Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Uyu jamaa namkubali sana anaongea point mno big up Bro
Kabisa 🙌
Very good,hata mm mambo ya mialiko ya sherehe sijui birthday no,Sina muda huo.. kweli umeongea point..
Kapendeza leo masha Allah ❤❤❤ Na ukienda hovyo unakula chuma😂😂😂😂😂
😂😂😂😂unajua kumjibu maswali😂😂😂❤❤❤❤ DUDU baya
Duduzuri😂😂❤❤❤ ndio kidume sasa .hana haja ya mipicha picha na birthday. Hao wapenda vaa suti na birthday ni WANAUME WA DAR😂😂😂😂
Konki3 nakupenda sana broooo ❤❤❤
Nan kaona dudubaya anafanana na Quick rocker
Kweli wanafanana,ila dudu baya amezeeka.
@@SuzimaryLupatuMaisha magumu
Kweli
@@awatifalghanim1106Acha umbeya utakalishwa juu ya dole gumba ww.
Kabsa wanafanana watu watabisha coz huyu umri umeenda ni handsome huyu baba
Nakupendaga dudu baya
Maswala yakimalaya safi sana usiulizwe ujinga
Leo ndio nimemsikiliza Dudu Baya. Jamaa yuko vzr kwa kweli.
Thank God umenyoa ❤
😁😁😁
Kweli amependeza kwakweli
Jamaa anaelewa tofauti ya manager na director.
Yaani jamani tumain unajizeesha hivyo kumbe kijana mbichi kabisa usiache manywale hivyo bwana umependeza sana mwanangu
😂😂😂😂😂 kweli manywele yalikuwa machafu loooh
Godfrey tumaini
Braza ongea ,cc tunaamn maneno yakoo
Huyu sindo konki mastar😅😅
Toka mozambique Noma sana
Nakukubali sana dudubaya.
Yaani wa kwetu mdg wangu nimependa iyo ya kimalaya malaya😂😂😂😂 jmn umependeza maanshallah
Dudu baya kasema kweli Daimond hamiliki wasafi media nathani kusaga ndiyo ana own
You are smart
Dudu Baya Ali hit wakati wasanii wengi wabovu, Hana muziki wowote NI roporopo
Unacho ongea ni kweli kabisa. Hata hapa Marekani ndivyo ilivyo.
Maisha ya kinya 😂😂😂😂😂
Kweli umetuvumbua
Eti maswali ya kimalaya malaya😂😂😂😂Ila dudu bana😅
safi sana dudu baya
Du jama dude ajua mengi anatufumbua vichwa sana
Mwalimu(Dudubaya) vs Mwanafunzi wa mwisho shuleni (mtangazaji.)
Ngo maswalah ya Kinya ya Kimalaya 😂😂😂
Leo Dudu kapendeza 😂😂
Umeongea ukweli leo mufahamishe mtangazaji akuelewe
Ww mtangazaji rudi shule kichwa chako kigumu sana
Hapo dudu ungemzaba huyo kofi akili ifunguke😂
dabu c b. Hahahahah konky master
😂😂
🙌👏👏👏👏👏👏
CONKIE MASTER ✌️🫡
Uyo Mbengo ana kichwa kigumu, ndo hao Waandishi Uchwara..
Tishati na Jean na raba kati.... bro ametupilia tayar pamba kisafi bila shida 😅
He said Mbosso alikuwepo that means ??
Wasafi classic baby
Reo kapenda sana nikweri wanafana
Together bro
Hata Mtangazaji pia hajuwi nini Manager nini Director.... Wamekosa Elimu 😂😂😂😂 basi mahodani tuu Ku comment.
Hivi WCB ni WASAFI CLASSIC BAND 😂😂😂, Kumbe ni Band ileee😂😂😂Me Nilijua WASAFI CLASSIC BABY 😂😂😂
Nimejua leo iyo Band😂😂
Walibadirisha kutoka wasafi classic baby wakaweka band
Huyu jamaa itakuwa amepewa kifurushi cha interview ya bure😂
Kama mzee magali kuongea mpaka sauti jamani
Uyu jamaa dudubaya ana baki na kinywa ana ongeya ujinga uta fikiri shoga kipi ana kiweza sasa uyu zidi yaku ongeya 😂
We utakua kitoto cha elfu2
@@humbleshoalkbs
lebo inaitwaje eti hahahaha nimecheka
Kwani dudu ni nani mpaka kila kitu mnaenda kumuuliza yeye? Dudu anajua habari za kila mtu Tanzania? Acheni ushamba nyinyi media uchwara
Bro nashangaa kweli
Mtu kutoa mawazo yake c mbaya
Naseem hawezi kuowa.Masharti hayamruhusu.Akiowa atafilisika.
Kwa nn afirisike! Hataki tu
Mali ni za watoto sasa. Mengi kafa kaenda na suite yake tu, vilivyo yuma yake sio vyake tena inabaki suit aliye valishwa na amali yake basi..
Waandishi wa habari waende shule, mwandishi anauliza pumba na upeo mdogo sana.
ni aibu kubwa bongo waandishi wengi ni uchwara tuu hakuna kitu kichwani
Akili kubwa
Hakuna makazi
WCB😂😂😂😂
Acha makasiliko unapayuka sana
Kabixa
Jamaa wanapata sana content kutoka kwa #dudubaya wanamlipa kwl ??
Ila Dudu saluti
Dudu baya siku hii kafanana na PDD😂😂😂
My question why everything have to ask him which way he know the things?
He is our Tanzanian Musician Legend, so he is inside system, it is possible for him to know many things over there.
@@Nyaso5417Sure thing
😂😂😂❤❤❤
Sandals 200000/=?
Mmiliki ni Diamond nendeni brela mkaangalie
Nope siyo mmeliki wa media ni kusaga
Kanzu laki nne
Alhamdullilah leo kachana nywele kaonekana MSAFI 😂😂😂
Kanyoa sio kachana
Aondoke asiondoke inawahusu nini?
Asante
Wewe inakuwasha Nini yamekukuna mwehu
Konk master
😂 😂 😂 😂Futari kanzu ya laki 4 sandals laki 2
Kila cku nasema wasafi classic baby kumbe band
😂
😂😂😂 hii nayo umeweza
Hujakosea uko sawa band niya dudu baya😅
Uyo mtangazaji akili yske haipo hapo mzabe vibao uyo ende zake
😂😂😂😂😂
Konk umependeza sana.nakkbal sana ,wewe nimkwel
Mtangazaji ww mshamba huelewi kabisa....soma bana uwe na ufahamu...
KUNA KITU KINAITWA MKATABA ILI UONDOKE WAMUULIZE HAMONIZE NA RAY ??
Diamond ata owa ghana alisema zuchu ni mwanamziki 1:46
Konki mpige makofi huyo dogoo😂😂😂
Amueleweshe tu jamani
😂😂😂
😂😂😂😂
Uyu jamaa namkubali sana anaongea point mno big up Bro
Kabisa 🙌
Very good,hata mm mambo ya mialiko ya sherehe sijui birthday no,Sina muda huo.. kweli umeongea point..
Kapendeza leo masha Allah ❤❤❤ Na ukienda hovyo unakula chuma😂😂😂😂😂
😂😂😂😂unajua kumjibu maswali😂😂😂❤❤❤❤ DUDU baya
Duduzuri😂😂❤❤❤ ndio kidume sasa .hana haja ya mipicha picha na birthday. Hao wapenda vaa suti na birthday ni WANAUME WA DAR😂😂😂😂
Konki3 nakupenda sana broooo ❤❤❤
Nan kaona dudubaya anafanana na Quick rocker
Kweli wanafanana,ila dudu baya amezeeka.
@@SuzimaryLupatuMaisha magumu
Kweli
@@awatifalghanim1106Acha umbeya utakalishwa juu ya dole gumba ww.
Kabsa wanafanana watu watabisha coz huyu umri umeenda ni handsome huyu baba
Nakupendaga dudu baya
Maswala yakimalaya safi sana usiulizwe ujinga
Leo ndio nimemsikiliza Dudu Baya. Jamaa yuko vzr kwa kweli.
Thank God umenyoa ❤
😁😁😁
Kweli amependeza kwakweli
Jamaa anaelewa tofauti ya manager na director.
Yaani jamani tumain unajizeesha hivyo kumbe kijana mbichi kabisa usiache manywale hivyo bwana umependeza sana mwanangu
😂😂😂😂😂 kweli manywele yalikuwa machafu loooh
Godfrey tumaini
Braza ongea ,cc tunaamn maneno yakoo
Huyu sindo konki mastar😅😅
Toka mozambique Noma sana
Nakukubali sana dudubaya.
Yaani wa kwetu mdg wangu nimependa iyo ya kimalaya malaya😂😂😂😂 jmn umependeza maanshallah
Dudu baya kasema kweli Daimond hamiliki wasafi media nathani kusaga ndiyo ana own
You are smart
Dudu Baya Ali hit wakati wasanii wengi wabovu, Hana muziki wowote NI roporopo
Unacho ongea ni kweli kabisa.
Hata hapa Marekani ndivyo ilivyo.
Maisha ya kinya 😂😂😂😂😂
Kweli umetuvumbua
Eti maswali ya kimalaya malaya😂😂😂😂Ila dudu bana😅
safi sana dudu baya
Du jama dude ajua mengi anatufumbua vichwa sana
Mwalimu(Dudubaya) vs Mwanafunzi wa mwisho shuleni (mtangazaji.)
Ngo maswalah ya Kinya ya Kimalaya 😂😂😂
Leo Dudu kapendeza 😂😂
Umeongea ukweli leo mufahamishe mtangazaji akuelewe
Ww mtangazaji rudi shule kichwa chako kigumu sana
Hapo dudu ungemzaba huyo kofi akili ifunguke😂
dabu c b. Hahahahah konky master
😂😂
🙌👏👏👏👏👏👏
CONKIE MASTER ✌️🫡
Uyo Mbengo ana kichwa kigumu, ndo hao Waandishi Uchwara..
Tishati na Jean na raba kati.... bro ametupilia tayar pamba kisafi bila shida 😅
He said Mbosso alikuwepo that means ??
Wasafi classic baby
Reo kapenda sana nikweri wanafana
Together bro
Hata Mtangazaji pia hajuwi nini Manager nini Director.... Wamekosa Elimu 😂😂😂😂 basi mahodani tuu Ku comment.
Hivi WCB ni WASAFI CLASSIC BAND 😂😂😂, Kumbe ni Band ileee😂😂😂
Me Nilijua WASAFI CLASSIC BABY 😂😂😂
Nimejua leo iyo Band😂😂
Walibadirisha kutoka wasafi classic baby wakaweka band
Huyu jamaa itakuwa amepewa kifurushi cha interview ya bure😂
Kama mzee magali kuongea mpaka sauti jamani
Uyu jamaa dudubaya ana baki na kinywa ana ongeya ujinga uta fikiri shoga kipi ana kiweza sasa uyu zidi yaku ongeya 😂
We utakua kitoto cha elfu2
@@humbleshoalkbs
lebo inaitwaje eti hahahaha nimecheka
Kwani dudu ni nani mpaka kila kitu mnaenda kumuuliza yeye? Dudu anajua habari za kila mtu Tanzania? Acheni ushamba nyinyi media uchwara
Bro nashangaa kweli
Mtu kutoa mawazo yake c mbaya
Naseem hawezi kuowa.Masharti hayamruhusu.Akiowa atafilisika.
Kwa nn afirisike! Hataki tu
Mali ni za watoto sasa. Mengi kafa kaenda na suite yake tu, vilivyo yuma yake sio vyake tena inabaki suit aliye valishwa na amali yake basi..
Waandishi wa habari waende shule, mwandishi anauliza pumba na upeo mdogo sana.
ni aibu kubwa bongo waandishi wengi ni uchwara tuu hakuna kitu kichwani
Akili kubwa
Hakuna makazi
WCB😂😂😂😂
Acha makasiliko unapayuka sana
Kabixa
Jamaa wanapata sana content kutoka kwa #dudubaya wanamlipa kwl ??
Ila Dudu saluti
Dudu baya siku hii kafanana na PDD😂😂😂
My question why everything have to ask him which way he know the things?
He is our Tanzanian Musician Legend, so he is inside system, it is possible for him to know many things over there.
@@Nyaso5417
Sure thing
😂😂😂❤❤❤
Sandals 200000/=?
Mmiliki ni Diamond nendeni brela mkaangalie
Nope siyo mmeliki wa media ni kusaga
Kanzu laki nne
Alhamdullilah leo kachana nywele kaonekana MSAFI 😂😂😂
Kanyoa sio kachana
Aondoke asiondoke inawahusu nini?
Asante
Wewe inakuwasha Nini yamekukuna mwehu
Konk master
😂 😂 😂 😂Futari kanzu ya laki 4 sandals laki 2
Kila cku nasema wasafi classic baby kumbe band
😂
😂😂😂 hii nayo umeweza
Hujakosea uko sawa band niya dudu baya😅
Uyo mtangazaji akili yske haipo hapo mzabe vibao uyo ende zake
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Konk umependeza sana.nakkbal sana ,wewe nimkwel
Mtangazaji ww mshamba huelewi kabisa....soma bana uwe na ufahamu...
KUNA KITU KINAITWA MKATABA ILI UONDOKE WAMUULIZE HAMONIZE NA RAY ??
Diamond ata owa ghana alisema zuchu ni mwanamziki 1:46
Konki mpige makofi huyo dogoo😂😂😂
Amueleweshe tu jamani
😂😂😂
😂😂😂😂
Du jama dude ajua mengi anatufumbua vichwa sana
😂😂😂😂