mnara🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤❤💪💪💪💪💪💪💪
Unajua sana
Magoli ya mangungu na wenzake hayo
Kipaji kikubwa sana
Kwel nakubal jaman huy mwamba huna mpinzan kwa style ya uchambuz wako
Nakukubali sana kwa uchambuzi wa bori
Kwani kuna anateseka kutokana na ubora wa mnyama kwenye rankings za caf
Faza,kwa niaba ya mashabiki wako naomba uweke na ule uwanja wa kudisplay pitch na mchezo tuone uchambuzi kwa position kabisa,ukiwa unafanya uchambuzi.ASANTE
Naomba nitofautiane kidogo na mchambuzi wetu huhusu sifa ya urefu japo namwamini na kumpenda sana.Tumewahi kuwa na mlinzi George Magele Masatu alikuwa mfupi lakini alikiwasha kwa hatari.Kikubwa ni uwezo wa mchezaji
Sahihi sana Bro. Hata pale Yanga msimu wa 2022/23 Job ndiye alikuwa kinara wa kucheza mipira ya juu ingawa si mrefu wa kufikia futi 6+. Lakini mabeki wa vimo virefu wanakuwa na faida zaidi kwa mipira ya juu na pia vipaji special vya mabeki aina ya Masatu na Job si vingi.
Simba nguvu moyaaaa
Mwambaa,,,, mtu wa mahana kbs
Baba mwaduke ww nimwalimu wa wachambuzi wote tz,
🎉🎉🎉🎉🎉
Ilibidi uwe professor
Ha ha ha haaa. Tutamfikishia ujumbe wake Mzee wa Data.
Huyu mwamba ni mrithi wa Kashasha hazina ya taifa💪
Simba nguvu mojaaaa
Simba ni zamani nafasi ya tatu iko palepale tabulele raaaa
Duuh!
Mkuu tunaitaji utambulisho wakocha mpya wasimbaa
Soon...Mzee wa Data atafanya hivyo. Kaa tayari!
Yaan wew ndo unatamanisha kukusikiliza si wajinga wanaolipwa kutwa kuchambua ujinga wape somo
Mkuu tunahitaji ushambuzi wa kocha wa simba mpya ❤❤❤❤ plz
Wanini?wewe churani nini?
Soon...Mzee wa Data anafanyia kazi pendeklezo lako. Jiandae
@@MbwadukeStatsNtafrrahi sana kiongozi
@@MbwadukeStats sawa mzee wa data
Simba kuna thank you ngap?
Mmmh...swali zuri lakini tusubiri wamalize mchakato huo.