Ccm na serikali yake inatawara kwa damu mawazo pumzika kwa amani mungu yupo nawe hawa nao watakufata leo wapo njee sheria nchi hii aipo walio kuuwa wanajulikana leo mmeachiwa subilini kitacho wakuta damu ya mawazo hiyooo inawafata bado muda tu na saa mungu yupo
Mungu wetu ni mwema,...walianza na kuuwa wa chadema Sasa wataanza kuuana wenyewe,..Siku ipo.
Ccm dam ya mawazo itawalilia tuuu mpaka mwisho
Uchaguz umekaribia wameachiwa kwa maelekezo
Bado taasisi ya mahakama Ina ingiliwa na serekali kimaamuzi, in fact, developing country, no rule of laws, Money and mandate is above the law
inchi yetu haifai kwa yeyote asie unga mkono au kukosoa utawala
Kama ni kweli hii Nchi inahitaji kuwakodisha gen z wa Kenya kuikomboa
Ccm na serikali yake inatawara kwa damu mawazo pumzika kwa amani mungu yupo nawe hawa nao watakufata leo wapo njee sheria nchi hii aipo walio kuuwa wanajulikana leo mmeachiwa subilini kitacho wakuta damu ya mawazo hiyooo inawafata bado muda tu na saa mungu yupo