MKUU WA MKOA PEMBA ATOA HUTBA YA AJABU
Вставка
- Опубліковано 18 вер 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Kama haya uliyoyasema ni hakika yanaendana na yaloyomo moyoni basi Wallah Allah atakupa jazza ktk mwisho wako
Allah akupe afya njema, nilisikia km hali yako ilikua sio nzr. Pili, hii hutuba yako itabakia ktk nyoyo za watu maisha pia inawezkn ikawa ndio chanzo cha kuondoka hapo ktk ukuu wa mkoa, kizuri hakidumu. Niko pale....tusubiri teuzi karibuni tu
Akiondoshwa tutajuwa ni ww
@@SaidHassan-ot3un 🤣🤣🤣
Najivunia sana kuwa naongozwa na ww Allah akuhifadhi na akujaliye uongoze kwa hekima na busara
Kweli wewe ni kiongozi wa mfano unastahili kuigwa Mwenyezi Mungu akusimamie
Allahumma Ameen
Hongera Bwana Mattar! Nimekuelewa sana Hotuba yako na nn Umemaanisha! Lkn Vurugu linaanza na Watawala kwa kujilazimisha kukaa madarakani baada ya kukataliwa! Na wewe kwa Hotuba yako hiyo unamaanisha hayo! Ninakuelewa vizuri toka Castro kwenye Bweni la Havana!!! Allah akupe ujasiri na hao mabosi wenzako uwaambie hivyo kama Ummu Salama!
Mungu aendelee kukubariki kwa maono hayo ya kujali utu akuinue zaidi ukawe kiongozi mkubwa katika nchi yetu TZ
Ameen
Allah azidi kukuongoza Mhe Mattar katika njia iliyo sahihi ili kuepukana na mifarakano, magomvi, mapigano na mauaji na kadhalika. Ameen
Endelea kufanya vyema kwani haya ni maisha ya mpito tu, na kila mmoja atakwenda kuuliza kuhusu dhamana yake aliyopewa pamoja na alichokichunga au alichokisimamia!!
Maa Shaa Allah. ALLAH akulipe kila la kheir ww ni kiongoz wa kupigiwa mfano, nyinyi ndio viongoz tunaokupendeni kwny jamii zt
Allah walinde jamaa zetu wapemba na dhulma za makafir wanazozipanga juunyao
Mnayoyasema sio yaliomo vifuani mwenu
Wabadilike ccm kwanza, maana ndio wachafuzi wakubwa wa amani ya nchi hii kwa
Acheni unafiki , madhalim wakubwa
Umesema kweli kaka aache unafiki,kama atasimama mbele za watu kusema ukweli juu ya mambo yanayopelekea Zanzibar kila kipindi cha uchaguzi kuwa na mauaji,kutekwa watu na kudhalilishwa basi hata siku tatu haitafika ataondolewa katika nafasi yake hiyo ya Mkuu wa Mkoa kwa sababu wanaofanya mambo yote yanayopelekea mitafaruku juu ya uchaguzi .1.hawana dhamira ya kweli juu ya wananchi kumchagua kiongozi wanaemtaka na hicho ndio kinachopelekea vurugu na mauaji.tninaweza kusema kwamba wananchi wananyimwa haki yao .huyo Mr Matar akisimama mbele ya hadhara akielezea ukweli uu hafiki hata siku tatu kazi hana huo ndio ukweli ,kemea chanzo cha mifarakano na tolea mifano hasa hata kama utaondolewa katika nafasi uliyonayo.
Tendeni haki
Daah yan hayo maongez km wat vile ila sbr ifike uchaguz wauwe na kupga watu
Sio kweli usidanganye wengekua wamoja msingeuwa msingedhulumu
Nyinyi kwa kauli nzuri ila ikifika siku ya ichaguzi mnabadilika ...tutakuona 2025 ...hamuaminiki nyinyi
Umesema kweli Nassor.chanzo cha mifarakano Zanzibar anakijua lakini hakukisema anaona atapoteza nafasi yake.kwa sababu atamgusa aliye mteuwa kumpa hiyo nafasi ya Mkuu wa Mkoa.
Mungu akuzidishie update kauli sabiti
Mwenye kushabihiana na kaumu na yeye yumo hata ujitete vp umo ktk waliowadhulumu wananchi au kikatae hicho cheo sasa hivi mashekh wakubwa ukifika uchaguzi mnabadilika
Sio wote wanaopenda zulma wengine huwa wanalazimishwa kutokana na mfumo ulio tengezwa sisi tunahitaji amani Kama haiwezekani Bora tuwe na mfalme tuu I'll tafrani ziishe.
Dhulma sio zulma
Hongera baba
Allah akupe Afya njema na umri mrefu wenye manufaa mkuu wetu wa mkoa wa kusini together we can
Allaah àkuhifadhi kama ni kweli
Maneno mazuri ya kiungwana lakini zaidi tunapenda kuona vitendo vya kiungwana vile vile,,
Kama kweli una moyo huo,,basi jiangalie,,mimi ninawasiwasi huenda ukafurushwa kazini na wakubwa wako wakati wa uchaguzi ukifika,,mana itakua huendani nao
Musimtabirie mwenzenu mabaya
مشاء الله تبارك الرحمن Allah akupe umri mrefu maneno ya khekima,Wallah lau kuna watu10tu ndani ya ccm kama huyu damu ht ya mtu1haimwagiki visiwani
Tatizo lenu wenyewe msijifanye mna huruma kwa nini uchaguzi mnafanya km vita hamufanyi haki na huru wananchi wapigie kura kwa salama anaemchagua ndio atangazwe lkn mpk mfanye vurugu kisa atangazwe mwengine
Umesema kweli kaka ,naye anajua kuwa anasimama hapo ili aonekane ana huruma wakati hana huruma kwa wananchi.na siku akisimama mbele ya watu akielezea vyanzo vya mifarakano ya Zanzibar kila chaguzi ataondolewa katika nafasi alionayo .atatenguliwa .
fanyeni uadilifu kwanza kabla ya kuanza maneno maneno. kupiga mumezoea na mushatupiga sana. kama maneno yenu ni ya kweli basi fanyeni haki muone
Shida iliyopo kwenu mulio madarakani ni kutokuwa wakweli juu ya mnayoyasema,haki hamuko tayari kuyatenda kuitenda na kuisimamia,wape haki wananchi wako,vitambulisho mnawanyima wananchi mnawanyima haki yao ya kuchagua viongozi wanaowatakata na nk
Khutba nzuri naona haswa unamaanisha unachoongea
Anasema nini huyo kwani yeye si sehemu ya huo mfumo dhalimu.
Huyo alokupa nafasi ya ukuu wa Mkoa si ndo umwambiye hayo maneno
Lakini kilicho muhimu zaidi nikua katikati ya maneno yote tunayozungumza basi tuuwambie watawala watende haki waache kutukanana pia waache ghilba wiz kuiba kura kwenye uchaguzi
unafiki tu
Mimi nimekuelewa vizuri sana ndugu na nayaelewa sana hayo unayoyazungumza na ndio ukweli mattar ameongea ukweli na yeye anjielewa sasa ma ccm mujielewe mwenzetu hataki lawama na hio nafasi mungu amuekee nafasi yake kuna wengine wanamatiti makubwa ya kunyonya
Haki ikisimama, amani itapatikana.. tujitahidi kusimamisha na kusimamia HAKI, HAKI, HAKI, HAKI
Hivi kwanini neno HAKI imekua zito sana kutoka kwenye vinywa vya watawala?
Ongera sana Kwa hotuba nzuri hakika ww ni mfano wakuigwa
Kama upo sahihi kesho unatenguliwa lakini hiyo Danganya toto
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI QABRI
Mashaa Allah
uchaguzi utapita salama ikiwa haki na sheria za uchaguzi na sheria za nchi zitafatwa si ujanjaujanja wa maneno lkn vitendo viovu .tunakukumbusheni kura ya mapema iondoke ndo ilotuulisha mawaka 2020 kama mkuu wa mkoa shawishi hilo kwa mh rais mwinyi
Hotuba hiyo itakutengua kabla ya uchaguzi
Umenikumbusha enz ya ngangari na Ngunguri mungu amuafu mzee wetu na adhab ya kabr huko alipo
TANGULIZENI HAKI MBELE, DAIMA MTAISHI KWA RAHA NA AMANI...
Safi sana mimi nimekuelewa vizuri
Kama hamtaki hivyo acheni kuiba kura
Vurugu siku zote zinaanza ikikosekana HAKI. Jitahidini kuhakikisha haki inatendeka muone kama kutatokea vurugu. Na mujitahidi kwa vitendo, sio kwa maneno tu
Hawawizi kusimamia haki wakisimamia haki watakosa kula.
Mashallah Matar ni Mku wa Mkoa hodari na mcha Mungu Ukimuona sura yake ya imani Mungu Amzidishie imani na kumuhifadhi Inshallah
JANJAWEED JEE , MWAKANI HAWATAKUWEKOO, AU.....???
Sio kweli c ya ajabu, .cio yeye tu dunia hii hakuna shekhe walii wala ustadh youote ananaeweza kutowa khutba ya ajabu kila kitu kishazungumzwa mara nyingi mnoo , ila kwakweli khutba yake ni nzuri na ya kawaida tu.
Nyinyi mshabadilisha
Ya'akuluuna maalaa taf'aluun!!!
Kiukweli wanaosemasema sana na kumdhihaki na kumtusi kiongozi wetu huyo Allah anajua nia zenu na atawalipa
Huyu ni muongo. Anatumiliwa na CCM. Aseme ukweli na Allah ni shahidi
Mheshimiwa Allah atakuongoza uzid kusimamia amani ya visiwa
Kiongozi mzuri aeleza ya moyoni anafaa kuwa waziri wa mambo ya ndani
Ccm niwanafiki
Asili ya waungwana ni uungwana, huu ni uongozi na mungu uongozi pasipo mungu ni ukatili na udhalimu.tunataka viongozi wengi wa aina yenu katika taifa letu .
Mashallah mungu akuzidishe nikwli mwihishimiwa mfano juzi tu ulikua hupo aliye kaimu mkowa wako tulikiona kilochotokea wengi wetu tulikukumbuka tukasema hyu mama baadala kutuonea huruma lakini wap watu wakivunjiwa na kutuharibiwa mali zawanyonge kwli hayo maneno yk niyakweli mungu akuope afuweni na afiya njema na anetunyanyasa ampe analolulitaka mungu kwni yaliotokea juzi tulikumbukia uchaguzi vunjavunja wengine wkisema wao wakashitaki kw mungu na mtume wke kwli wlipitiza mipaka ww mungu akupe kher
Mbona hakuna wadhifa wa mkuu wa mkoa wa Pemba. Kuna mkuu wa mkoa kusini au Kaskazini.
Unaongea kama malaika vile!!!
Hongera sana mkuu
وإذا رئيتهم تعجبك أجسامهم، وإن يقول تسمع لقولهم كنهم خشب مسند...يحسبون كل صيحة عليهم هم العدوا فحذرهم...
Huyu jamaa namkubali sana sio kma yule salama mbaruk
Huyu sio mkweli ni maneno ya jukwaani tu hayo .
@@jumamohamed3168 viongozi wengi wa ccm wameshaonesha makucha yao lkn huyu bado subiri tuone
MUNGU AKUZIDISHIE HEKMA NA ALLAH AKULIPE KWA MANENO YA UJASIRI AMBAYO MWENYE AKILI TIMAMU ANAKUELEWA VIZURI TU
Hakika hilo. Tushikamane tumche Allah na tumuweke mbele usoni.
Wenzako kawataki ivo ila subir si mda mrefu tutasikia ushafukuzwa..
Leo umetoa siri za giningi
Daa huyu kaongeya jamani anacho kisema kweli
Maneno unayosema tofauti na ujanja unaokuja hivi sasa kushapanga mashaka
Maisha ni kulizana,kupendana.kupea na,kushikamana
Uko vizuri sana.naimani wewe niwahaki nasio mshabiki wa kidini Wala wakichamaa upo kama Mimi. Sipo kidini.wala kichama nataka amani.naninawaombea viongozi wote mkatangurize haki utu upendo nakulijali taifa letu badala yamasirai binafusi natumuogope mungu sana
Utu na wema wk umerithi toka kwa mar baba yako (Mungu amrehemu)Mar Maalim Zahor alikuwa mtu mwema sn,tulikuwa wote pale TTC Nkrumah hadi mm jilipoamua kuondoka
Yy akasudiya watawala ila waze wazamani walificha methali nyingi na yy hakusema moja kwamojatu anajuwa hilo
Acheni dhulma kisha mukataka amani!!
Mkoa wa kusini Pemba
Wafanya biasha ndongo wanazalilika na facial zao kwa kufuzwa mjini je vp?
Wawapi huyu mkoa gani
Kati yawakuu wamikowa watano wa zanzibar ninae mkubali uyu jamaa niwakwanza...
Tendeni haki