MURO: TOBAAH!! SIMBA YAFANYA KUFURU ,KUMSHUSHA ELIE MPANZU WINGA BORA DR CONGO/ AKITUA TU MMEKWISHA
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
Jamani msiifanye hii channel kuwa ya ubabaishaji, tunawaamini sanaaa, muwe na heading na habari za ukweli
Acheni kudanganya watu, mnanipa Kazi ya ku unsubscribe chanel zenu. Habari za uongo hazifai kwa mashabiki. Bora kusema ukwel update data zangu.
Pia nijazie Ayo muro anaongea sana kipindi kizina msisahau tunatumia bando apa 😂
Kweli lakini hanakuja mpanzu
aikuusu kiherahere kuoga haaaiii
Nyie tunaomba uyo mtu mtupe tarifa sahihi màan kwajins nilivomtizma pakome na Aziz awamuwez
Kwani hio yanga yenu kocha ndio alisajiri hao akina chama acha ukuma ww kwanza humu ni simba ww mdada wavyura watakani humu...
Matusi ya nn
Imamu ramadhani
Mkiona tayari ndipo mtujuze
Nauyo fei Sasa hapo nyuma du kule fasika kt kwamba nadebora du
Jitahidini kujielekeza kwenye mada husika bila kupoteza sana muda
sima nguvu moja😅😮
sas hii timu inasajili bila ya pendekezo la mwalimu
Timu nyingi zinasajili hivyo siku hizi.. wanafata project yao siyo mwalimu
@@nkoydavid9658 km wanafata project yao kwnn mwalim anapofeli wanamfukuza si wafukuze wachezaj waliowasajili wenyewe
We ushaona wap team za tanzania 🇹🇿au kwengime km Kenya wanasajili kutona nakocha kutaka angalia sary Kaletwa na kocha benchikha hadi sasa tunamtukana
Una danganya apo eti bujimayi njo Muji wapili kotoka Kinshasa 😢😢😢
Hatutaki tetesi bali tunataka vitendo au walisia
Ila mwamba anaogopesha mhuuu sjui watu watalia nakusaga meno amto amin
Shida moja viongozi wetu hawaaminiki ktk usajiri