Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
BIBI HARUSI AACHWA NJIA PANDA, MUME AOA MWANAMKE MWINGINE DK ZA MWISHO
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 9 лип 2024
КОМЕНТАРІ • 410
Наступне
Автоматичне відтворення
MCHUNGAJI ABADILI DINI NA KUA MUISLAMU,AFUNGUKA MAZITOMbengo Tv
Переглядів 5 тис.
BIBI HARUSI AVAMIWA UKUMBINI, NDOA YAVUNJWA, KUMBE NI MKE WA MTUMbengo Tv
Переглядів 217 тис.
FUMANIZI; BOSS ALIVYO KAMATWA NA DADA WA KAZI GEST, MKE AMWAGA MACHOZIMbengo Tv
Переглядів 26 тис.
Максим Галкін заспівав українською в ЮрмаліФакти ICTV. Новини
Переглядів 1,4 млн
Fast and Furious: New Zealand 🚗How Ridiculous
Переглядів 45 млн
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memesCRAZY GREAPA
Переглядів 7 млн
ЕЛІАС #8. НАСТЯ ТКАЧЕНКО х ВЛАД СТЕБЛІВСЬКИЙ х КУРАН х ВЕНЯ | Ветерани космічних військВетерани космічних військ
Переглядів 404 тис.
NDOA YA SIKU MOJA YAVUNJIKA TABATA KISA ZA YA PICHA ZA EX WA BIBI HARUSISIMULIZI ZONE
Переглядів 34 тис.
SNURA: NIMEACHA USANII,FUTENI NYIMBO ZANGU NIKI.FA MSINIPOSTMASI MEDIA
Переглядів 1,6 тис.
INATISHA: KIJANA ALIYEKUWA FREEMASON AJINUNULIA JENEZA LA MILION 4 AFUNGUKATALIKISIO Tv
Переглядів 138 тис.
JINA LA MTOTO _ Kachara/Naomba/KigwaruJufe Film Production
Переглядів 44 тис.
GIGY MONEY: NAHISI CHUMA CHA CHUMA ALITUMWA/SIKUKUTANA NAE TENA TANGU SIKU ILE/NITAENDA JELA/MAYRAZamaradiTV
Переглядів 14 тис.
MGOGORO GHOROFA LA KARIAKOO/MTOTO AMKANA MAMA/MAMA AOMBA RAIS NA WAZIRI KUINGILIA KATI''ANADHULUMU''JAMBO TV
Переглядів 89 тис.
MREMBO WA CHUO ALIE PATA PESA NYINGI KUTOKA TIKTOK, "SAVANA"Mbengo Tv
Переглядів 22 тис.
USHUHUDA WA MAMA ALIYESOMA UZEENI (HESABU NI KAMA KIFO HUWEZI KUEPUKANA NAYO)Rev. Dr. Eliona Kimaro
Переглядів 59 тис.
FULL INTERVIEW MKE WA MZEE YUSUPH,KIFO CHA MKE MDOGO,KUACHA MZIKIReyTox Pro Network
Переглядів 32 тис.
«З шести поранених вижили тільки двоє» #війна #україна #зсуСлідство.Інфо | Розслідування, репортажі, викриття
Переглядів 192 тис.
Анна Трінчер - Зі смаком вишні (Official Music Video)Анна Трінчер
Переглядів 818 тис.
Этот боец РАЗНЁС в одиночку ТРОИХ соперников всего за ТРИ минуты #shortsBalcevMMA_BOXING
Переглядів 14 млн
Best exercises to lose weight ! 😱Tibo InShape
Переглядів 17 млн
Алексей Щербаков разнес ВДВшниковBody Mania
Переглядів 4,2 млн
СБЕГАЮ ОТ ЗЛЫХ РОДИТЕЛЕЙ В SCHOOLBOY RUNAAWAY В МАЙНКРАФТ!EdisonPts
Переглядів 6 млн
СОБАКИ ГОЛОДАЮТ ИЗ-ЗА ЛЕРЫ 🥲HOOOTDOGS
Переглядів 4,2 млн
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shortsБискас
Переглядів 5 млн
Hao wote hawakua rizki yako,,umri bado kikubwa jitume nakumuomba sana Allah❤❤❤❤❤
Allah akufanyie wepesi pia Mimi nilishatakishwa ndoa na mamamkwe na nilisafiri kabisa mpaka leo sijaoleka ndio saa hii nimepata mwengine tena mrembo zaidii ya yule wa kwanza na yule wakwanza alio mwanamke akaja kutukana mamake na kupiga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nikatafutwa kupewa umbea kwa hio dada hongera sana maamuzi uliyo chukua niyamsingi jikaze utapata mwenye kheir na wewe lkn Mimi sikua nimelala nae bado heshima yangu iko mama ila pia wewe utapata mwenye atakufuta machozi na kikupoza kidonda Love you baby girl ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Pole sana ndugu yangu
Jitahidi usifanye mapenzi nje ya ndoa ni haramu
Pia bora ulivyoachana na mumeo kwa sababu hivyo ulivyofanya haikuwa sawa kuolewa ukiwa na mimba ya mtu mwingine
Huyo mwanaume wako wa kwanza hakuwa mkweli na mapenzi ya dhati juu yako alikuwa anakutumilia kama chumba cha starehe tu
MwenyeziMungu atakupa mume mwenye kheri na wewe mtakaopendana in shaa Allah
Dada pole sana mashaallah ulivyo mzuri usijali Allah ana sababu atakujalia mume mzuri tu waheri
Pole sana dear😢hakika inauma sana mshukur mungu kwa kila kitu na kila kinachotokea kina sababu
Pole yaa ukhty usijutie kwani lokuepukalo lina kheri nawewe
Allaah Akufariji na akuchagulie wa kheri nawewe bado wee mdogo sana
Mm namsukiliza sanaaa huyo dada lakini nilichokiona hapo yy ndio hakua na msimamo yaan una mimba ya mtu nahuyhuyo anakushaur uolewe na ww una kubali eti kisa mimba sasa hapo umejifunza nn
@@HalimaKassim-yz3we nashangaa aliyataka mwenywe
@@MohamedMwachega-x6c umeonae kwanza tuu swala la eti una mwanaume wako na ukaletwwa mchumba hapo ndio angeonesha msimamo kwamba liwalo na liwe sasa yy na akili zake akaona aolww na mtu asimpenda ili kuficha mimba siusenge alivo lala alitegemea nn
Uyoo malayaa sawa jamaa alivoo ha wa videmu linafanya kazi viwandani viimalaya asa virangii na Talaka ujapewa vp
We mdada mume mwema utampata kanisani.muombe Mungu atakupa wa kufanana nawe.pole my deary
Ushaumwa nanyoka wenda tangaza kidonda. Mtihani huo.watoto wetu muache kujidhalilisha.
Kwakua ni muislam siwanaruusiwa kuoa ata wake wanne awe tu mke wa pili sasa
Da pole Sana kipenzi kama mungu amepanga uolewe utaolewa
Mbengo tv were the best from mozambique
Pole sana mrembo muombe mungu atakupa aliye sahihii hakuwa wakwako huyo mshukuru mungu
Wadada wafanyeni kazi ndoa za siku izi kama huna kipato au kazi au biashara yoyote mwanaume ata kuchezea anavyotaka lkn ukiwa na kazi yako au biashara yako na pesa zako mwenyewe mwanaume hakufanyi kama ivi kwanza atakuheshim hata kama atachiti ni kwa siri mno team strong tuendelee kuzitafuta mwaya tukiludi tuinjoy maisha yetu bila hawa mbwa kutuchezea akili😂😂😂😂 nipo zangu urabuni mwaya sina kesi na mtu wee huogopi😂😂😂😂
Huna baya shoga angu hata mim nipo huku
😂😂😂 Leo ndio nimekumbuka kumbe na mm niliwahbkuolewa
Poverty ndio chanzo cha ww kupitia yote hayo coz wazazi wasinge force uolewe na umri huo, pole sana cha muhimu ni kupambana tu achana na ndoa kwasasa focus na maisha yako binafsi
Sio umaskini elewa tamaduni za makabila mengine mtu ukifikisha umri wa kuoa au kuolewa unatakiwa kufanya hvy kuepusha kuzini hovyo
Ndoa hupanga na mungu na waislam Sheria wanne kama ataka ndoa anipe namba nikamilishe kisha wabongo mwajua kupanga tamthilia za kweli
Wewe ni mwanamke jasiri hata km watu wanakutukana ‘ kila mtu anapitia mtihani ktk maisha yake’
Huyu mwanamke malaya tuu na ni mzinifu Allah amuongoe
😢Asalam aleykum Kila kitu dada kina wakati wake bila shaka Allah Kuna jambo kaliepusha kwako kwahiyo usilalamike mshukuru Allah kwa Kila jambo pia ushauri kwako usisnze kufanya zinaa kabla hujaolewa hiyo ni haramu inshaallah
zinaa ni haram hata kama umempenda mwanaume kiasi gani sister wangu
Pole sana dada yangu maana ndoa kama ipo ipotu mungu atakujalia nautapata mume mzuri sana
Pole sana mdogo wetu mrangi mwenzetu uliolewa kisese nyumbani kwetu bereko ukweni kwangu
Maisha yanakila changamoto mungu akusimamie popote ulipo
Shda ilianzia kwake hyo mimba😢
Pole Sana mwanamgu ungaliki mdogo jikaze utapata mume bora
Dadangu sio khire yako mungu atakupatea mwenginia mweynye khire mungu ajuwa zaidi subra dadangu usihuzunikia pz
Ulishatombwa hyo siku hotelin mbona husimulii
UYO BINTI NIMUONGO SANA MIMI NIMAMA ALIKUWA MALENGIYAKE YALIKUWA KWAHUYO ALIYEMPAGA MIMBA UYO ALIKUWA SIMUOAJI ALIKUWA MJINGA SANA ANGETULIA KWENYE DOA YAKE
Allah akuhidhi mwanangu bado mdogo sana na mambo yako ni makubwa
Alafu Kazurii mwee sema akili yote iko kwenye ndoa dhambi 😂katulie tu mweee kata pata mme bora zaidi ya uyo
Kajeuri lakini😂
Pole Mungu atakupa mwingine,umri bado mdogo mno hata kwenye kufikiri kanafikiri kwa udogo ndo maana kameishia njia panda
Nani mwengine hamuelewi uyu dada kama mm?😢😢
Mie cmuelewi anaongelea tu story ya safari badala ya huo bwn aliemucha khaa siwezi endelea kwakweli
Mm mwenyewe simuelew una mme Tena una olewa, kwendraaaaaaa
Nimecheka sana😂😂😂....m niko hapa najikaza kumuelewa
Tulia w bado mdogo utapata wako wamasisha w jitulize tafuta kazi ya halali ufanye usi rukeruke 😢
Yani unasimulia kitu ambacho umekisikia kwa mtu iyo sio story yako kbs acha kutuchosha
Huna vigezo vyakujitetea dada angu we malaya
Huko na watoto wa kike ww Malaya mpevu?
Anko usiseme ivo anko
Sana
Kazuri mashaalah
11:43 Mwana ulitaka mwana ulipata kumbe tulikwenda na ujauzito halafu huku taka kujishusha kwa. Kosa LA kwenda na ujauzito kwa mume. Mpya 2 yule bwana aliekuwa ujauzito akakutia kibri kama toka nitakuwa lakini hukufikiria kama anaekutowa kwa mumeo kawaida HUWA hakui kwa sababu anajuwa na kwake hutodumu sababu utadanganyika na mwengine kilichokikuta ni halali yako.
Jifuze usiolewe namimba yamtu mwingine warangi kiboko
Subhanallah sasa ndio anahojiwa ili iwe je Duh mtihani aibu 😮😮
pole dada yalinipataga mii yanafanana wanawake tunapitia maumivu mengi sana ila mii nilipata ujauzito nakunitelekeza nililia sana mpaka ujauzito uliharibika maumivu niliyoyapata ila baadae nilikuja nikajifarijika nikaanza maisha yangu nafanya kazi za watu maisha yakaenda nashukuru mungu kwa kila jambo allah akupe subra ila ulipojikoroga ww ni kuambiwa olewa na ukaolewa kweli na kama alikupenda kweli nae aliumia sababu mtu unaempenda hawezi kukubali uwe na mungine baadae nae apana nakushauri jali kwana hisia zako wanaume watakuliza mpk unapokutana nae usijue huyo nani tafuta pesa mapenzi yatakuja yenyewe tena ya heshima
C ni upuzi tu huyu Sasa uraenda vp kuolewa na mume mwenqine Hali ya kuwa unamimba
@@teedullah5708 nashangaa si angeambia familia ukweli kua ye ni mjamzito wakajua mbichi na mbivu kuliko ukubali uolewe na m2 hujampenda den urudi ulaumu
Kwanza ukimfatilia vzr hyu bint co mzima hakuna mke hapa
Dada huna cha kujitetea unaeleza uongo mtupu unaolewaje na mwanaume ukiwa namimba yamtu mwingine nabado haitoshi unachati namwanaume kwenye cm yahuyo mume jifunze Kwanza kuwa na aibu bibie duh
Ahana sawa 😂😂😂😂😂😂😂😂
Cjuy ata anaongea nn ata cjamalizia upuuz mmoja
Lishetani hilo hakuna mtu.
Me sishangae kawaida ya warangi
❤❤❤ Allah akufanyie wepes inshaallah
Pole dada
Dada yangu pole sana kuwatu na subra ALLAH atakupa Inshaallah ningelikuwa naeshi Tanzania ningekutafuta usijali ALLAH atakujaliya yatakwisha ni wakati tu!
Huyu Dada ni mjinga hata was waandishi nanyie😅😅😅😅
Huyu binti ata km vp ni mpumbavu na jahili mkubwa
Hufai unaolewa hivyo hovyo....dharau unayonwewe sio yy😊
Ashukuru mungu maana kuna kitu kikubwa mungu kamuepusha nacho
Kweli kabisa.
Nasiha kwa wadada wote musikuwe munaiminiya kila mtu na wala jistirini mwili wenu mupaka kupata rizki yako ya kuolewa
Ndoa mwez mmoja mambo kibao ovyoo sanaa umalaya ww dada chiz
Huwajui warangi ww
aaah mwaanjaaa jamn umenitoa jasho umekuj kujiaibishaa tyu huku ungekaa kimyaa tyu yaan tunatukanwa had xixi ndugu zako umefikia huko njo nyumbn utaolewa
Umesema bado arusi na umepata mimba. Sijakufahamu kabisa
Mhuuuu pole sana wanaume wanaumiza jamani
Pole sana dada
Muombe sana mungu kwa maana yeye ndo funguo ya Kila mlango 🙏🙏🙏
Pole sana dada mshukuru mungu uenda kuna jambo amekuepushia
Kwakweli
Madam msubiri Mungu.Wakati wa Mungu ndio mwema.mungu atakubariki na bwana mwema.Ndoa sio bora mme ila mme Bora
Dadapole usihuzunike Sana nikawaida ukubali ara ukeweza mm nipo nakujali Niko znz.
Pole dear your still young God's time is the best
pole xanaa swaree mrangi mwenzangu umebaki tyu kudangaa sasa bakari kavuta kixura kuliko hat ww sura mnazo ila tabia zenu zinawaponzaa we pamoja na mdogo wako tabia zenu zinafanana nakuona unadanga tyu 😂😂😂😂😂😂😂
Dunia ina mambo hii mrembo kama uyo utamuachaje wanaume sometimes tunafeli asa😢
@@mohammedkidody5618 alijisababishia mwenywe unawezaje beba mimba ya m2 mwingne den uolewe na m2 mwingne,si kila mwanaume ana kifua cha kuvumilia ayo uolewe na m2 mwingne den badae murudiane,
Basi ukamwowe wewe unangalia urembo angalia tabia
Usipime kina cha maji kwa kijiti utazama ufe
Huwez jua Mungu tu atustiri ndio mana nasema sisi wanawake htuna uhakika wakupendwa na wanaume ila mwanamme Ana uhakika kwasbb anajua huyu nampenda huyu simpendi sisi wanawake kwa kweli Mungu tu atuhurumie ila tunapitia magumu sana kwa wanaume si wakweli
Kila kitu kina riziki yake na pia huenda mwenyezi mungu kamuepusha na shari za yule mume wala asihuzunike amuombe mungu amjalie mume bora zaidi ya yule
Pole dada angu ndy maixha lakin haya tunayopitia mamy❤❤❤❤❤
Mahusiano miaka 3 amekuchoka, wanawake tubadilike tuwe na misimamo lakin ukijiachia matokeo hayo
Eeh pole ndg yng, m , mungu ataksaidia mpnz wng
Dada unaolewa namimba yamwanaume mwingine???ulikosea
Hiki nikihuni tuu nakisipo badilika kitangukia kwenye magonjwa
Pole sana dada Allah akufanyie wepesi
Muombe allah sana atakujalia atkupa wako
Kwa mtazamo wangu ninaona kama huyu dada Ana ujeuri.
She is beautiful manshallah ❤
hii ni tabia ya warangi, wamburu, na wanyaturu. Itakuwa huyu dada ni Moja kati ya hayo makabila. Au msambaa
Kweli kabisa utaolewaje na una mimba ndiyo maana ulishinndwa
Mkundu ww msambaa kafikaje apa
Mshenzi mkubwa makabila ya watu yamefikaje hapo huna adabu kabisa
Ww una tabia mbaya kutukania makabila ya watu jiepushe na dhana yako mbaya kila sehem Kuna mchanganyiko wa watu
Usijione ww na kabila lako ndo bora MwenyeziMungu ndo mjuzi zaidi
Unexperience gani na hayo makabila hayo kama Huna comment nzuri usiandike maana unachafua kabila za watu mungu akuhurumie sana wew
Mjuaji pia hajitambui una mimba unaolewa na mimba ya mtu mwinfine dunia imeisha hii
Shenzi typ mnatia aibu sana ndo mnawaharibia wengine yaan naskia asra,mola msamehe tuongoze,unafaa kulia na utubu kwa mola wako,unaanza kujitangaza,nadhambi ya kutangaza dhambi ni mazito sana
Kosa hilo kujiweka ktk mahusiano .kumbe mambo ya kimba mtihan
Huyu Dada anamapenzi ya kweli Tatizo wanaume NI wakora. Ukiangalia huo mzunguko unaonyesha wanaume ndio hovyo.lakini pia huyu dada anatatizo hana nsimamo huku ana penda huku anapenda NI nduma kuwili
Nipenamba za dada naweza kuwa mume bora
Kosa lko uliingia ktk ndoa kiudanganyifu kwio huwezi kufaulu ktk kudanganya,, cheating make more loose
Pole sana dada siyo rizki usi lie
Pole sana mdogo wng huyo mwanaume hakukupenda mwanaume anayekupenda kweli hawez kukurusu uolewe na mume mwingine tatizoletu ss wanawake tukipenda tunakuwa vipofu hata mtu hafai tunaona anafaa sababu tu moyo umependa pole kikubwa nikumuomba mwenyezimungu atupatie waume walio sahihi na na wenye hofu juu yake
Pole sana binti kuwa muangalifu baado ya hili
Pole San kwel kwa matatizo ulio pitia 😢 utapata mme bora tu
Hakuna ridhiki Yako uyo tulia utapata wa kwako
Wewe bado mdogo acha ujinga . Mungu kakuepusha , wanataka uolewe kwanini ? Stick on why uolewe ... mimba au wanataka tu hvyo ?
Itasaidia nn kujianika ktk media hiyo ni kujizalilisha na haitakusaidia kitu ungetaka ushauri kwangu ningekwambia hiyo sio risk yako ndo heri yako
Can someone make me understand. This young beautiful lady, is saying there was wedding, how did she became pregnant
Dada kipindi ulikuwa namimba ya wengine mwanaume unge mwabiya ukweli mapema kama una mimba ya mwanaume mwengine
Mwenyezi mungu atakupa mume sahihi inshallah pole mpenzi wangu
Mbona upuuzi mtupu hapa jamani mweeee
Nkt...eti mume mwenye amekipea mimba akuambie uolewe na mwingine.. hahahaha
@@bosiborimomanyi5592 wallah eti,
Na bado unampigia simu mtu anakuambiwa uolewe huhisi km hakupendi
Mungu atakupa, usijali awe mkristo au mwislamu
Wewe Mpumbavu.. wewe sio muislam au utakuwa muislam jina
Kwa kifupi hawa bado wote watoto,
Pole sana dada wangu
Pole san kipnz p❤❤❤
Namuomba mim aje niishi nae plz plz
Say alhamdulillah Allah has not planning for you . Inshallah Kee praying never give up to Allah
Majibu ni hapa hapa duniani. Wewe uliingia kwenye NDOA kwa uhongo mkubwa na ukamkimbia mwenzio ulifikiria dunia itakuacha salama kweli?!.. Umevuna ulichopanda my dear. Mungu wa sasa hivi mkali sana. Tusiwatendee wengine mabaya tukifikiria mazuri yatakuja kwetu. Hayo ndio majibu ya mtihani ulioufanya my dear.
Kisheria huyu dada ni mke wa mtu kwasababu ajapewa taraka hiyo sio haki
Talaka sio lazima iandikwe hata neno Moja tu kumtamkia mkeo nimemuacha jua ndoa imevunjika wakati huo sasa tuchunge wanaume wengi wetu tunaacha wake kwa matamshi alafu tunaendelea na zinaa
Amejivua kwa kurudisha mahali
Dooh sijapenda kabisa story hainogi kabisa yaan nilikuona mrembo kabla hujaongea ulivyoanza kuongea kumbe huna maana kabisa........jamaan sasa ukikaa bila kuolewa utasema umelogwa?..........yaan mwanaume akupe mimba then akuruhusu uolewe bado useme anakupenda🤔 tujitambue
Uzur wa karatas ukiloa hauna maana 😆
Taila sana wew wanahaki wasikuoe😏😏😏
Tatuzo la hawa dada zetu wamezidisha tamaa .anajifanya mwema kumbe nyoka wa shaba bora Mungu kakuumbua mapema
Nakushauri kitu njoo zako arabuni utafute pesa achana na habar za mapenzi ukikamata pesa humtaman hata mwanaume 😊
Mungu atakupa wa kheri na ww lk mara ingine usikubali kunyamazia siri kama uliongea kwa fqmily yako hayo yasingetokea ukweli hua unakuokoa ima angelazimishwa huyo bwana alieka mimba akuowe ama akuhudumie hqtq ukiwa ama mume akikuowa anajua uko na mimba sio yake hapo ulikosea kuficha hawa wanaume tunakua nao lk niwatu wabaya sanaa kumi kwa mmoja akisha kukuharibia maisha kusimama nawe
Mtt mzur mashallah ningekua mwanaume ningemuoa 😢
Ndoa ni baraka ya Mungu c matarajio ya mwanadam tuwe na subra
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Wanaume wote ni mbwaaaaaaaa
Miaka 22 usha jua kila aina ya mdudu 😢😢jaman khaaa yaan aliye kupa mimba akuambie uwolewe na mwanaume mwingine na ww ukakubali loooh