Munge subtitle kwa kingereza ndio wanaoelewa kingereza wakajisomea kwa screen yao sasa mtu kama hajui kiswahili na hamjaeka English subtitle si unaona mwelekezi umeanguka mtihani ❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤
Move nzuri nikweli wapo watu wa hivyo wagumu kwa wasichana wa kiafrica huwe mweusi mweupe muafrika Ila Nimependa huyu dada kachangamka ukiwa mpole sana wanakupanda kichwani
Yani tangu naanza kuangalia hii movie cjatoa chozi😅, mpaka nafika mwisho mama mkwe alivokiri kwamba lulu ni mkwe wake bora kwa kosa alolifanya bila kutarajia kama atamuumiza lulu, hakika limenitoka chozi bila kutaka😢😢
Jaman tuwe wakweli muvi nzima uyo muafrika ni mzur kuliko wote Asante mungu kuniumba mweusi mimi
Hii hadithi Inatufundisha upendo auchagui rangi au kabira safi naipenda❤❤❤
❤❤❤❤ jamani nimelia sna 😭😭nakucheka pia 😅😅,,walai hii movie ni nzuri na ina sisimua 🎉🎉🎉🎉 hongereni 🎉🎉❤
Movie iko tamu.mpaka raha❤❤❤ dj nyengine basi tuletee❤❤🎉🎉🎉
Jamani hii move waliotafri ni wa king'amuzi cha star times wananikumbusha double cara ❤❤
Kweli mwaya na the blood sisters
Sauti nzuri jamani 😊😊
Yani mm nakumbuka mbal atar
Double Kara my favorite
Katika movies zilizo wahi kunitoa chozi basi hii imenitoa chozi😢😢😢 hongera sana kwa kazi💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼🥰🥰🥰
Ila mwishoni imenilinza jmn😢😢😢😢❤❤❤
Hii hadithi ni nzur zaidi❤❤❤❤❤
Jamani nimeipenda sana japa inauzunisha
Nizuri kweli nime liya machozi ya furaha ongereni sana❤❤❤
Picha nzuriiii asante sana nmefrai na picha lulu ni kama lafki ang nimesoma nae yaan mmeni kumbusha mbaliii lulu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Waafrika wazur balaa
Movie mzuri sana hongera kwako.
It’s more amazing this is the best movie ever ❤❤❤❤❤❤❤
Hâta mm nimeipenda ❤❤❤❤
Iyi movie nimeipenda inanipa mafunzo yakuishi apa nilipo kumbe mwisho watanipenda asante lulu kwa ujasiri
Nzuri kwer pia ,,inaonyesha upendaaa, jwa watu wa africa
Nimeipenda hi filamu
Ni nzuri jaman huku mwishon hadi nimelia
Hadith tam❤
Nimeipenda sana ❤❤❤❤ Lulu ni kiboko
Aki nimeipenda sana❤❤❤❤❤❤mke wa kiafrika anaongea km ana wa azitando😂😂😂😂 i like its so much 🥰🥰🥰🥰🥰🥳🥳
Jamani kwa mashindano ya kuingiza sauti yatakuja tena mwaka gani
Nyie watu hebu toeni movie nyingine tumezipenda movie zenu
❤❤❤❤❤❤❤ YEEEES AFRICAN GIRL💋💋💋
Jaman nimeipendai ❤❤❤😊😊😊
Hadithi nzuri kweli
Nimecheka mno. Inafurahisha, nzr sana❤
Asante lulu kwa kutupa motivation 😅 kwaiyo mwanzo tutanyanyaswa mwisho wakwe na kijiji kitatuelewa ok 😊
Nimetumia sana watu weusi kwa watu weupe hawatupendi
Z
only!
Beautiful movie
This is the best movie ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Good nimeipenda hi movi
Upendo wa kweli hushinda siku zote
Kazi nzur tuleteeni zingine
Good translation mmefanya kazi nzuri ya kutafsri ❤❤
Nzr San jamn ndio mwisho daah au yaendelea❤❤❤❤
Ime ni huzunisha hpo mwisho😢😢😢
Nimeipenda mno❤
Jamani imenitoa machozi mwishoni😢😢
Safi kabisa 😂😂😂
Kwakwel hii mmeifanya vizur tofaut na zengine sauti zinauharisia
Nime penda san kbs 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
So beautiful ❤❤
Ni nzuri Santa jamani ❤❤❤
Best movie
Ni nzuli sana inafundisha
Munge subtitle kwa kingereza ndio wanaoelewa kingereza wakajisomea kwa screen yao sasa mtu kama hajui kiswahili na hamjaeka English subtitle si unaona mwelekezi umeanguka mtihani ❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤
Movie tamu sana ❤❤❤
Asanteni sana ,movie nyingine kama hii jamani ❤❤❤
Movie nzuri
Wow nipemda sana 😊
❤❤❤❤
Haya nilipitia mimi kwnye ndoa yang kabisaaa Duh inakosesha furaha ukiyaweka kichwani ila ukiwa km Lulu unaishi nao kibishi lkn n changamoto sn📢
Move nzuri nikweli wapo watu wa hivyo wagumu kwa wasichana wa kiafrica huwe mweusi mweupe muafrika Ila Nimependa huyu dada kachangamka ukiwa mpole sana wanakupanda kichwani
Waooh amazing ❤❤❤❤❤❤
Nimepeda sana stor hi
love the history
❤❤❤ hii movies ninzuli sana
Nzuri sanaa❤❤❤
Kamovie katamu haka jaman japo mwishoni kanaliza sana♥️😭
Nzuriiiii❤❤❤❤
Bibi harusi nimempenda amejua kumchangasha mama mkwe mpuuzi 😂😂😂😂
Bomba kabisa
Nimecheka sana
😢😮😅❤❤ mcheshi sana lulu
🎉🎉❤
Move nzur Sana inafurahisha
Safi sana
Cool
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ninzuri sn ❤❤❤❤
Wow 👌 ❤❤❤😅😅😊
Yani tangu naanza kuangalia hii movie cjatoa chozi😅, mpaka nafika mwisho mama mkwe alivokiri kwamba lulu ni mkwe wake bora kwa kosa alolifanya bila kutarajia kama atamuumiza lulu, hakika limenitoka chozi bila kutaka😢😢
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Shukran ❤❤❤❤😂😂😂
Huyo Mwanamke wa kiafrican anaogea sana 😂😂😂😂
😍😍😍❤️❤️❤️🔥
😂😂😂😂😂 ak lulu
Sijapenda huyo mama na avyomchukia Lulu na kumbagua😏
😂😂😂😂😂😂nimeipenda
Tukepeda❤❤
Jaman nimeiipendai
Muendelezo pls movie nzuri sana
Mimi sija erewa hiyo moves au katuni
Wow
Part two jaman n nzur
Hebu toeni movie nyingine nyingi ni Tam Sana
Yaani kumbe movie inaweza kuwa nzuri bila wahusika kuweka scene za ngono, kuvaa vinguo nusu uchi, pombe, nk
Hu mwanamke hajavaa uhusika wa mwanamke wa kiafrika kabisa
Nzul😊
F❤❤❤❤
Kajukuu katakuwa keusi
Maudodo sio Poa
Ila huyu mwenzetu mbona hana adabu?Katoka upande gani wa Afrika??Katuaibisha sana huyu.
ametoka upande wa buza kwa mama kibonge na iyo ndio dawa ya wakwe wakwerekwe
@@ashurajengela3926 😆🤣🤣🤣
😊😊😊😊
❤❤❤ muv tamu😅😅😅😅
Sijawai cheka kama leo😂😂😂😂
Huyu lulu anafanana na vanessa mdee aise.
Sana 😅
😊😊
Nzuri