Itabidi tumtaarifu bibi harusi wa miaka 60 aje awekwe sawa maana anavobana sauti ile sauti ya uzee haitaki duuu hatari hii subhanallah watanzania tumekuja kuuliwa hukuhuku kwa kansa
RIP kizazi hiki. jamani mtakufa vibaya na haya madudu eti mnakimbia uzee. Masha umeingia mjini kwa msaada wa titi lako asilia sasa unataka kulichakachua wenzio wanaliendea uturuki ,binadamu mnaishia kubaya sasa experiment inakuja Tz wajinga mkafe mtupishe mnatia hasira
Nacharo si alikukabidhi hati ya nyumba ukatia saini vipi sasa wakati mondi naye anakulipa Kodi Kodi ya nyumba Masha fanya upate kibanda chako mbona unaakili dada nyingi tu
masha nenda kafanye kwanza diet ya uso wako pia massage uso kwa week mara 3 maana na umri wako huo angalia minyama ya shingoni imekushuka na ndivyo vinakaribisha uzee usoni. jamani mazoezi muhimu sana hivyo vitu vingine mnajitafutia tu matatizo ya kiafaya
Diet ya uso ni gani sasa??😏😏alafu what bothers you if she is ok with herself,yeye keshajikubali,mwili ni wake,we unakula pilipili ya nini😏😏wabongo banah🚮
@@Moregun619 You are very stupid if you don't know there is a face diet.. si unayo utube chanel si utizame halafu ndio uje ubishane na mimi hapa. watu siku hizi wana scrub mpaka shingo ilikuepuka minyama ya kuninginia ndio inayoleta mikunjo ya uzee halafu unasema nini wewe? kwani upo dunia gani wewe.. so nipe maana ya kurekebisha uso nakuingia garama za kijinga , ikiwa umeshidwa kufanya mwenyewe
😂😂😂yn huy Dada mbn n komedii kiasii hikiii😂😂
But Congratulations🎉🎉kwa kuwa Baloziii
Itabidi tumtaarifu bibi harusi wa miaka 60 aje awekwe sawa maana anavobana sauti ile sauti ya uzee haitaki duuu hatari hii subhanallah watanzania tumekuja kuuliwa hukuhuku kwa kansa
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ampola ni hospitol mzur sana wako vizur sana kwenye kuwapa huduma wagonjwa na hasa kwenye kuzarisha kwakweli wanajitahidi sana.
Akili za masha na za huyo dr wote zipo sawa kaja kibiashara anaetaka kufa na aende
🤣🤣🤣🤣
Kwani Masha Ile mimba ya mafufu imeenda wapi
Yani nimecheka kwa nguvu sana aise😂😂😂duh
😀😀😀😀😀😀
😅😅da Masha jamani Sina mbavu eti wowowo
Haya tupo pamoja dada end kaka
Unaweza kutukanwa masha eti ongea Kwa kiingereza hili kovu
Tulivyoobwa tunamkosowa.mungu.ili.uwe.vipi.utazeeka.tu
Hivi huy doctor yy kajisahau au hautak ujna? Maan sura inamsaliti 😅😅
😂😂😂🤝
😂😂😂😂😂😂😂 mbavu zanguu jamani
😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Watu wakafanye kwanza tuone masha fanya utuonyeshe before and after
Huku zenji mambo ayo hatuna watajaa hao wabara wengi tuu, lkn zanzibar hakuna ataefany upuuz huo
Nyie mcheni Allah kwa uhakika mana dar mmmh acha tuu
RIP kizazi hiki. jamani mtakufa vibaya na haya madudu eti mnakimbia uzee. Masha umeingia mjini kwa msaada wa titi lako asilia sasa unataka kulichakachua wenzio wanaliendea uturuki ,binadamu mnaishia kubaya sasa experiment inakuja Tz wajinga mkafe mtupishe mnatia hasira
🤣🤣🤣🤣🤣 Nini inakuuma
@@amanimapenzi571😂😂😂😂
😀😀😀 doctor mwenyewe kazeeka mbona yeye ayuko 18
Mimi niko busy na diet napenda uzee bc nitafanya vyote bu age aitabadilika so why stress myself
Dunia ni ile Ile ila tatizo ni walimwengu ndio tatizo
🤣🤣🤣🤣🤣
Hospital inanyota nyingi mno 😭😭😭
Daa SASA tunakuwa maiko jakson
Ilo deal mungemuangushia Elizabeth lulu lingemuenda sawasawa maana yy kadhirisha karudi mdogo kweli kweli
R na L
Bado zinakusumbua
Nacharo si alikukabidhi hati ya nyumba ukatia saini vipi sasa wakati mondi naye anakulipa Kodi Kodi ya nyumba Masha fanya upate kibanda chako mbona unaakili dada nyingi tu
Masha is hilarious, wasn't she pregnant a month or so ago😂😂😂😂
Aah she's too fresh.
Great marketing 👌
Wowowo😅😅😅😅😅😊😊😊😊
Hakai tanzania wala zanzibar 😂😂
Je unene dawaa ipo
Sasa km unamipango mengi sana ya kupata michongo ya hela kwanini hujengi nyumba yako
Huku zanzibar hatunaga hayo mambo
Hivi mutakua nayo
masha nenda kafanye kwanza diet ya uso wako pia massage uso kwa week mara 3 maana na umri wako huo angalia minyama ya shingoni imekushuka na ndivyo vinakaribisha uzee usoni.
jamani mazoezi muhimu sana hivyo vitu vingine mnajitafutia tu matatizo ya kiafaya
Diet ya uso ni gani sasa??😏😏alafu what bothers you if she is ok with herself,yeye keshajikubali,mwili ni wake,we unakula pilipili ya nini😏😏wabongo banah🚮
@@Moregun619 You are very stupid if you don't know there is a face diet.. si unayo utube chanel si utizame halafu ndio uje ubishane na mimi hapa. watu siku hizi wana scrub mpaka shingo ilikuepuka minyama ya kuninginia ndio inayoleta mikunjo ya uzee halafu unasema nini wewe? kwani upo dunia gani wewe.. so nipe maana ya kurekebisha uso nakuingia garama za kijinga , ikiwa umeshidwa kufanya mwenyewe
Tupe nambiye
😂😂😂😂😂eti wowowo
Masha jaman mtambo😂😂
Saaana😂😂😂
😂😂😂😂ubaki na 0 hhhhhhh jmn masha
😂😂😂😂😂😂wowo
Mmmmh mitihani 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣mtihani kwa kweli
Masha😂😂😂😂😂😂
Kenya walishafika kitamboo sana sana
Namba dda
@@salimaemedi988 ok
@@salimaemedi988 ingia UA-cam angalia
Nimekutumia Ila wanafuta hawa namba na jina la hospital
Dah
😂😂😂😂😂
hahahahahahahahaha
Z😂😂😂😂😂😂😂😂