HAIWEZEKANI SAIDOO KUACHWA,SIMBA WAMEKOSEA KUMUACHIA SAIDO NTIBAZONKIZA, JOBE ANAFAYA NINI SIMBA?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 чер 2024
  • MAONI YA MWANDISHI JUU YA SIMBA KUACHANA NA MSHAMBULIAJI WAO SAIDO NTIBAZONKIZA NI KAMA IFUATAVYO
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 21

  • @user-ib7kx9dc5m
    @user-ib7kx9dc5m 9 днів тому +1

    Kweli kabisa shida ni ss mashabiki

  • @kokolosaid7265
    @kokolosaid7265 9 днів тому +2

    Kama kweli jobe kabakizwa na Saidoo kuondoka viongozi ni washenzi na wapumbavu na msimu ujao. Hawapati hats kombe moja.

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp 9 днів тому +2

    Wewe ni utopolo ume tumwa mwambie akacheze yanga

  • @michaelmwaijande2561
    @michaelmwaijande2561 8 днів тому

    Msiongee kabla ya kuujua ukweli wake. Aliyewaambia Jobe anabaki nani ? Thank you inatolewa kwa utaratibu, bado wengi wa kutoka. Subirini!

  • @kakakodokodo7477
    @kakakodokodo7477 9 днів тому +2

    Anzisheni team yenu mbona mnakua kama malaya malaya kama mwajuma chupi kubwa

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 9 днів тому +1

    Kila mty anajidai anaujua mpira. Hivi kwanini Real Madrid walimuacha Ronaldo. Kwanini Barcelona walimuacha Messi? Wewe utopolo mchukue Saido mrudishe Yanga.
    Kama ni uamuzi wangu Jobe na Fred wote wangesepa. Wachezaji wazuri wapo wengi pesa tu unawapata.

  • @chrizostomchristian1884
    @chrizostomchristian1884 8 днів тому

    Wachambuz watch wamchongo saido mzeeee

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 9 днів тому +2

    Saido angebaki Simba ni msaada saaaana kwa Simba. Viongozi wa Simba huwa mnawaacha wachezaji bora kisha mnawaleta wachezaji wabovu mnawakosea sana wachezaji

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 8 днів тому

    Watu wanapenda kuongea withought nowing reason kuna sababu nyingi moja ni mkataba wa jobe bado mbichi they can pay much money to withdraw jobe

  • @rosegeorge5433
    @rosegeorge5433 9 днів тому +1

    Wewe mchambuzi waovyo hajawai kutokea

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 8 днів тому

    Binafsi naamini Saido tutakuja kumkumbuka sn,alikuwa ni kiraka wa uhakika,hata hivyo mda wake umefika kutafuta changamoto nyingine kwani maneno dhidi yake yamekuwa mengi,napata mashaka yasijirudie yale ya Baleke na Phiri.Viongozi wawe makini sn ktk suala usajili,kukurupuka itakuwa dhambi isiyofutika ktk historia ya SIMBA.Mungu Ibariki Simba!!

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 9 днів тому +1

    Saido kaisha actually uwanjani anakuwa busy doing nothing hakuna Tina uchezaji wake. Hayo magoli jamani yote ni ya penati. Hebu fuatilieni anatoa pasi sahihi ngapi, anapoteza mipira mara ngapi, tackling ngapi Anafanya. Aangalieni assist zake. Tija ndogo sana ktk uchezaji wake

    • @MalaikaBright-rv6yb
      @MalaikaBright-rv6yb 8 днів тому

      Umeitafakari Kwa kina shida ya Simba haikuwa na chemistry Yani muunganiko itakuwa alikuwa anafanya yote hayo ila je anacheza na nani walishane hayo maufundi
      Simba walikuwa badooo sana kuwa kitu kimoja uwanjani kama vile hawasomani .na hii badili badili mara marefa wachezaji ndio inawamaliza kabisaaaa .

  • @MalaikaBright-rv6yb
    @MalaikaBright-rv6yb 8 днів тому

    Simba nina wasi wasi unaendeshwa na mihemuko haina misimamo.inapelekwa na upepo wa matukio angalieni sana mnadhani mnajenga kumbe ndio mnahatibu ....jitafakarini kuanzia viongozi hadi mashabiki

  • @gregoryshao1302
    @gregoryshao1302 9 днів тому +1

    Wachambuzi uchwara kama nyie mpelekeni utopolo kwendeni huko tunawamisi mnoo marehemu swedi mwinyi na kashasha wachambuzi wa mchongotu

  • @user-cu8dm6eh3g
    @user-cu8dm6eh3g 6 днів тому

    Wacha ujinga wako ulitak abak mpaka lini njinga nn hatumtak kesha zeeka kamchambue mkeo

  • @rufadiladebela7089
    @rufadiladebela7089 9 днів тому

    Ww nikuma kama kuma wengine nyege ww

  • @MeryMercianaGeorge
    @MeryMercianaGeorge 8 днів тому

    Achen unafki saidoo apishe vijana umli umeenda

  • @chrizostomchristian1884
    @chrizostomchristian1884 8 днів тому +1

    Sasa saido anasaidia nn we huelewi simba tuna Marengo gn

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 9 днів тому

    Akacheze yanga