Hii channel nimekutana nayo kibahati bahati. Nilikuwa namtafuta sana huyu jamaa tatizo sikuwa nafahamu jina lake. Sasa leo nauliza swali langu ambalo nililiuliza sana bila kupewa jibu. *TANU, wewe ndiye uliigiza kwenye BIG BOSS yule aliyetoa kafara kwakuua mbuzi?"* Maana kila nikikuangalia sura inakuja halafu inakataa.
@@marthajohn6532 naona kuna watu wamesema sio yeye. Halafu yeye hajibu. Ninahisi ni yeye kwasababu tangu BIG BOSS iishe nilimuona kwenye BEST FRIEND nahisi yule bwana ni huyu TANU
Ooh huyu kaka ambaye jogoo hipandi mtungi .anaigiza kihuruma 🤔hadi ananiliza jamani😭😭yupo vizuri katika part yake ya uwigizaji 👍🤛
Mbwela fundi sana,napenda usirius wako,unatoa neno linagusa kabisa kwenye mioyo yetu kwakweli,unajua kuubeba uhalisia, hongera Kwa kazi nzuri
Amin inshallah
Good job mbwela
Ap kaz tu kaz iendelee 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Daaah hii ni Home Ifakara aiseeh
Kazi nzuli sana Tanu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂🎉🎉🎉
Asante sana
Nampenda sana bwela ❤❤❤❤❤❤
Big up kaka mbwela💪💪❤❤❤❤
Team Tanu Respect 🎉
Kaz njema
Mwanafind mwanaligate kwann umchukue mkewamtu nawewe mdada siuwachee usaliti AMA omba talaka iliuolewe nahuyo kudume chambagu
Safiii Sana kazi nzurii
Asante
Kazi iendelee💪
Asante
Wa saba 😂😂
Nakukubari sana
Big Up Broo
usiwe unachelewa kutoa maan inaonekana na nzur mno na funzo kubwa sana ktk jamii yetu
Wa atupumzishwi aky ❤❤❤napend kaz zenu hongera tanu
Unyama sana
Nakukubali sana big kaka mungu akulinde kwa Kila kitu inshallah ❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante
Naona sauti hapo mwanzo haipo mzuri but kazi mzuri
Tusanee haito jiludia tena
❤❤❤
❤❤❤❤
Big up Kaka Stani
❤❤❤❤❤
Saf broh kazi kazi mungu ni mwema❤
Amina
❤❤❤🎉🎉🎉
Kubwa sana
Tanuuu🔥🔥🔥💪💪💪
Mbona fupi😢😢😢
Hii channel nimekutana nayo kibahati bahati. Nilikuwa namtafuta sana huyu jamaa tatizo sikuwa nafahamu jina lake. Sasa leo nauliza swali langu ambalo nililiuliza sana bila kupewa jibu. *TANU, wewe ndiye uliigiza kwenye BIG BOSS yule aliyetoa kafara kwakuua mbuzi?"*
Maana kila nikikuangalia sura inakuja halafu inakataa.
Apana sio uyo
@@A7films255 Dah! Yule jamaa alienda wapi mbona haonekani kwenye film za CLAM?
Mmh yuko
Jaman ndio yeye huyo
@@marthajohn6532 naona kuna watu wamesema sio yeye. Halafu yeye hajibu. Ninahisi ni yeye kwasababu tangu BIG BOSS iishe nilimuona kwenye BEST FRIEND nahisi yule bwana ni huyu TANU
❤❤❤