FINAL:ILIBIDI NIMPE M!MBA MAMA YANGU ILI NILETE HESHEMA NYUMBANI
Вставка
- Опубліковано 13 вер 2024
- #foxetv #hardmovement Bonyeza alama ya Subscribe kisha weka notification on ili kupata matukio yote kwa wepesi zaidi Asante.#FoxeTv Ni Bora Zaidi
.
.
.
.
.
.
.
.
©Instagram @FoxeTvTanzania tufollow sasa kwenye mtandao wetu wa kijamii
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Tag;
#video #bongomovie #truestory #majanga #mikasa #msaada #update #trendingvideo #trending #trendingnews #oman #omannews #omanchannel #omannewstoday #kenya #kenyanews #kenyadigitalnews #kenyanewsmedia #usa #usanews #america #american #amerika #tanzania #tanzaniasafari #tanzaniayetu #uganda #ugandanewsupdates #rwanda #rwandanmovies #burundi #burundinews #uchawi #mikasa #udakutz #udaku254 #ngono #VideoChafu #VideoXxx #Xxx #xxl #uchib #tikitv #tikitvkiakilizaidi #zanzibarbeach #maximumtvonline #maximumtv #DavistarMatal #mtoto #watoto #Ubakaji #diamondplatnumz #harmonize #comedy #comedyvideo #film #movie #movie #ayo #millardayo #millardayoupdates #GroblaUpdates #global #AingiliwaKinyume
Sijui ilikuaje nikasikiliza upumbavu huu hadi mwisho story ya kitoto ya uongo na uzushi! Hizi online media uchwara zifungwe zinatupotezea muda na focus
Wanatafuta views tu
Sio kweli nakama ni kweli hauna hakili Yani mambo mnayo yafanya na Binti yake uyafanye na mama yake,na kama nikweli kwanini haukukimbia na undugu ukauvunja siku hiyohiyo
HAHAHAHAHAHA
Mwenyez mung akurehem
Wewe kijana ni mjinga sana
Umeshalaniwa omba rehema Huna hakiri
Kijana anaongea huku akifurahia.
Badala ya kusikitika kuwa ni laana anachekelea tu. Mshenzi kweli.
Maajabu kabisa kumbuka n mother -inlaw huyu n kujisahau tu uwezi toka ata hapo kwa kitanda ukicheka hivi ama n comments unataka nmecomment basi vil ulikuwa unataka
Beee nimuongooo uyuu jamaaaa
Kwani ulilewa au ulichukuliwa msukule? 😮😮
Laana gani
Huyo mbuzi😂😂
Mimba haiwezi kutunwga na kukubainika baada CK 7 at list siku 28 na kuendelea hii ni story ya Uwongo😮
Kumbe tayari ulishatumiwa text bodo ukakubali kupanda kitandani?
Wanao enjoy story hii ya uongoo like zenu plz
Ni mshenzi😂
Kama ni mama mkwe bas ni kweli,, wapo wamama waizaini hi
Daaaaah jamaa muongo kichizi
We yakwako ya ukwery ikowap
Wakwe wanatiwa sana kama hauamini mambo yaukweli ulimwenguni
Omba toba kwa mungu
Wewe na huyo mama ni wajaa laana
Mungu akusamehe make pengine cyo wew umevaliwa na maroho
Hii story unnepimia marafiki sio huku kwa dunia nzima, wewe ni chizi fresh
Ujinga 3:40 3:41 😅
Mama Mkwe wahaina ngani? Wewe ni shetani mkubwa.... Eti kuna sehemu ukishikwa hata awe dada yako? Mjinga kijana wewe.... Umelaaniwa... Ukirundi nyumbani utafanya hiyo mchezo tena na mkeo? Shetani kasoro mkia wewe. Kwanini wewe na sio mtoto mdogo uwezi ukaondoka, ungefunja mulango uondoke. Na kwani babake Pauline alikuwa wapi.... Hata weeeeeeeeeii? Ukiwa ulipanda kwa kitanda, hapo ndio ulikwisha (kijana shetani wewe) Umelaaniwa na laana kubwa. (Tafuta Mchungaji akuombee, uokoke... Kwa YESU tu ndio utapona)
😂😂😂😂😂😂🙌🙏
kama hadisi vile, eti siri, hapa nimtandao kwani hivi Paulina bado tu hajaona 🤷???
Hii story kama ni kweli basi we ndiye mbaya coz hukujiondoa kwenye majaribio baada ya kuona red flags
Wengne huzaa na wakwe zao kbsa
Kwanza inakuwaje unalala chumba kimoja na mama mkwe acha ujinga huo ni ushetani
Wewe mjinga hata huyo Paulina humpendi acha kuongea kiluga mjinga wewe kwani huyo mama hajaona wanaume wote mpaka akufungie wewe? Mlikuwa na yenu wote ni malaya hamna adabu mungu atawakomesha
Mbuzi weee
Shetani akulambe mapua wewe
Story kama hizi maana yake nini? Zina kiwango kikubwa cha ukiukaji wa maadili.
1 Wakorintho 5
1 Yakini habari imeenea ya kuwa kwenu kuna zinaa, na zinaa ya namna isiyokuwako hata katika Mataifa, kwamba mtu awe na mke wa babaye.
2 Nanyi mwajivuna, wala hamkusikitika, ili kwamba aondolewe miongoni mwenu huyo aliyetenda jambo hilo.
3 Kwa maana kweli, nisipokuwapo kwa mwili, lakini nikiwapo kwa roho, mimi mwenyewe nimekwisha kumhukumu yeye aliyetenda jambo hilo, kana kwamba nikiwapo.
4 Katika jina la Bwana wetu Yesu, ninyi mkiwa mmekusanyika pamoja na roho yangu, pamoja na uweza wa Bwana wetu Yesu;
5 kumtolea Shetani mtu huyo, ili mwili uadhibiwe, ili na roho iokolewe katika siku ya Bwana Yesu.
Mama wa muke wako ni mama yako piya
Iyo ni lawama amboyo ita sumbuwa maisha yako yote ata na kizazi yako
Mama mkwe pia ni shetani, mbona asingemuita msichana wake? Kijana pia ni sence
Kabisa
Mimba ya wiki moja 😅😂 tunadanganyana
Kwa mama mkwe sio kwa mama yako ulienda uko kufanya nini ww tu na uyo mkwe wako ni malaya
Kuwekwa mambo haya kwenye mitandao hayafai, ni aibu, na fedheha yanakiuka maadili yote ya utu.
Dunia aina la Siri siku izi
Alafu unaongea ukicheka kana kwamba jambo nzuri ushindwe kabisa laana
Uwongo toka hapa
Ni kweli ushenzi huu ni alama za kiyama
Ni laana
Pole yako
😂😂😂😂😂😂 ulidona tayari mtama wa mama mkwe utakufa vibaya sana kuhurumia San ww
Hayo ni maajabu nasikitika sana
Uyo ni. ChiZi
Nimbumbafu sana
Kwenye mitandao kuna mengi sana
Umeelewa umeelewa umeelewa umeelewa umeelewa umeelewa umeelewa umeelewa umeelewa
Mimi nimekuelewa broo ila kuna watu wamesha kuelewa vibaya. jamani aya mambo utokea sana ni sababutu wengine si majasiri wakuelezea kama uyu mwamba anaelezea.
Ww kijana mshenzi Moja huna adabu hata kidogo mwehu moja
Subhanallah 😢😅😅 wiki ulimpangia kbs 😢😢😮😮
Kwanini ulale na mama Mkwe wewe ulimpenda Mama na Mtoto hiyo Lana aibu.
Sio kweli uongo mungu anakuona
Ugependa poulina augelala na mamake
Pole saan kinjana wewe unatisha KBS 👏
ulikua wampenda pia ww
Hy mm kiboko
Waongea upuzi mbele ya dunia.
Pole kaka ulingia kwa majaribu mbaya
😅😅😂😂box empty
Hatari sana
Sasa wakati huo wote umetulia tu ukisikiza lala mtoto surely shenzi😢😢😢
Laana shindwa pepo😮
Wewe n majinga sana unalala aje na mamako
Hii imeenda na uongo.tupu
Yan nasikiya asiraaa
Jaman mbona anatudhalilisha wanawake mavi yake
Unaonekana hujielewi umebeba laana tani 30 yani mzigo usiokua na uwezo nao. Unastahili kuomba Rehema soma zaburi 51:1 hadi mwisho.
Msimulauku kijana mama ni malaya
Waaaaah 😢😢😢😢😢
Hii ndio nilikuwa natafuta
😂😂😂😂
Hata hivo ,basi hangemwodokea😒😏
Hata hivo ,basi hangemwodokea😒😏
Muogo
Mwenye kuangalia pia kwani hamuelewi taira hilo lipo lipo
😅kweli hili ni taila
Mpuuzi
Huyo mama nyotee wapumbavu hamna hata adabu za kwendea chooni
😂😂😂😂 ni noma xana
😂😂😂😂
😮😮😮ujinga huu ata unanibore kuona umbwa we
Hiyo noma
Usiludie aibu. Pole sana.
Waaah chapa kimoja t
Fa2ma mamb
Hanithi ww
hata sijaanza kuangalia nimejua ni uongo
Omba rehema neno langu linasema alaniwe alalaye na mke wa baba yake
Kama ulifanya hivyo wastahili kuenda jehanamu ukaishi na shetani ,ungetoroka.
This is story come yes come
Una maradhi ya kisaikologia wewe bwege
😂😂😂😂
Jamaaa falaaa kweliii😂🎉
I understand him 😢its not easy to this boy
Umeelewa🤣🤣🤣
Wacha kulete habari kama hizi.
😅😅
Hivi huyu jammaa ni kabila gani? Mpumbavuuuu sanaaa
Nonsense
Mmefanana na huyo mamamchafu. Umeharibu kizazi chako.
Wewe kubavu
😢😢Usijalip kwongea hiyo jina eti mamamkwe,,,Sema Malaya wako....
Wewe ni mwenda wazimu na umelaaniwa
Huyu jamaa anakaa mjinga mjinga
Laanaiyo
Wewe na hilo lijimama ni Kenge maji Acha kutoa story ya uongo
Ata kama story ya uwongo haoni aibu wala haya kuyatamka maneno hayo alaaaniwe bilisi alokuandama
Ulikua unatamani hiyo toka zamani🙂↔️🙂↔️
Wewe Msheshi tu
Na kweli hiyo mama alibadilika kama kinyonga anavyobadilika rangi kwa hiyo huyo mama aitwe kinyonga
Subhannallah,wasema huna hata haya ,hiyo ni laana
Wewe Ni ndugu YA shetani
Wewe ni taira mbwa wewe liko km limekurupuka kutoka shimoni pumbaxu wewe
Mimi siamini kabisa anachosema huyu kijana. Kwani mimba inaingia na wiki moja na kutoa kama amefungiwa chumbani? Hii stori si ya kweli kabisa na hata kama ingekuwa ya kweli, ni aibu tele. Hata kwetu Kenya mambo kama haya si ya kusema mbele ya watu. Najua Tanzania na Kenya tu wamoja. Hata vile alivyoongea lugha ya mama, nilikuwa naelewa maneno fulani kwa maana sote tu wabantu. Mila zetu ni sawa. Aibu!
Mimba huingia hata na sec bora sperms ziko active na mwanamke mayai iko tayari mimba unapata tu
Mama alimtega... definitely she knew the time of the month... she knew her fertile time of the month na akawahi.
Hawa walikwisha elewana waongee uwongo wore wana. Penda na ndio mchezo wao labda soup kawaida angalieni maadili yetu watanzania
Haya unavyo ongea huoni aibu
Nonsense maviii saaba hata huna aibu
Chai jaba hii
Wewe na mamako mumelaaniwa. Na hakuna dhabihu yeyote inaweza toa hiyo Dhabi yenu asema Mungu.
😂😂😂😂😂😂 we Mungu 😅😅
Wewe ni mchinzi ama nini? Kulala na Mama mkwe??? Wewe mjinga kabisa...na unafurahi sana kama unaeleza watu😊😊 ....Wewe umelaniwa mkiwa na mke mwenza....
Wewe huna akili hata kidogo nyani weee! Dunia imefika mwisho.
😮😮😮😮😮
Jamn hiv hakuona hata ajabu kulala na mamake mhhhh vikana tamaa mbaya au ulipewa masharti na mnganga ili upate her nyambavu mngu akurehemu na mazambiko
Duuuu....wewe na huyo mama mkwe wako mna laana sio bure