ALLY SALIM ANAWEZA KUZIBA MASHIMO YA AYOUB LAKRED| ALIKUWA SHUJAA WA SIMBA KWENYE NGAO YA HISANI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лип 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 28

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 18 днів тому +3

    Edu Kumwembe ameongelea vizuri sana Matola. MATOLA NI SIMBA

  • @boscoShama
    @boscoShama 18 днів тому +3

    Nia ya oscar mpuzi ni kuchonganisha uongoz wa simba tumekugu ndua

  • @hamadabdullah9702
    @hamadabdullah9702 18 днів тому +2

    Yan hii tv waliopo wot ni mashabik wa yanga wanachambuw mpir kiunafik na fik tu media ya kupat tarifa za uhakik skuiz ni crown t

  • @abdallahal-khaify
    @abdallahal-khaify 18 днів тому +2

    Oscar wacha ushabiki !!!

  • @boscoShama
    @boscoShama 18 днів тому +1

    Oscar we mnafiki tu momo anaakili sana

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 18 днів тому +2

    Oscar na domo lako kubwaa umejaa unafiki

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 18 днів тому +1

    Sema Simba SC muda mwengine inachanganya sana

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale 18 днів тому +1

    Makipa wetu wapiga GENZ kama wakina MANURA ukikutana na Yanga hela zisha weka Kwa acount zao

  • @MwatangaSalum
    @MwatangaSalum 18 днів тому +1

    Bwege uyo oscar

  • @KasaleAndrew
    @KasaleAndrew 18 днів тому +1

    wa kwanza

  • @MichaelMipawa-vx5om
    @MichaelMipawa-vx5om 18 днів тому +2

    KAKA hapo umeongea la maana Sana huyo matola ndo jipu Simba hayo mambo ya undugu ndo yanagharimu timu tunamwamini sanaaa

    • @kabazitv4293
      @kabazitv4293 18 днів тому +2

      Kwa hiyo matora ndo kamuondoa manula, tatizo tumekuwa na tatizo la kumchukia mtu bila sababu

  • @gabriellaizer9925
    @gabriellaizer9925 18 днів тому

    Oscar uko sawa kabisa matola ni tatizo kwenye hiyo timu matola aondokee

  • @SamsonMwambope
    @SamsonMwambope 17 днів тому

    Chalenji yanini pale wote wapo kazini,awapo kwenye ushindani

  • @abdallahal-khaify
    @abdallahal-khaify 18 днів тому +1

    Sorry , sio Katompa bali ni Matampi .

  • @AllyHussein-qc3vm
    @AllyHussein-qc3vm 18 днів тому

    Acheni ushamba mnaona oscar mchonganishi hilo swali la msingi sana

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 18 днів тому

    Acha kuonyesha langi moja,hayo majungu.

  • @MichaelMagawa-xn2ht
    @MichaelMagawa-xn2ht 18 днів тому

    Et abeeeeeee naaaam

  • @FatmaAbass-k3p
    @FatmaAbass-k3p 5 днів тому

    vp mbn lasta hatumuoni kikosini

  • @officaltitii96
    @officaltitii96 15 днів тому

    Osca Osca mh ushaanz niboa kumbe niyanga

  • @victordanistan7470
    @victordanistan7470 18 днів тому

    Anatafuta Kazi ya Usemaji Yanga huyo Oscar, #DarubinKali

  • @oscarery9727
    @oscarery9727 17 днів тому

    Hawa jamaa niwanafki Sana uchambuzu wao wakichonganishi kinoma

  • @user-xo2tq7zs2c
    @user-xo2tq7zs2c 18 днів тому

    Oscar kadake ww penati sasa

  • @edwardaugustino7177
    @edwardaugustino7177 18 днів тому

    Matola atoke Simba inafeli kabisa. Ndiomaama wanafeli.

  • @victordanistan7470
    @victordanistan7470 18 днів тому

    Oscar acha upuuzi basiii, Uwe unauliza kwanza hayo maswali ya Matola kuwa kocha Msaidizi, Inaonesha huna kumbukumbu nzuri za mambo yaliyopita... yaan unakuwa kama mtoto...

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 18 днів тому

    Ina maana kama matola anawamonitor makocha basi ndio anaye tuhalibia