Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Edu Kumwembe ameongelea vizuri sana Matola. MATOLA NI SIMBA
Nia ya oscar mpuzi ni kuchonganisha uongoz wa simba tumekugu ndua
Yan hii tv waliopo wot ni mashabik wa yanga wanachambuw mpir kiunafik na fik tu media ya kupat tarifa za uhakik skuiz ni crown t
Oscar wacha ushabiki !!!
Oscar we mnafiki tu momo anaakili sana
Oscar na domo lako kubwaa umejaa unafiki
Sema Simba SC muda mwengine inachanganya sana
Makipa wetu wapiga GENZ kama wakina MANURA ukikutana na Yanga hela zisha weka Kwa acount zao
Bwege uyo oscar
wa kwanza
KAKA hapo umeongea la maana Sana huyo matola ndo jipu Simba hayo mambo ya undugu ndo yanagharimu timu tunamwamini sanaaa
Kwa hiyo matora ndo kamuondoa manula, tatizo tumekuwa na tatizo la kumchukia mtu bila sababu
Oscar uko sawa kabisa matola ni tatizo kwenye hiyo timu matola aondokee
Chalenji yanini pale wote wapo kazini,awapo kwenye ushindani
Sorry , sio Katompa bali ni Matampi .
Acheni ushamba mnaona oscar mchonganishi hilo swali la msingi sana
Acha kuonyesha langi moja,hayo majungu.
Et abeeeeeee naaaam
vp mbn lasta hatumuoni kikosini
Osca Osca mh ushaanz niboa kumbe niyanga
Anatafuta Kazi ya Usemaji Yanga huyo Oscar, #DarubinKali
Hawa jamaa niwanafki Sana uchambuzu wao wakichonganishi kinoma
Oscar kadake ww penati sasa
Matola atoke Simba inafeli kabisa. Ndiomaama wanafeli.
Oscar acha upuuzi basiii, Uwe unauliza kwanza hayo maswali ya Matola kuwa kocha Msaidizi, Inaonesha huna kumbukumbu nzuri za mambo yaliyopita... yaan unakuwa kama mtoto...
Ina maana kama matola anawamonitor makocha basi ndio anaye tuhalibia
Edu Kumwembe ameongelea vizuri sana Matola. MATOLA NI SIMBA
Nia ya oscar mpuzi ni kuchonganisha uongoz wa simba tumekugu ndua
Yan hii tv waliopo wot ni mashabik wa yanga wanachambuw mpir kiunafik na fik tu media ya kupat tarifa za uhakik skuiz ni crown t
Oscar wacha ushabiki !!!
Oscar we mnafiki tu momo anaakili sana
Oscar na domo lako kubwaa umejaa unafiki
Sema Simba SC muda mwengine inachanganya sana
Makipa wetu wapiga GENZ kama wakina MANURA ukikutana na Yanga hela zisha weka Kwa acount zao
Bwege uyo oscar
wa kwanza
KAKA hapo umeongea la maana Sana huyo matola ndo jipu Simba hayo mambo ya undugu ndo yanagharimu timu tunamwamini sanaaa
Kwa hiyo matora ndo kamuondoa manula, tatizo tumekuwa na tatizo la kumchukia mtu bila sababu
Oscar uko sawa kabisa matola ni tatizo kwenye hiyo timu matola aondokee
Chalenji yanini pale wote wapo kazini,awapo kwenye ushindani
Sorry , sio Katompa bali ni Matampi .
Acheni ushamba mnaona oscar mchonganishi hilo swali la msingi sana
Acha kuonyesha langi moja,hayo majungu.
Et abeeeeeee naaaam
vp mbn lasta hatumuoni kikosini
Osca Osca mh ushaanz niboa kumbe niyanga
Anatafuta Kazi ya Usemaji Yanga huyo Oscar, #DarubinKali
Hawa jamaa niwanafki Sana uchambuzu wao wakichonganishi kinoma
Oscar kadake ww penati sasa
Matola atoke Simba inafeli kabisa. Ndiomaama wanafeli.
Oscar acha upuuzi basiii, Uwe unauliza kwanza hayo maswali ya Matola kuwa kocha Msaidizi, Inaonesha huna kumbukumbu nzuri za mambo yaliyopita... yaan unakuwa kama mtoto...
Ina maana kama matola anawamonitor makocha basi ndio anaye tuhalibia